Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Hakuna mahala popote Muddy alipotabiriwa kuja kuwa mtume, yule utume alijipa mwenyewe kutokana na ujanja wake.
 
Ukristo Ndio ushetani wa Hali ya juu... wewe fikiria mtu ana shinda studio kuandika nyimbo, mtu hana kazi anategemea sadaka, Mwanaume anaenda kumsikiliza padri wa kike kavaa nguo za uchi nk nk nk

Ukristo ni dini ya shetani mlaaniwe 😂
Usiwe na hasira na kutokwa na povu hovyo, hivi kuna sheikh yeyote asiye mchawi? Viongozi wetu serikalini karibia wote wanaroga kupitia kwa masheikh na msaafu Iła sijapata kuona wala kusikia kiongozi anakwenda kwa padri kufanyiwa kafara la kuroga wenzake bali ni masheikh tu. Uislam bila shetani hauwezekani, Muddy aliwachezea sana akili.
 
Unaziaminije Satani Verse ?

Msomi wa PhD in Islamic History Salman Rushdie kathibitisha kuwa hizo ni Aya za Shetani.
Tutakuaminije wewe ngumbaru?

Hadi hii leo Rushdie anawaita mezani kama alikosea awathibitishie mshindane kwa hoja mnamkimbia.

Mara ya mwisho kawaalika wote ili awaambie ukweli, badala ya kwenda kimsikiliza mkamtuma kijana aliye mchoma kisu ili amuue.

Badala kumjibu mnamhukumu kumchinja na kama asingejificha na kulindwa na Uingereza mngesha mchinja na kufurahi.

Zakir Naik Mhubiri wa hiyo dini anaambiwa kila siku kwanini hutaki kufanya mdahalo na Rushidie hataki hata kujibu.

Naik ana degree ya udaktari wa binadamu na Qurani ameisoma kama gazeti tu na kukariri aya.

Rushdie ana PhD in Islamic History atawezaje kuongea naye.

Kwahiyo sisi tumwamini Mazinge na sio Rushdie mwenye Dini yake.

Sisi tunaamini hizo ni Satani Verses hadi mukae na kuongea na Rushdie na tupate mshindi na hamuwezi kuongea naye kwakuwa mnajua kabisa atawashinda na
Dini itakufa.

Kule pangoni Mwamedi aliambiwa na Shetani kuwa chukua hii dini yangu na ili watu wakuamini simulia stori za kwenye Torati, Zaburi na Injiri halafu waambie zimeharibiwa.

Pia waambie Manabii wote wa kwenye Biblia ni Waislamu.
Na kitabu cha kweli ni Qurani tu.
Halafu hakikisha unawashirikisha Majini kwenye hii Dini na uwape Sura moja kwanye hiki kitabu Sura ya Majini

Halafu waambie Hakuna Mungu ila Allah, na mtume wake ni Muhamadi tu. Hao wengine achana nao

Kabla hamjaongea hebu toeni majibu kwanini hamtaki kumjibu Salman Rushidie na mnataka kumwua tu ?
 
Mbona haujaleta ushahidi wowote wa uliyosema zaidi ya kubwabwaja
 
Mbona haujaleta ushahidi wowote wa uliyosema zaidi ya kubwabwaja
قُلْ مَن كَانَ عَدُوًّا لِّجِبْرِيلَ فَإِنَّهُ نَزَّلَهُ عَلَىٰ قَلْبِكَ بِإِذْنِ اللَّهِ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ وَهُدًى وَبُشْرَىٰ لِلْمُؤْمِنِينَ

[ AL - BAQARA - 97 ]
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
مَّا أَصَابَكَ مِنْ حَسَنَةٍ فَمِنَ اللَّهِ ۖ وَمَا أَصَابَكَ مِن سَيِّئَةٍ فَمِن نَّفْسِكَ ۚ وَأَرْسَلْنَاكَ لِلنَّاسِ رَسُولًا ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ شَهِيدًا

[ AN-NISAAI - 79 ]
Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako.
Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

وَأَنَّا ظَنَنَّا أَن لَّن نُّعْجِزَ اللَّهَ فِي الْأَرْضِ وَلَن نُّعْجِزَهُ هَرَبًا

(AL - JINN - 12)
Nasi tulijua kuwa hatutomshinda Mwenyezi Mungu duniani, wala hatuwezi kumponyoka kwa kukimbia.
 
Tolea maelezo sasa hizo aya ili ueleweke
 
Nipo Tayari Kusikiliza Mkuu!
Mimi napenda Sana Kupata Elimu na Kujifunza!

ila ningependa Kukucorrect Kidogo Mtume hakuandika Kitabu Chochote wala hadithi yoyote..
Ningependa Ukasome Science ya Hadithi utawajua 'Alama wa Hadithi au MustalahulHadithi walikuwa Kina nani!
Na walianza Karne Ipi na Ni miaka mingapi Baada ya Kufa Mtume..
Asante!
 
Ukiwaambia ulishakuwa mwenzao wanadharau,,,ukiwapa habari ya vitabu wanavyotakiwa wavisome Kwa bidii wanazipinga,,na kibaya Zaidi wanapinga mpaka maneno ya AL HABIB AISHA mke WA mtume wao...ubarikiwe Khamis Kwa kuuona ukweli..
Maneno yapi ya Aisha yaliyopingwa?
 
Ukiwaambia ulishakuwa mwenzao wanadharau,,,ukiwapa habari ya vitabu wanavyotakiwa wavisome Kwa bidii wanazipinga,,na kibaya Zaidi wanapinga mpaka maneno ya AL HABIB AISHA mke WA mtume wao...ubarikiwe Khamis Kwa kuuona ukweli..
Au wewe ujitungie maneno halafu useme ya bi Aisha halafu tukukubalie tu
 
Kuna aliekwambia ni mtu mmoja?

Nabii issa hakusulubiwa kwa kuwa aliesulubiwa amelaaniwa na mungu

Ila Yesu amelaaniwa na mungu ndio maana akasulubiwa

Hasa watakuwaje mtu mmoja.?

Umekurupuka mkuu.
YESU Kristo alilaaniwa alipokuwa msalabani ni kweli kabisa...Sasa elimu hasa ya ukristo huanzia hapo...Na hofu yangu mindset yako haitaweza kuielewa hio elimu..ALIFANYIKA DHAMBI ILI TUSAMEHEWE DHAMBI..ALIFANYIKA LAANA ILI SISI NA WAYAHUDI TUTOKE KWENYE LAANA YA TORATI NA NYINGINE ZA DUNIA,,,,NA KWA KUPIGWA KWAKE SISI.......ADHABU YA AMANI YETU..........UKIMUELEWA PAULO MTUME UTAELEWA,,KAZI LENGO NA DHUMUNI LA YESU KRISTO MASIHI...YESU NI TOPIC UNAYOTAKIWA KUDEDICATE MDA WAKO KUISOMA KWA MUDA WA KUTOSHA..ILA LAZIMA USIWE KIPOFU MWENYE ELIMU YA UWONGO MTUPU YA uislam.
 
Sasa mungu analaaniwaje
 
Ukiwaambia ulishakuwa mwenzao wanadharau,,,ukiwapa habari ya vitabu wanavyotakiwa wavisome Kwa bidii wanazipinga,,na kibaya Zaidi wanapinga mpaka maneno ya AL HABIB AISHA mke WA mtume wao...ubarikiwe Khamis Kwa kuuona ukweli..

Nakwambia hakuna mtu anayeweza kuichana Quran kama mtu aliyekuwa mwislam akaichambua Quran akakutana na magumashi yote. Kwanza hawezi kubaki kwenye hiyo imani.
 
Sasa mungu analaaniwaje
Uliza ''Mwana WA MUNGU analaaniwaje""" ?? Kwa wanaoelewa elimu ndio huanzia hapa..lakini bahati mbaya wewe ni KIPOFU WA akili hutoweza kuielewa...Hapa ndio tuna mhitaji Mtume Paulo....ambae vipofu walikwisha fundishwa kumchukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…