Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side effects na ni kwel hzo effects zinawapata wanaotumia.
Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake kilifel ,mapafu ,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa
HUyo mgonjwa bado yupo? Mmh! Yani hawa madokta wana majibu mepesi ya mzaha kwenye suala zito kama hili au sio madokta jamani, labda wapo field tena ya nursing
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana
Binamu kila kitu kilifel tulishamzika miaka mitatu iliyopita. Aaaahh R.I.P ndugu yangu
Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.
Kwa kweli mjadala mzuri sana
1. Kwa kuna UKIMWI na HIV/UKIWMI
2. Kwamba UKIMWI Ulikuwepo tangu enzi na enzi, na baada ya mwili kupungukiwa na kinga ulishambuliwa na magonjwa mbalimbali yakiwemo Mkanda wa jeshi, ukurutu nk, lakini magonjwa hayo yalitibiwa na yalipona bila matumizi ya ARV,
3. Kwamba kuanzia miaka ya 80 kulitokea aina mpya ya upungufu wa Kinga UKIMWI unaosababishwa na Virusi vinavyoitwa HIV, na kwamba magonjwa kama Makanda wa jeshi na Ukurutu sasa hauoponi kwa tiba ile ya zamani, na badala yake ni ARV
Yan binamu acha tu
Nna case ya MTU mwingine yeye alipima HIV akakutwa positive akashauriwa apime CD4 akakuta zipo juu hospital wakamwambia awe anarud kuchek kama zimeshuka ili aanzishiwe ARV ni toka 2009 hajarud hospital tena yan yeye anakula vizur,mazoez hana stress na yuko poa kabisa na mpango wa kupima tena hana.
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana
Naomba kujua ARVs zinatibu magonjwa au zinamkinga mtu dhidi ya magonjwa?
Daktari huko juu alisema ya kuwa HIV wanashusha CD4's na hivyo kinga ya mwili kuwa dhaifu mno,......
.....lakini wote wanakubaliana kuwa HIV/AIDS ni real
Deception alisema ya kuwa mwili una uwezo wa kufight off HIV anamaanisha kuwa 1/kinga ya mwili inavimaliza?(kuviondoa kabisa mwilini) 2/au vinakuwepo na havina uwezo wa kuleta athari katika mwili?(kinga ya mwili inavidhibiti).
Nimemfuatilia sana Deception toka alivyoanza kuelezea kuhusu UKIMWI, VVU na ARV
Kwa uelewa wangu ni kuwa UKIMWI ULikuwepo miaka mingi iliyopita ila VVU wamekuja kuitangaza 1980's na kudai ndio inasababisha UKIMWI.
Baada ya Dr.galo kuitangaza VVU kuwa ndio chanzo cha UKIMWI wakaja jopo la madaktar akiwepo dokta margareth kutangaza ARV kuwa zinasaidia kufubaza kirusi ie.VVU.na hapo biashara ya ARV ikakua na ARV ndizo zinazosababisha vifo kwa watu wengi kutokana na madhara yake.
Mimi nakubaliana na Deception ARV zinamadhara sana
Kwa akili ya kawaida tu, mtu umeze mi ARV maisha yako yote then utegemee zisikuletee madhara? KWeli jamani?
Exactly,wewe umeelewa.Halafu kuhusu madhara ya dawa,wala huitaji kukubaliana na mimi,hata wenyewe wameandika hayo madhara,hivyo haihitaji mtu kukushawishi kwamba zina madhara.Halafu chukulia unatumia maisha yako yote.
Huhitaji kujiuliza,wameandika wenyewe,halafu nikwambie kitu.Haya madhara hayapo kwa bahati mbaya,wamedhamiria yawe hivyo ili mwisho wa siku wanaotumia wakifa,watu watajua HIV ndio amehusika na wataendelea kuwa na imani kwamba kweli HIV/AIDS ni ugonjwa usio na tiba.Fikiria mara mbilimbili hapo utaona kitu.
