Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Aiseee Muraaa hapo Bado Upo kwenye Injili ile ile ya baada ya yesu kuondoka umepiga round about..

umenukuu kutoka ndani ya injili ndani ya kitabu cha Mathayo no 50 kilicho andikwa mwaka 1240..

Swali langu huu utakatifu wa hiki kitabu umetokea wapi wakati yesu hakuthibitisha kama ni maneno yake thabiti?
Tukitumia darubini hiyo hiyo,unathibitisha vipi kwamba Quran ni maneno ya Allah? Allah hajathibisha kwamba ni maneno yake, Quran nzima ni maneno ya Mohamed. Lete proof kutoka kwa Allah akithibitisha kwamba Quran ni maneno yake,usinukuu maneno ya Mohamed kutoka kwenye Quran tafadhali.
 
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Umevuta bange ya wapi weye??uongo mwingiii hamna kitu hapo
 
Elohim ni Kiebrania, lenye asili ya lugha ya Kisemiti, na linatumika katika Biblia ya Kiebrania.

YHWH ni jina la pekee la Mungu katika Uyahudi, na linahusiana na ufunuo wa Mungu kwa Musa.

Allah ni mungu wa kiarabu

Muhammad anasema Allah ni shetani

View attachment 3255289
We jamaa kilaza sana na ndio maana umepotea

Nimekuambia YEHOVA ni neno la kigiriki na Mungu hajawahi kuleta Mtume mgiriki hivyo Mungu hajawahi kujiita YEHOVA sijui JEHOVAH haya ni majina ya Miungu ya kigiriki

The word "JEHOVAH" was formed by merging the three vowels (e, o, and a) of the word ELOAH, into the Romanized (Latinized) four letter version JHVH (i.e. JeHoVaH). This was an early concoction. The word "YAHWEH" was formed by merging the vowels (a, and e) of the word HASHEM into the four letter version YHWH (i.e. YaHWeH). This was a more recent invention.

Majina ambayo Mungu alijifunua Kwa manabii wa Israel ni haya hapa

Many of the Jewish names for God are from Hebrew sources, including the Hebrew Bible. Rabbinic Judaism recognizes seven especially holy names for God:

El ("God")
Eloah ("God")
Elohim ("Gods")
Shaddai ("Almighty")
Ehyeh ("I am")
Tzevaot ("[of] Hosts")


Yani nyinyi wagalatia Wazungu wamekudanganeni hadi mmekuwa vipofu
 
Biblia si kitabu kilichoorozwesha katika vitabu walivyoshushiwa manabii na yesu hakusushiwa biblia au una andiko linasema yesu kashushiwa biblia.
KAMA LIPO LETE HAPA
Habari ya kushushiwa vitabu ni yenu waislam tu, wakristo vitabu vyetu havijashushwa . Kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo ni inspiration ya roho mtakatifu.

Musa hakuwepo enzi za Adam lakini roho mtakatifu alimuongoza kuandika matukio ya kabla ya wakati wake . Yohana hatakuwepo mwisho wa nyakati lakini roho mtakatifu alimuongoza kuandika habari za ufunuo wa siku za mwisho .

Tena ukisoma Bible inaenda kwa mtiririko mzuri kabisa kuanzia mwanzo wa nyakati mpaka mwisho. Quran yenu haieleweki mwanzo ni wapi na mwisho ni wapi!! Matukio ya manabii yamepachikwa tu,ili uelewe inabidi ukasome Hadith za akina Bukhari 😎.


"Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu".

Quran 18:60.

Naomba utuambie huyu kijana wake Musa ni nani? Kutoka kwenye Quran,usikimbilie kwenye Hadith za wanadamu ambazo hazijashushwa na Allah kutoka mbinguni tafadhali.
 
Habari ya kushushiwa vitabu ni yenu waislam tu, wakristo vitabu vyetu havijashushwa . Kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo ni inspiration ya roho mtakatifu.

Musa hakuwepo enzi za Adam lakini roho mtakatifu alimuongoza kuandika matukio ya kabla ya wakati wake . Yohana hatakuwepo mwisho wa nyakati lakini roho mtakatifu alimuongoza kuandika habari za ufunuo wa siku za mwisho .

Tena ukisoma Bible inaenda kwa mtiririko mzuri kabisa kuanzia mwanzo wa nyakati mpaka mwisho. Quran yenu haieleweki mwanzo ni wapi na mwisho ni wapi!! Matukio ya manabii yamepachikwa tu,ili uelewe inabidi ukasome Hadith za akina Bukhari 😎.

You are here:
Home
Library
Stories of the Prophets
Story of Yusha ibn Nun (Joshua), The
Anwar al-Awlaki
Stories of the Prophets
Previous Article
Story of Ayyub (Job), The
Next Article
Story of Dawud (David), The
"The sun has never stopped for any man besides Yusha when he wanted to conquer Bayt al-Muqaddis."

When Musa passed away, the leadership of Bani Isra'il passed to Yusha ibn Nun. Yusha ibn Nun is not mentioned directly in the Qur'an but he is the servant of Musa who is referred to in the following verse of the Qur'an.

"Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu".

Quran 18:60.

Naomba utuambie huyu kijana wake Musa ni nani? Kutoka kwenye Quran,usikimbilie kwenye Hadith za wanadamu ambazo hazijashushwa na Allah kutoka mbinguni tafadhali.
Sasa hilo swali lina umuhimu gani
 
Habari ya kushushiwa vitabu ni yenu waislam tu, wakristo vitabu vyetu havijashushwa . Kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo ni inspiration ya roho mtakatifu.

Musa hakuwepo enzi za Adam lakini roho mtakatifu alimuongoza kuandika matukio ya kabla ya wakati wake . Yohana hatakuwepo mwisho wa nyakati lakini roho mtakatifu alimuongoza kuandika habari za ufunuo wa siku za mwisho .

Tena ukisoma Bible inaenda kwa mtiririko mzuri kabisa kuanzia mwanzo wa nyakati mpaka mwisho. Quran yenu haieleweki mwanzo ni wapi na mwisho ni wapi!! Matukio ya manabii yamepachikwa tu,ili uelewe inabidi ukasome Hadith za akina Bukhari 😎.


"Na pale Musa alipo mwambia kijana wake: Sitoacha kuendelea mpaka nifike zinapo kutana bahari mbili, au nitaendelea kwa muda mrefu".

Quran 18:60.

Naomba utuambie huyu kijana wake Musa ni nani? Kutoka kwenye Quran,usikimbilie kwenye Hadith za wanadamu ambazo hazijashushwa na Allah kutoka mbinguni tafadhali.
Wewe mbona unatumia vitabu vilivyo vya wanadamu
 
Elohim ni Kiebrania, lenye asili ya lugha ya Kisemiti, na linatumika katika Biblia ya Kiebrania.

YHWH ni jina la pekee la Mungu katika Uyahudi, na linahusiana na ufunuo wa Mungu kwa Musa.

Allah ni mungu wa kiarabu

Muhammad anasema Allah ni shetani

View attachment 3255289
We jamaa kilaza sana na ndio maana umepotea

Nimekuambia YEHOVA ni neno la kigiriki na Mungu hajawahi kuleta Mtume mgiriki hivyo Mungu hajawahi kujiita YEHOVA sijui JEHOVAH haya ni majina ya Miungu ya kigiriki

The word "JEHOVAH" was formed by merging the three vowels (e, o, and a) of the word ELOAH, into the Romanized (Latinized) four letter version JHVH (i.e. JeHoVaH). This was an early concoction. The word "YAHWEH" was formed by merging the vowels (a, and e) of the word HASHEM into the four letter version YHWH (i.e. YaHWeH). This was a more recent invention.

