Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Hivyo ni vitabu vya Allah alivyoviteremsha kwa wayahudi kama yeye mwenyewe anavyokiri kwenye Qur’an
نَزَّلَ عَلَيْكَ الْكِتَابَ بِالْحَقِّ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَأَنزَلَ التَّوْرَاةَ وَالْإِنجِيلَ ﴿٣﴾
3. Amekuteremshia Kitabu (ee Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم) kwa haki kinachosadikisha yaliyo kabla yake na Akateremsha Tawraat na Injiyl.(Qur’an 3:3)

وَقَفَّيْنَا عَلَىٰ آثَارِهِم بِعِيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ ۖ وَآتَيْنَاهُ الْإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ وَهُدًى وَمَوْعِظَةً لِّلْمُتَّقِينَ ﴿٤٦﴾
46. Na Tukamfuatishia katika njia yao (Manabii hao), ‘Iysaa mwana wa Maryam akisadikisha yale yaliyoko kabla yake katika Tawraat. Na Tukampa Injiyl yenye mwongozo na nuru ndani yake, inasadikisha yale yaliyokuwa kabla yake katika Tawraat, na Tumeifanya mwongozo na mawaidha kwa wenye taqwa.(Qur'an 5:46)

حَيْنَا إِلَيْكَ كَمَا أَوْحَيْنَا إِلَىٰ نُوحٍ وَالنَّبِيِّينَ مِن بَعْدِهِ ۚ وَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ وَإِسْحَاقَ وَيَعْقُوبَ وَالْأَسْبَاطِ وَعِيسَىٰ وَأَيُّوبَ وَيُونُسَ وَهَارُونَ وَسُلَيْمَانَ ۚ وَآتَيْنَا دَاوُودَ زَبُورًا ﴿١٦٣﴾
163. Hakika Tumekufunulia Wahy (ee Muhammadصلى الله عليه وآله وسلم) kama Tulivyomfunulia Wahy Nuwh na Manabii baada yake. Na Tumemfunulia Wahy Ibraahiym na Ismaa’iyl na Is-haaq na Ya’quwb na Al-Asbaatw,[55] (kizazi chake) na ‘Iysaa na Ayyuwb na Yuwnus na Haaruwn, na Sulaymaan. Na Tumempa Daawuwd Zabuwr.(Qur’an 4:163)
Samahani bwana mkubwa. Naweza kupata hata kifungu kimoja cha Injili ya Issa bin Maryam toka kwenye quran kama hutajali?
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Yaani Injili itabiri ujiu wa mtu aliyeleta ibada za ushirikana majini? Yaani inyili na mkuu wa Injili Yesu alipambana kuwafukuza majini aibuke mtu aseme majini ni ndugu zao na wanasali pamoja kweli hapo Kuna uhusiano? Mtu alichungulia fursa tuu na kuamua kujitangaza kuwa ameshushwa SUO MOTO
 
Hii hapa kiongozi: Na Fulfillment zake kwenye mabano. Utabiri huu ulitokea kwa muda wa maelefu ya miaka kwa nyakati tofauti tofauti na ukaja kutimia kweli.

Ukifanikiwa kusoma yote basi Roho Mtakarifu akuongoze katika kuijua kweli. Inatisha sana, kama huogopi basi wewe ndo basi tena.

