Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Kwa nini mara zote ulikuwa huniuliziQuran inajulikana ni ya juzi tu hapa ,
Unapouliza habari za Yesu huwez kuzipata kwenye Quran
Ndio maana nimekuuliza unaamini Zaburi ?jibu ndio au hapana
Maana nataka kukujibu kwa Zaburi ,humo Yesu kaelezewa kama Mungu sehemu kubwa ,sasa kabla sijaanza sitaki kupoteza muda ,kwa uliiza maswali yale yale
Mimi Sina Zaburi sawa, hii iliyo kwenye biblia kama sio Zaburi, Zaburi yenyewe ipo wapi?Wewe huna Zabur
Labda uniambie biblia
Ndiyo niko hapa najitahidi kujifunza taratibu, na pitia vitabu vyote ndo maana mara nyingi , naomba maandiko na uthibitisho katika vitabu vya hizi dini , ili kujifunza zaidi.Mwambie akujibu
Lakini pia wewe unaweza kutafuta vitabu vya dini zote ili kujiridhisha usiangalie vitabu vya upande mmoja.
Biblia ipo miaka 3000 kabla ya Quran ,Kwa nini mara zote ulikuwa huniulizi
Kumbuka kuwa hata biblia ni kitabu cha juzi
Sasa kama umekiri kuwa kuna mungu mwenye uhusiano na mungu mwingine hapo kutakuwa na mungu mmoja kweli!!!Sasa huo ndio utatu? Kasome Dogma ya utatu inasemaje
Yesu kuwa Mungu ni maandiko haihusihani na Utatu
Hapa nimekupata.Utatu sio fundisho la biblia ,nimejibu huko juu ,Siamini utatu
Roman Catholic ni state iliyojivika vazi la dini, yenyewe haitegemei Biblia kama msingi wao wa maandiko ,Roman Catholic wanategemea mapokeo sawa na Uislamu kumtegemea Hadithi piaNdiyo niko hapa najitahidi kujifunza taratibu, na pitia vitabu vyote ndo maana mara nyingi , naomba maandiko na uthibitisho katika vitabu vya hizi dini , ili kujifunza zaidi.
Kwa mantiki hiyo , hata wewe unaweza kunijibu ikiwa una ujuzi na hoja fulani.
Nakuuliza Tena unaamini Zaburi ? Ili nianze kukujibu kwa ZaburiSasa kama umekiri kuwa kuna mungu mwenye uhusiano na mungu mwingine hapo kutakuwa na mungu mmoja kweli!!!
Ni kitabu cha juzi tena ambacho kilitungwa bila hata kushuhudiwa na yesuBiblia ipo miaka 3000 kabla ya Quran ,
Biblia sio kitabu cha Juzi,
Na ukichimba zaidi , Uislamu ni zao la Roman CatholicHapa nimekupata.
Biblia ni mkusanyiko wa vitabuNi kitabu cha juzi tena ambacho kilitungwa bila hata kushuhudiwa na yesu
Au unataka kuniambia biblia ni kitabu alichopewa nabii nani?
Kwa nini huko nyuma ulikuwa unaleta maandiko bila ya kuuliza ulizaNakuuliza Tena unaamini Zaburi ? Ili nianze kukujibu kwa Zaburi
ili usiseme naamini,Bali useme maandiko yanasema
Biblia ipo toka Enzi na Enzi ,Ni kitabu cha juzi tena ambacho kilitungwa bila hata kushuhudiwa na yesu
Au unataka kuniambia biblia ni kitabu alichopewa nabii nani?
Nimekuuliza hilo swali maana nimeona ,naleta maandiko ,unauliza kitu kile kile ,Kwa nini huko nyuma ulikuwa unaleta maandiko bila ya kuuliza uliza
Umepatwa na nini
Nabii gani kapewa hiyo biblia?Biblia ipo toka Enzi na Enzi ,
Yesu kakuta agano la kale na amelinukuu sana tu ,ukitaka ushahidi unapewa
Quran imekuja juzi na ni project ya wakatoliki,iliandikwa na vijana wanne Walevi
Je una andiko au uthibitisho kuhusu hili??Na ukichimba zaidi , Uislamu ni zao la Roman Catholic
Catholic sio kanisa tu ni state ,au mabaki ya Roman empire, hivo wao hawategemei muongozo wa maandiko tu
Na mimi msimamo wangu nimekwambia hamna zaburiNimekuuliza hilo swali maana nimeona ,naleta maandiko ,unauliza kitu kile kile ,
Sasa nataka kujua ,Unaamini Zaburi ?
Jibu ndio au hapana
Maana sitaki kurudia rudia kitu kile kile
Mimi nimeweka wazi siamini Quran ni uzushi tu
Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vya manabii na mitume,na wazee wa imaniNabii gani kapewa hiyo biblia?