mbongo_halisi
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 7,074
- 5,486
In Islam akili haitumiki, ukitumia akili kuuliza maswali wanakwambia una dhambi na usikute ukafukuzwa msikitini au madrasa. Wanataka watu wasiohoji vitu, yaani uwe zezeta tu na kukubali kila upuuzi unaoambiwa. We angalia mambo ya Muddy, ni dhahir kabisa kuwa jamaa alikuwa firahuni ila ukiwaambia waislam wasiojitambua wanakukashifu na kutaka kukusomea albadiri au kukuchoma kisu ili tu usiongee ukweli kwani hawataki kuusikia.Kutumia akili tu, na sio kukashfu anacho amini mwenzio
Kwa hiyo yehova na Yesu ni mtu mmoja?Bwana mkubwa unajua maana ya Jina Yesu?
Upo? Insiderman anaendeleaje?Thibitisha kwa maandiko sio porojo
Twende taratibu tu. Unajua maana ya Jina Yesu?Kwa hiyo yehova na Yesu ni mtu mmoja?
Kama ni hivyo sasa yesu siku zote alizokuwa anaomba alikuwa anamuomba nani?
Unamsingizia allah wa watu maskini!Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).
1.Kumbukumbu la Torati 18:18 - Nabii kama Musa
"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)
Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.
Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.
Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.
2.Isaya 42:1-13 - Nabii kutoka Kedar
Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:
Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.
Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.
Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”
Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.
3. Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani
Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:
Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."
Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.
Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”
Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.
Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.
4. Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos) na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an
Yesu alisema:
Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”
Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.
Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).
Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an
Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:
Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."
Ahmad ni jina lingine la Muhammad.
Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.
5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma
Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."
Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.
Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Majini nao ni viumbe wa Allah kama wanadamu tu,pia kuna wema na wabaya kwa hiyo usikariri kuwa majini wote ni wabaya.
Roho kutoka kwake maana yake ni roho aliyoiumba yeye.Au mnaposema mke mwema anatoka kwa bwana mnamaanisha ni mke wake bwana?We ndio unapindisha na kupotosha kwa makusudi ila ikosema Roho kutoka kwake na Roho yake kuna tofauti gani?
Sielewi kwanini Waislam wanabisha hii hoja, wenzao waliosoma na kuelimika wanashangaa kwanini Muddy aitwe nabii / mtume wakati hastahili hicho cheo na ni nani aliyempa hicho cheo wakati Mungu never gave him that.Muhammad aliathirika kisaikolojia na Ibada ya uchi ya mchanganyiko WA jinsia ilikuwa ikifanyika ndani ya msikiti WA Al kaaba...Ambayo ndio wameweka na jiwe la hajar al aswad...Eti!! Yenye baraka na uongozi Kwa ajili ya ulimwengu wote!!(Al kaaba)
Haujakamilisha hapa. Kwamba nabii atakayesulubiwa ndio Muhammad au?Nabii alieyesubiriwa atatoka kati ya Ndugu wa Wayahudi
Aya tunayoongelea ni wazi kwa kusema kwamba Nabii atatokea miongoni mwa Ndugu wa wayahudi
Ibrahim alikuwa na wana wawili Ishmaeli na Isaka, wayahudi ni wazao wa mwana Isaka, Yakobo
Waarab ni Ndugu wa taifa la kiyahudi Biblia inasema
"Naye(Ishmael) atakaa mbele ya uso wa ndugu zake wote ( Mwanzo 16:12)
" Naye ( Ishmael) akakata pumzi akafa akakusanywa kwa watu wake (Mwanzo 25:18)
Kwenye uyahudi.Ibrahimu alikuwa na agano na Mungu WA Israel..na Kwa mwanae WA pekee Isaka...Na ndio aliekaribia kutolewa sadaka sio uwongo mtupu WA Ishmael mwana WA haram... Ukristo Una mafungamano na mkataba ulioanzia Kwa Ibrahim ambayo kamwe hauwezi kuuelewa hata unywe ijaza ya maji ya zam zam yaliochanganywa na zafarani kwenye kombe....Akili ya kiislam haiwezi kuuelewa ukristo.Kwani ukristo umetokea wapi?
