Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Achana na vitabu ishi ktk uhalisia siyo kukalilishwa kwenda kanisani au msikitini siyo imani bali ni utamaduni wa wazungu na waarabu kama ilivyo kwa waafrika kuabudu chini ya miti au milima na wakafanikiwa,wewe uliye na imani ya kikristo au kiislamu unanini cha tofauti kuwashinda wasiyoamini ktk ukristo au uislam?

Ujinga ukizidi ni dhambi!!
Wafia dini hao.....tena kwa kipindi hiki wengine hadi wanalipwa kwa hizi propaganda
 
Ndo ulichobakia nacho , tafuta hoja uache kukejeli na ukasome.
Huwezi kuamini ktk kusomaa tuuu na kufuata mkumbo kama kondoo kwa kuhubiriwa na kukaririshwa ujinga hivi kama Mungu ni mmoja iweje kuwe na watu wenye kuabudu tofauti wakati wote ni wamoja tena wanaabudu kwa makundi na kupingana?

Waafrika mmelaaniwa!!
 
Achana na vitabu ishi ktk uhalisia siyo kukalilishwa kwenda kanisani au msikitini siyo imani bali ni utamaduni wa wazungu na waarabu kama ilivyo kwa waafrika kuabudu chini ya miti au milima na wakafanikiwa,wewe uliye na imani ya kikristo au kiislamu unanini cha tofauti kuwashinda wasiyoamini ktk ukristo au uislam?

Ujinga ukizidi ni dhambi!!
Ndo maana hapo kuna swali kubwa imani ni nini?
Uhalisia unaoutafuta na upi?
Miongozo katika katika masuala ya imani ipo, je utamshawishi vipi mkiristo amini mafundisho yako , bila kuwepo na chanzo ya hayo mafundisho kama biblia.

Bado una hoja, kutoamini Mungu sio kosa ni imani , na bado katika karne hii , kuna watu hawajui hata hizi dinii , na wana maisha na wanaendeleza asili zao bila shida yoyote
 
Huwezi kuamini ktk kusomaa tuuu na kufuata mkumbo kama kondoo kwa kuhubiriwa na kukaririshwa ujinga hivi kama Mungu ni mmoja iweje kuwe na watu wenye kuabudu tofauti wakati wote ni wamoja tena wanaabudu kwa makundi na kupingana?

Waafrika mmelaaniwa!!
Mtu huamini miongozo na misingi ya dini fulani ambayo wao wanaitegemea katika maisha yao ya kiimani( ima ni ukristo , uislamu au uyahudi na wengine pia)
Ukiwa na maswali , ukajibiwa kutokana na vitabu na miongozo yao huenda ikawa biblia, kilichobaki sasa ukasome na ujiridhishe na utafute hekima ya hilo jambo kuwepo. Kuliko kuanza kubishana na wakati uthibitisho umepewa.

Cha msingi ni kipi watu wote ni sawa , haijalishi ni kipi walichokibeba , ima imani zao na misingi mengine ya maisha yao.
Amini anachokiamini hakika , hakuna mtu atakaye kubagua.
Lakini pia kama unataka kujua jambo fulani , pia unaweza kusoma na kuuliza maswali na kujibiwa.

Elewa imani ni nini?
Hakuna jambo baya , kama kujiona wewe uko sahihi kwa kujifananisha na mwengine huo ni ujinga.
 
Kwanini luti ambaye ni mzungu ndiyo atembelewe na malaika asiwe mwafrika yeyote?kwanini hayo unayoaminishwa yasizunguke hewani yaandikwe tu kwenye kitabu ambacho kinashuhudia matendo yooote kuwa yamefanywa na wazungu tu??situka!!
Unagangania Luti Luti ! Lete hoja . Luti Yes alitembelewa na Malaika wapi Magetoni kwake, Mtume alikutana na Malaika wapi ?? Mapangoni...... Luti Magetoni kwake akiwa na mke watoto na ata marafiki na mahouse boy/ girls wake..... kuna ushaidi ndo maana unangangania Luti Luti, Mtume Akiwa anakutana na malaika mapangoni alikuwa na nani?? Yesu anajua kusoma na kuandika... Mtume ajui soma wala kuandika.....
Mt 15:14 Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.

Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.nionyeshe Rafiki zako! Nikujuwe wewe ni watabia gani🤣

Luka 6:39 Akawaambia mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza ...

