Kwahiyo liwe kundi la majini au majini ,shida nini ?Ni nimefuatilia hili nimegundua wewe ni muongo na uko hapa unapotosha watu.
Sura inasema ni kundi moja la majini, na sio majini yote.
Una uthibitisho mwingine au uko huko, kuokoteza kwa ajili ya kuthibitisha upotoshaji wako.
Ungetuletea maandiko au historia ya hilo jiwe na kwa nini liko pale .HUU NI UPAGANI
2.216 Aufrufe · 42 Reaktionen | Moja ya upagani wa hali ya juu katika dini ya Kislamu Hii ni ibada ya jiwe na sio Mungu. Haina tofauti na ibada ya Uhindu, Ubudha na wale wote wanaobusu... | By Jeff Massawe | Facebook
Moja ya upagani wa hali ya juu katika dini ya Kislamu Hii ni ibada ya jiwe na sio Mungu. Haina tofauti na ibada ya Uhindu, Ubudha na wale wote wanaobusu...www.facebook.com
HIVI KATIKA HAPA NI NANI ALIMPA UTUME MUHAMMAD??Huu ni uthibitisho wa kuwa wewe ni miongoni mwa wajinga.
Bila kejeli na porojo zako , hauna hoja. Na hizi dalili za mtu kutokuwa na maarifa .
Ni kweli , leta uthibitisho wa hadithi.
WEWE NDIYE HUJUI HISTORIA ,NAKUPA HIIUngetuletea maandiko au historia ya hilo jiwe na kwa nini liko pale .
Kwa mantiki hiyo ukasome historia ya hilo jiwe na vitabu vinasema je.
Nadharia kama hizi , bila uthibitisho mtu atakuekewaje, waislamu wanaamini muongozo wao ni quran na hadithi , hayo aWaislamu wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa mtazamo wa miaka 1400 iliyopita. Sio lazima mtu apate hasira kwa kusikia hivyo, kwani kuna hoja kadhaa zinazojitokeza:
1. Uasili wa Qur'an
Qur'an ni kitabu kinachoonekana kuwa cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu.
Mafundisho yake yanalenga zaidi maadili ya maisha ya binadamu na hayahusiani na dhana za miujiza, kama nguvu za sala au uponyaji wa maombi.
Kwa mfano, karibu kila mistari mitano au saba ya Qur'an huagiza mambo yanayohusiana na usafi wa mwili na mavazi, jambo ambalo mtu yeyote mwenye uelewa wa usafi angeweza kuelekeza bila msaada wa ufunuo wa kimungu.
Qur'an haitoi maagizo kuhusu kukemea pepo wachafu au kuomba mvua inyeshe.
2. Uandishi wa Qur'an na Utata Wake
Inasemekana kuwa wakati Mtume Muhammad alipokea aya za Qur'an, kuna tukio lililotokea ambapo alipewa maneno ambayo baadaye yalihusishwa na Shetani, maarufu kama Satanic Verses.
Aya hizi zilihusisha miungu ya Waquraishi wa Mecca, ikionekana kama jaribio la Mtume kuvuta watu wa Mecca kuukubali Uislamu kwa kutambua miungu yao.
Baadaye, aya hizo zilifutwa kwa madai kuwa hazikutoka kwa Mungu bali zilikuwa ni uingiliaji wa Shetani.
3. Mgawanyiko wa Kiislamu
Kama ilivyo kwa vitabu vingine vya dini, Qur'an inadaiwa kuwa na makosa na utata mwingi.
Hali hii imesababisha mgawanyiko ndani ya Uislamu na hata machafuko kati ya waumini.
Ikiwa Qur'an ingetoka kwa Mungu, isingeweza kuwa na upungufu unaosababisha vurugu na mauaji kati ya wafuasi wake.
😂😂😂Ulijifanya sio muislamu ,yamekushinda umeona ujitokeze ,safiNadharia kama hizi , bila uthibitisho mtu atakuekewaje, waislamu wanaamini muongozo wao ni quran na hadithi , hayo a
Uliyoyasema bila ya kuwepo maandiko , ni mipasho na porojo tupu.
Narrated Abu Dhar: I said, O Allah's Apostle! Which mosque was first built on the surface of the earth? He said, Al- Masjid-ul-,Haram (in Mecca). I said, Which was built next? He replied The mosque of Al-Aqsa ( in Jerusalem) . I said, What was the period of construction between the two? He said, Forty years. He added, Wherever (you may be, and) the prayer time becomes due, perform the prayer there, for the best thing is to do so (i.e. to offer the prayers in time). (Sahih Bukhaariy.3366)😂😂😂Huo MSIKITI uliitwaje
Leta ushahidi nikuumbue
Mbona vitabu vyenu vinavyothibitisha mambo ya yesu ilhali vilikuja baada ya yesu?Uthibitisho wa kitabu cha afande sele kudai Adam alikuwa rastafariani 😂😂
Unaleta uthibitisho wa Hadith na Quran zilizokuja baada ya Muhammad?😂😂Narrated Abu Dhar: I said, O Allah's Apostle! Which mosque was first built on the surface of the earth? He said, Al- Masjid-ul-,Haram (in Mecca). I said, Which was built next? He replied The mosque of Al-Aqsa ( in Jerusalem) . I said, What was the period of construction between the two? He said, Forty years. He added, Wherever (you may be, and) the prayer time becomes due, perform the prayer there, for the best thing is to do so (i.e. to offer the prayers in time). (Sahih Bukhaariy.3366)
إِنَّ أَوَّلَ بَيْتٍ وُضِعَ لِلنَّاسِ لَلَّذِي بِبَكَّةَ مُبَارَكًا وَهُدًى لِّلْعَالَمِينَ ﴿٩٦﴾
96. Hakika nyumba (Al-Ka’bah) ya awali iliyowekwa kwa ajili ya watu (kufanya ibaada) ni ile ambayo iko Bakkah (Makkah), yenye barakah na mwongozo kwa walimwengu. (Qur’an 3:96)
وَإِذْ جَعَلْنَا الْبَيْتَ مَثَابَةً لِّلنَّاسِ وَأَمْنًا وَاتَّخِذُوا مِن مَّقَامِ إِبْرَاهِيمَ مُصَلًّى ۖ وَعَهِدْنَا إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ أَن طَهِّرَا بَيْتِيَ لِلطَّائِفِينَ وَالْعَاكِفِينَ وَالرُّكَّعِ السُّجُودِ ﴿١٢٥﴾
125. Na Tulipoifanya Nyumba (Al-Ka’bah) kuwa ni mahali pa kurejewa na watu na pa amani, na fanyeni mahali pa kusimama Ibraahiym kuwa ni pahala pa kuswalia. Na Tulichukua ahadi kwa Ibraahiym na Ismaa’iyl kwamba: Itakaseni Nyumba Yangu kwa wanaotufu na wanaokaa i’tikaaf, na wanaorukuu na kusujudu. (Qur’an 2:125)
وَإِذْ بَوَّأْنَا لِإِبْرَاهِيمَ مَكَانَ الْبَيْتِ أَن لَّا تُشْرِكْ بِي شَيْئًا وَطَهِّرْ بَيْتِيَ لِلطَّائِفِينَ وَالْقَائِمِينَ وَالرُّكَّعِ السُّجُودِ ﴿٢٦﴾
26. Na (taja) Tulipomwonyesha Ibraahiym mahali pa Nyumba; Al-Ka’bah, (Tukamwambia): Usinishirikishe na chochote, na twaharisha Nyumba Yangu kwa wafanyao Twawaaf, na wanaosimama kuswali na wanaorukuu na kusujudu.(Qur’an 22:26)
Lete uthibitisho wa hayo otherwise ni porojoWaislamu wengi wa karne ya 21 bado wanaishi na kufikiri kwa mtazamo wa miaka 1400 iliyopita. Sio lazima mtu apate hasira kwa kusikia hivyo, kwani kuna hoja kadhaa zinazojitokeza:
1. Uasili wa Qur'an
Qur'an ni kitabu kinachoonekana kuwa cha kibinadamu zaidi kuliko cha Mungu.
