Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side effects na ni kwel hzo effects zinawapata wanaotumia.

Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake kilifel ,mapafu ,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa

HUyo mgonjwa bado yupo? Mmh! Yani hawa madokta wana majibu mepesi ya mzaha kwenye suala zito kama hili au sio madokta jamani, labda wapo field tena ya nursing
 
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana

Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?
 
Kwa kweli mjadala mzuri sana

1. Kwa kuna UKIMWI na HIV/UKIWMI

2. Kwamba UKIMWI Ulikuwepo tangu enzi na enzi, na baada ya mwili kupungukiwa na kinga ulishambuliwa na magonjwa mbalimbali yakiwemo Mkanda wa jeshi, ukurutu nk, lakini magonjwa hayo yalitibiwa na yalipona bila matumizi ya ARV,

3. Kwamba kuanzia miaka ya 80 kulitokea aina mpya ya upungufu wa Kinga UKIMWI unaosababishwa na Virusi vinavyoitwa HIV, na kwamba magonjwa kama Makanda wa jeshi na Ukurutu sasa hauoponi kwa tiba ile ya zamani, na badala yake ni ARV
 
Binamu kila kitu kilifel tulishamzika miaka mitatu iliyopita. Aaaahh R.I.P ndugu yangu

Apumzike kwa Amani, maskini inahuzunisha sana, apo watu watajua ukimwi ndio umemuua maskini, mtu unatumia ARV miaka 12? Dah!!! Ila ipo siku jamii itaelewa ukweli, ipo siku
 
Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?

Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.
 
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.

AHahahah nimempenda bure huyo, mwambie warumi anakupa BIG UP, mbwa kabisa hao mxiuu,eti rudi badala mda fulani nyoo, kawakomesha wauaji wakubwa, wangemuua bure
 
Kwa kweli mjadala mzuri sana

1. Kwa kuna UKIMWI na HIV/UKIWMI

2. Kwamba UKIMWI Ulikuwepo tangu enzi na enzi, na baada ya mwili kupungukiwa na kinga ulishambuliwa na magonjwa mbalimbali yakiwemo Mkanda wa jeshi, ukurutu nk, lakini magonjwa hayo yalitibiwa na yalipona bila matumizi ya ARV,

3. Kwamba kuanzia miaka ya 80 kulitokea aina mpya ya upungufu wa Kinga UKIMWI unaosababishwa na Virusi vinavyoitwa HIV, na kwamba magonjwa kama Makanda wa jeshi na Ukurutu sasa hauoponi kwa tiba ile ya zamani, na badala yake ni ARV

Haswaaaa ndio hivyo
Me nadhan ni bora mgonjwa akiona anamalaria au ugonjwa wowote atibu kwanza huo ugonjwa sio kukimbilia kupima VVU kwani akiambiwa positive lazima upate stress kidogo zitakazoendelea kushusha kinga ya mwili na mwisho wa siku ataangukia kwenye ARV za kunywa maisha yake yoteee.sasa kila siku MTU unakunywa dawa hilo INI lazima litachoka kuchuja sumu.
 
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.

Halafu unajua waathirika wengi wa UKIMWI wanakufa baada ya kupima na kuzijua afya zao, ukishapima tu ndio matatizo yanaibuka, mtu ulikuwa mzima ukapima ukaambiwa una VVU, unapewa madawa, ndio inakuwa ticket yako ya mauti.

Wengine apa usikute tuna ma ukimwi toka tupo wadogo, ila ukishapima tu mama ,ujue ndo umekata ticket ya kifo, pressure itakupanda, stress zitajaa, mawazo plus madawa basi unajifia zako taratibu kwa raha zako ,tena usiombe akina warumi wajue umeathirika yani mbona utafurai shoo, watu wanahesabu siku tu.
 
Last edited by a moderator:
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana

Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona wagonjwa wengi wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa maigizo tu?),baba anaondoka kwa ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na kupatiwa matibabu yake na chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata kabla ya hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba ulikuwepo na ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV" hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke yake".
 
Naomba kujua ARVs zinatibu magonjwa au zinamkinga mtu dhidi ya magonjwa?

Nijuavyo mm na nilivyosoma Katika vitabu vinasema ARV zina Block Entrance au Products mpya za HIV katika Mwili wako. Na Zipo tofauti tofauti kulingana na Route of Entrance wanayotaka kublock.. Kama wanataka kublock Mdudu asiingie kwenye cell kabisa kwahiyo wanatoa Dawa itakayoweza kublock mdudu asiingie kwenye Cell membrane aishie nje pekee.

Wakitaka wablock Protein synthesis wanatoa dawa za kublock hivyo
 
Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu mno,......

Si kweli.Ukiwa na nia ya kujua ukweli utajua tu.Kuna mifano mingi ipo ya watu wenye HIV na hawatumii ARVs na bado CD4 zao ziko juu,tena ni wengi hata humu wapo watu wanatoa ushuhuda.

.....lakini wote wanakubaliana kuwa HIV/AIDS ni real

Mimi sikubaliani kwamba HIV/AIDS is real.AIDS ndio real na hata hiyo AIDS haitishi,ukibadilisha lifestyle tu uko safi na wakati mwingine unakuwa na AIDS wewe mwenyewe hujui mpaka uumwe mfano TB ndio utagundua,lakini wakati mwingine AIDS inatoweka bila wewe kujua,ni utaratibu wa maisha tu ambao nilishazungumzia haya.
Lakini napinga mpaka mwisho wa maisha yangu kwamba hakuna AIDS inayosababishwa na HIV.HIV hana uwezo wa kushusha kinga ya mwili,nina scientific evidence na mifano hai kuthibitisha hili.Wewe umeanzia mwishoni huu uzi.

Na ndio maana nasema ili mtu aelewe ukweli kuhusu jambo hili inabidi apitie hatua zote nilizotaja mwanzoni.Halafu inabidi ajue kwamba hii ni biashara ya watu fulani,HIV/AIDS haukutokea kwa bahati mbaya,ulipangwa.Ninaposema ulipangwa sina maana HIV ametengenezwa,la hasha,bali mfumo mzima wa kutunga ugonjwa huu HEWA ndio umepangwa.

Watu hawajui;HIV ni retrovirus,retrovirus huyu amepachikwa jina hili na watu wawili tu ambao ni Robert Gallo na Luc Montaigner.Hawa ndio wamepewa hati miliki ya ugunduzi.Wamekusanya data zao wakachanganya zikawa zinatofautiana lakini pamoja na hayo wakaamua watoe jina moja la mdudu huyu HEWA ambalo ni HIV.Sasa hakuna retrovirus yoyote duniani mwenye uwezo wa kushusha kinga.

Unahitaji kujua mambo mengi sana kwa kuwa kila pembe ya ugonjwa huu feki kuna very tricky deception.Kama huelewi pembe zote hizo basi kila wakati utaendelea kujishawishi kwamba HIV/AIDS is real kila kukicha.Hwa jamaa wana akili bwana.
 
Deception alisema ya kuwa mwili una uwezo wa kufight off HIV anamaanisha kuwa 1/kinga ya mwili inavimaliza?(kuviondoa kabisa mwilini) 2/au vinakuwepo na havina uwezo wa kuleta athari katika mwili?(kinga ya mwili inavidhibiti).

Hujakosea kusema hivyo hapo kwenye nyekundu,lakini mimi nitaongezea kitu hapo;
Sio mimi ninayesema,ila wataalam wenye nishani Profs and Dr ndio walisema hivyo,na si walisema kwa hisia zao bali baada ya kupata uthibitisho wa kisayansi.Halafu pia inabidi kwenye fikra uondoe neno HIV kama kiumbe halisi halafu weka HIV kama kiumbe HEWA.Retrovirus kweli wapo lakini hawasababishi ukimwi.Sasa HIV ni jina alilopachikwa retrovirus ili aonekane kwamba anasababisha ukimwi,umeelewa hapo?
Sasa kwa kuwa retrovirus wote hawana uwezo wa kusababisha ukimwi,maana yake ni kwamba jina HIV ni batili.Lakini wenyewe wanaosema kwamba HIV ni halisi pia wanakubali kwamba HIV huyohuyo anaweza kuondolewa na kinga ya mwili.

