Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Habari za ISSA WA waislam zipo hapa ...Surat MARYAM 19:19-25...zinamuelezea ISSA vizuri kabisa....Na habari nyingine inayoonyesha wazazi WA Huyo ISSA iko hapa .... MARYAM 19:28 ndani ya daftari linaloitwa Quran....ISSA ni WA kwenye quran tu.ni fake character...Na amekuwa fake Kwa Sababu mwanzilishi WA uislam hatothubutu kutumia jina la YESU kamwe,,, anamjua YESU ni Nani...
 
Habari za ISSA WA waislam zipo hapa ...Surat MARYAM 19:19-25...zinamuelezea ISSA vizuri kabisa....Na habari nyingine unanyonyesha wazazi WA Huyo ISSA uko hapa .... MARYAM 19:28 ndani ya daftari linaloitwa Quran....ISSA ni WA kwenye quran tu.ni fake character...Na amekuwa fake Kwa Sababu mwanzilishi WA uislam hatothubutu kutumia jina la YESU kamwe anamjua YESU ni Nani...
Nikuulize wewe yesu ni nani?
 
usilazimishe vitu ambavyo havipo hapo ndio nawashangaa hakuna muingiliano kati uya hivyo vitu viwili na wala mungu wa biblia siyo wa uko upande mwingine msitake kulazimisha upuuzi hapo kwanza hamuiamini iweje leo mseme inawahusu acha kabisa tena acha kabisa kulinganisha vitu visivyilingana kabisa
Huyu Mwandishi Luka anaripoti yaliyojiri huko enzi hizo kabla hata ya Mohamad
LUKA 24:44-49
Kisha Yesu akawaambia.Hayo ndiyo maneno yangu niliyo waambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyobakiwa katika Torati ya Musa,na katika manabii na Zaburi

Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko

akawaeleza ndiyo ilivyoandikwa kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu ,na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake ,habari ya toba na ondoleo La dhambi,kuanza tangu Yerusalem

nanyi (mitume)ndinyi mashahidi wa mambo haya

na tazama,nawaletea juu yenu nguvu (Roho Mtakatifu ) ahadi ya Baba yangu(Mungu )
Lakini kaeni humu mjini hata mvikwe uweza utokao juu


Ndiyo huyo aliyekuwa anaongelewa kwenye Kumbukumbu la Torati 18:18
na hao mitume ndio walikuwa miongoni mwa ndugu zake

Sasa huyo Mohammad sijui anaingiaje hapo
 
Yesu alikufa na kufufka kama ilivyotabiliwa,na akapaambingunu..point of collection
Namshukuru Mungu kwa jina la Yesu natoa pepo. Kama Yesu hakufufuka hakuna sababu ya kumwamini lakini tunaomwamini Yesu sisi ni mashahidi pale tunapolitaja jina lake
 
Je Lengo la Muumba kuruhusu uwepo wa dini tofauti ambazo watu wa miaka ya mbele wanakuja kupata mkanganyiko ni nini?
Allah hajaruhusu mikanganyiko ndio maana kila Umma ukapewa mtume wake pale unapo ng'ang'ania kumfata Mtume ambea Muda wake umekwishi ndio twaiyona mikanganyiko hii.
 
Hakuna bible original ila vitabu ila kuna vitabu vitabu vya Allah ambavyo ni original kabla ya Qur'an navyo ni Zabur,Taurat na Injil
Hata hivyo, kutokana na uingiliaji wa wanadamu, vitabu hivi vilipoteza usahihi wa asili yake. Kwa sasa, nakala zinazopatikana za Taurat na Injili ni zile zilizorekebishwa na kuhaririwa na wanadamu, na hivyo haviwezi kuaminika kama vitabu vya asili vilivyoteremshwa na Allah. Kwa upande mwingine, Zabur, ambayo ni kitabu alichoteremshiwa Nabii Daudi عَلَیهِ‌السَّلام, haipo tena katika umbo lake la asili, na hivyo hatuwezi kuipata katika hali yake ya awali.
Kama hakuna uhalali huo iweje utumie vitavu visivyo na uhalali kuhalalisha hoja yako.

Nadhani utakua na ugonjwa wa akili.
 
Kumbuka kuwa Yesu alipewa Injili na sio biblia

Ila Biblia kwa mujibu was maelezo yenu ni mkusanyiko wa vitabu vya mitume waliopita

Swali mlikusanya ili iweje?

Sheria za injili peke yake hazitoshi?

Ni hivi. Ukisema Injili ndiyo Maneno na Matendo ya Yesu Kristo mwenyewe aliyoyaongea na kuyatenda akiwa hapa duniani. Hakupewa wala kushushiwa kama Mtume wenu. Cha kufurahisha ni kwamba, injilo haikinzani na vitabu vya Agano la Kale, bali translation na simplification ya facts tu.
 