Mafundisho yake yanalenga zaidi maadili ya maisha ya binadamu na hayahusiani na dhana za miujiza, kama nguvu za sala au uponyaji wa maombi.
Kwa mfano, karibu kila mistari mitano au saba ya Qur'an huagiza mambo yanayohusiana na usafi wa mwili na mavazi, jambo ambalo mtu yeyote mwenye uelewa wa usafi angeweza kuelekeza bila msaada wa ufunuo wa kimungu.
Qur'an haitoi maagizo kuhusu kukemea pepo wachafu au kuomba mvua inyeshe.
2. Uandishi wa Qur'an na Utata Wake
Inasemekana kuwa wakati Mtume Muhammad alipokea aya za Qur'an, kuna tukio lililotokea ambapo alipewa maneno ambayo baadaye yalihusishwa na Shetani, maarufu kama Satanic Verses.
Aya hizi zilihusisha miungu ya Waquraishi wa Mecca, ikionekana kama jaribio la Mtume kuvuta watu wa Mecca kuukubali Uislamu kwa kutambua miungu yao.
Baadaye, aya hizo zilifutwa kwa madai kuwa hazikutoka kwa Mungu bali zilikuwa ni uingiliaji wa Shetani.
3. Mgawanyiko wa Kiislamu
Kama ilivyo kwa vitabu vingine vya dini, Qur'an inadaiwa kuwa na makosa na utata mwingi.
Hali hii imesababisha mgawanyiko ndani ya Uislamu na hata machafuko kati ya waumini.
Ikiwa Qur'an ingetoka kwa Mungu, isingeweza kuwa na upungufu unaosababisha vurugu na mauaji kati ya wafuasi wake.
Yesu katabiriwa hata kabla hajaja dunianiMbona vitabu vyenu vinavyothibitisha mambo ya yesu ilhali vilikuja baada ya yesu?
HIZI NI POROJO ZA MUDI ,ILI KUWA BRAINWASH WATU KAMA NYIE ,WENYE AKILI WALIOHOJI NA KUFANYA TAFITI HAWAKUBAKI KWENYE HIYO DINI YENUNarrated Abu Dhar: I said, O Allah's Apostle! Which mosque was first built on the surface of the earth? He said, Al- Masjid-ul-,Haram (in Mecca). I said, Which was built next? He replied The mosque of Al-Aqsa ( in Jerusalem) . I said, What was the period of construction between the two? He said, Forty years. He added, Wherever (you may be, and) the prayer time becomes due, perform the prayer there, for the best thing is to do so (i.e. to offer the prayers in time). (Sahih Bukhaariy.3366)
إِنَّ أَوَّلَ بَيْتٍ وُضِعَ لِلنَّاسِ لَلَّذِي بِبَكَّةَ مُبَارَكًا وَهُدًى لِّلْعَالَمِينَ ﴿٩٦﴾
96. Hakika nyumba (Al-Ka’bah) ya awali iliyowekwa kwa ajili ya watu (kufanya ibaada) ni ile ambayo iko Bakkah (Makkah), yenye barakah na mwongozo kwa walimwengu. (Qur’an 3:96)
وَإِذْ جَعَلْنَا الْبَيْتَ مَثَابَةً لِّلنَّاسِ وَأَمْنًا وَاتَّخِذُوا مِن مَّقَامِ إِبْرَاهِيمَ مُصَلًّى ۖ وَعَهِدْنَا إِلَىٰ إِبْرَاهِيمَ وَإِسْمَاعِيلَ أَن طَهِّرَا بَيْتِيَ لِلطَّائِفِينَ وَالْعَاكِفِينَ وَالرُّكَّعِ السُّجُودِ ﴿١٢٥﴾
125. Na Tulipoifanya Nyumba (Al-Ka’bah) kuwa ni mahali pa kurejewa na watu na pa amani, na fanyeni mahali pa kusimama Ibraahiym kuwa ni pahala pa kuswalia. Na Tulichukua ahadi kwa Ibraahiym na Ismaa’iyl kwamba: Itakaseni Nyumba Yangu kwa wanaotufu na wanaokaa i’tikaaf, na wanaorukuu na kusujudu. (Qur’an 2:125)
وَإِذْ بَوَّأْنَا لِإِبْرَاهِيمَ مَكَانَ الْبَيْتِ أَن لَّا تُشْرِكْ بِي شَيْئًا وَطَهِّرْ بَيْتِيَ لِلطَّائِفِينَ وَالْقَائِمِينَ وَالرُّكَّعِ السُّجُودِ ﴿٢٦﴾
26. Na (taja) Tulipomwonyesha Ibraahiym mahali pa Nyumba; Al-Ka’bah, (Tukamwambia): Usinishirikishe na chochote, na twaharisha Nyumba Yangu kwa wafanyao Twawaaf, na wanaosimama kuswali na wanaorukuu na kusujudu.(Qur’an 22:26)
Uthibitisho umepewa huna cha kusema unabaki kutapatapa tu 😃😀😄Unaleta uthibitisho wa Hadith na Quran zilizokuja baada ya Muhammad?😂😂
Yaani afande Sele alete uthibitisho kulikuwepo MSIKITI wa marastafari kupitia kitabu chake 😂😂
Thus why Dini ya Uislamu inabaki ni dini ILIYOJENGWA KWA PROPAGANDA na msingi wa mchanga
Haya maswali hata mufti hajibu
Wewe unasema kuwa sisi tunaiamini Qur’an ituelezee mambo ya zamani wakati Qur’an ni ya juziYesu katabiriwa hata kabla hajaja duniani
Na sio maandiko tu hata Wana historia wa karne ya kwanza wamemuandika Yesu
Ushahidi ndo huo na sio porojo kama unazoleta wewe.HIZI NI POROJO ZA MUDI ,ILI KUWA BRAINWASH WATU KAMA NYIE ,WENYE AKILI WALIOHOJI NA KUFANYA TAFITI HAWAKUBAKI KWENYE HIYO DINI YENU
Historia inasema kaabah ilijengwa na nabii Ibrahim baada ya hapo , waraab wakaibadilisha kuwa sehemu ya ibada ya miungu mbalimbali. Kwa hiyo kama tunavyojua mitume ilikuwa inatumwa kwa vizazi tofauti tofauti , kwa mantiki hiyo nabii aliyefuata alikuja na mafunzo mengine, na kuondoa sanamu zote, zilizokuwa zinazozunguka kaabah.WEWE NDIYE HUJUI HISTORIA ,NAKUPA HII
UISLAMU NI UPAGANI
Mji wa Makka na Umuhimu wake katika Uislamu 🕋
Mji wa Makka ndio kitovu cha Uislamu duniani. Ndani ya mji huu kuna Ka’aba, ambayo Waislamu huiita Bait-ul-Haram au Bait-ul-Allah, yaani "Nyumba ya Allah". Kila Mwislamu duniani anatakiwa kuswali mara tano kwa siku huku akielekeza uso wake Makka ilipo nyumba hiyo takatifu.
Vilevile, kila Mwislamu anatakiwa kwenda Makka kwa ajili ya Hija angalau mara moja katika maisha yake, kwani Hija ni moja ya nguzo kuu za Uislamu. Hii inaonesha kuwa Ka’aba ni madhabahu kuu katika Uislamu 🕌.
Muundo wa Ka’aba na Jiwe Jeusi 🖤
Ka’aba ni jengo lenye umbo la karibu na mchemraba, ambalo lina vitu vichache vya kipekee ndani yake. Moja ya vitu hivyo ni Jiwe Jeusi (Hajar al-Aswad), ambalo limewekwa kwenye kona moja ya Ka’aba.
Waislamu wanapokwenda Makka kwa Hija, hufanya Tawaf (kuzunguka Ka’aba mara saba) na pia hujaribu kubusu jiwe hilo, kuligusa, au angalau kuliashiria kwa mkono kama haiwezekani kulifikia.
Mwelekeo wa Kuswali Kabla na Baada ya Agizo la Allah 📜
Zamani, inasemekana kuwa Mtume Muhammad ﷺ alikuwa akitazama mbinguni anaposwali na kuomba. Hata hivyo, baadaye Allah aliamuru Waislamu waelekeze nyuso zao Makka badala ya mbinguni.
Katika Surah Al-Baqarah 2:144, Qur’an inasema:
"Hakika tumeona jinsi unavyogeuzia uso wako [ewe Muhammad], kuelekea mbinguni, nasi hakika tutakugeuzia kwenye qiblah utakachokifurahia. Hivyo elekeza uso wako kwenye al-Masjid al-Haram..."
Hii inaonesha kuwa awali qibla (mwelekeo wa swala) haukuwa Makka, lakini baadaye Allah aliamuru mabadiliko hayo.
Ka’aba Ilijengwa na Ibrahim au La? 🤔
Kulingana na Qur’an, Ka’aba ilijengwa na Ibrahim na mwanawe Ismail (Qur’an 2:125). Allah anasema aliwapa agizo watakase nyumba hiyo kwa ajili ya wale wanaoizunguka na kufanya ibada ndani yake.
Hata hivyo, kuna maswali yanayojitokeza kuhusu historia hii:
1️⃣ Ibrahim aliwahi kufika Uarabuni? Historia inaonesha kuwa Ibrahim aliishi katika eneo la Kaanani (Palestina ya leo) na hakuna rekodi za kihistoria zinazoonesha kuwa alisafiri hadi Makka (takriban kilomita 1,000 kutoka Kaanani).
2️⃣ Makka ilikuwepo wakati wa Ibrahim? Tafiti zinaonesha kuwa mji wa Makka ulianza kuwepo takriban miaka 400 baada ya Kristo (BK), muda mrefu baada ya enzi ya Ibrahim. Hii inaleta utata kuhusu madai kwamba Ibrahim alijenga Ka’aba.
3️⃣ Muhammad alisema nini kuhusu ujenzi wa Ka’aba? Katika Sahih Bukhari 4:55:636, Muhammad anasema kuwa Ka’aba ilijengwa miaka 40 kabla ya Al-Masjid-ul-Aqsa (Yerusalemu). Lakini, Hekalu la Sulemani lilijengwa takriban mwaka 950 KK, wakati Ibrahim aliishi miaka 2000 KK.
Hii inamaanisha kuwa kama Ibrahim ndiye aliyejenga Ka’aba, basi Muhammad alisema uongo kuhusu tofauti ya miaka 40! Au kama Muhammad alikuwa sahihi, basi inamaanisha kuwa Ibrahim wa Qur’an ni mtu tofauti na Ibrahim wa Biblia 📖.
Ka’aba Ilivyokuwa Madhabahu ya Wapagani Kabla ya Uislamu ⛩️
Historia inaonesha kuwa kabla ya Uislamu, Ka’aba ilikuwa mahali pa kuabudia miungu mingi ya Kiarabu. Katika Sahih Bukhari 3:43:658, inasimuliwa kuwa Muhammad alipovamia Makka mwaka 630 BK, alikuta sanamu 360 zimezunguka Ka’aba!
Aliziharibu sanamu hizo na kusema: "Kweli (Uislamu) imeshafika na Uongo (ukafiri) umetoweka."
Hii inaonesha kuwa hapo awali Ka’aba ilikuwa madhabahu ya kipagani na si sehemu ya kuabudia Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo kama inavyodaiwa na Uislamu wa sasa.
Pia, katika Sahih Bukhari V2, B26, #689, tunasoma kuwa kabla ya Uislamu, wapagani walikuwa wakizunguka Ka’aba wakiwa UCHI wakati wa ibada zao!
Hili linaibua maswali mazito:
✅ Ikiwa Ka’aba ilikuwa nyumba ya Allah tangu Ibrahim, kwa nini ilitumiwa na wapagani kwa karne nyingi?