Majina ambayo Mungu alijifunua Kwa manabii wa Israel ni haya hapa

Many of the Jewish names for God are from Hebrew sources, including the Hebrew Bible. Rabbinic Judaism recognizes seven especially holy names for God:

El ("God")
Eloah ("God")
Elohim ("Gods")
Shaddai ("Almighty")
Ehyeh ("I am")
Tzevaot ("[of] Hosts")


Yani nyinyi wagalatia Wazungu wamekudanganeni hadi mmekuwa vipofu
 
Sote ni wana wa Mungu sio yesu peke yake!!!
Wewe ni muislamu huwezi juwa mwana wa Mungu, Mungu wenu hana mwana,nyinyi kwake ni watumwa tu. Una haki ya kubisha kwamba Yesu sio mwana wa Mungu kwa sababu ndiyo msingi wa dini yako . Hata mtu akijaribu kukuelewesha hutaelewa.
 
Wewe ni muislamu huwezi juwa mwana wa Mungu, Mungu wenu hana mwana,nyinyi kwake ni watumwa tu. Una haki ya kubisha kwamba Yesu sio mwana wa Mungu kwa sababu ndiyo msingi wa dini yako . Hata mtu akijaribu kukuelewesha hutaelewa.
Haya nyinyi mlio wana wa mungu je nyote ni miungu
 
Wewe mbona unatumia vitabu vilivyo vya wanadamu
Vitabu vyetu mna vikana kwamba vimechakachuluwa,ndiyo nataka ulete jibu kutoka kwenye Quran ambayo haijabadilika hata nukta kutoka kwa Allah.
 
Vitabu vyetu mna vikana kwamba vimechakachuluwa,ndiyo nataka ulete jibu kutoka kwenye Quran ambayo haijabadilika hata nukta kutoka kwa Allah.
Wewe mbona unatumia vitabu vya wanadamu?
 
Haya nyinyi mlio wana wa mungu je nyote ni miungu
Kuwa wana wa Mungu maana yake tumekuwa sehemu ya ufalme wake kupitia kifo na ufufuo pamoja na msamaha wa dhambi kupitia mwanae Yesu kristo. Tuna haki ya kwenda kuishi mbinguni pale yeye alipo kwa watoto wake .

Msingi wa imani yetu haufanani na imani yenu hata kidogo,ili waislam mpate msamaha wa dhambi siku ya kiama itabidi mtutoe wakristo na wayahudi kama kafara. Wakristo yesu alikufa na kufufuka kwa ajili yetu,alilipa bei ya dhambi zetu.

Kwenye uislamu wakristo na wayahudi tutawatolea kafara ili msiingie motoni.
 
HAJAZAA WALA HAJAZALIWA NA HAKUNA ANAYE FANANA NAE
Hawezi kuzaa kwa sababu hana mshirika,Mungu wenu uwezo wake ni mdogo na ndiyo maana anasema ukweli kuhusu kutoweza kuzaa.
 
Kuwa wana wa Mungu maana yake tumekuwa sehemu ya ufalme wake kupitia kifo na ufufuo pamoja na msamaha wa dhambi kupitia mwanae Yesu kristo.
Kumbe yesu sio Mungu ila ni mwana wa Mungu
 
Huyo yesu we umewahi kumuona
Kwani wewe umemuona Muhamed? Ila unaamini ni nabii pamoja na mdhambi yake yote,pamoja na kupingana na maandiko yaliyokuja kabla yake ikiwemo kufa na kufufuka kwa Yesu.
 
Kwani wewe umemuona Muhamed? Ila unaamini ni nabii pamoja na mdhambi yake yote,pamoja na kupingana na maandiko yaliyokuja kabla yake ikiwemo kufa na kufufuka kwa Yesu.
Sasa kwa nini unatuuliza kuwa tunajuaje kuwa alishushiwa yesu wakati hatujamuona
 
Toa ushahidi wa hilo
Kasome Sahih Muslim 2767 kwa kiswahili kisha urudi hapa.


