Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Hawezi kuutumia ukristo na biblia kumuelezea Muhammad Labda Uwe na akili ya mbuni... Waislam jikiteni kuutafuta ukweli mmoja mchungu ALLAH SUBHANA WATAALA NI NANI???? Mkijua ASW ni Nani mtajua pia aliemtuma Muhammad ni Nani?? **Aliewaletea jiwe La hajar al aswad ni Nani??
***Aliewadanganya kwamba majini ni ndugu zenu ni nani??
***Aliekuwa Mungu WA walioswali uchi kwenye msikiti wenu WA al Kaaba wenye jiwe mnalolisujudia Hadi Leo (na waswali uchi wakilibusu kulizunguka na kulisujudia kama Waislam WA Leo)) Asw ni Nani??
***Kwa nini Allah subhana ana majina karibu matano yanayofanana na majina ya makundi ya majini???Yeye Asw ana majina 99 na makundi ya majini yako 99???
Naomba utupe somo kuhusu makundi ya majini mm sielewi hata
 
Nabii alieyesubiriwa atatoka kati ya Ndugu wa Wayahudi

Aya tunayoongelea ni wazi kwa kusema kwamba Nabii atatokea miongoni mwa Ndugu wa wayahudi

Ibrahim alikuwa na wana wawili Ishmaeli na Isaka, wayahudi ni wazao wa mwana Isaka, Yakobo

Waarab ni Ndugu wa taifa la kiyahudi Biblia inasema

"Naye(Ishmael) atakaa mbele ya uso wa ndugu zake wote ( Mwanzo 16:12)

" Naye ( Ishmael) akakata pumzi akafa akakusanywa kwa watu wake (Mwanzo 25:18)
Ishimael ni mwana wa ibrahimu.
 
Sielewi kwanini Waislam wanabisha hii hoja, wenzao waliosoma na kuelimika wanashangaa kwanini Muddy aitwe nabii / mtume wakati hastahili hicho cheo na ni nani aliyempa hicho cheo wakati Mungu never gave him that.
Mkuu Katika hio Surat an Nisaa(sura ya wanawake)4:79...""Nasi tumekupeleka Kwa watu kuwa mtume..NA MWENYEZI MUNGU NI SHAHIDI WA KUTOSHA..(hapahitajiwi shahidi mwengine)) Huyo Allah hakumtuma Muhammad Ila Yeye ni shahidi Tu...(((Lakini tusisahau Asw ni mdanganyifu/mwongo kweli haimo ndani yake..ni mwongo mtupu))
 
Thibitisha sio unasema tu bila ya ushahidi ulio wazi.
Sawa, unajuwa kusoma? Anza na haya👇🏽
1740510601053.jpeg



1740510843638.jpeg

1740511107005.jpeg


Haya soma hizo hadith kisha ukawafundishe na wenzako ili wapate kuelimika. Muddy si mtume, alikuwa firahuni tu.
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Injili haiwezi kutambua mbakaji aliyembaka binti Aisha wala mvivu aliyelelewa na lishangazi bi Khadija.
 
Hubiri mkuu ila angalia nyuma yako wasije kukutupia mabomu kwa kuwa unaongea ukweli. We angalia karibu masheikh wote wanafuga majini na kuroga watu, hiv ni dini kweli hii?

Kiongozi mimi naamini Usilam ni dini ya shetani mwenyewe. Baada ya kushindwa na Kristo akaja na alternative B ya kuja na dini yake. Na ameisuka vizuri sana inahitaji dedication kujinasua nayo. Na tunajua shetani ana nguvu na uwezo mkubwa kuliko binadamu.
But tumaini ni kuwa Yesu alishayashinda hayo yote.
 
MAANDIKO SAHIHI
1. Imani kwa Mungu Mmoja (Tawhid) – Yesu alifundisha kuwa Mungu ni Mmoja, jambo linalothibitishwa katika Biblia (Marko 12:29): "Sikia, Ee Israeli; Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja." Hii inafanana na Qur’an (112:1): "Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa Pekee."


2. Yesu Alikuwa Nabii wa Mungu – Yesu (Isa, amani iwe juu yake) alikuwa Mtume wa Mungu, si Mungu mwenyewe. Qur'an (5:75) inasema: "Masihi mwana wa Mariamu si chochote ila ni Mtume; wamekwisha pita Mitume kabla yake..."


3. Sheria ya Musa (Taurati) Ilikuwa Sahihi – Yesu alisisitiza kufuata Taurati (Mathayo 5:17): "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la! Sikuja kutangua, bali kutimiliza."


4. Adhabu ya Mwenyezi Mungu kwa Wakosefu – Yesu alifundisha kuwa kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake, jambo linalolingana na Uislamu (Mathayo 12:36): "Basi, nawaambia, kila neno lisilo na maana watakalolinena watu, watatoa hesabu yake siku ya hukumu."


5. Unyenyekevu na Ibada kwa Mungu Pekee – Yesu alisali kwa Mungu na kufundisha wengine kumsujudia Mungu peke yake (Luka 6:12): "Siku moja Yesu alikwenda mlimani kusali, akakesha huko anasali kwa Mungu."