Here we go....
1. Messiah would be born of a woman. Genesis 3:15 (Matthew 1:20 Galatians 4:4)
2. Messiah would be born in Bethlehem. Micah 5:2 (Matthew 2:1 Luke 2:4-6)
3. Messiah would be born of a virgin. Isaiah 7:14 (Matthew 1:22-23 Luke 1:26-31)
4. Messiah would come from the line of Abraham. (Genesis 12:3 Genesis 22:18 Matthew 1:1 Romans 9:5)
5. Messiah would be a descendant of Isaac. Genesis 17:19 Genesis 21:12 (Luke 3:34)
6. Messiah would be a descendant of Jacob. Numbers 24:17 (Matthew 1:2)
7. Messiah would come from the tribe of Judah. Genesis 49:10 (Luke 3:33, Hebrews 7:14)
8. Messiah would be heir to King David's throne. 2 Samuel 7:12-13 Isaiah 9:7 (Luke 1:32-33, Romans 1:3)
9. Messiah's throne will be anointed and eternal. Psalm 45:6-7 Daniel 2:44 (Luke 1:33, Hebrews 1:8-12)
10. Messiah would be called Immanuel. Isaiah 7:14 (Matthew 1:23)
11. Messiah would spend a season in Egypt. Hosea 11:1 (Matthew 2:14-15)
12. A massacre of children would happen at Messiah's birthplace. Jeremiah 31:15 (Matthew 2:16-18)
13. A messenger would prepare the way for Messiah. Isaiah 40:3-5 (Luke 3:3-6)
14. Messiah would be preceded by a forerunner Malachi 3:1 (Matthew 11:10)
15. Messiah would be rejected by his own people. Psalm 69:8, Isaiah 53:3 (John 1:11, John 7:5)
16. Messiah would be a prophet. Deuteronomy 18:15 (Acts 3:20-22)
17. Messiah would be preceded by Elijah. Malachi 4:5-6 (Matthew 11:13-14)
18. Messiah would be declared the Son of God Psalm 2:7 (Matthew 3:16-17)
19. Messiah would be called a Nazarene. Isaiah 11:1 (Matthew 2:23)
20. Messiah would bring light to Galilee. Isaiah 9:1-2 (Matthew 4:13-16)
21. Messiah would speak in parables. Psalm 78:2-4 Isaiah 6:9-10 (Matthew 13:10-15, 34-35)
22. Messiah would be sent to heal the brokenhearted Isaiah 61:1-2 (Luke 4:18-19)
23. Messiah would be a priest after the order of Melchizedek Psalm 110:4 (Hebrews 5:5-6)
24. Messiah would be called King. Psalm 2:6, Zechariah 9:9 (Matthew 27:37, Mark 11:7-11)
25. Messiah would enter Jerusalem on a donkey Zechariah 11:12 (Matthew 21:4-5)
26. Messiah would be praised by little children Psalm 8:2 (Matthew 21:16)
27. Messiah would be betrayed Psalm 41:9, Zechariah 11:12-13 (Luke 22:47-48, Matthew 26:14-16)
28. Messiah's price money would be used to buy a potter's field Zechariah 11:12-13 (Matthew 27:9-10)
29. Messiah would be falsely accused Psalm 35:11 (Mark 14:57-58)
30. Messiah would be silent before his accusers Isaiah 53:7 (Mark 15:4-5)
31. Messiah would be spat upon and struck Isaiah 50:6 (Matthew 26:67)
32. Messiah would be hated without cause. Psalm 35:19, Psalm 69:4 (John 15:24-25)
33. Messiah would be crucified with criminals Isaiah 53:12 (Matthew 27:38, Mark 15:27-28)
34. Messiah would be given vinegar to drink. Psalm 69:21 (Matthew 27:34, John 19:28-30)
35. Messiah's hands and feet would be pierced Psalm 22:16, Zechariah 12:10 (John 20:25-27)
36. Messiah would be mocked and ridiculed. Psalm 22:7-8 (Luke 23:35)
37. Soldiers would gamble for Messiah's garments Psalm 22:18 (Luke 23:34, Matthew 27:35-36)
38. Messiah's bones would not be broken Exodus 12:46, Psalm 34:20 (John 19:33-36)
39. Messiah would be forsaken by God Psalm 22:1 (Matthew 27:46)
40. Messiah would pray for his enemies. Psalm 109:4 (Luke 23:34)
41. Soldiers would pierce Messiah's side. Zechariah 12:10 (John 19:34)
42. Messiah would be buried with the rich. Isaiah 53:9 (Matthew 27:57-60)
43. Messiah would resurrect from the dead. Psalm 16:10, Psalm 49:15 (Matthew 28:2-7, Acts 2:22-32) na vitabu vyote vya injili
44. Messiah would ascend to heaven. Psalm 24:7-10 ( Mark 16:19, Luke 24:51)
45. Messiah would be seated at God's right hand Psalm 68:18, Psalm 110:1, (Mark 16:19, Matthew 22:44)
46. Messiah would be a sacrifice for sin. Isaiah 53:5-12 (Romans 5:6-8)