Akawaambia mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? La! Wote wataanguka shimoni.
Majini - ni Mapepo/ Shetani alielaaniwa na Mungu na kutupwa kwenye lile ziwa la moto- aiingii akilini Mtu kutetea Mashetani eti ni umma wa Mwenyezi Mungu! Yeyote anaeshiriki na Mashetani kwenye Ibada ya Mungu wa kweli ayupo

View: https://www.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk
 
Hoja ili kutetea mababu za watu? Hoja ndo hizo mlizoandikiwa huko mkitabu m1 alipewa mtu alibanwa na mapepo huko mapangoni halafu akaja kunakiri vitabu vya wenzie waliomtangulia hio ndo hoja....bila biblia ,bila torati hakuna uislam hakuna kuran
Wewe mwafrika unayejinadi eti mkristo na muislam ni mjinga usiye na fikra na akili.

Leo hii ukizaa mtoto ukamiacha tu akue ktk uhuru wake bila kumlisha huo ujinga wako je ataabudu ktk ukristo au uislam au uafrika?

Tatizo mmelishwa na kuabudishwa ujinga na mmeshindwa kudadisi na kutafuta ukweli kwa kuamini kilichoandikwa kwenye biblia na quruan ndiyo Umungu na njia yake ya kufanikiwa.

Muislam yeyote lazima awe na vinasaba vya UARABU vya ukoo wa ISLAM ambao ni waarabu na mkristo yeyote lazima awe na vinasaba vya UZUNGU na awe wa ukoo wa KRISTO ambaye ni mzungu ,sasa wewe mwafrika unakomaa kuabudu uislam na ukristo unavinadaba nao??


Kuamini tu bila kuhoji,kutafakari,kufikiri na kudadisi ni ujinga na ujinga ni dhambi kwani hutaki kuutumikisha ubongo wako uliopewa na Mungu huwezi kuwa karibu na Mungu kwa kupitia vitabu vilivyoandikwa na mtu kama wewe na kujiita mwana wa ADAMu ikimaanisha umetokana na adamu ambaye ni mzungu wakati wewe ni Mwafrika na ni MTU huu ujinga ndiyo unakugharimu Mwafrika.

Jitafakarini Waafrika Uislam na Ukristo siyo chimbuko lako rudi kwenye asili yako.
 
Unagangania Luti Luti ! Lete hoja . Luti Yes alitembelewa na Malaika wapi Magetoni kwake, Mtume alikutana na Malaika wapi ?? Mapangoni...... Luti Magetoni kwake akiwa na mke watoto na ata marafiki na mahouse boy/ girls wake..... kuna ushaidi ndo maana unangangania Luti Luti, Mtume Akiwa anakutana na malaika mapangoni alikuwa na nani?? Yesu anajua kusoma na kuandika... Mtume ajui soma wala kuandika.....
Mt 15:14 Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.

Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.nionyeshe Rafiki zako! Nikujuwe wewe ni watabia gani🤣

Luka 6:39 Akawaambia mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza ...

Akawaambia mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? La! Wote wataanguka shimoni.
Majini - ni Mapepo/ Shetani alielaaniwa na Mungu na kutupwa kwenye lile ziwa la moto- aiingii akilini Mtu kutetea Mashetani eti ni umma wa Mwenyezi Mungu! Yeyote anaeshiriki na Mashetani kwenye Ibada ya Mungu wa kweli ayupo

View: https://www.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk

Aiji akilini Shetani huyu huyu anaefanya watu wamkosee MUNGU wa Kweli hili waje Watupwe Motoni mwa Milele yalipo makazi yake... Akakusaidia wewe na kushiriki katika kukupeleka kwenye Pepo ya Mungu wa kweli😀kuna Mji una Msikiti uliopewa hadhi ya kumtukuza na kumfanya SHETANI kama mmoja wa Waamini wa Mungu.... Shetani Pepo yake ni Moto wa Milele! So yeyote yule anaeshikamana nae kwa namna moja ama nyingine na yeye ni Wa Shetani..Simple: uwezi kula Nyama ya Ngombe yenye Kimeta ukahepuka kimeta.
Katika Matayo 12:24, Yesu amekataa 100% kuwa Yeye ana any power au Mahusiano na Shetani - Shetani ambaye YULE ANAEDAI KUWA NDO MTUME WA MWISHO KUJA DUNIANI NI PARTAND PARCEL na SHETANI AMBAE 100% kazi yake ni Kumfiti Binadamu(mimi na wewe) tumwasi MUNGU wa Kweli ili MUNGU wa Kweli atuchukie na mwishowe atupeleke Jahanam kwenye lile ziwa la moto tukaogelee na mwenye Ziwa lake ambae anadai yupo Na umma kuusaidia kwenda kwenye Paradiso!! Na mtu mwenye akili timamu anashabikia hilo na yupo tayari kujilipuwa kutetea hili😭
 
Hoja ili kutetea mababu za watu? Hoja ndo hizo mlizoandikiwa huko mkitabu m1 alipewa mtu alibanwa na mapepo huko mapangoni halafu akaja kunakiri vitabu vya wenzie waliomtangulia hio ndo hoja....bila biblia ,bila torati hakuna uislam hakuna kuran
Wewe mwafrika unayejinadi eti mkristo na muislam ni mjinga usiye na fikra na akili.

Leo hii ukizaa mtoto ukamiacha tu akue ktk uhuru wake bila kumlisha huo ujinga wako je ataabudu ktk ukristo au uislam au uafrika?

Tatizo mmelishwa na kuabudishwa ujinga na mmeshindwa kudadisi na kutafuta ukweli kwa kuamini kilichoandikwa kwenye biblia na quruan ndiyo Umungu na njia yake ya kufanikiwa.

Muislam yeyote lazima awe na vinasaba vya UARABU vya ukoo wa ISLAM ambao ni waarabu na mkristo yeyote lazima awe na vinasaba vya UZUNGU na awe wa ukoo wa KRISTO ambaye ni mzungu ,sasa wewe mwafrika unakomaa kuabudu uislam na ukristo unavinadaba nao??


Kuamini tu bila kuhoji,kutafakari,kufikiri na kudadisi ni ujinga na ujinga ni dhambi kwani hutaki kuutumikisha ubongo wako uliopewa na Mungu huwezi kuwa karibu na Mungu kwa kupitia vitabu vilivyoandikwa na mtu kama wewe na kujiita mwana wa ADAMu ikimaanisha umetokana na adamu ambaye ni mzungu wakati wewe ni Mwafrika na ni MTU huu ujinga ndiyo unakugharimu Mwafrika.

Jitafakarini Waafrika Uislam na Ukristo siyo chimbuko lako rudi kwenye asili yako.
 
Aiji akilini Shetani huyu huyu anaefanya watu wamkosee MUNGU wa Kweli hili waje Watupwe Motoni mwa Milele yalipo makazi yake... Akakusaidia wewe na kushiriki katika kukupeleka kwenye Pepo ya Mungu wa kweli😀kuna Mji una Msikiti uliopewa hadhi ya kumtukuza na kumfanya SHETANI kama mmoja wa Waamini wa Mungu.... Shetani Pepo yake ni Moto wa Milele! So yeyote yule anaeshikamana nae kwa namna moja ama nyingine na yeye ni Wa Shetani..Simple: uwezi kula Nyama ya Ngombe yenye Kimeta ukahepuka kimeta.
Katika Matayo 12:24, Yesu amekataa 100% kuwa Yeye ana any power au Mahusiano na Shetani - Shetani ambaye YULE ANAEDAI KUWA NDO MTUME WA MWISHO KUJA DUNIANI NI PARTAND PARCEL
Acha kuamini kwa kila unachoandikiwa na kulishwa DADISI na kujiongeza kwa kushirikisha ubongo wako huyo shetani ni wewe mwenyewe na utakuwa shetani iwapo utafanya mayendo mabaya dhidi ya wenzako.

Hivi Mungu ni mjinga kiasi gani aumbe viumbe wote duniani na kuwatia uhai wakiwemo mbwa,nyani,popo,miti,samaki,nk halafu amuweke shetani kwaajili ya binadamu tu na siyo hao viumbe wengine au aweke maisha mengine kwaajili ya watu baada ya kufa na siyo hao viumbe wengine au aweke makanisa na miskiti kwaajili ya WATU na siyo hao viumbe wengine nk??