Yesu ni Nabii mtukufu wa Mwenyezi Mungu aliyekuja kuwaongoza Wana wa Israeli kwa sharia ya Tawhidi (kumpwekesha Mwenyezi Mungu).Twende taratibu tu. Unajua maana ya Jina Yesu?
Ni ufuasi wa Yesu kristo messiah ambaye vitabu vyote vilielezea ujio wake.Kwani ukristo umetokea wapi?
Allah sio Mungu wa Quraysh tu,ni Mungu wa viumbe vyoteUnamsingizia allah wa watu maskini!
Hayo ni maneno ya YHWH na Muhammad ni nabii wa allah wala si wa YHWH.
Allah is a quraysh God nothing more nothing less
Hubiri mkuu ila angalia nyuma yako wasije kukutupia mabomu kwa kuwa unaongea ukweli. We angalia karibu masheikh wote wanafuga majini na kuroga watu, hiv ni dini kweli hii?B
Biblia imeeleza kinaga ubaga kuwa majini ni huyo Shetani na wafuasi wake waliotupwa duniani. Uislam kwakuwa ni dini ya Shetani umekuja kuwapambapamba hao viumbe waovu ili kufanilisha azma ya kuwapotosha wengi waende motoni, yeye na wafuasi wake washajua hatma yao wanachofanya ni kufanya mockery kwa Mungu na kumuudhi zaidi kwa kuwapotosha watu wake.
Mungu anatupenda sisi sote sawa na alitufia sisi wote mimi na wewe, kazi yetu mi kumwabudu tu basi, na anaumia sana anapopoteza hata mmoja wetu . Hakuna cha wema wala wabaya, wapo wanasubiri adhabu yao ya milele ule mwisho ukifika. Ndo maana Wakristo yakiyakemea kwa Jina la Yesu yanakimbia. Tena yanaogopa sana hilo jina la Yesu.
Mungu hawezi kufa hata siku mojaMungu anatupenda sisi sote sawa na alitufia sisi wote mimi na wewe,
Kwa hiyo ukristo ni matokeo ya dini ya uyahudiKwenye uyahudi.Ibrahimu alikuwa na agano na Mungu WA Israel..na Kwa mwanae WA pekee Isaka...Na ndio aliekaribia kutolewa sadaka sio uwongo mtupu WA Ishmael mwana WA haram... Ukristo Una mafungamano na mkataba ulioanzia Kwa Ibrahim ambayo kamwe hauwezi kuuelewa hata unywe ijaza ya maji ya zam zam yaliochanganywa na zafarani kwenye kombe....Akili ya kiislam haiwezi kuuelewa ukristo.
In Islam akili haitumiki, ukitumia akili kuuliza maswali wanakwambia una dhambi na usikute ukafukuzwa msikitini au madrasa. Wanataka watu wasiohoji vitu, yaani uwe zezeta tu na kukubali kila upuuzi unaoambiwa. We angalia mambo ya Muddy, ni dhahir kabisa kuwa jamaa alikuwa firahuni ila ukiwaambia waislam wasiojitambua wanakukashifu na kutaka kukusomea albadiri au kukuchoma kisu ili tu usiongee ukweli kwani hawataki kuusikia.
View attachment 3249479
Mungu mwenye mtume.mmoja tu wa kiarabuAllah sio Mungu wa Quraysh tu,ni Mungu wa viumbe vyote
Kwa hiyo ukristo ni matokeo ya dini ya uyahudi
UNaelewa hata maana ya rehema?Huu pia ni Upuuzi kudhani mtu hatakiwe Rehma mpka awe na mabaya