Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Hata paracetamol ukinywa na pombe inasababisha liver toxicity na watu wanafanya hivo all the time.Ukitumia dawa kuna sideffects always ambazo zinavumilika na ambazo zinazoweza kuwa weighed faida zake against benefits.Wewe ndio unadanganya watu.Kwani dawa zote zinakuwa metabolized kwa njia gani?

Toafutisha Kunywa NA na Kunywa Dawa Yenyewe bila NA... Sasa Jamaa Alisema TDF zenyewe bila NA zinasababisha Liver problem
 
OOh!! Tatizo wewe hujaelewa tu ndio maana ume panick, jamaa kazungumza mengi kuhusu Ukimwi, kwani unadhani mi sijui kuwa ukimwi upo na unaua? ,kwani wewe hujui kuwa ARV zipo kwa ajili ya kupunguza makali ya ukimwi? Kuna mambo mwngine ni magumu kumuelezea mtu akakuelewa lazima utumie lugha ya tofauti kidogo, ila mimi nimemuelewa sana,jaribu kutuliza akili yako,penda kujifunza kitu kwa kusikiliza

Binafsi mpaka sasa ivi sijamuona mtu yeyote anayepinga hoja za jamaa kwa hoja za msingi, Tuache kukumbatia Upumbavu, wengi wao wanaishia kujionyesha tu jinsi walivyokuwa na akili ndogo na utashi uliochacha

Hahahahah
 
sijajua ni kwanini...!? pia naomba upangilie swali lako vizuri unataka ufafanuzi zaidi kuhusu HIV au ARV...watu hawawezi kuwa warahisi kuamini ma doctor bali hiwa rahisi kuamini maneno mengi yasiyo na uthibitisho...!! kazi kwenu ku hamua upande waku baki..

Kuwa dokta haimaanishi kuwa unajua magonjwa yote apa duniani, unaweza ukawa daktari wa watoto, ngozi, moyo,mifupa na nk. Wewe unaweza kuwa dokta wa mifugo (mfano tu ) na mwingine akawa ame specialize kwenye masuala ya madawa tu. Apo kamwe hamuwezi kuwa sawa japokuwa wote ni madaktari, bado tunakuheshimu kama daktari ila inawezekana hii kitu haipo kwenye taaluma yako au hukusomea hivyo vitu.
 
Mnawasaidiaje wale wasiojiweza kumudu mlo kamili ili wasidhurike na ARV? Maana inasemekana zile dawa ni kali mno kama hautokula vizur basi zitaleta shida kwa mtumiaji, mnavyosisitiza kuhusu mlo kamili mnawapa chakula au? Tumechoka vifo vya UKIMWI ambao wengi wao ni maskini wasioweza kujimudu na mlo kamili.
Umeniuliza kama vile nina mamlaka flani hivi, anyway mie ni mwananchi wa kawaida kikubwa ARV ni hatua ya mwisho kabisa kikubwa hata sie tunaojiona wazima tunatakiwa tuzingatie kanuni za afya ikiwa pamoja na kugonga menu balanced kibongobongo hata kama tutaambukizwa tusifikie huko kwenye ARV mapema pamoja na kuupumzisha mwili tu ili hata ikifika hatua ya kwenda hospitali ni kuandikiwa dawa ya kutibu ugonjwa nyemelezi na sio special diet tena
 
Mboga zinatakiwa ziwe mbichi kabisa.Kuhusu madhara ya kemikali unatakiwa uzioshe sana na maji ya moto,hakuna jinsi nyingine ndugu yangu,ndio tumeshajipiga lock kukubali GMO foods.GMO foods huwezi kuzikuza bila kutumia kemikali,na haya ndio mambo yaliyonifanya niwe humu JF.Suala mojawapo ambalo liko kwenye mtaala wangu ni hilo la GMO.
Watu hawajui kabisa kuhusu hili jambo.Kwa mfano mtu anaenda gengeni kununua nyanya chungu,halafu anachagua zile zenye rangi nyeupe,eti kwake yeye ndio bora kwa kuwa hazina uchungu na ni za kisasa.Kumbe hajui kama hazina virutubisho kama vile vinavyopatikana kwenye nyanya chungu halisi zile za uchungu kabisa,na hajui pia kama ule uchungu ni dawa.Watu wanaona vyakula hivi vinafanana kwa macho kumbe ni tofauti kabisa kama utakuwa na uelewa.
Na ndio maana utakuta mtu anajitahidi kula vizuri lakini bado anaumwa mara kwa mara.
Kuna mambo mengi ya kujua ndugu yangu yangu.

