Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

nadhani ambacho huelewi ni kuhusu matokeo ya vipimo kabla na baada ya kuanza dawa, na tafsiri yake in medical terms. ni vizuri pia kuelewa mechanism ya dawa kufanya kazi na mda mpaka kuonekana effect ya dawa. pia, naomba utaje hizo dawa hapa jamvini tupeane elimu
pili, unaposema "alipewa dawa ya malaria na UTI", halafu unaongelea sumu,, una maana gani hapo? ulivyoiweka ni kama vile mwanao alipewa sumu ya panya kwa mchanganyiko huo!! inataka watu waamini kwamba hizi dawa ni sumu zaidi, na side effect zake zina outweigh faida zake?
now kwa swali langu la msingi: kupima HIV ni hiari, ila in some circumstances inategemea na historia ya ugonjwa, na viashiria vingine. kwa situation kama hiyo, daktari anaweza kushauri kufanya kipimo cha HIV. Swali langu ni kwamba, je kama mwanao angepima HIV mwanzoni wakati kapelekwa hosp, unadhani majibu yangekuwa +ve ilihali baada ya matibabu majibu yalikuwa -ve? maana we unadai vipimo ni feki

Hujaelewa mantiki ya hiyo story,na hii ni kwa sababu umeanzia katikati kwenye uzi huu.Mimi sio muumini wa HIV,ungelijua hilo usingeandika hayo.HIV ni IMANI tu na miungu wa watu wanaoamini HIV wako wawili,Je,unawajua?
 
Yeye amesema Amefanya Research na Amewahudumia Wagonjwa Wa ARV. Je wewe umehudumia wagonjwa Gani ili basi tupime Kidogo pande mbili
Katika kazi yangu nakutana na wagonjwa wa aina hio kila siku na hakuna hata mmoja anayelalamikia sideeffects zozote.
 
Umeona eeh? Basi wangeacha kuwapa madawa ambao wanajua kabisa zinaenda kuwamaliza, wangetafuta njia mbadala, kama mlo kamili mnajua ni shida, mnawapaje madawa makali kama ARV kama sio wauaji? Tutawashtaki mnaua kwa makusudi gorgeousmimi

Hujui unasema nn wewe SMH!!:A S-confused1: haya kashtaki!!
 
Last edited by a moderator:
Katika kazi yangu nakutana na wagonjwa wa aina hio kila siku na hakuna hata mmoja anayelalamikia sideeffects zozote.

Hakuna atakaye lalamika, kwa kuwa tumeshajijengea IMANI kuwa ARV ndio mkombozi wao, ata wakipatwa na magonjwa mengine hawatajua kuwa ARV ndio zimesababisha, bali watajua ni VVU, hivyo hawawezi kuzilalamikia ARV kwa sababu ya imani tuliyojengewa kuwa ARV inapunguza makali ya VVU na hazisababishi matatizo yeyote, je unalizungumziaje hili?
 
Umeona eeh? Basi wangeacha kuwapa madawa ambao wanajua kabisa zinaenda kuwamaliza, wangetafuta njia mbadala, kama mlo kamili mnajua ni shida, mnawapaje madawa makali kama ARV kama sio wauaji? Tutawashtaki mnaua kwa makusudi gorgeousmimi

Basi Kama. ni maisha Duni. Dawa ni Kula Vizuri na Wala Si Kunywa Madawa Kibao

Nilishamwambia yule daktari kuwa maelezo yake tu yanathitibitisha kuwa yeye ni mjinga kuliko mimi ambaye sio daktari, they are not professional at all,wanajibu kwa ku panick, si ajabu ndio maana wagonjwa wa ukimwi wanajiua, yani wana maneno ya kejeli na maudhi, utafikir hawajasoma kabisa, communication skills yao ni mbovu, uandishi mbovu, unaanzaje kumwamini huyo mtu? This is a big tragedy to our Nation, measures should be taken to stop this immediately, hii ni aibu ambayo haivumiliki.

inawezekana UKIMWI ukawa hauui, bali sisi ndio tunaojiua kwa upumbavu wetu wa kukosa maarifa

Kuna siku moja niliandika hivi:

"Sasa jiandae vyema na umsikilize kwa makini kabisa neno baada ya neno(usiruke neno) huyu mgunduzi wa HIV anachosema hapa.Narudia,huyu anayesema hapa ndiye mgunduzi wa HIV.Yaani ni 'mungu' wa wale wanaoamini katika dini ya VVU/Ukimwi.Natarajia kwamba hakuna mtu yeyote duniani atakayepinga maneno yake;msikilize hapa chini;
"You can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system will get rid of the virus within few weeks if you have good immune system" Na hata ukimfuatilia Prof.Duesberg(virology machine) anayepinga kuhusu HIV naye alishasema hivihivi.Huyu mungu wao anathibitisha tu maneno ya Duesberg ambayo mwanzo aliyakataa,sasa hivi anaona aibu.

Halafu endelea kumsikiliza anazungumzia matatizo halisi yanayotusumbua hasa katika nchi za afrika.

1.Nutrition/misosi
2.Oxidative stress;Hii nitaizungumzia kwa undani baadaye
3.Clean water

Halafu anasema "their immune system doesn't work well already even if they are not infected with HIV",maana yake ni kwamba, watu wanakuwa na ukimwi hata kabla ya kuingiwa na VVU.

Anaendelea kushauri njia za kupunguza maambukizi ya HIV huyu feki ambazo ni;
1.Nutrition
2.Proper antioxidants
3.Hygiene measures
4.Fighting the specific infection(tusisingizie HIV,tutibu tatizo halisi)


Anaulizwa:"If you have good immune system then your body can get rid of HIV?"
Anajibu:Yes.
Ooooh very interesting!!! au mimi naota?Hebu sikiliza wewe mwenyewe.

Anaendelea kusema tena kwamba;"This is important knowledge which is completely neglected,people always think of drugs and vaccines"

Na mwisho yeye mwenyewe anakubali kwamba alichokisema ni tofauti na kile alichosema kipindi cha nyuma,yaani vinapingana.Huyu jamaa ameingizwa kwenye kundi la watu wenye roho mbaya bila kupenda,sasa roho yake inamsuta na anaamua kusema ukweli.Huyu ndiye mgunduzi wa HIV feki,Robert Gallo alimuibia tu data na yeye ndiye katangazwa kwanza.Walichokigundua hata wenyewe wanajua kwamba hakisababishi Ukimwi,ni njaa tu ndio inawasumbua.

Haya sikiliza sasa;

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM "

Pamoja na hayo yote,hakuna virus anayesababisha ukimwi.Watu wanashindwa tu kuunganisha dots za maelezo niliyotoa kwa kuwa labda ni mengi sana na hayako kimpangilio kutokana na mjadala ulivyo.Hata wenyewe waliogundua huyo HIV feki wanajua kwamba HIV hasababishi ukimwi na ndio maana kuna wakati wenyewe kwa wenyewe wanapingana.Nitakuleteeni video nyingine inayoonesha kwamba wanapingana halafu ninyi wenyewe muamue.
Na ndio maana huyu mgunduzi alikubali kusema tu hayo lolote na liwe maana ndio ukweli wenyewe.Wengine wanasema HIV peke yake hawezi kusababisha ukimwi,anahitaji co factors,ilihali wengine wanasema HIV peke yake anaweza kusababisha ukimwi bila co factors,nitawaleteeni hiyo video.Unaona sasa penye ukweli uongo hujitenga?

Watu wanaogopa ukimwi kwa sababu ya kasumba tu,neno hili limewaingia vichwani mwao kwa kurudiwa mara kwa mara huku wakioneshwa video za kutisha za wagonjwa bila kujali uhalisia kwamba mgonjwa alikuwa anaumwa nini hasa.Watu wanaogopa kitu ambacho kilikuwapo tangu kabla ya kutangazwa kwa HIV,eti kwa sababu wameambiwa HIV anasababisha ukimwi ndio wanaugopa sasa,kumbe ulikuwapo tangu zamani na hautishi na unatibika kirahisi na wakati mwingine unaondoka wenyewe bila ya wewe kujijua,ukibalisha lifestyle tu uko poa.

Sasa Je,

1.Kuna daktari hapa kwetu anaweza kukwambia kama unaweza kuwa na HIV(feki) lakini kinga ya mwili wako inaweza kumdhibiti na kumtoa kama alivyosema huyu mgunduzi?Vinginevyo wapinge kwamba huyu sio mgunduzi.

2.Huyu mgunduzi anakwambia "people always think of drugs and vaccines" anaposema drugs anamaanisha ARVs kwa maana ndizo zinazotumika kwenye AIDS.Na maana yake nyingine ni kwamba,huwezi kuwa na HIV kama kinga yako iko safi.

Sasa kama mnatakata kujithibitishia wenyewe,muulize daktari yoyote bongo kama anaweza kukubali hayo aliyosema mungu wake.Hapo ndipo utakapoona kwamba kasumba ni kitu kibaya sana.

Wenzetu wazungu sio wepesi kupinga kama sisi ngozi nyeusi.Ushauri huu wengi wanaujua toka kitambo,na ndio maana they don't take a shit kwenye ugonjwa huu feki,wanakula raha tu.

Sisi weusi ndio tumefanywa malimbukeni na shimo la kutupia madawa yao yenye sumu.Halafu eti wanatuambia tuyahifadhi vizuri yasije kuharibika.UNAHIFADHI SUMU YA MWILI WAKO?WE VIPI?

Ama kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Eti unatakiwa uhifadhi vizuri sumu ya mwili wako.Sasa kama kuna daktari yupo,aje kupinga maneno ya huyu mungu wao.

Kuna mwana JF mmoja(nafikiri atakuwa anaitwa Chakochangu),ana quote yake inasema "Maajabu ya kenge,anakimbia mvua anaingia mtoni".
Ndio sisi tulivyo,tunakimbia HIV tunakimbilia ARVs ambazo ndizo mziki mnene wenyewe.Hivi vitu watu hawawezi kuvielewa mara moja mpaka kwanza wajue historia ya medicine na viwanda vya madawa ikoje.Hapo ndio watajua kwamba watu hawana masikhara kwenye biashara.
 
Kuna siku moja niliandika hivi:

"Sasa jiandae vyema na umsikilize kwa makini kabisa neno baada ya neno(usiruke neno) huyu mgunduzi wa HIV anachosema hapa.Narudia,huyu anayesema hapa ndiye mgunduzi wa HIV.Yaani ni 'mungu' wa wale wanaoamini katika dini ya VVU/Ukimwi.Natarajia kwamba hakuna mtu yeyote duniani atakayepinga maneno yake;msikilize hapa chini;
"You can be exposed to HIV many times without being chronically infected,our immune system will get rid of the virus within few weeks if you have good immune system" Na hata ukimfuatilia Prof.Duesberg(virology machine) anayepinga kuhusu HIV naye alishasema hivihivi.Huyu mungu wao anathibitisha tu maneno ya Duesberg ambayo mwanzo aliyakataa,sasa hivi anaona aibu.

Halafu endelea kumsikiliza anazungumzia matatizo halisi yanayotusumbua hasa katika nchi za afrika.

1.Nutrition/misosi
2.Oxidative stress;Hii nitaizungumzia kwa undani baadaye
3.Clean water

Halafu anasema "their immune system doesn't work well already even if they are not infected with HIV",maana yake ni kwamba, watu wanakuwa na ukimwi hata kabla ya kuingiwa na VVU.

Anaendelea kushauri njia za kupunguza maambukizi ya HIV huyu feki ambazo ni;
1.Nutrition
2.Proper antioxidants
3.Hygiene measures
4.Fighting the specific infection(tusisingizie HIV,tutibu tatizo halisi)


Anaulizwa:"If you have good immune system then your body can get rid of HIV?"
Anajibu:Yes.
Ooooh very interesting!!! au mimi naota?Hebu sikiliza wewe mwenyewe.

Anaendelea kusema tena kwamba;"This is important knowledge which is completely neglected,people always think of drugs and vaccines"

Na mwisho yeye mwenyewe anakubali kwamba alichokisema ni tofauti na kile alichosema kipindi cha nyuma,yaani vinapingana.Huyu jamaa ameingizwa kwenye kundi la watu wenye roho mbaya bila kupenda,sasa roho yake inamsuta na anaamua kusema ukweli.Huyu ndiye mgunduzi wa HIV feki,Robert Gallo alimuibia tu data na yeye ndiye katangazwa kwanza.Walichokigundua hata wenyewe wanajua kwamba hakisababishi Ukimwi,ni njaa tu ndio inawasumbua.

Haya sikiliza sasa;

https://www.youtube.com/watch?v=XSSpoFq7uhM "

Pamoja na hayo yote,hakuna virus anayesababisha ukimwi.Watu wanashindwa tu kuunganisha dots za maelezo niliyotoa kwa kuwa labda ni mengi sana na hayako kimpangilio kutokana na mjadala ulivyo.Hata wenyewe waliogundua huyo HIV feki wanajua kwamba HIV hasababishi ukimwi na ndio maana kuna wakati wenyewe kwa wenyewe wanapingana.Nitakuleteeni video nyingine inayoonesha kwamba wanapingana halafu ninyi wenyewe muamue.
Na ndio maana huyu mgunduzi alikubali kusema tu hayo lolote na liwe maana ndio ukweli wenyewe.Wengine wanasema HIV peke yake hawezi kusababisha ukimwi,anahitaji co factors,ilihali wengine wanasema HIV peke yake anaweza kusababisha ukimwi bila co factors,nitawaleteeni hiyo video.Unaona sasa penye ukweli uongo hujitenga?

Watu wanaogopa ukimwi kwa sababu ya kasumba tu,neno hili limewaingia vichwani mwao kwa kurudiwa mara kwa mara huku wakioneshwa video za kutisha za wagonjwa bila kujali uhalisia kwamba mgonjwa alikuwa anaumwa nini hasa.Watu wanaogopa kitu ambacho kilikuwapo tangu kabla ya kutangazwa kwa HIV,eti kwa sababu wameambiwa HIV anasababisha ukimwi ndio wanaugopa sasa,kumbe ulikuwapo tangu zamani na hautishi na unatibika kirahisi na wakati mwingine unaondoka wenyewe bila ya wewe kujijua,ukibalisha lifestyle tu uko poa.

Sasa Je,

1.Kuna daktari hapa kwetu anaweza kukwambia kama unaweza kuwa na HIV(feki) lakini kinga ya mwili wako inaweza kumdhibiti na kumtoa kama alivyosema huyu mgunduzi?Vinginevyo wapinge kwamba huyu sio mgunduzi.

2.Huyu mgunduzi anakwambia "people always think of drugs and vaccines" anaposema drugs anamaanisha ARVs kwa maana ndizo zinazotumika kwenye AIDS.Na maana yake nyingine ni kwamba,huwezi kuwa na HIV kama kinga yako iko safi.

Sasa kama mnatakata kujithibitishia wenyewe,muulize daktari yoyote bongo kama anaweza kukubali hayo aliyosema mungu wake.Hapo ndipo utakapoona kwamba kasumba ni kitu kibaya sana.

Wenzetu wazungu sio wepesi kupinga kama sisi ngozi nyeusi.Ushauri huu wengi wanaujua toka kitambo,na ndio maana they don't take a shit kwenye ugonjwa huu feki,wanakula raha tu.

Sisi weusi ndio tumefanywa malimbukeni na shimo la kutupia madawa yao yenye sumu.Halafu eti wanatuambia tuyahifadhi vizuri yasije kuharibika.UNAHIFADHI SUMU YA MWILI WAKO?WE VIPI?

Ama kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.Eti unatakiwa uhifadhi vizuri sumu ya mwili wako.Sasa kama kuna daktari yupo,aje kupinga maneno ya huyu mungu wao.

Kuna mwana JF mmoja(nafikiri atakuwa anaitwa Chakochangu),ana quote yake inasema "Maajabu ya kenge,anakimbia mvua anaingia mtoni".
Ndio sisi tulivyo,tunakimbia HIV tunakimbilia ARVs ambazo ndizo mziki mnene wenyewe.Hivi vitu watu hawawezi kuvielewa mara moja mpaka kwanza wajue historia ya medicine na viwanda vya madawa ikoje.Hapo ndio watajua kwamba watu hawana masikhara kwenye biashara.

Yani nacheka apa, kama nawaona wale mahodari wa kutumia ARV wanavyohaha, ahahah hahah, thanks for the vital information
 
Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu mno,na itafika kipindi CD4's zikiwa chini sana mwili hushambuliwa na magonjwa mengi na hatimaye mwili hushindwa kustahimili. Akasema ARV's hupunguza makali ya virusi na kuwezesha CD4's kuwa katika kiwango stahiki(na hata mtu akishambuliwa na magonjwa atatibiwa tu magonjwa hayo kama mtu mwingine yeyote). Sasa kulingana na maelezo ya daktari ni kuwa HIV wana uwezo wa kushambulia hizo CD4's mpaka zikawa chini mno,ndipo mtu huugua magonjwa mfululizo hata akijitibu(sababu ya kinga dhaifu na hatimaye mwili hudhoofika).lakini mjadala naona uko katika side effects za ARV's lakini wote wanakubaliana kuwa HIV/AIDS ni real
 
Tunakosa changamoto kwa wataalamu, wanashindwa kutufafanulia vizur basi ni shidaa
warumi ebu niambie wew kama wew umeelewaje maana mimi thielewi kuna nyingine zimeandikwa kikristo yaan ni tabu..
 
Last edited by a moderator:
Deception alisema ya kuwa mwili una uwezo wa kufight off HIV anamaanisha kuwa 1/kinga ya mwili inavimaliza?(kuviondoa kabisa mwilini) 2/au vinakuwepo na havina uwezo wa kuleta athari katika mwili?(kinga ya mwili inavidhibiti).
 
Katika kazi yangu nakutana na wagonjwa wa aina hio kila siku na hakuna hata mmoja anayelalamikia sideeffects zozote.

Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side effects na ni kwel hzo effects zinawapata wanaotumia.

Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake kilifel ,mapafu ,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa
 
Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu mno,na itafika kipindi CD4's zikiwa chini sana mwili hushambuliwa na magonjwa mengi na hatimaye mwili hushindwa kustahimili. Akasema ARV's hupunguza makali ya virusi na kuwezesha CD4's kuwa katika kiwango stahiki(na hata mtu akishambuliwa na magonjwa atatibiwa tu magonjwa hayo kama mtu mwingine yeyote). Sasa kulingana na maelezo ya daktari ni kuwa HIV wana uwezo wa kushambulia hizo CD4's mpaka zikawa chini mno,ndipo mtu huugua magonjwa mfululizo hata akijitibu(sababu ya kinga dhaifu na hatimaye mwili hudhoofika).lakini mjadala naona uko katika side effects za ARV's lakini wote wanakubaliana kuwa HIV/AIDS ni real

Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana
 
Back
Top Bottom