Hana majibu ndio maana anaspeculate hana evidence yoyote na anayoyasema ameamka tu kaanza kunadi Ukimwi hauexist ili auwe maelfu ya watu watakaomuamini.Sijui mtu utaishije na such guilty conscious dah its sad na nikiona watu wanavyomuamini nasikitika tu!!!
Dr.niliwahi kukurekebisha lakini nadhani bado hujagundua,nafikiri kwa sababu ya bias,lakini usijali,ni ubinadamu tu;
Mimi sikuwahi kusema kwamba ukimwi haupo,nilisema kwamba hakuna ukimwi unaosababishwa na HIV/VVU.Hivyo hoja zetu zilitakiwa ziegemee hapo.Nadhani sasa umenielewa.Ukimwi na VVU/Ukimwi ni mambo mawili tofauti,umeelewa sasa?
Haya twende hoja nyingine;
Hao unaowaheshimu wewe kwamba ndio wanajali maisha yetu na wale wanaopinga unaowadharau kwamba ndio hawajali maisha yetu ni kinyume chake.Huwezi kutambua hili mpaka uondoe utongo kwenye macho yako.Hebu jiulize,wale wanaopinga wanapata faida gani?Vipi kuhusu wanaotetea,obviously tunajua wanafaidika kwa kuendelea kuuza dawa za ARVs na zinazoendana nazo.Je,unajua wanapata jumla ya dola ngapi kwa mwaka kwa kuuza ARVs ambazo bado hazitibu chochote?
Na pia je,unajua kwamba ARVs zinaua watu wengi na zinaendelea kuua hadi muda huu tunaoongea?Unajua hilo?Huoni kama mimi napigania maisha ya watu hapa?
Mimi naweza kuthibitisha kwamba ARVs ndizo zinazoua,je,wewe unaweza kuthibitisha kwamba ARVs haziui?
Mbona Dr.unapenda kujadili hoja nyepesi sana halafu zile nzito unaziruka?Kwa nini?
Ushauri:
Ni jukumu lako kupinga,lakini ninakuomba,hata kama unaendelea kupinga lakini jaribu kufanya utafiti kuchunguza hili jambo.Wewe ni mtu unayetegemewa na jamii.Ni vizuri unaposikia jambo kama hili kulifanyia utafiti.Ukijua upande wa pili wa suala hili hata uwezo wako wa kuhudumia wagonjwa utakuwa mkubwa kuliko madaktari wa kawaida.
Ni ushauri tu.