TUKUSIKILIZE WEWE mla Biriani,au manabii wa Yehova ?Hakuna mungu hapo binadamu tu huyo kama ulivyo wewe
Yeye mwenyewe kajisema yeye ni mtuTUKUSIKILIZE WEWE mla Biriani,au manabii wa Yehova ?
Nishaeleza huko juu zaidi ya mara 5Mbona hakuna ushahidi wa Qurโan wala hadith ulioleta
Na pia kajisema ni mwana wa Mungu, na Mungu, na kajisema ni Alfa na Omega yaani mwanzo na mwishoYeye mwenyewe kajisema yeye ni mtu
Nakujibu kila siku wewe ungekubali kuona kila siku mtu anakuuliza swali unalomjibu kila sikuUmebadili mada ?๐maliza kwanza hiyo au umeshindwa kujibu tuhamie nyingine
Qurโan Qurโan ndiyo iseme kuhusu hiloNishaeleza huko juu zaidi ya mara 5
Nakupa historia , Uislamu ni project ya Roman empire kuiteka Yerusalemu,ndio maana vita pale mashariki ya kati
Wakatoliki ndio walioanzisha Uislamu Ili kuwaweka waarabu ndani ya utawala mmoja wa kiimani, kabla waarabu walikuwa wakiabudu miungu yao mbalimbali kupitia masanamu Ili iwe rahisi kuwatawala, Majasusi wa Shirika la Jesuit vatican wakaanzisha dini mpya itwayo islam,itakayowaunganisha waarabu wote kiimani mwaka 600 BC.
Mapadre watano wa kikatoliki ndio walioandika kitabu cha Quran na kumtafuta mwanamke mfanyabiashara aitwae Bi Hadija na kumpa utajiri. Bi khadija ndie alimtafuta kijana aitwae Muhammad akamkabidhi kwa mapadre wa kikatoliki ndio waliomfunza Quran mapangoni.
Ndipo Uislamu ukaenea kwa kasi Sana Katika nchi za kiarabu ambazo zamani zilikuwa ni nchi za Kikristo ukavuka mpaka na kutaka kuingia nchi za Ulaya mashariki kutokea Uturuki Ili kwenda kuiteka Vatican, Majasusi wa Jesuit wakaingia tena vitani wakarudisha nyuma kupitia vita vya msalaba waarabu wakala Sana panga toka vatican wakarudi nyuma, rejea vita vya msalaba na ottoman empire.
Majuzi magaidi wa ISIS tokea iraq wakataka kuendeleza mpango ulioshindwa wa ottoman empire kuupenyesha utawala wa kiislamu Ulaya. Wakasambaratishwa na USA na NATO na kumuua Al baghad kiongozi wa ISIS.
Huku kundi la ISIL tawi la ISIS Syria likipelekwa kuzimu na ndege za Putin.
Quran ni kitabu cha hao hao wakatoliki ,Qurโan Qurโan ndiyo iseme kuhusu hilo
๐๐๐Hujawahi na hutawahi kujibu hilo swali ,unaliogopa kama niniNakujibu kila siku wewe ungekubali kuona kila siku mtu anakuuliza swali unalomjibu kila siku
Kwa hiyo kila walioitwa wana wa mungu ni miungu?Na pia kajisema ni mwana wa Mungu, na Mungu, na kajisema ni Alfa na Omega yaani mwanzo na mwisho
Au unadhani sisi tunadokoa andiko moja moja
Nataka Qurโan ithibitishe hayoQuran ni kitabu cha hao hao wakatoliki ,
Nakupa historia
WAISLAMU wanasema Wakristo na Wayahudi wauwawe
Sera ile ile ya Roman Catholic
Nazi wa Katoliki waliwalazimisha Wayahudi kuwa Wakatoliki la sivyo wafe:
Chanzo kimoja kinasema: โHitler pia alikuwa tayari kuzungumza na Askofu maoni yake juu ya swala la Wayahudi:
โKwa upande wa Wayahudi, ninaendelea na sera ileile ambayo kanisa la Katoliki lilichukua kwa miaka mia tano, wakati lilipowaona Wayahudi kama watu wa Hatari na kuwasukumia katika mageto [ghettos] nk, kwa sababu lilijua jinsi Wayahudi walivyokuwa. Mimi siweki mashindano juu ya dini, lakini ninaona hatari kwa wawakilishi wa mashindano haya ya Kanisa na Serikali, na labda ninafanya Ukristo kuwa huduma kubwa.โ โ
(The Nazi Persecution of the Churchesโ by J.S. Conway, Pgs.25)
Ni sawa na mtuhumiwa umpe nafasi ajiteteeNataka Qurโan ithibitishe hayo
Sawa sijawahi kukujibu๐๐๐Hujawahi na hutawahi kujibu hilo swali ,unaliogopa kama nini
Porojo tu!!!Ni sawa na mtuhumiwa umpe nafasi ajitetee
Unaelewa maana ya Alfa na Omega?Kwa hiyo kila walioitwa wana wa mungu ni miungu?
Sio wewe hata MASHEIKH WALISHINDWA ,maana ukiambiwa leta original hunaSawa sijawahi kukujibu
Ila hamis bwana ๐๐๐
Unamaanisha nini unaposema wa kwanza na wa mwishoUnaelewa maana ya Alfa na Omega?
Unajua mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi ni Mungu pekee ?
Hizi Sifa nani anazo?
Naomba majibu ,ngoja nianze mtundo wa kukupiga maswali
Acha propaganda!!!!!!!!!!Sio wewe hata MASHEIKH WALISHINDWA ,maana ukiambiwa leta original huna
Uthibitisho ziliharibiwa huna
Lazima uweke porojo
Nyinyi viazi tu Sasa hivi tumeamua kuwapuuza. Eti jibrili๐Ushahidi ndo huo umeshaupata sio wewe ukiambia lete ushahidi porojo nyiiiiiiingi ๐
Sasa wewe ukitaka awe naniNyinyi viazi tu Sasa hivi tumeamua kuwapuuza. Eti jibrili๐
Ukichaa siyo tusi. Waislam wengi ni vichaa Kama wewe๐ wanasema mbinguni Kuna kusenyentana๐๐ Mara ooo mbinguni lugha inayozungumzwa ni kiarabu๐๐๐ mmeshazoea porojo tu.Ushahidi umeshindwa kuuleta umeleta matusi tu ๐