Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Wewe dhehebu lako ndo limetokana na roma kwa sababu nyote mnaamini yesu ni mungu
Yesu ni Mungu kwa mujibu wa maandiko ,sio Roma

Waroma walianzisha project ya Uislamu, mbona inajulikana hii ,
 
Yesu ni Mungu kwa mujibu wa maandiko ,sio Roma

Waroma walianzisha project ya Uislamu, mbona inajulikana hii ,
Sasa mbona mafundisho ya dhehebu lako ndo yanafanana na roma zaidi mnatumia kitabu kimoja

Kuhusu uislam kuwa uroma big NOOOOOOO mpk nipate ushahid wa Qur’an na ninajua kuwa haupo
 
Ongeza na hili:

Mathayo 28:18​

Yesu akaja karibu, akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

Waislam, baada ya kifo watatamani warudishwe Duniani ili waje wawaambie wenzao kuwa walipotoshwa na mafundisho potofu, pale watakapomwona Yesu Kristo Masiha, Mwanakondoo wa Mungu, katika kiti cha enzi, akiwahukumu wanadamu wote, akiwa amezungukwa na wale walioyaosha mavazi yao kwenye damu ya mwanakondoo.

Najua kuna waislam wanaotamani kumtumikia Mungu wa kweli. Msikate tamaa, ombeni sana neema ya Mungu ili mpate kufunuliwa na kuijua kweli ya Mungu.

Yesu Kristo anasema, "Mimi ndimi ufufuo na uzima. Tena nasema, 'kila aliye wa ukweli huisikia sauti yangu"

Kuna Mungu mmoja tu aliye wa ukweli, naye ni Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, ambaye alifunuliwa kwa wanadamu wote, na mwanaye wa pekee, nafsi ya pili ya Mungu, aliyepewa mamlaka yote Duniani na mbinguni.

Huyu Yesu, nafsi ya Mungu, ndiyo nafsi pekee ya Mungu iliyouvaa ubinadamu ili iishi na mwanadamu, ndiyo maana aliitwa,"Mungu pamoja nasi"

Mungu Baba ameagiza kuwa tumsikilize Yeye.

MAthayo 17:
5 Petro alipokuwa bado akizungumza, ghafla, wingu linalong’aa likatanda juu yao na sauti ikatoka kwenye wingu hilo ikasema, “Huyu ni mwanangu mpendwa, ambaye nimependezwa naye; msikilizeni yeye.”
 
Hili swali niliwauliza MASHEIKH wakabaki wanajiumauma ,kwahiyo nakuelewa sana kwanini unalikimbia

Maana uislamu ni dini ya juzi juzi tu hapa ,
Majibu mbona yapo wazi hata wewe unajibiwa kila siku lakini kwa makusudi unasema eti sijajibiwa 😃 swali rahisi tu hilo
 
Sasa mbona mafundisho ya dhehebu lako ndo yanafanana na roma zaidi mnatumia kitabu kimoja

Kuhusu uislam kuwa uroma big NOOOOOOO mpk nipate ushahid wa Qur’an na ninajua kuwa haupo
Biblia sio kitabu cha waroma

Roman empire ilijivika vazi la dini tu, na moja ya project yake ni uislamu

Waislam wengi HAWANA ELIMU, UKATOLIKI NA UISLAM NI IDENTICAL TWINS, MAPACHA WANAOFANANA.

WAISLAM WANATAKIWA WAWAHESHIMU NA KUWASUJUDIA WAKATOLIKI KULIKO KITU CHOCHOTE.

WAKATOLIKI NDIO WALIOWAPA MTUME MUHAMMAD...: Muhammad kapewa Utume na Padri Warraq.

Huyu Padri Waraq, ni Kama allah wao ndiye aliyekuwa anampa Muhammad Wahy/Ufunuo.

Kwa Heshima ya Wakatoliki, Ndo mana Unakuta kwenye Quran Kuna Surah nzima ya Maryam.

Maneno Yoooote Unayosoma Kwenye Quran yanayohusu Manabii wengine nje na Muhammad, ni Wahy/Ufunuo toka kwa allah Padri Warq

Waislam Wanamwabudu Marehemu Muhammad
Wakatoliki Wanamwabudu Marehemu Mariam. Everyone
 
Majibu mbona yapo wazi hata wewe unajibiwa kila siku lakini kwa makusudi unasema eti sijajibiwa 😃 swali rahisi tu hilo
Unaliogopa hilo swali Hadi NACHEKA

Haya viliharibiwa kwa ushahidi upi ,halafu tuanze hii mada ,
 
Tulishaeleza huko kuhusu ubinadamu wa Yesu ,na Uungu wake ,

Hakuna jipya hapa ,
 
Mbona hakuna ushahidi wa Qur’an wala hadith ulioleta
 
Unaliogopa hilo swali Hadi NACHEKA

Haya viliharibiwa kwa ushahidi upi ,halafu tuanze hii mada ,
Jana nimeweka ushahidi wa Qur’an na hadith kuhusu hilo suala lakini bwana hamis ndo limekuwa kichaka chako cha kujificha duh!!!
 
Jana nimeweka ushahidi wa Qur’an na hadith kuhusu hilo suala lakini bwana hamis ndo limekuwa kichaka chako cha kujificha duh!!!
Yaani Quran na Hadith za juzi juzi hapa zimekuja miaka 3000 baada ya biblia ndio vithibitishe iliharibiwa

Utamshawishi nani huo ujinga Mzee ,hebu tumieni basi elimu

Quran imekuja ,biblia ipo tayari miaka zaidi ya 2000 ,

Hili ni jibu la ovyo sana kuwahi kulisikia,ndio maana hili swali na hii mada hutaki kusikia kabisa
 
Jifiche 😃
 
Jifiche 😃
Ona aibu Mzee ,tumia hata elimu, ndio maana nasema uislamu ni dini ya ujanjaujanja sana

Yaani hata tahira huwez kumshawishi hiyo hoja ,

Quran na hadithi zimekuja miaka 3000 baada ya biblia ,

Halafu ndio vithibitishe kuwa Biblia ni uongo ,

Ni mpumbavu pekee atakayeiamini Quran na hadithi
 
Nikuulize swali kwa nini mnamwabudu mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…