47. Messiah would return a second time. Daniel 7:13-14 (Revelation 19). Hii inasubiriwa itokee, hapa ndo ile final battle, mbivu na mbichi zitawekwa wazi. Kuna walimu wanatafsiri kuwa, yule ambaye waislam mnamwita Mahdi sijui (not sure of the name) ndo mpinga Kristo Mwenyewe, na battle kali sana itapigwa hapa na wote mnaomwamini huyo Mpinga Kristo ndipo mtakapotupwa motoni milele. Vita hiyo itatokea katika Mji wa Jerusalem na eneo hilo hadi leo lipo linaitwa Mlima wa Mizeituni, na kipo kama linavyoelezewa kwenye biblia hadi sasa. Bahati mbaya kwa wanaomwamini Allah itakuwa too late kwao kumkiri Kristo. Mpokee Yesu sasa muda ungalipo!
Swali nje ya mada.
Kila pande inavutia kwake kwa kumsikitikia mwenzake na kumuona kapotea na kumuombea kwa Muumba amsaidie afahamu ukweli.

Je Lengo la Muumba kuruhusu uwepo wa dini tofauti ambazo watu wa miaka ya mbele wanakuja kupata mkanganyiko ni nini?
cc DR Mambo Jambo
Maoni yako mkuu
 
Nikuulize wewe yesu ni nani?
Kingine cha kukusaidia wewe ni hivi wakati ISSA anazaliwa na mama yake chini ya mtende,,sauti ilitoka ardhini ikimwambia mama yake ISA aliezaa peke yake kama nyumbu kwamba achume tende kwenye mti ale!!!! Unajua sauti inayotokea chini ya ardhi ni ya nani??? Narudia tena ALLAH SUBHANA WATAALA NI NANI????
 
Hii hapa kiongozi: Na Fulfillment zake kwenye mabano. Utabiri huu ulitokea kwa muda wa maelefu ya miaka kwa nyakati tofauti tofauti na ukaja kutimia kweli.

Ukifanikiwa kusoma yote basi Roho Mtakarifu akuongoze katika kuijua kweli. Inatisha sana, kama huogopi basi wewe ndo basi tena.

Here we go....
1. Messiah would be born of a woman. Genesis 3:15 (Matthew 1:20 Galatians 4:4)
2. Messiah would be born in Bethlehem. Micah 5:2 (Matthew 2:1 Luke 2:4-6)
3. Messiah would be born of a virgin. Isaiah 7:14 (Matthew 1:22-23 Luke 1:26-31)
4. Messiah would come from the line of Abraham. (Genesis 12:3 Genesis 22:18 Matthew 1:1 Romans 9:5)
5. Messiah would be a descendant of Isaac. Genesis 17:19 Genesis 21:12 (Luke 3:34)
6. Messiah would be a descendant of Jacob. Numbers 24:17 (Matthew 1:2)
7. Messiah would come from the tribe of Judah. Genesis 49:10 (Luke 3:33, Hebrews 7:14)
8. Messiah would be heir to King David's throne. 2 Samuel 7:12-13 Isaiah 9:7 (Luke 1:32-33, Romans 1:3)
9. Messiah's throne will be anointed and eternal. Psalm 45:6-7 Daniel 2:44 (Luke 1:33, Hebrews 1:8-12)
10. Messiah would be called Immanuel. Isaiah 7:14 (Matthew 1:23)
11. Messiah would spend a season in Egypt. Hosea 11:1 (Matthew 2:14-15)
12. A massacre of children would happen at Messiah's birthplace. Jeremiah 31:15 (Matthew 2:16-18)
13. A messenger would prepare the way for Messiah. Isaiah 40:3-5 (Luke 3:3-6)
14. Messiah would be preceded by a forerunner Malachi 3:1 (Matthew 11:10)
15. Messiah would be rejected by his own people. Psalm 69:8, Isaiah 53:3 (John 1:11, John 7:5)
16. Messiah would be a prophet. Deuteronomy 18:15 (Acts 3:20-22)
17. Messiah would be preceded by Elijah. Malachi 4:5-6 (Matthew 11:13-14)
18. Messiah would be declared the Son of God Psalm 2:7 (Matthew 3:16-17)
19. Messiah would be called a Nazarene. Isaiah 11:1 (Matthew 2:23)
20. Messiah would bring light to Galilee. Isaiah 9:1-2 (Matthew 4:13-16)
21. Messiah would speak in parables. Psalm 78:2-4 Isaiah 6:9-10 (Matthew 13:10-15, 34-35)
22. Messiah would be sent to heal the brokenhearted Isaiah 61:1-2 (Luke 4:18-19)
23. Messiah would be a priest after the order of Melchizedek Psalm 110:4 (Hebrews 5:5-6)
24. Messiah would be called King. Psalm 2:6, Zechariah 9:9 (Matthew 27:37, Mark 11:7-11)
25. Messiah would enter Jerusalem on a donkey Zechariah 11:12 (Matthew 21:4-5)
26. Messiah would be praised by little children Psalm 8:2 (Matthew 21:16)
27. Messiah would be betrayed Psalm 41:9, Zechariah 11:12-13 (Luke 22:47-48, Matthew 26:14-16)
28. Messiah's price money would be used to buy a potter's field Zechariah 11:12-13 (Matthew 27:9-10)
29. Messiah would be falsely accused Psalm 35:11 (Mark 14:57-58)
30. Messiah would be silent before his accusers Isaiah 53:7 (Mark 15:4-5)
31. Messiah would be spat upon and struck Isaiah 50:6 (Matthew 26:67)
32. Messiah would be hated without cause. Psalm 35:19, Psalm 69:4 (John 15:24-25)
33. Messiah would be crucified with criminals Isaiah 53:12 (Matthew 27:38, Mark 15:27-28)
34. Messiah would be given vinegar to drink. Psalm 69:21 (Matthew 27:34, John 19:28-30)
35. Messiah's hands and feet would be pierced Psalm 22:16, Zechariah 12:10 (John 20:25-27)
36. Messiah would be mocked and ridiculed. Psalm 22:7-8 (Luke 23:35)
37. Soldiers would gamble for Messiah's garments Psalm 22:18 (Luke 23:34, Matthew 27:35-36)
38. Messiah's bones would not be broken Exodus 12:46, Psalm 34:20 (John 19:33-36)
39. Messiah would be forsaken by God Psalm 22:1 (Matthew 27:46)
40. Messiah would pray for his enemies. Psalm 109:4 (Luke 23:34)
41. Soldiers would pierce Messiah's side. Zechariah 12:10 (John 19:34)
42. Messiah would be buried with the rich. Isaiah 53:9 (Matthew 27:57-60)
43. Messiah would resurrect from the dead. Psalm 16:10, Psalm 49:15 (Matthew 28:2-7, Acts 2:22-32) na vitabu vyote vya injili
44. Messiah would ascend to heaven. Psalm 24:7-10 ( Mark 16:19, Luke 24:51)
45. Messiah would be seated at God's right hand Psalm 68:18, Psalm 110:1, (Mark 16:19, Matthew 22:44)
46. Messiah would be a sacrifice for sin. Isaiah 53:5-12 (Romans 5:6-8)