Unaweza kuweka mistari iliyomtabiria yesu ujio wake

Kutoka kwenye Bibkia naweza, uchoke tu mwenyewe maana iko mingi kweli, baada ya hapo nitakuwekea na mstari wa injili ambao Yesu mwenyewe alijitambulisha kuwa mimi ndimi niliyetabiriwa.

Ila uwe na hiyo biblia siyo nihangaike kuweka hapa halafu wewe unaenda kusoma kwenye Quran 🤣🤣. Hii itakuwa ni utani.
 
Hawezi kuutumia ukristo na biblia kumuelezea Muhammad Labda Uwe na akili ya mbuni... Waislam jikiteni kuutafuta ukweli mmoja mchungu ALLAH SUBHANA WATAALA NI NANI???? Mkijua ASW ni Nani mtajua pia aliemtuma Muhammad ni Nani?? **Aliewaletea jiwe La hajar al aswad ni Nani??
***Aliewadanganya kwamba majini ni ndugu zenu ni nani??
***Aliekuwa Mungu WA walioswali uchi kwenye msikiti wenu WA al Kaaba wenye jiwe mnalolisujudia Hadi Leo (na waswali uchi wakilibusu kulizunguka na kulisujudia kama Waislam WA Leo)) Asw ni Nani??
***Kwa nini Allah subhana ana majina karibu matano yanayofanana na majina ya makundi ya majini???Yeye Asw ana majina 99 na makundi ya majini yako 99???
 
Allah hajaruhusu mikanganyiko ndio maana kila Umma ukapewa mtume wake pale unapo ng'ang'ania kumfata Mtume ambea Muda wake umekwishi ndio twaiyona mikanganyiko hii.
Mjadala huu wa kwenye comments ukiufatilia vizuri inaona kua watu wameamini ila wameamini katika pande mbili tofauti, na kila mtu anatamani mwenzake atoke alipo aungane naye, wewe unavoona hili sio tatizo.?
 
Hakuna ushahidi wowote kuwa waarabu ni ndugu wa waisrael wala walitokana na Ishmael ni hisia tu na mbinu na waarabu kujinasubisha na wayahudi


Uislam na waislam wanahangaika sana. Ni imani inayoshindwa kusimama yenyewe na kujitegemea. Inatafuta kujiegemeza kwenye ukristo, wakati ukristo na wakristo hawana habari nao kwa sababu wana uhakika na wanachokiamini.

Ukweli ni kwamba, katika biblia hakuna mahali popote unapotajwa uislam wala Muhammad.

Mtu amehangaika kuokoteza okoteza habari ili kumpamba Mohamad na uislam.

Yesu hajawahi kuwa nabii. Yesu ni masiha, ni Neno aliyekuwepo kabla hata Ulimwengu kuwapo.

Yesu siyo Isa wa Waislam. Isa wa Waislam ni nabii. Yesu ni Kristo Masiha, Mungu Pamoja Nasi. Aliyepewa mamlaka yote, Duniani na Mbinguni.

Mt 28:18​

Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

Tumwombe Mungu wa huruma, kwa neema zake, awafunulie wamtambue na kumpokea Mungu wa kweli, wamtambue Kristo katika ukweli wake.

Yn 14:6​

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Yohana 14:8-9

Filipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, na yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwa pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? yeye aliyeniona mimi amemwona Baba; nawe wasemaje basi, Utuonyeshe Baba?

Wala msidanganyike kuwa Allah anayeabudiwa na waislam ndiye Mungu anayeabudiwa na Wakristo.

Quran inasema kuwa Allah ni bingwa wa uongo, wakati biblia inasema bingwa wa uongo ni shetani:

Yhn 8:
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanganya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.

Quran 1539.
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenipotosha na kunitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Katika aya hapo juu, Shetani anasema kuwa, Allah ndiye aliye mpotosha na kumfanya awe mbaya. Kumbe Allah ndie mwanzislishi wa upotoshaji/uongo? Ushaidi zaidi utaupata katia Surah na aya zifuatazo 3:54, 3:54, 7:123, 13:42, 14:46, 16:26, 16:45, 27:50, 40:45, 71:22 impf. act. 6:123, 6:123, 6:124, 8:30, 8:30, 8:30, 10:21, 12:102, 16:127, 27:70, 35:10 n.vb. 7:99, 7:99, 7:123, 10:21, 10:21, 12:31, 13:33, 13:42, 14:46, 14:46, 14:46, 27:50, 27:50, 27:51, 34:33, 35:10, 35:43, 35:43, 71:22 pcple. act. 3:54, 8:30
 
Kumbuka kuwa Yesu alipewa Injili na sio biblia

Ila Biblia kwa mujibu was maelezo yenu ni mkusanyiko wa vitabu vya mitume waliopita

Swali mlikusanya ili iweje?

Sheria za injili peke yake hazitoshi?
Alipewa injili na Nani??Nani alikwambia kuna Sheria za injili??
 
Uislam na waislam wanahangaika sana. Ni imani inayoshindwa kusimama yenyewe na kujitegemea. Inatafuta kujiegemeza kwenye ukristo, wakati ukristo na wakristo hawana habari nao kwa sababu wana uhakika na wanachokiamini.

Ukweli ni kwamba, katika biblia hakuna mahali popote unapotajwa uislam wala Muhammad.

Mtu amehangaika kuokoteza okoteza habari ili kumpamba Mohamad na uislam.

Yesu hajawahi kuwa nabii. Yesu ni masiha, ni Neno aliyekuwepo kabla hata Ulimwengu kuwapo.

Yesu siyo Isa wa Waislam. Isa wa Waislam ni nabii. Yesu ni Kristo Masiha, Mungu Pamoja Nasi. Aliyepewa mamlaka yote, Duniani na Mbinguni.

Mt 28:18​

Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

Tumwombe Mungu wa huruma, kwa neema zake, awafunulie wamtambue na kumpokea Mungu wa kweli, wamtambue Kristo katika ukweli wake.

Yn 14:6​

Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.

Yohana 14:8-9

Filipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, na yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwa pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? yeye aliyeniona mimi amemwona Baba; nawe wasemaje basi, Utuonyeshe Baba?

Wala msidanganyike kuwa Allah anayeabudiwa na waislam ndiye Mungu anayeabudiwa na Wakristo.

Quran inasema kuwa Allah ni bingwa wa uongo, wakati biblia inasema bingwa wa uongo ni shetani:

Yhn 8:
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanganya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.

Quran 1539.
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenipotosha na kunitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Katika aya hapo juu, Shetani anasema kuwa, Allah ndiye aliye mpotosha na kumfanya awe mbaya. Kumbe Allah ndie mwanzislishi wa upotoshaji/uongo? Ushaidi zaidi utaupata katia Surah na aya zifuatazo 3:54, 3:54, 7:123, 13:42, 14:46, 16:26, 16:45, 27:50, 40:45, 71:22 impf. act. 6:123, 6:123, 6:124, 8:30, 8:30, 8:30, 10:21, 12:102, 16:127, 27:70, 35:10 n.vb. 7:99, 7:99, 7:123, 10:21, 10:21, 12:31, 13:33, 13:42, 14:46, 14:46, 14:46, 27:50, 27:50, 27:51, 34:33, 35:10, 35:43, 35:43, 71:22 pcple. act. 3:54, 8:30
Kwa kutumia common sense za kawaida uislam unaongelea ukristo sababu ulifata baada yake.

This is very basic, au sio mkuu?
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye. Injili haiwezi kutabiri upotofu. Mohamad ni mtume aliyetumwa na Ibilisi kuharibu Injili ya Kristo na kuwapotosha watu.
 
Mjadala huu wa kwenye comments ukiufatilia vizuri inaona kua watu wameamini ila wameamini katika pande mbili tofauti, na kila mtu anatamani mwenzake atoke alipo aungane naye, wewe unavoona hili sio tatizo.?
Ni tatizo lililo sababishwa na binadam wenyewe
 
Huyu Mwandishi Luka anaripoti yaliyojiri huko enzi hizo kabla hata ya Mohamad
LUKA 24:44-49
Kisha Yesu akawaambia.Hayo ndiyo maneno yangu niliyo waambia nilipokuwa nikali pamoja nanyi ya kwamba ni lazima yatimizwe yote niliyobakiwa katika Torati ya Musa,na katika manabii na Zaburi

Ndipo akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko

akawaeleza ndiyo ilivyoandikwa kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu ,na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake ,habari ya toba na ondoleo La dhambi,kuanza tangu Yerusalem

nanyi (mitume)ndinyi mashahidi wa mambo haya

na tazama,nawaletea juu yenu nguvu (Roho Mtakatifu ) ahadi ya Baba yangu(Mungu )
Lakini kaeni humu mjini hata mvikwe uweza utokao juu


Ndiyo huyo aliyekuwa anaongelewa kwenye Kumbukumbu la Torati 18:18
na hao mitume ndio walikuwa miongoni mwa ndugu zake

Sasa huyo Mohammad sijui anaingiaje hapo
Roho Mtakatifu ni nani?
 
Back
Top Bottom