Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kwa kweli huu uzi toka nikifuatilia, deception Ana point Za msingi kabisa, japo nimeona case Za waathirika, Kuna possibility ya kuwa arv ni shida. Maana mimi pia nina mfano halisi, Kuna mke wa kaka yangu alifariki kwa ugonjwa huu miaka kadhaa iliyopita kama 6 hivi, tukajua na bro ndo basi tena, but hamaki jamaa alienda Pima Ili aanze arv but majibu yalikuwa v-, so Kuna siri kubwa nyuma ya hili swala. So tufanye tafiti binafsi tujue ukweli. Na sio kuropoka bila uthibitisho, maana haswa watanzania ni wazuri katika hili.
 
Hata mi natamani kujua. Sioni sababu ya kuogopa kuja hadharani hadi kukimbilia pm isitoshe tunatumia fake id's shuhuda zao zingesaidia watu wengi sana kupata uelewa wa hili gonjwa. Ili kuokoa watu wengi mana uu Uzi wengi wanapita kimya na kukimbilia pm hamna siri duniani bana.

waache wamalize shida zao pm mkuu, ndiyo maana ikawepo pm kwa ajili ya privacy.
 
KUna watu humu ni mabingwa wa kutumia ARV wakisikia hvyo wanajiarishia, ahahaha ahaha khaa, ila sio mbya kama watakuwa wamepitia humu au kuambiwa, ni vizuri kufikiria mara mbil kabla ya kufanya maamuzi ya ARV, maisha matamu nyie, ukifikiria kufa yani utamu wote wa naniliu huupati tena sio mchezo lazima uchanganyikiwe

Huu Uzi umenifungua macho aisee nilikua nawazaga bila kupata majibu yani kila siku umeze mavidonge mengi sasa sijui ni vingapi humeza kwa siku bila kuwa na effects kubwa mwilini. Mara mastory mtaani wengi wanaotumia hizo dawa hufa ghafla zikiwakataa ila nimepata jibu tosha aisee.
 
waache wamalize shida zao pm mkuu, ndiyo maana ikawepo pm kwa ajili ya privacy.

Lengo la Uzi ni kujifunza waje na I'd ambazo hazijazoeleka then waitupe kapuni. Naheshimu sana privacy ya mtu lengo ni kujifunza zaidi basi.
 
Lengo la Uzi ni kujifunza waje na I'd ambazo hazijazoeleka then waitupe kapuni. Naheshimu sana privacy ya mtu lengo ni kujifunza zaidi basi.

hahaaa, mnataka kuwapa kazi ya ziada moderators! nadhani anayepokea hizo pm anapowajibu kule maswala yao binafsi kama anaona yana manufaa ya jumla kwa jamii anayajumuisha kwenye posts zake huku hadharani, au mpaka awataje na majina ndiyo inoge?
 
hahaaa, mnataka kuwapa kazi ya ziada moderators! nadhani anayepokea hizo pm anapowajibu kule maswala yao binafsi kama anaona yana manufaa ya jumla kwa jamii anayajumuisha kwenye posts zake huku hadharani, au mpaka awataje na majina ndiyo inoge?

Nadhani ukuelewa maana yangu ilikua nzuri tu wala sio kutaka kujua majina au id's zao lengo ilikua kuelewa kwa upana majina hayana umuhimu kuyajua ili iweje labda hyo haikua mantiki yangu kabisa.
 
UTAFITI WAKO KUHUSU UKIMWI mkuu, asante.

Sijaufanyia documentation bado,haya ninayoeleza hapa pamoja na link na scientific papers nilizotumia ndio content ya utafiti wangu.Hivyo haya yanatosha pia kwa wewe kusoma na kuelewa wakati unasubiri documentation.Karibu mkuu.
 
Lengo la Uzi ni kujifunza waje na I'd ambazo hazijazoeleka then waitupe kapuni. Naheshimu sana privacy ya mtu lengo ni kujifunza zaidi basi.

Nahitaji kuweka summary ya mambo yote lakini kila kukicha wanaingia wachangiaji wapya na kunirudisha nyuma.Hii summary itasaidia kupunguza maswali mengi na wale ndugu zangu wa kutafuniwa watakuwa wamepata mkombozi.
 
Sijaufanyia documentation bado,haya ninayoeleza hapa pamoja na link na scientific papers nilizotumia ndio content ya utafiti wangu.Hivyo haya yanatosha pia kwa wewe kusoma na kuelewa wakati unasubiri documentation.Karibu mkuu.

Asante mkuu, lakini unampango wa kucompile hiyo research yako?
 