GMO=Genetic Modified Organisms(Food,in this case)

Mara Nyingi Darasani hatuelezwi madhara ila. faida kwa sana..

Hivi Kubadili Genetic make up ya mmea uliokuwa unazaa Kwa mwaka mara moja uwe unazaa Hata Mara Tatu hakuna madhara katika kupunguza ubora wa kinachozalishwa?
 
Kuwa dokta haimaanishi kuwa unajua magonjwa yote apa duniani, unaweza ukawa daktari wa watoto, ngozi, moyo,mifupa na nk. Wewe unaweza kuwa dokta wa mifugo (mfano tu ) na mwingine akawa ame specialize kwenye masuala ya madawa tu. Apo kamwe hamuwezi kuwa sawa japokuwa wote ni madaktari, bado tunakuheshimu kama daktari ila inawezekana hii kitu haipo kwenye taaluma yako au hukusomea hivyo vitu.

usilo lijua lita kusumbua sana Medical ni science pana sana tafuta maana ya MD na specialist...utajua nini.kina anza badae knafuata kipi....acha ushabiki maandazi ujui kitu...jitahidi urudi kwenye majukwaa yako ya MMU& UDAKU...nlikuona uki mwandama GEORGEOUSMIMi...ivi ivi..ila kumbuka elimu siyo vita unajikuta unaropoka kuliko alie anzsha uzi...Tufikie hitimisho sisi madoctor tumeshindwa kwenye huu uzi ..siyo kwamba nimeshindwa kwa hoja za mkuu hapo juu ...bali kwa mm binafsi nmeamua kujitoa kwenye huu uzi kwajili ya kiherehere chako unavyoruga wengine wanaotaka kupata knowledge juu ya tatizo hili....

NOTE: no matter sumu utakayo mezeshwa ukfanya unsafe sex lazma upate maambukizi na CD4 ztakapo shuka ARVs utakunywa tuu tena bila kulazmishwa..
 
nimefatilia kwa uchache baadhi ya page za thread hii, na nimegundua yafuatayo.
1. asilimia 99 ya wafuatiliaji/wachangiaji ni layman wa mambo ya afya, na hasa HIV/AIDS. wanafanya kuburuzwa tu na hizo wanazoziita fact, ilihali hawaelewi foundation ya hizo "fact". and trust me, arguments za Deception haziko founded, wala haziko documented, na wala hawezi kuzi prove.
2. watu always wanatafuta the easiest way out, someone or something to put blame on. lets face the facts, ukimwi upo na unaua. hiyo iko proven beyond reasonable doubt
3. ushabiki maandazi hausaidii, tena kama unashabikia mtu kwa kuangalia volume ya maneno katika post zake, kwa concepts ambazo wewe na yeye wote hamzielewi.
4. kiasi napata picha kwanini babu wa loliondo aliweza kutushika masikio, sababu ya akili zetu mbovu. we are very easily manipulated, wala hatufikiri.
5. tusicheze na taaluma za watu, tena hasa when it comes to diseases with severe mortality and morbidity. tuwe na huruma na hawa wanaohangaikia maisha yao.
6. the subject of HIV is very broad, na sio rahisi kama wengine humu wanavyotaka kuamini. mi nawaita waganga wa kienyeji. sasa wewe nenda kavu uone kama hatukuziki. ni nani humu hajaguswa na ugonjwa wa HIV maishani? do you still think its a myth? acheni kuaibisha taaluma za watu kwa kumanipulate laymen

Mkuu, nina swali dogo, HIV/AIDS ni Man made virus? Yaani umetengenezwa maabara kwa madhumuni maalum? Au ni virusvya asili?
 
Umeniuliza kama vile nina mamlaka flani hivi, anyway mie ni mwananchi wa kawaida kikubwa ARV ni hatua ya mwisho kabisa kikubwa hata sie tunaojiona wazima tunatakiwa tuzingatie kanuni za afya ikiwa pamoja na kugonga menu balanced kibongobongo hata kama tutaambukizwa tusifikie huko kwenye ARV mapema pamoja na kuupumzisha mwili tu ili hata ikifika hatua ya kwenda hospitali ni kuandikiwa dawa ya kutibu ugonjwa nyemelezi na sio special diet tena

ahahah, nilijua naongea na dokta...

Ukimwi upo na unaua na unatisha sana, cha muhimu ni kuijali afya yako kwa kula vizuri na kufanya mazoezi mara kwa mara bila kusahau kupima mara kwa mara , either umeathirika au lah!. BInafsi sipingani na Ukimwi, ila najaribu tu kuziangalia izo ARV kwa upande wa pili, isije ikawa Ukimwi hauui ila izo ARV ndizo zinazoua, tujaribu na kupenda kuwa wadadisi kuhusu Afya zetu wenyewe, sisi vijana ndio tupo kwenye changamoto zaidi kuhusu hili gonjwa la ukimwi.
 
Mkuu, nina swali dogo, HIV/AIDS ni Man made virus? Yaani umetengenezwa maabara kwa madhumuni maalum? Au ni virusvya asili?

This idea, which is based on the belief that
HIV is man made, is largely disproved by
the similarities between HIV (Human
Immunodeficiency Virus) and SIV (Simian
Immunodeficiency Virus). It has been
scientifically proven that HIV is most likely a
viral descendant of SIV. For example in
1999 scientists in Alabama discovered a
strain of SIV which was very similar to the
HIV-1 strain.
It is well established that it is possible for
some viruses to jump from animals to
humans. SIV was transmitted to humans
through humans eating the flesh of SIV
infected apes or monkeys. Another way the
virus could have been passed to humans is
through infected ape or monkey blood
getting into open wounds and cuts on the
human body.
 
madokta wamekimbia wanaenda kupekua notes@definition kala matapish yake kaenda kulala .aiseeee we deception ni mtu mbaya sana.umenifanya adi najichekea mwenyewe.jamaa wamekuja na miterminologies ya ajabu ili sisi tutoke kapa.lakini kumbe wamedandia treni kwa mbele.wanauliza vitu ambavyo vingi vilishatolewa ufafanuzi mda tu.nashindwa kuelewa ni wavivu wa kusoma au??kama wanashindwa kupitia uzi huu wa page 40 hayo mavitabu ya maugonjwa na maresearch wanapataga mda kwelibwa kuyapitia???

Hii ndo aina ya madocta wetu...lazima tufe tu...
 
Hao ni wa kuwaonea huruma tu ndugu yangu, kama madokta wenyewe ndio wako ivi? Basi tutaendelea kufa na ARV, dunia imebadilika sasa ivi, watu wanazidi kupata ufahamu kuhusu magonjwa mbali mbali,yan hawa madokta ni wa kuwahurumia kwa kweli hawajielewi, sasa mtu kama huyo akikutibu unategemea nn kama sio kifo?

Kwakweli kama madocta wenyewe ndo hawa tutakufa tu..
 
Kuna ndugu yangu aliumwa homa wakampeleka hospital, wakakataa kumtibu wakasema akapime ukimwi, wakimpa dawa za maralia watamuua, sasa nikashangaa kama walimkuta na maralia kwa nn wasimtibu maralia? Au kuna maralia wa kawaida na wa ukimwi? Watufungue tujue kwa kweli

Kuna mtoto wangu wa kike almst 8 years,nampenda sana,na wakati huo tayari nilishajua ukweli wa mambo haya.Angalia faida yake sasa:

Wakati niliposafiri,aliumwa sana,wakampeleka hospitali wakagundua alikuwa na malaria na UTI.Wakampa dozi zote mbili,nadhani mnajua sumu aliyoipata hapo,ofcourse ndiyo tiba yenyewe huwezi pinga.Kuna dalili chache zikatoweka lakini aliendelea kuumwa homa mara kwa mara kila siku.Homa ilikuja na kutoweka kama mara tatu kwa siku moja.Alikuwa ktk hali hiyo kwa wiki mbili,niliporudi nikampeleka hospitali mwenyewe.
Hospitali ya kwanza niliwaelezea historia yote pamoja na dozi alizotumia.Wakampima wakamkuta na UTI kidogo sana ila malaria hana.Wakamwandikia tena dozi kali zaidi ya ile ya mwanzo(wakati huo akili yangu ilikuwa ikijua kwamba tatizo la mtoto litakuwa ni sumu ya dawa).Basi nikarudi nyumbani lakini sikumpatia mtoto zile dawa nikiogopa kumuonezea sumu mwilini,nilikuwa nafikiria njia nyingine ya kufanya.Kesho yake nikaenda Hosp mbili kushtakia tena,lakini zote zilikataa kumhudumia eti mpaka apime HIV.Mimi nikakataa kabisa na kumpeleka hospitali nyingine huku nikidictate wampime ini.Ile hospitali wakampima kwa siri HIV pamoja na ini.Lakini alikuwa HIV- kwa vipimo vyao feki,ila walikuta ini lina matatizo makubwa,hivyo wakampa dawa ya kuondoa sumu dozi ya siku 8.Baada ya kutumia dozi siku 3 homa ikakatika kabisa na haikurudi tena.Nikaendelea kumpa diet nzuri na hadi leo yuko poa.
Hebu chukulia kama angepimwa HIV halafu wangemkuta ni HIV+ na vipimo vyao na kumpa ARVs,halafu changanya kwamba na mimi nisingekuwa najua ukweli huu.Nadhani jibu unalo.
 