Waafrika ni watu wasiyohitaji kushughulisha akili zao na ndiyo maana wanaangamia kwa kukosa ufikiri leo hii yesu mzungu na muhamad mwarabu ndiyo waje kukutetea wewe MWAFRIKA na kukupigania ukaishi maisha mapya eti mbinguni wakati walikunuanyasa kwupitia biashara ya UTUMWA na UKOLONI na ulivyomjinga umeshindwa kutambua kuwa wanazidi kutumia UISLAM na UKRISTO kukufumba usikumbuke mabaya yao waliyokutendea.

Hakuna Mungu wa UISLAM au UKRISTO kamwe Waafrika badirikeni bwana mmepotoshwa!!!
 
Unagangania Luti Luti ! Lete hoja . Luti Yes alitembelewa na Malaika wapi Magetoni kwake, Mtume alikutana na Malaika wapi ?? Mapangoni...... Luti Magetoni kwake akiwa na mke watoto na ata marafiki na mahouse boy/ girls wake..... kuna ushaidi ndo maana unangangania Luti Luti, Mtume Akiwa anakutana na malaika mapangoni alikuwa na nani?? Yesu anajua kusoma na kuandika... Mtume ajui soma wala kuandika.....
Mt 15:14 Waacheni; hao ni viongozi vipofu wa vipofu. Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili. | Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.

Na kipofu akimwongoza kipofu mwenzake, watatumbukia shimoni wote wawili.nionyeshe Rafiki zako! Nikujuwe wewe ni watabia gani🤣

Luka 6:39 Akawaambia mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza ...

Akawaambia mfano huu: “Je, kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? La! Wote wataanguka shimoni.
Majini - ni Mapepo/ Shetani alielaaniwa na Mungu na kutupwa kwenye lile ziwa la moto- aiingii akilini Mtu kutetea Mashetani eti ni umma wa Mwenyezi Mungu! Yeyote anaeshiriki na Mashetani kwenye Ibada ya Mungu wa kweli ayupo

View: https://www.youtube.com/watch?v=jPi5CicFiyk

Achana na hadithi za kusadikika mzee "yesu akawaambiaa..." kina nani Waafrika au mbwa,miti,nk ??

Kulinagana na biblia yako kwanini yesu awaambie wazungu tu na siyo waafrika,wahindi,wachina,warabu,nk wakati wote ni wana wa Mungu?

Kwa ujinga ulionao hata leo hii wazungu na waarabu wakija na kukuambia Uislam na Ukristo ni USANII wa kutunga ili Mwafrika unyonywe bado Mwafrika utapinga tu.
 
Wewe mwafrika unayejinadi eti mkristo na muislam ni mjinga usiye na fikra na akili.

Leo hii ukizaa mtoto ukamiacha tu akue ktk uhuru wake bila kumlisha huo ujinga wako je ataabudu ktk ukristo au uislam au uafrika?

Tatizo mmelishwa na kuabudishwa ujinga na mmeshindwa kudadisi na kutafuta ukweli kwa kuamini kilichoandikwa kwenye biblia na quruan ndiyo Umungu na njia yake ya kufanikiwa.

Muislam yeyote lazima awe na vinasaba vya UARABU vya ukoo wa ISLAM ambao ni waarabu na mkristo yeyote lazima awe na vinasaba vya UZUNGU na awe wa ukoo wa KRISTO ambaye ni mzungu ,sasa wewe mwafrika unakomaa kuabudu uislam na ukristo unavinadaba nao??


Kuamini tu bila kuhoji,kutafakari,kufikiri na kudadisi ni ujinga na ujinga ni dhambi kwani hutaki kuutumikisha ubongo wako uliopewa na Mungu huwezi kuwa karibu na Mungu kwa kupitia vitabu vilivyoandikwa na mtu kama wewe na kujiita mwana wa ADAMu ikimaanisha umetokana na adamu ambaye ni mzungu wakati wewe ni Mwafrika na ni MTU huu ujinga ndiyo unakugharimu Mwafrika.