Nahitaji kuweka summary ya mambo yote lakini kila kukicha wanaingia wachangiaji wapya na kunirudisha nyuma.Hii summary itasaidia kupunguza maswali mengi na wale ndugu zangu wa kutafuniwa watakuwa wamepata mkombozi.

Ukifanya hivo itakua vizuri na ita save time pia kuliko kurudia rudia uliyo kwisha eleza mwanzo ili watu waelewe vizuri.
 
Hata mi natamani kujua. Sioni sababu ya kuogopa kuja hadharani hadi kukimbilia pm isitoshe tunatumia fake id's shuhuda zao zingesaidia watu wengi sana kupata uelewa wa hili gonjwa. Ili kuokoa watu wengi mana uu Uzi wengi wanapita kimya na kukimbilia pm hamna siri duniani bana.

Hilo ndio tatizo, hawajui kuwa kuna members ambao hawajajiunga na wanatamani kujua zaidi, wenyewe wanakimbilia, kwanza sasa Deception hakuna ku reply message za watu uko PM bure watoe pesa kwanza maana unatumia bundle na muda, uku tu ndio free huduma ya PM naomba ilipiwe, nawasilisha
 
Last edited by a moderator:
Huu Uzi umenifungua macho aisee nilikua nawazaga bila kupata majibu yani kila siku umeze mavidonge mengi sasa sijui ni vingapi humeza kwa siku bila kuwa na effects kubwa mwilini. Mara mastory mtaani wengi wanaotumia hizo dawa hufa ghafla zikiwakataa ila nimepata jibu tosha aisee.

Umeona eeh? Mimi toka zamani nilikuwa najiulizaga ivi hao waaokunywa ARV kila siku wanajipenda? Dozi ya maralia tu ya week inakupeleka puta kama mwendawazimu yani na apa nilivyomsikiliza deception ndo nikapigia mstari kabisa, jibu ninalo sasa khaa hapana kwa kweli
 
hahaaa, mnataka kuwapa kazi ya ziada moderators! nadhani anayepokea hizo pm anapowajibu kule maswala yao binafsi kama anaona yana manufaa ya jumla kwa jamii anayajumuisha kwenye posts zake huku hadharani, au mpaka awataje na majina ndiyo inoge?

UKIMWI una privacy? Waje watuelezee humu walivyopima na kupewa dozi na experience yao kuhusu ARV ili wengine wajifunze kupitia wao
 
Huwezi kujua jitihada za kuimaliza au ugunduzi wa dawa kama unavysoema wakati umelala kijana, unataka nani akufuate kwako akwambie dawa ya ukimwi imepatikana? Do you think properly? changamsha akili yako, Ujinga wako ndio utakaokuponza, unaweza kujishaua apa unaogopa ukimwi kumbe unao tayari

ukisoma vizuri humu utajua jinsi ya kujikinga na magonjwa mbali mbali kwa kuzingatia lishe bora hata kama huja athirika, kama unataka kujifunza ni bora ukaja na maswali yenye mashiko sio unaongea kama umekunywa viroba.

Khaa am above your league kido! And am smelling something on u!why always you....whining..yapping for this bullsh*ts anyway?

Well, its among of its side effects! Getting angry for nothing eh?

Unaposema hakuna HIV ni feki unatoa elimu gani au ujumbe gani kwa Wale waliochagua C kwa ABC za ukimwi? Unafikiri kuchochea ngono zembe ni mpaka utamke wazi wazi hadharani? La hasha....hapa ni kampeni ya kuwafanya watu waone HIV/UKIMWI ni kama mafua tuu

Ukimwi upo na madhara yake yanaonekana sasa unapokazania watu waende huko unakotaka wewe si sawa!

Let's say madoctor wamekuwa brainwashed kutokana na mafunzo na elimu waliyopitia kuhusu HIV/AIDS ndio maana wako rigid to copy this new education, sasa huoni na wewe utakuwa brainwshed ni hizi theory na kutoka nje ya medical parameters? What will be the conclusion kido?

Note: Sina tabia ya ku comment more than twice kwenye thread moja so pita hivi.........nishavuka mchangani

Sent from JamiiForums
 
Khaa am above your league kido! And am smelling something on u!why always you....whining..yapping for this bullsh*ts anyway?

Well, its among of its side effects! Getting angry for nothing eh?

Unaposema hakuna HIV ni feki unatoa elimu gani au ujumbe gani kwa Wale waliochagua C kwa ABC za ukimwi? Unafikiri kuchochea ngono zembe ni mpaka utamke wazi wazi hadharani? La hasha....hapa ni kampeni ya kuwafanya watu waone HIV/UKIMWI ni kama mafua tuu

Ukimwi upo na madhara yake yanaonekana sasa unapokazania watu waende huko unakotaka wewe si sawa!

Let's say madoctor wamekuwa brainwashed kutokana na mafunzo na elimu waliyopitia kuhusu HIV/AIDS ndio maana wako rigid to copy this new education, sasa huoni na wewe utakuwa brainwshed ni hizi theory na kutoka nje ya medical parameters? What will be the conclusion kido?

Note: Sina tabia ya ku comment more than twice kwenye thread moja so pita hivi.........nishavuka mchangani

Sent from JamiiForums

Are you threatening me or what ? For your information, I'm not afraid neither of you nor any blood imbecile like you...

Thats why i have been insisting on you guys to read the articles very carefully, before coming here with your stupid replies without understanding, where did i say HIV/AIDS is not existing ? Where? , answer me ..

Watch out wewe mtoto, if you are looking for a trouble,here its a home..,Dont you ever try me non sense..
 
Khaa am above your league kido! And am smelling something on u!why always you....whining..yapping for this bullsh*ts anyway?

Well, its among of its side effects! Getting angry for nothing eh?

Unaposema hakuna HIV ni feki unatoa elimu gani au ujumbe gani kwa Wale waliochagua C kwa ABC za ukimwi? Unafikiri kuchochea ngono zembe ni mpaka utamke wazi wazi hadharani? La hasha....hapa ni kampeni ya kuwafanya watu waone HIV/UKIMWI ni kama mafua tuu

Ukimwi upo na madhara yake yanaonekana sasa unapokazania watu waende huko unakotaka wewe si sawa!

Let's say madoctor wamekuwa brainwashed kutokana na mafunzo na elimu waliyopitia kuhusu HIV/AIDS ndio maana wako rigid to copy this new education, sasa huoni na wewe utakuwa brainwshed ni hizi theory na kutoka nje ya medical parameters? What will be the conclusion kido?

Note: Sina tabia ya ku comment more than twice kwenye thread moja so pita hivi.........nishavuka mchangani

Sent from JamiiForums

OOhh!! So you are smelling something on me eeh? Keep on smelling even my pen*s, do you think I care? Never... just smell everyrhing you want to smell on me...

You people are so ignorant n stupid, instead of coming with constructive critisism unaniletea ujinga wako, watch out mimi ni mshenzi kuliko unavyodhani , so watch your step mtoto..
 
Yaani inaonekana kabisa kwa upeo wangu kwamba wew una nia ya kujua mambo tofauti,na hiyo attitude yako ndiyo itakayokukomboa kutoka hali hii ya sasa.
Sasa hapa najibu maswali mengi sana na PM pia,halafu nahitaji kutoka kwenda mihangaikoni.Naomba unipe muda nikutafutie baadhi ya hizo link.Ila naomba uulize specific question na mimi nitalitolea jibu kwa uthibitisho.Nadhani huu ndio utakuwa utaratibu mzuri.Unaonaje?
Yani bado narudi pale kwamba ndugu yetu kauliza mambo ya msingi sana. Na yawezekana umeshajibu huko awali na post ni nyingi, ila unazijua zako. Ishu ni kwamba, Kwa nini Bukoba walikufa sana kuanzia baba, mama, watoto, mahawara, n.k? tena kwa dalili zile zile? Nasikia pia wapo watu wanaoitwa carrier (sijui kama ni sahihi). Hawa wanaambukiza tu ila hawaugui HIV.
 
Ukifanya hivo itakua vizuri na ita save time pia kuliko kurudia rudia uliyo kwisha eleza mwanzo ili watu waelewe vizuri.

Kuna watu wanasema mimi nina UKIMWI ndio maana nashabikia, sasa sijui nashabikia nini, yani mtu uwe na UKIMWI then upinge matumizi ya ARV? Ajabu, yani watu ni wajinga sana, na ndio maana watu wanaogopa kuchangia humu

Mimi nasema asilimia nyingi ya watu wanaosoma humu na kuogopa kuchangia ni wale watumiaji wa ARV wanaogopa wakiuliza humu Live watu watawajua, wanakimbilia PM. Unadhani kama mimi nina matatizo yangu nashindwa kwenda PM na kuongea kimya kimya? Why nije hadharani?

Wengine wanasema Deception kanihonga niwashawishi watu waamini uongo wake, mimi nimekuwa Mungu mpaka niwafanye watu waamini kitu?, yani yote hayo ni kuchanganyikiwa na kutafuta faraja. SIna undugu na deception nimemfahamu humu tu kama wengi wenu humu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom