warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
madokta wamekimbia wanaenda kupekua notes@definition kala matapish yake kaenda kulala .aiseeee we deception ni mtu mbaya sana.umenifanya adi najichekea mwenyewe.jamaa wamekuja na miterminologies ya ajabu ili sisi tutoke kapa.lakini kumbe wamedandia treni kwa mbele.wanauliza vitu ambavyo vingi vilishatolewa ufafanuzi mda tu.nashindwa kuelewa ni wavivu wa kusoma au??kama wanashindwa kupitia uzi huu wa page 40 hayo mavitabu ya maugonjwa na maresearch wanapataga mda kwelibwa kuyapitia???
Toka ile siku ya kwanza nilivyoona comments za yule dokta nikajua kabisa hamna kitu yani, ata sijui uo udaktar wanapataga wapi kwa kweli,wanatuulia ndugu zetu mijitu yenyewe akili haina kichwan mxiuuu