47. Messiah would return a second time. Daniel 7:13-14 (Revelation 19). Hii inasubiriwa itokee, hapa ndo ile final battle, mbivu na mbichi zitawekwa wazi. Kuna walimu wanatafsiri kuwa, yule ambaye waislam mnamwita Mahdi sijui (not sure of the name) ndo mpinga Kristo Mwenyewe, na battle kali sana itapigwa hapa na wote mnaomwamini huyo Mpinga Kristo ndipo mtakapotupwa motoni milele. Vita hiyo itatokea katika Mji wa Jerusalem na eneo hilo hadi leo lipo linaitwa Mlima wa Mizeituni, na kipo kama linavyoelezewa kwenye biblia hadi sasa. Bahati mbaya kwa wanaomwamini Allah itakuwa too late kwao kumkiri Kristo. Mpokee Yesu sasa muda ungalipo!
here we go
Uko vizuri sana
Lakini hapo kwenye kipengele cha 47 kaa kwa kutulia kabisaa
Kristo alitimiza yote
Hata hiyo Daniel uliyoiweka hapo ilitimia kwa Kristo
anza kuunganisha codes upya
tusiendelee kukaririshwa
 
Quran ni kitabu kilichokamilka, inakuaje baadhi yenu mnahangaika kuprove vitu kwa kuokoteza mambo ambayo baadhi ni dhahir mnakufuru.

Uislam umejitosheleza bila ukristo, ni ajabu kwa muislam kutojiamini na kuanza kujinasibisha na ukristo, kama wakristo wanavyoamini wamejitosheleza na Biblia.
 
kivipimtume wa Allah ajitaftie ujiko kwa mayahudi ilhali mayahudi ni watu walioghadhibikiwa na Allaah subhaanahu wa taalah. since walipelekewa manabii wengi sana na wakawakataa kiasi cha kuwatoa uhai baadhi yao.
Allah Hana uhusiano wowote wayahudi na hukuna documents yoyote ile inayoonyesha kuwa wayahudi walikuwa wanamwabudu Allah zaidi ya waarabu kutaka kuwahusia mitume na manabii wa kiyahudi na Mungu wao wanayemuita Allah
 
Hii hapa kiongozi: Na Fulfillment zake kwenye mabano. Utabiri huu ulitokea kwa muda wa maelefu ya miaka kwa nyakati tofauti tofauti na ukaja kutimia kweli.

Ukifanikiwa kusoma yote basi Roho Mtakarifu akuongoze katika kuijua kweli. Inatisha sana, kama huogopi basi wewe ndo basi tena.

Here we go....
1. Messiah would be born of a woman. Genesis 3:15 (Matthew 1:20 Galatians 4:4)
2. Messiah would be born in Bethlehem. Micah 5:2 (Matthew 2:1 Luke 2:4-6)
3. Messiah would be born of a virgin. Isaiah 7:14 (Matthew 1:22-23 Luke 1:26-31)
4. Messiah would come from the line of Abraham. (Genesis 12:3 Genesis 22:18 Matthew 1:1 Romans 9:5)
5. Messiah would be a descendant of Isaac. Genesis 17:19 Genesis 21:12 (Luke 3:34)
6. Messiah would be a descendant of Jacob. Numbers 24:17 (Matthew 1:2)
7. Messiah would come from the tribe of Judah. Genesis 49:10 (Luke 3:33, Hebrews 7:14)
8. Messiah would be heir to King David's throne. 2 Samuel 7:12-13 Isaiah 9:7 (Luke 1:32-33, Romans 1:3)
9. Messiah's throne will be anointed and eternal. Psalm 45:6-7 Daniel 2:44 (Luke 1:33, Hebrews 1:8-12)
10. Messiah would be called Immanuel. Isaiah 7:14 (Matthew 1:23)
11. Messiah would spend a season in Egypt. Hosea 11:1 (Matthew 2:14-15)
12. A massacre of children would happen at Messiah's birthplace. Jeremiah 31:15 (Matthew 2:16-18)
13. A messenger would prepare the way for Messiah. Isaiah 40:3-5 (Luke 3:3-6)
14. Messiah would be preceded by a forerunner Malachi 3:1 (Matthew 11:10)
15. Messiah would be rejected by his own people. Psalm 69:8, Isaiah 53:3 (John 1:11, John 7:5)
16. Messiah would be a prophet. Deuteronomy 18:15 (Acts 3:20-22)
17. Messiah would be preceded by Elijah. Malachi 4:5-6 (Matthew 11:13-14)
18. Messiah would be declared the Son of God Psalm 2:7 (Matthew 3:16-17)
19. Messiah would be called a Nazarene. Isaiah 11:1 (Matthew 2:23)
20. Messiah would bring light to Galilee. Isaiah 9:1-2 (Matthew 4:13-16)
21. Messiah would speak in parables. Psalm 78:2-4 Isaiah 6:9-10 (Matthew 13:10-15, 34-35)
22. Messiah would be sent to heal the brokenhearted Isaiah 61:1-2 (Luke 4:18-19)
23. Messiah would be a priest after the order of Melchizedek Psalm 110:4 (Hebrews 5:5-6)
24. Messiah would be called King. Psalm 2:6, Zechariah 9:9 (Matthew 27:37, Mark 11:7-11)
25. Messiah would enter Jerusalem on a donkey Zechariah 11:12 (Matthew 21:4-5)
26. Messiah would be praised by little children Psalm 8:2 (Matthew 21:16)
27. Messiah would be betrayed Psalm 41:9, Zechariah 11:12-13 (Luke 22:47-48, Matthew 26:14-16)
28. Messiah's price money would be used to buy a potter's field Zechariah 11:12-13 (Matthew 27:9-10)
29. Messiah would be falsely accused Psalm 35:11 (Mark 14:57-58)
30. Messiah would be silent before his accusers Isaiah 53:7 (Mark 15:4-5)
31. Messiah would be spat upon and struck Isaiah 50:6 (Matthew 26:67)
32. Messiah would be hated without cause. Psalm 35:19, Psalm 69:4 (John 15:24-25)
33. Messiah would be crucified with criminals Isaiah 53:12 (Matthew 27:38, Mark 15:27-28)
34. Messiah would be given vinegar to drink. Psalm 69:21 (Matthew 27:34, John 19:28-30)
35. Messiah's hands and feet would be pierced Psalm 22:16, Zechariah 12:10 (John 20:25-27)
36. Messiah would be mocked and ridiculed. Psalm 22:7-8 (Luke 23:35)
37. Soldiers would gamble for Messiah's garments Psalm 22:18 (Luke 23:34, Matthew 27:35-36)
38. Messiah's bones would not be broken Exodus 12:46, Psalm 34:20 (John 19:33-36)
39. Messiah would be forsaken by God Psalm 22:1 (Matthew 27:46)
40. Messiah would pray for his enemies. Psalm 109:4 (Luke 23:34)
41. Soldiers would pierce Messiah's side. Zechariah 12:10 (John 19:34)
42. Messiah would be buried with the rich. Isaiah 53:9 (Matthew 27:57-60)
43. Messiah would resurrect from the dead. Psalm 16:10, Psalm 49:15 (Matthew 28:2-7, Acts 2:22-32) na vitabu vyote vya injili
44. Messiah would ascend to heaven. Psalm 24:7-10 ( Mark 16:19, Luke 24:51)
45. Messiah would be seated at God's right hand Psalm 68:18, Psalm 110:1, (Mark 16:19, Matthew 22:44)
46. Messiah would be a sacrifice for sin. Isaiah 53:5-12 (Romans 5:6-8)


47. Messiah would return a second time. Daniel 7:13-14 (Revelation 19). Hii inasubiriwa itokee, hapa ndo ile final battle, mbivu na mbichi zitawekwa wazi. Kuna walimu wanatafsiri kuwa, yule ambaye waislam mnamwita Mahdi sijui (not sure of the name) ndo mpinga Kristo Mwenyewe, na battle kali sana itapigwa hapa na wote mnaomwamini huyo Mpinga Kristo ndipo mtakapotupwa motoni milele. Vita hiyo itatokea katika Mji wa Jerusalem na eneo hilo hadi leo lipo linaitwa Mlima wa Mizeituni, na kipo kama linavyoelezewa kwenye biblia hadi sasa. Bahati mbaya kwa wanaomwamini Allah itakuwa too late kwao kumkiri Kristo. Mpokee Yesu sasa muda ungalipo!
Nimemaanisha katika niliyoiandika mimi
 
Quran ni kitabu kilichokamilka, inakuaje baadhi yenu mnahangaika kuprove vitu kwa kuokoteza mambo ambayo baadhi ni dhahir mnakufuru.

Uislam umejitosheleza bila ukristo, ni ajabu kwa muislam kutojiamini na kuanza kujinasibisha na ukristo, kama wakristo wanavyoamini wamejitosheleza na Biblia.
Hapana haujitoshelezi kwakuwa haijulikani umetokea wapi zaidi ya mtu mmoja kusema alikuwa mapangoni kashushiwa kitabu
 
Samahani bwana mkubwa. Naweza kupata hata kifungu kimoja cha Injili ya Issa bin Maryam toka kwenye quran kama hutajali?
Injili ya asili iliyoteremshwa kwa Nabii Isa (عَلَیهِ‌السَّلام) haipo tena katika umbo lake la awali.Maandiko yaliyopo sasa yamepotoshwa na kubadilishwa na wanadamu kwa nyakati tofauti.
Aidha Qur’an ni kitabu kingine cha Allah kama ilivyokuwa Injil asilia.
 
Mwenyezi Mungu hana roho.
Labda unaweza kunielezea hiyo roho ipoje?
Acha uongo we maamuma.
Quran 4:171
Hakika Masihi Isa mwana wa Maryamu ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, na neno lake tu alilo mpelekea Maryamu, na ni roho iliyo toka kwake. Basi Muaminini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Wala msiseme

Hiyo hapo Quran inasema Isa ninRoho ya Allah na ipo wazi kuwa Isa ndio allah kwani wewe ulivyo ni zao la Roho yako.
 
Injili ya asili iliyoteremshwa kwa Nabii Isa (عَلَیهِ‌السَّلام) haipo tena katika umbo lake la awali.Maandiko yaliyopo sasa yamepotoshwa na kubadilishwa na wanadamu kwa nyakati tofauti.
Aidha Qur’an ni kitabu kingine cha Allah kama ilivyokuwa Injil asilia.
Blah blah na utumbo kama kawaida Yenu. Naomba Injili ya Issa bin Maryam ndani ya quran na sio hizo story zako.
 
Nakusaidia Kwa maswali mufti,,,Mumedai kwamba Mungu wenu Allah ni mmoja hajazaa na hawezi kuzaa....Swali linakuja hapa SURAT AL NAJM 53:16-21....
Mstari WA 21 anauliza '''Je ninyi mna watoto WA kiume na Yeye(Asw) ana watoto WA kike"""

Swali ni hili LATA UZZA NA MANATA ni mabinti WA Allah,,,,kama anadai hazai itakuwa anataga????
 
Yaani Injili itabiri ujiu wa mtu aliyeleta ibada za ushirikana majini?
Kati ya Uislam na ukristo dini ipi ina ibada za ushirikina kama sio ukristo?
Ukristo unamshirikisha Mungu kwa kumjaalia miungu wasaidizi wawili yaani mungu mwana na mungu roho mtakatifu.Ukristo una ibada za kishirikina za masanamu na kuomba kutumia watakatifu ili wawafikishie maombi yao kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom