Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Ushahid wa Qur’an kuwa uislam na uroma ni dini moja nautaka vinginevyo hizo stori bakisha hukohuko kanisani kwenuBIKRA MARIA, KIUNGO KIKUU KATI YA UKATOLIKI NA UISLAMU
Linaweza kuwa jambo jipya kwako lakini binafsi kama utachukua muda wako kuchimba mambo utaona jambo hili dhairi. Uislamu umetoa mengi katika Ukatoliki wala si kitu kipya.
Jibu swali nililokuuliza kama unataka kama hautaki sio mbayaPunguza MUDA kujibu kila kitu pitia usome Lau utapata maarifa hata kidogo ya kukusaidia,,,la sivyo utakuwa unabisha kila kitu pasi na kujua wewe ni Sawa na kasuku aliekariri mambo mengi Ila hayaelewi...
We potezea tu mada nyingine 😃😀😄Wala siharibu mada, mbona hapa tunajadili zaidi ya mada moja ,hili swali ni gumu ndio maana unalikimbia sana
Yaani unataka kutoa ushahidi wa kuharibiwa torati kutoka Hadith na Quran zilizokuja miaka 3000 baadae ?😂😂
Ndio maana hili swali unaliogopa kama Ukimwi ,
Walagha Bin Naufal aliyembashiria Muhammadi kuwa ni Mtume alikuwa Dini gani?Lete ushahidi wa Qur’an kuwa uislamu na uroma ni dini moja
Acha porojo
Quran ni kitabu kilichotengenezwa na waroma ,ndio maana Padre Waraq alipofariki tu , Wahay ukakoma kuja , Muhammad akataka kujiua ....Ushahid wa Qur’an kuwa uislam na uroma ni dini moja nautaka vinginevyo hizo stori bakisha hukohuko kanisani kwenu
Mm naruka nazo zoteWe potezea tu mada nyingine 😃😀😄
Hapo nataka ushahidi wa maneno "jibashirie" na "ukiutengeneza"jibashirie kuwa ni mtume nami nitakuwa upande wako wa kulia wakati ukiutengeneza umma wako"
Unataka ushahidi wa Quran ambayo imetengenezwa na Warumi hao hao?Ushahid wa Qur’an kuwa uislam na uroma ni dini moja nautaka vinginevyo hizo stori bakisha hukohuko kanisani kwenu
Kwa hiyo baada ya hapo Qur’an haikuteremshwa tena?Quran ni kitabu kilichotengenezwa na waroma ,ndio maana Padre Waraq alipofariki tu , Wahay ukakoma kuja
Sasa mbona unang'ang'ania kuuliza swali ambalo hata wewe haujauona uzi huu lilishajibiwa na wewe kila siku unajibiwa lakini wewe unakomaa tu kurudia swali huku ukisema hujajibiwaMm naruka nazo zote
Ushahidi kwenye Qur’an tu ndo nautaka hiyo picha mimi hainihusu hakuna ninayemfuata hapoUnataka ushahidi wa Quran ambayo imetengenezwa na Warumi hao hao?
Yaani unataka wakwambie waziwazi ,watapataje sasa watu
View attachment 3253844
NARUDIA Tena unataka Qurani ambayo ni project ya wakatoliki iseme wao ndio waliutengeneza uislamu ,watapata wapi watu ?Ushahidi kwenye Qur’an tu ndo nautaka hiyo picha mimi hainihusu hakuna ninayemfuata hapo
Soma dogo.Hapo nataka ushahidi wa maneno "jibashirie" na "ukiutengeneza"
Hujajibu ,Sasa mbona unang'ang'ania kuuliza swali ambalo hata wewe haujauona uzi huu lilishajibiwa na wewe kila siku unajibiwa lakini wewe unakomaa tu kurudia swali huku ukisema hujajibiwa
Bila ushahidi wa Qur’an hizo ni stori tu za kijiweniNARUDIA Tena unataka Qurani ambayo ni project ya wakatoliki iseme wao ndio waliutengeneza uislamu ,watapata wapi watu ?
WAISLAM WANAMSWALIA MUHAMMAD AMBAYE HIVI SASA NI MAREHEMU NA WAKATOLIKI WANAMUOMBA MARIA AMBAYE HIVI SASA PIA NI MAREHEMU...UISLAM NI UKATOLIKI.View attachment 3253847
Hao ndio wamekutengenezea hiyo dini sasa ,jifunze utajua tu ,ndio maana uislamu hauwezi kusimama wenyewe ,hata manabii wa kiyahudi ,uislamu unasema ni manabii waoUshahidi kwenye Qur’an tu ndo nautaka hiyo picha mimi hainihusu hakuna ninayemfuata hapo
Hao ndio waliokutengenezea hiyo diniBila ushahidi wa Qur’an hizo ni stori tu za kijiweni
Na hizo picha unazoniletea simtambui hata mmoja
😃😀😄Hujajibu ,
Haya nijibu ,viliharibiwa kwa ushahidi upi ,
Ushahidi wa Qur’an nautakaHao ndio wamekutengenezea hiyo dini sasa ,jifunze utajua tu ,ndio maana uislamu hauwezi kusimama wenyewe ,hata manabii wa kiyahudi ,uislamu unasema ni manabii wao
Uislamu ni project ya mrumi ,lengo ilikuwa kuiteka Yerusalemu