Sasa nikuulize swali:
Kati ya daktari wa kawaida mfano daktari wa hapa Tanzania, na Mgunduzi wa huyo HIV,wakizungumza jambo moja linalohusu HIV/AIDS halafu wakatofautiana,je,utamwini nani?
 
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana

Exactly,wewe umeelewa.Halafu kuhusu madhara ya dawa,wala huitaji kukubaliana na mimi,hata wenyewe wameandika hayo madhara,hivyo haihitaji mtu kukushawishi kwamba zina madhara.Halafu chukulia unatumia maisha yako yote.

Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?

Huhitaji kujiuliza,wameandika wenyewe,halafu nikwambie kitu.Haya madhara hayapo kwa bahati mbaya,wamedhamiria yawe hivyo ili mwisho wa siku wanaotumia wakifa,watu watajua HIV ndio amehusika na wataendelea kuwa na imani kwamba kweli HIV/AIDS ni ugonjwa usio na tiba.Fikiria mara mbilimbili hapo utaona kitu.

Vinginevyo wataendelea kutupa imani kila mwaka eti "wanasayansi wanakaribia kupata dawa ya ukimwi",yaani upumbavu mtupu,dawa gani inakaribia kupatikana miaka zaidi ya 30 sasa?wanatuchezea akili sana hawa.Wakati dawa ya ukimwi ni uelewa wako kuujua ukweli ulivyo.Kataa kupima,kataa kutumia ARVs,Kula vizuri,fanya mazoezi,kunywa maji safi,weka mazingira safi,acha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za msingi.Yaani kamwe hutaugua ugua ovyo.Na ukiugua,ukigusa dawa kidogo tu umepona,yaani kama umeme.

Hawa jamaa wanafanya biashara kupitia serikali za nchi husika.Na ndio maana Thabo Mbeki aling'olewa madarakani kwa kushindwa kutetea biashara ya ARVs,Museveni anajua ukweli huu ninaowapa na ndio maana hataki kabisa kusikia mambo haya lakini amekaa kimya kwa kuwa anajua yatakayomkuta akithubutu kugusa maslahi haya,nadhani mnakumbuka alivyogusa maslahi ya Obama kwenye ushoga kilimtokea nini,alisalimu amri mwenyewe.Lakini yeye mwanzo alikataa kabisa watu kupima HIV.

Sasa watu wanaona kwamba Deception ndio anapotosha watu,vipi kuhusu hawa ma rais nao?Hawa nafikiri ndio wenye influence zaidi na wakipotosha wanapotosha kwelikweli.Si mmesikia wenyewe kuhusu South Africa?Sasa hivi wananchi wa SA wanakwambia "I don't fear HIV/AIDS,I fear malaria",hili ndilo zao la Thabo Mbeki.Hivyo bila kuchelewa World's Tycoons wakamuondoa fasta na kuliweka madarakani lile chizi Zuma likaendeleze biashara.Likaanza na vituko eti limetembea na mwanamke mwenye HIV lakini halikupata eti kwa sababu limewahi kunawa haraka.Linasema hivyo ili watu waamini kwamba kweli HIV yupo na ana madhara.Hii dunia hii,kama huijui vizuri utakuwa kama ng'ombe,utaishi bila consciousness.
 
Exactly,wewe umeelewa.Halafu kuhusu madhara ya dawa,wala huitaji kukubaliana na mimi,hata wenyewe wameandika hayo madhara,hivyo haihitaji mtu kukushawishi kwamba zina madhara.Halafu chukulia unatumia maisha yako yote.



Huhitaji kujiuliza,wameandika wenyewe,halafu nikwambie kitu.Haya madhara hayapo kwa bahati mbaya,wamedhamiria yawe hivyo ili mwisho wa siku wanaotumia wakifa,watu watajua HIV ndio amehusika na wataendelea kuwa na imani kwamba kweli HIV/AIDS ni ugonjwa usio na tiba.Fikiria mara mbilimbili hapo utaona kitu.

Vinginevyo wataendelea kutupa imani kila mwaka eti "wanasayansi wanakaribia kupata dawa ya ukimwi",yaani upumbavu mtupu,dawa gani inakaribia kupatikana miaka zaidi ya 30 sasa?wanatuchezea akili sana hawa.Wakati dawa ya ukimwi ni uelewa wako kuujua ukweli ulivyo.Kataa kupima,kataa kutumia ARVs,Kula vizuri,fanya mazoezi,kunywa maji safi,weka mazingira safi,acha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za msingi.Yaani kamwe hutaugua ugua ovyo.Na ukiugua,ukigusa dawa kidogo tu umepona,yaani kama umeme.

Hawa jamaa wanafanya biashara kupitia serikali za nchi husika.Na ndio maana Thabo Mbeki aling'olewa madarakani kwa kushindwa kutetea biashara ya ARVs,Museveni anajua ukweli huu ninaowapa na ndio maana hataki kabisa kusikia mambo haya lakini amekaa kimya kwa kuwa anajua yatakayomkuta akithubutu kugusa maslahi haya,nadhani mnakumbuka alivyogusa maslahi ya Obama kwenye ushoga kilimtokea nini,alisalimu amri mwenyewe.Lakini yeye mwanzo alikataa kabisa watu kupima HIV.

Sasa watu wanaona kwamba Deception ndio anapotosha watu,vipi kuhusu hawa ma rais nao?Hawa nafikiri ndio wenye influence zaidi na wakipotosha wanapotosha kwelikweli.Si mmesikia wenyewe kuhusu South Africa?Sasa hivi wananchi wa SA wanakwambia "I don't fear HIV/AIDS,I fear malaria",hili ndilo zao la Thabo Mbeki.Hivyo bila kuchelewa World's Tycoons wakamuondoa fasta na kuliweka madarakani lile chizi Zuma likaendeleze biashara.Likaanza na vituko eti limetembea na mwanamke mwenye HIV lakini halikupata eti kwa sababu limewahi kunawa haraka.Linasema hivyo ili watu waamini kwamba kweli HIV yupo na ana madhara.Hii dunia hii,kama huijui vizuri utakuwa kama ng'ombe,utaishi bila consciousness.

Thank you mkuu
 
Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side effects na ni kwel hzo effects zinawapata wanaotumia.

Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake kilifel ,mapafu ,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa

-Je, HIV anasababisha mapafu kufeli?
-Je, HIV anasababisha ini kufeli?
-Je,HIV anasababisha figo kufeli?

Ofcourse HIV(feki) hawezi kusababisha matatizo haya.Hizi ni side effect za ARVs,simple and clear.Hivyo watu watapinga sana lakini mwisho wa siku ukweli uko palepale haubadiliki, kwamba ARVs=AIDS kwa wale wanaozitumia.
 
Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona wagonjwa wengi wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa maigizo tu?),baba anaondoka kwa ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na kupatiwa matibabu yake na chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata kabla ya hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba ulikuwepo na ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV" hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke yake".

Kuna mambo mengi sana hapa lazima utakuwa umeya bypass na hasa pale uliposema ulipokuwa mdogo.Hapa lazima utakuwa umemiss taarifa muhimu sana ambazo zinaweza kuelezea hicho ulichokiona bila mizengwe kabisa.Ningekuwapo kipindi hicho na kuwaona hao watu lazima ningekupatia maelezo sahihi kabisa kuhusu ulichokiona.
Fuatilia taratibu reply hizi utaelewa taratibu,huwezi kuelewa au kuukubali ukweli huu kwa siku moja.Ni sayansi nzito sana imetumika kudanganya kwenye ungonjwa huu feki wa HIV/AIDS.Hivyo si rahisi ukaelwa kwa muda mfupi.Yote yale ambayo wewe unadhani yanakuchanganya,yana majibu yake tena ni sahihi kabisa tofauti na sasa unavyofikiri kwamba HIV ndiye anaye/aliyehusika.
 
-Je, HIV anasababisha mapafu kufeli?
-Je, HIV anasababisha ini kufeli?
-Je,HIV anasababisha figo kufeli?

Ofcourse HIV(feki) hawezi kusababisha matatizo haya.Hizi ni side effect za ARVs,simple and clear.Hivyo watu watapinga sana lakini mwisho wa siku ukweli uko palepale haubadiliki, kwamba ARVs=AIDS kwa wale wanaozitumia.

Nafurahi sana ninavyozidi kupata mifano dhahiri.
 
Back
Top Bottom