6. Kufufuliwa kwa Wafu na Siku ya Mwisho – Yesu alifundisha kuhusu Siku ya Kiyama na malipo ya waumini na makafiri, jambo linalothibitishwa pia na Uislamu (Yohana 5:28-29): "Msistaajabu kwa hili; kwa kuwa saa inakuja ambayo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake, nao watatoka..."

MAANDIKO YALIYOPOTOSHWA
1. Dhana ya Upatanisho wa Dhambi (Atonement) – Ukristo unafundisha kuwa Yesu alisulubiwa ili kufuta dhambi za wanadamu. Uislamu unapinga dhana hii na kusisitiza kuwa kila mtu atawajibika kwa dhambi zake (Qur'an 53:38-39): "Kwamba hapana mbebaji wa mzigo atakayebeba mzigo wa mwengine."


2. Yesu ni Mungu (Uungu wa Kristo) – Wakristo wanadai kuwa Yesu ni Mungu au sehemu ya Mungu, jambo ambalo linapingwa na Uislamu. Qur'an (5:116) inasema kuwa Yesu atakataa kudai uungu: "Sikuwambia lolote ila yale uliyoniamrisha..."


3. Dhana ya Roho Mtakatifu Kama Sehemu ya Mungu – Wakristo wanaamini katika Utatu Mtakatifu (Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu). Qur'an (4:171) inasema: "Msiseme utatu, acheni! Itakuwa bora kwenu. Mwenyezi Mungu ni Mungu Mmoja tu."


4. Mtazamo wa Dhambi ya Asili – Ukristo unafundisha kuwa kila mtu amerithi dhambi ya Adamu na Hawa, jambo ambalo Uislamu unalipinga. Qur'an (2:286) inasema: "Mwenyezi Mungu hamkalifishi mtu ila kwa kadiri ya uwezo wake..."


5. Kusema Yesu ni Mwana wa Mungu kwa Maana ya Kiungu – Wakristo wanamuita Yesu Mwana wa Mungu kwa maana ya kiungu, lakini Uislamu unasema kuwa Allah hana mwana (Qur'an 19:35): "Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Ametakasika!"

Hayo ni baadhi tu!
Si tulikubaliana ninyi mnadini yenu na sisi tunadini uyetu,mbona sasa kutwa kujinasibisha na ukristo na uislamu ambao kila dini ina mafundisho yake.

Kiufupi ni kwamba unahangaika bure,mpaka nakuhurumia dini ni ugonjwa wa akili.
 
Mimi ni mkristo mkatoliki. Nasadiki kwa Mungu baba mwenyezi muumba wa mbingu na dunia, na kwa Yesu Kristo mwanae wa pekee, na kwa Roho Mtakatifu. Mungu mmoja (baba, mwana na Roho Mtakatifu). na kwa kanisa takatifu katoliki la mitume.

Niambieni ndugu zangu waislamu kupitia kwa Adamu baba yetu katika mwili. Hivi majini ni nini kwani? Wanafanya nini? Wanautofauti gani na malaika? Wanautofauti gani na mapepo? Wanauadui na wakristo? Wanataka nini?
 
Mkuu Katika hio Surat an Nisaa(sura ya wanawake)4:79...""Nasi tumekupeleka Kwa watu kuwa mtume..NA MWENYEZI MUNGU NI SHAHIDI WA KUTOSHA..(hapahitajiwi shahidi mwengine)) Huyo Allah hakumtuma Muhammad Ila Yeye ni shahidi Tu...(((Lakini tusisahau Asw ni mdanganyifu/mwongo kweli haimo ndani yake..ni mwongo mtupu))
Muddy alikuwa mjanja mno, alikuwa muongo sana.....ilikua akitaka kutomba demu wa mtu, anapandisha mashetani na kujifanya kashukiwa na malaika kuamrishwa kutomba mke wa Loeb S Mpalasinge na watu wałiacha wake zao na kumwachia Muddy achape.
 
Mungu hawezi kufa hata siku moja

Hii neema wamepewa Wakristo tu kuielewa. Ndiyo maan Yesu alisema "nawajua walio wangu, nao wananijua mimi.."
Lakini guess what, kila mmoja ana nafasi ya kufanyika kuwa mwana wa Mungu. Mpokee Kristo leo upate neema ya kuyajua haya!

(Najua nimeibua mada nyingine hapo utasema Mungu hakuzaa mtoto 🤣🤣, sure Mungu hakuzaa nikujibu kabisa ndugu yangu 🙏)
 
Kiongozi mimi naamini Usilam ni dini ya shetani mwenyewe. Baada ya kushindwa na Kristo akaja na alternative B ya kuja na dini yake. Na ameisuka vizuri sana inahitaji dedication kujinasua nayo. Na tunajua shetani ana nguvu na uwezo mkubwa kuliko binadamu.
But tumaini ni kuwa Yesu alishayashinda hayo yote.
Wasiojitambua akili hawatakuelewa, wataona unawakashifu kumbe unawanusuru. Nasikitishwa sana na Serikali kuwaambia wananchi wake waendeleze upuuzi wa kukariri Quran, kitu ambacho hakina umuhimu wowote katika maisha ya mtoto wa Kitanzania.. Ni hatari sana kwa taifa letu.
 
Back
Top Bottom