Sahih Muslim 2767 d
Abu Burda reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
There would come people amongst the Muslims on the Day of Resurrection with as heavy sins as a mountain, and Allah would forgive them and He would place in their stead the Jews and the Christians. (As far as I think), Abu Raub said: I do not know as to who is in doubt. Abu Burda said: I narrated it to 'Umar b. 'Abd al-'Aziz, whereupon he said: Was it your father who narrated it to you from Allah's Apostle (ﷺ)? I said: Yes.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عَمْرِو بْنِ عَبَّادِ بْنِ جَبَلَةَ بْنِ أَبِي رَوَّادٍ، حَدَّثَنَا حَرَمِيُّ بْنُ عُمَارَةَ، حَدَّثَنَا شَدَّادٌ أَبُو طَلْحَةَ الرَّاسِبِيُّ، عَنْ غَيْلاَنَ بْنِ جَرِيرٍ، عَنْ أَبِي بُرْدَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يَجِيءُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ نَاسٌ مِنَ الْمُسْلِمِينَ بِذُنُوبٍ أَمْثَالِ الْجِبَالِ فَيَغْفِرُهَا اللَّهُ لَهُمْ وَيَضَعُهَا عَلَى الْيَهُودِ وَالنَّصَارَى ‏"‏ ‏.‏ فِيمَا أَحْسِبُ أَنَا ‏.‏ قَالَ أَبُو رَوْحٍ لاَ أَدْرِي مِمَّنِ الشَّكُّ ‏.‏ قَالَ أَبُو بُرْدَةَ فَحَدَّثْتُ بِهِ عُمَرَ بْنَ عَبْدِ الْعَزِيزِ فَقَالَ أَبُوكَ حَدَّثَكَ هَذَا عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قُلْتُ نَعَمْ ‏.‏

Book 50, Hadith 60.
 
Kasome Sahih Muslim 2767 kwa kiswahili kisha urudi hapa.


Sahih Muslim 2767 d
Abu Burda reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
There would come people amongst the Muslims on the Day of Resurrection with as heavy sins as a mountain, and Allah would forgive them and He would place in their stead the Jews and the Christians. (As far as I think), Abu Raub said: I do not know as to who is in doubt. Abu Burda said: I narrated it to 'Umar b. 'Abd al-'Aziz, whereupon he said: Was it your father who narrated it to you from Allah's Apostle (ﷺ)? I said: Yes.

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عَمْرِو بْنِ عَبَّادِ بْنِ جَبَلَةَ بْنِ أَبِي رَوَّادٍ، حَدَّثَنَا حَرَمِيُّ بْنُ عُمَارَةَ، حَدَّثَنَا شَدَّادٌ أَبُو طَلْحَةَ الرَّاسِبِيُّ، عَنْ غَيْلاَنَ بْنِ جَرِيرٍ، عَنْ أَبِي بُرْدَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏ "‏ يَجِيءُ يَوْمَ الْقِيَامَةِ نَاسٌ مِنَ الْمُسْلِمِينَ بِذُنُوبٍ أَمْثَالِ الْجِبَالِ فَيَغْفِرُهَا اللَّهُ لَهُمْ وَيَضَعُهَا عَلَى الْيَهُودِ وَالنَّصَارَى ‏"‏ ‏.‏ فِيمَا أَحْسِبُ أَنَا ‏.‏ قَالَ أَبُو رَوْحٍ لاَ أَدْرِي مِمَّنِ الشَّكُّ ‏.‏ قَالَ أَبُو بُرْدَةَ فَحَدَّثْتُ بِهِ عُمَرَ بْنَ عَبْدِ الْعَزِيزِ فَقَالَ أَبُوكَ حَدَّثَكَ هَذَا عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قُلْتُ نَعَمْ ‏.‏

Book 50, Hadith 60.
Wapi wamesema inabidi tuwatoe kafara?
 
Back
Top Bottom