Vinginevyo wataendelea kutupa imani kila mwaka eti "wanasayansi wanakaribia kupata dawa ya ukimwi",yaani upumbavu mtupu,dawa gani inakaribia kupatikana miaka zaidi ya 30 sasa?wanatuchezea akili sana hawa.Wakati dawa ya ukimwi ni uelewa wako kuujua ukweli ulivyo.Kataa kupima,kataa kutumia ARVs,Kula vizuri,fanya mazoezi,kunywa maji safi,weka mazingira safi,acha kutumia madawa ya hospitali mara kwa mara pasipo sababu za msingi.Yaani kamwe hutaugua ugua ovyo.Na ukiugua,ukigusa dawa kidogo tu umepona,yaani kama umeme.
Hawa jamaa wanafanya biashara kupitia serikali za nchi husika.Na ndio maana Thabo Mbeki aling'olewa madarakani kwa kushindwa kutetea biashara ya ARVs,Museveni anajua ukweli huu ninaowapa na ndio maana hataki kabisa kusikia mambo haya lakini amekaa kimya kwa kuwa anajua yatakayomkuta akithubutu kugusa maslahi haya,nadhani mnakumbuka alivyogusa maslahi ya Obama kwenye ushoga kilimtokea nini,alisalimu amri mwenyewe.Lakini yeye mwanzo alikataa kabisa watu kupima HIV.
Sasa watu wanaona kwamba Deception ndio anapotosha watu,vipi kuhusu hawa ma rais nao?Hawa nafikiri ndio wenye influence zaidi na wakipotosha wanapotosha kwelikweli.Si mmesikia wenyewe kuhusu South Africa?Sasa hivi wananchi wa SA wanakwambia "I don't fear HIV/AIDS,I fear malaria",hili ndilo zao la Thabo Mbeki.Hivyo bila kuchelewa World's Tycoons wakamuondoa fasta na kuliweka madarakani lile chizi Zuma likaendeleze biashara.Likaanza na vituko eti limetembea na mwanamke mwenye HIV lakini halikupata eti kwa sababu limewahi kunawa haraka.Linasema hivyo ili watu waamini kwamba kweli HIV yupo na ana madhara.Hii dunia hii,kama huijui vizuri utakuwa kama ng'ombe,utaishi bila consciousness.
Doctor acha masikhara hujawah kukutana na mgonjwa akakueleza side effects za ARVs?
Mbona kwenye hizo dawa karatasi ya instruction ndan imeeleza kuwa zinaweza kuleta side effects na ni kwel hzo effects zinawapata wanaotumia.
Nna ndugu yangu alitumia hizo dawa almost 12 years mwishon kila kitu kwenye mwili wake kilifel ,mapafu ,ini,figo vyote vilifeli .
Chunguza kwa makini hao wagonjwa wako utajua wanapata effects gani kutokana na hizo dawa
Inawezekana zina madhara makubwa sana kweli,lakini nilipokuwa mdogo nakumbuka kuwaona wagonjwa wengi wa UKIMWI wakiwa katika hali mbaya na kufariki(ina maana haya yalikuwa maigizo tu?),baba anaondoka kwa ugonjwa,mama anafatia na dalili zile zile kisha kichanga nacho kinafuatia,na baada ya miaka kadhaa wale waliokuwa vimada wa baba wanafuatia kwa dalili zile zile.Na hayo magonjwa mengine walikuwa wanapimwa na kupatiwa matibabu yake na chakula bora pia na bado walikuwa wanazidi kuugua tu.Watu walikuwa wanafariki hata kabla ya hizo ARV's,na je kabla ya UKIMWI kutangazwa kama HIV/AIDS kuna ushahidi kwamba ulikuwepo na ulikuwa ukijulikana(hata kwa jina lingine) na watu walitambuaje kwamba ndio wenyewe(dalili kwa mgonjwa) na walitambuaje(vipimo vya kugundua kuwa mtu alikuwa nao),hapa nazungumzia kabla ya concept ya "HIV" hajasingiziwa kusababisha AIDS "peke yake".
-Je, HIV anasababisha mapafu kufeli?
-Je, HIV anasababisha ini kufeli?
-Je,HIV anasababisha figo kufeli?
Ofcourse HIV(feki) hawezi kusababisha matatizo haya.Hizi ni side effect za ARVs,simple and clear.Hivyo watu watapinga sana lakini mwisho wa siku ukweli uko palepale haubadiliki, kwamba ARVs=AIDS kwa wale wanaozitumia.