This idea, which is based on the belief that
HIV is man made, is largely disproved by
the similarities between HIV (Human
Immunodeficiency Virus) and SIV (Simian
Immunodeficiency Virus). It has been
scientifically proven that HIV is most likely a
viral descendant of SIV. For example in
1999 scientists in Alabama discovered a
strain of SIV which was very similar to the
HIV-1 strain.
It is well established that it is possible for
some viruses to jump from animals to
humans. SIV was transmitted to humans
through humans eating the flesh of SIV
infected apes or monkeys. Another way the
virus could have been passed to humans is
through infected ape or monkey blood
getting into open wounds and cuts on the
human body.

Watafute watu wafuatao halafu wasome machapisho yao.
Robert Gallo,Dr leonard George Horowitz, Dr Peter Duesberg.
 
Kuna ndugu yangu aliumwa homa wakampeleka hospital, wakakataa kumtibu wakasema akapime ukimwi, wakimpa dawa za maralia watamuua, sasa nikashangaa kama walimkuta na maralia kwa nn wasimtibu maralia? Au kuna maralia wa kawaida na wa ukimwi? Watufungue tujue kwa kweli

Ujinga wa hali ya juu..hakuna ugonjwa mmoja unaitwa Ukimwi,mjumuiko wa magonjwa tofauto tofauti kwann wasitibu haya magonjwa badala yake wanakimbilia ARVs? Ivi ukishatumia arv hutaugua tena maisha yako yote? Kama ndo ivyo kwann wasiseme watu wote tutumie izo arv ili tusipate magonjwa?
 
usilo lijua lita kusumbua sana Medical ni science pana sana tafuta maana ya MD na specialist...utajua nini.kina anza badae knafuata kipi....acha ushabiki maandazi ujui kitu...jitahidi urudi kwenye majukwaa yako ya MMU& UDAKU...nlikuona uki mwandama GEORGEOUSMIMi...ivi ivi..ila kumbuka elimu siyo vita unajikuta unaropoka kuliko alie anzsha uzi...Tufikie hitimisho sisi madoctor tumeshindwa kwenye huu uzi ..siyo kwamba nimeshindwa kwa hoja za mkuu hapo juu ...bali kwa mm binafsi nmeamua kujitoa kwenye huu uzi kwajili ya kiherehere chako unavyoruga wengine wanaotaka kupata knowledge juu ya tatizo hili....

NOTE: no matter sumu utakayo mezeshwa ukfanya unsafe sex lazma upate maambukizi na CD4 ztakapo shuka ARVs utakunywa tuu tena bila kulazmishwa..

Are you a doctor by professional?, why are you involving gossip forums into this? Umekosa hoja so unatafuta njia ya kunifedhehesha? then you are completely mistaken my Dear doctor.

I'm commenting on this thread, sio kwa sababu najifanya najua sana, ila kwa sababu mimi ni MJINGA na ninataka ujinga wangu uondoke niwe na ufahamu ambao pengine ata wewe dokta hauna na nina uhakika hauna, maandishi yako yanaweza yakawa ushuhuda tosha kuonyesha jinsi ulivyokuwa na ufahamu mdogo kuhusu UKIMWI na ARV, sio mbaya mimi na wewe tukajifunza kutoka kwa Deception na watu wengine wenye hoja zenye mashiko. Karibu tujifunze wote.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nimezisoma hizo Robert Koch Prostulates. Na wanasanyansi Wamezimodify na kusema kuwa ni za Kizamani..