✅ Kwa nini wapagani walikuwa wakifanya ibada za kishirikina ndani yake hadi wakati wa Muhammad?
✅ Je, kweli Ka’aba ilihusiana na Mungu wa kweli, au ilikuwa sehemu ya ibada za miungu ya Kiarabu?
Ukweli wa Ka’aba ni Upagani au Uungu?
Kutokana na ushahidi huu:
🔹 Ka’aba ilikuwa sehemu ya ibada za kipagani kwa karne nyingi kabla ya Muhammad.
🔹 Ibrahim hakuwahi kufika Makka, kwa hiyo ni vigumu kusema kuwa aliijenga Ka’aba.
🔹 Muhammad aliharibu sanamu 360 katika Ka’aba, akifanya marekebisho ya ibada iliyokuwa hapo.
🔹 Qur’an yenyewe inapingana juu ya ujenzi wa Ka’aba na uhusiano wake na Ibrahim.
Hii inaacha maswali mengi kwa Waislamu kuhusu msingi wa imani yao juu ya Ka’aba. Je, ni sehemu ya ibada ya Mungu wa kweli, au ni mabadiliko ya ibada za kipagani zilizokuwepo kabla ya Uislamu?
Ni jukumu la kila mmoja kufanya utafiti zaidi na kujiridhisha kwa ukweli wa kihistoria na kiimani.
✍🏽 Fanya utafiti, tafakari, na tafuta aukweli!
Mimi nakupa real histori na wajenzi ,sio Porojo na propaganda za mudiUshahidi ndo huo na sio porojo kama unazoleta wewe.
Kuamini au kutoamini ni maamuzi yako
Historia gani imeeleza hivo Mzee,hizo propaganda za Quran na Hadith wewe unasema ni historiaHistoria inasema kaabah ilijengwa na nabii Ibrahim baada ya hapo , waraab wakaibadilisha kuwa sehemu ya ibada ya miungu mbalimbali. Kwa hiyo kama tunavyojua mitume ilikuwa inatumwa kwa vizazi tofauti tofauti , kwa mantiki hiyo nabii aliyefuata alikuja na mafunzo mengine, na kuondoa sanamu zote, zilizokuwa zinazozunguka kaabah.
Historia inajieleza vizuri huo upagani ulikuja baada ya nabii Ibrahim, mtume aliyekuja aliupinga huo upagani na kuvunja yale masanamu yote .
Ni wapi hujaelewa ndugu, na historian yenyewe unababaika , hizi sio zama za kumdanganya mtu , kwa hiyo huu ni muendelezo wa upotoshaji wako.
Hakuna sehemu niliyojinasibisha , na upande fulani . Na nikasema niko hapa ninajifunza, ndio maana ninauliza maswali tuuh , nakuwa natafuta na maandiko , lakini kutokana na uoga wako unakuwa unajilinda kuliko kujibu hoja.😂😂😂Ulijifanya sio muislamu ,yamekushinda umeona ujitokeze ,safi
Uislamu ni Dini ya Propaganda na Uongo
Ndio maana ulileta kitabu cha propaganda za kutumia maandiko ya biblia kumnasibisha mudi aonekane alitabiriwa na biblia
Hapo hapo biblia huikubali
NARUDIA HAKUNA HATA CHEMBE AU TONE LA USHAHIDI WA MAANDIKO, HISTORIA,AKIOLOJIA PALIWAHI KUWEPO UISLAMU NA MSIKITI KABLA YA MUHAMMAD
MUDI NDIYE ALIKUWA MUISLAMU WA KWANZA KUSILIMU
Yesu anaelezewa kwa vitabu vilivyopo na hata ambayo alivikuta na alinukuuWewe unasema kuwa sisi tunaiamini Qur’an ituelezee mambo ya zamani wakati Qur’an ni ya juzi
Swali langu nikuwa mbona nyinyi mnatumia vitabu vinavyomzungumzia yesu ambavyo vilikuja baada ya yesu kuondoka