Jitafakarini Waafrika Uislam na Ukristo siyo chimbuko lako rudi kwenye asili yako.
Madude yoote hayo unaandika ili kutetea babu wa mzungu na mwarabu
 
Kumbe hauna hoja ila umeamua tu kupotosha ukweli.
Ukweli ni katika kichwa chako....ukweli ulio kwako sio ukweli ulio kwangu ndo maana hata sina hoja maana tayari wameshaku program unavyotakiwa kua na umekua hivyo ,kwahio hoja zangu haziwezi kubadilisha programming yako zaidi tu labda tupeane porojo ili kukazia swaumu muda uende
 
Hoja ili kutetea mababu za watu? Hoja ndo hizo mlizoandikiwa huko mkitabu m1 alipewa mtu alibanwa na mapepo huko mapangoni halafu akaja kunakiri vitabu vya wenzie waliomtangulia hio ndo hoja....bila biblia ,bila torati hakuna uislam hakuna kuran
Wewe mwafrika unayejinadi eti mkristo na muislam ni mjinga usiye na fikra na akili.

Leo hii ukizaa mtoto ukamiacha tu akue ktk uhuru wake bila kumlisha huo ujinga wako je ataabudu ktk ukristo au uislam au uafrika?

Tatizo mmelishwa na kuabudishwa ujinga na mmeshindwa kudadisi na kutafuta ukweli kwa kuamini kilichoandikwa kwenye biblia na quruan ndiyo Umungu na njia yake ya kufanikiwa.

Muislam yeyote lazima awe na vinasaba vya UARABU vya ukoo wa ISLAM ambao ni waarabu na mkristo yeyote lazima awe na vinasaba vya UZUNGU na awe wa ukoo wa KRISTO ambaye ni mzungu ,sasa wewe mwafrika unakomaa kuabudu uislam na ukristo kvp?
 
Wewe mwafrika unayejinadi eti mkristo na muislam ni mjinga usiye na fikra na akili.

Leo hii ukizaa mtoto ukamiacha tu akue ktk uhuru wake bila kumlisha huo ujinga wako je ataabudu ktk ukristo au uislam au uafrika?

Tatizo mmelishwa na kuabudishwa ujinga na mmeshindwa kudadisi na kutafuta ukweli kwa kuamini kilichoandikwa kwenye biblia na quruan ndiyo Umungu na njia yake ya kufanikiwa.

Muislam yeyote lazima awe na vinasaba vya UARABU vya ukoo wa ISLAM ambao ni waarabu na mkristo yeyote lazima awe na vinasaba vya UZUNGU na awe wa ukoo wa KRISTO ambaye ni mzungu ,sasa wewe mwafrika unakomaa kuabudu uislam na ukristo kvp?
Oya vipi ulipitiwa hukula daku usiku?
 
Madude yoote hayo unaandika ili kutetea babu wa mzungu na mwarabu
Kwaakili zako na upeo finyu ndivyo ulivyoona inakufaa kuelewa huna ufikiri wa kiakili uliozakiwa nao bali unaburuzwa kama kondooo na kujiita kondoo wa bwana
 
Kwaakili zako na upeo finyu ndivyo ulivyoona inakufaa kuelewa huna ufikiri wa kiakili uliozakiwa nao bali unaburuzwa kama kondooo na kujiita kondoo wa bwana
Piga makofi tafadhali......hapo umetokwa na povu la kiwango cha 5G.....kajipatie ka gilasi ka gongo ushushe puresha
 
Piga makofi tafadhali......hapo umetokwa na povu la kiwango cha 5G.....kajipatie ka gilasi ka gongo ushushe puresha

Piga makofi tafadhali......hapo umetokwa na povu la kiwango cha 5G.....kajipatie ka gilasi ka gongo ushushe puresha
Siishi na sitoishi kwa maelekezo ya wafia dini kama wewe,ni kuwachana tu,kampe bwanako gongo akushushe pressure
 
Ukweli ni katika kichwa chako....ukweli ulio kwako sio ukweli ulio kwangu ndo maana hata sina hoja maana tayari wameshaku program unavyotakiwa kua na umekua hivyo ,kwahio hoja zangu haziwezi kubadilisha programming yako zaidi tu labda tupeane porojo ili kukazia swaumu muda uende
Akili yako na upeo wako wa kufikiri ni mdogo sana umeshindwa kutambua "swaumu" ni neno tu halina umuhimu wowote ktk kufunga na kufunga hakuanzisha muhamad kama ulivyokaririshwa bali ni TIBA ambayo ulimwenguni kote jamii iliitumia kujitibu ikiwemo mababu na mabibi zetu wa Afrika
 
Back
Top Bottom