Kwa Sababu kuu hii

* Si lazima Mdudu aliyesababisha Mfano mm nitoke Vipele mwili mzima asababishe Vipele kwako Deception kwa Sababu ya Immunity system zetu kuwa Tofauti. Kwahiyo wakasema kuwa Robert koch hakuliona hili la immunity yeye akageneralize kuwa Ugonjwa ili usababishwe na mdudud ni lazima Ulete Effect sawa kama Ukiingizwa kwa Mtu Mwingine

Sitaki kukupeleka mbali sana kwa kuwa nitakuchanganya.Siku zote penye ukweli uongo hujitenga.Hebu chukua hiyo postulate namba 3 peke yake.

3.Germ lazima asababishe ugonjwa huo huo kama akidungwa kwenye host mwingine mwenye afya.

Sasa nakuuliza wewe.Je,Kila mtu mwenye HIV ana ukimwi?
 
Kuna mtoto wangu wa kike almst 8 years,nampenda sana,na wakati huo tayari nilishajua ukweli wa mambo haya.Angalia faida yake sasa:

Wakati niliposafiri,aliumwa sana,wakampeleka hospitali wakagundua alikuwa na malaria na UTI.Wakampa dozi zote mbili,nadhani mnajua sumu aliyoipata hapo,ofcourse ndiyo tiba yenyewe huwezi pinga.Kuna dalili chache zikatoweka lakini aliendelea kuumwa homa mara kwa mara kila siku.Homa ilikuja na kutoweka kama mara tatu kwa siku moja.Alikuwa ktk hali hiyo kwa wiki mbili,niliporudi nikampeleka hospitali mwenyewe.
Hospitali ya kwanza niliwaelezea historia yote pamoja na dozi alizotumia.Wakampima wakamkuta na UTI kidogo sana ila malaria hana.Wakamwandikia tena dozi kali zaidi ya ile ya mwanzo(wakati huo akili yangu ilikuwa ikijua kwamba tatizo la mtoto litakuwa ni sumu ya dawa).Basi nikarudi nyumbani lakini sikumpatia mtoto zile dawa nikiogopa kumuonezea sumu mwilini,nilikuwa nafikiria njia nyingine ya kufanya.Kesho yake nikaenda Hosp mbili kushtakia tena,lakini zote zilikataa kumhudumia eti mpaka apime HIV.Mimi nikakataa kabisa na kumpeleka hospitali nyingine huku nikidictate wampime ini.Ile hospitali wakampima kwa siri HIV pamoja na ini.Lakini alikuwa HIV- kwa vipimo vyao feki,ila walikuta ini lina matatizo makubwa,hivyo wakampa dawa ya kuondoa sumu dozi ya siku 8.Baada ya kutumia dozi siku 3 homa ikakatika kabisa na haikurudi tena.Nikaendelea kumpa diet nzuri na hadi leo yuko poa.
Hebu chukulia kama angepimwa HIV halafu wangemkuta ni HIV+ na vipimo vyao na kumpa ARVs,halafu changanya kwamba na mimi nisingekuwa najua ukweli huu.Nadhani jibu unalo.

nadhani ambacho huelewi ni kuhusu matokeo ya vipimo kabla na baada ya kuanza dawa, na tafsiri yake in medical terms. ni vizuri pia kuelewa mechanism ya dawa kufanya kazi na mda mpaka kuonekana effect ya dawa. pia, naomba utaje hizo dawa hapa jamvini tupeane elimu
pili, unaposema "alipewa dawa ya malaria na UTI", halafu unaongelea sumu,, una maana gani hapo? ulivyoiweka ni kama vile mwanao alipewa sumu ya panya kwa mchanganyiko huo!! inataka watu waamini kwamba hizi dawa ni sumu zaidi, na side effect zake zina outweigh faida zake?
now kwa swali langu la msingi: kupima HIV ni hiari, ila in some circumstances inategemea na historia ya ugonjwa, na viashiria vingine. kwa situation kama hiyo, daktari anaweza kushauri kufanya kipimo cha HIV. Swali langu ni kwamba, je kama mwanao angepima HIV mwanzoni wakati kapelekwa hosp, unadhani majibu yangekuwa +ve ilihali baada ya matibabu majibu yalikuwa -ve? maana we unadai vipimo ni feki
 
Ujinga wa hali ya juu..hakuna ugonjwa mmoja unaitwa Ukimwi,mjumuiko wa magonjwa tofauto tofauti kwann wasitibu haya magonjwa badala yake wanakimbilia ARVs? Ivi ukishatumia arv hutaugua tena maisha yako yote? Kama ndo ivyo kwann wasiseme watu wote tutumie izo arv ili tusipate magonjwa?

Aahahaha ahah hilo nalo neno, watuambie na sisi tuanze dozi ya ARV tusipate magonjwa nyemelezi kwa kweli khaa!!, Halafu nahis nina maralia, sijui nikachukue ARV nianze dozi na mimi?

Sio kwamba tunawashawishi watu vibaya, ila tujaribu kuwa wadadisi kuhusu afya zetu, hakuna aliyekatazwa kutumia ARV, we tumia tu tani yako na kwa raha zako, mwili si wako na maisha si yako?, namshukuru Mungu kwa kuniumba kupenda kuwa mdadisi kuhusu vitu mbali mbali

Hii ni Elimu tu, we kama unaijali afya yako kapime, ukikutwa anza kutumia dawa kama utakavyoelekezwa na wataalamu kwa kuzingatia kila kitu, Deception alikuwa anajaribu kutufahamisha tu kuhusu UKIMWI na ARV ila maamuzi yote yapo mikononi mwetu, akili kichwani mwako
 
Last edited by a moderator:
Ninachofahamu kutokana na theory ya Microbiology na uzoefu kidogo ni kuwa huo uwezekano upo, lakini ni mdogo sana. Kuna takriban asilimia 5 ya watu ambao seli zao nyeupe zinakosa receptors muhimu kwa ajili ya virusi kuingia ndani ya miili yao, hivyo hata wakikitana na mtu mwenye VVU, kwao kupata maambukizi ni kitu kigumu. Na kuna asilimia ndogo sana ya watu ambao hata akipata maambukizi, kamwe hatobadilika status kwenda kwenye kuwa na AIDS(UKIMWI). Yeye ataishia kwenye kiwa na VVU tu. Na tukumbuke kuwa kinachoketa athari kubwa ni kubadilika na kuwa na UKIMWI (AIDS) baada ya kupata VVU. Lakini ni watuwachache sana walio hivyo. Kuna proof juu ya hilo, kuna mgonjwa wa UKIMWI alifanyiwa transplantation ya bone marrow (uboho wa mfupa) kutoka kwa mtu ambaye apparently seli hai nyeupe zake zilikuwa zinakosa hizo receptors, na baada ya kipindi fulani yule mgonjwa alikuja kuwa AIDS free (tukumbuke pia kuwa seli hai hutengenezwa kwenye bone marrow). Watu wa namna hii huwa ni medical miracles, lakini wapo. Na wakati mwingine watu walio kwenye ndoa huwa wanakuja wakiwa serodiscordant, mmoja kaathirika na mmoja hajaathirika na ukiwauliza watakwambia wanashiriki...tena bila hata ya kutumia condoms.

Aids Cure: Two More Men Declared 'HIV Free' After Bone Marrow Transplant

Man Cured of AIDS Virus: First U.S. News Conference

Hizo links mbili zinaonyesha kuwa watu wenye hizo genetic mutations wapo kweli. Ila ni wachache SANA!

Mbona kwa Tanzania wapo wengi tofauti na tafiti hizo?Yaani ni wengi sana kiasi kwamba hata humu JF wapo.
 
choice s your...syo lazma humuamini mtu au umkubali mtu..ila ukiangalia utaona ushabiki ni mkibwa na siasa ni nyingi kuliko evidence...ukiangalia hapo juu kwenye post zote utaona mkuu kaulizwa maswali mengi sana ana jitetea ni theory hataki jibu bali ana andka siasa nyingi na kukwepa kwingo...angalieni msiliwe kichwa...na pia naku shauri uache maandishi ya chuki maana naona una type viti vynye chuki wakato tupo kwenye ku elimishana..ni hayo tu mkuu.

Habari doctor.Naomba kwanza kabisa uniambie unataka evidence kuhusu nini,halafu pia uniambie evidence inakuaga vipi,yaani ili ujue hii ni evidence inatakiwa iweje.Naogopa usije kuikataa ukasema kwamba sio evidence.Nakusubiri.
 
Back
Top Bottom