Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Hizo alama hazina uhusiano wowote na uislam na kama kuna maandiko yoyote yanayoonyesha uhusiano huo valeted otherwise wewe ni muongo


Nakuuliza wewe kwa sababu ndiye uliyeleta hiyo hoja
Kwahiyo zinafanya nini kwenye misikiti?

Ni sawa masanamu na alama za freemason ziwekwe kwenye makanisa ,halafu isemwe hazina uhusihano wowote

Kijana toka nje ya box uwe free minded uone ,ujue uislamu ni uoagani
 
Kwahiyo zinafanya nini kwenye misikiti?

Ni sawa masanamu na alama za freemason ziwekwe kwenye makanisa ,halafu isemwe hazina uhusihano wowote

Kijana toka nje ya box uwe free minded uone ,ujue uislamu ni uoagani
Waulize walioweka hizo alama kwenye misikiti yao

Au wewe nikikuuliza sanamu zinafuata nini kanisani utanijibu
 
Waulize walioweka hizo alama kwenye misikiti yao

Au wewe nikikuuliza sanamu zinafuata nini kanisani utanijibu
Kwa hiyo mmeona wivu kwa sababu kuna makanisa yana sanamu na nyie mkaweka alama zenu za masanamu msikitini🤣🤣🤣

Logic za nyie watu ni kizungumkuti
 
Waulize walioweka hizo alama kwenye misikiti yao

Au wewe nikikuuliza sanamu zinafuata nini kanisani utanijibu
Kanisa gani ?

Ninaposali mm hakuna huo ujinga,kwahiyo wewe hujui kwanini hapo mecca misikiti Ina Nyota na mwezi alama za miungu ya kipagani
 
Kanisa gani ?

Ninaposali mm hakuna huo ujinga,kwahiyo wewe hujui kwanini hapo mecca misikiti Ina Nyota na mwezi alama za miungu ya kipagani
Nimekwambia husianisha hizo alama kuwa zinahusiana na Uislamu kupitia maandiko vinginevyo wewe ni muongo
 
Nimekwambia husianisha hizo alama kuwa zinahusiana na Uislamu kupitia maandiko vinginevyo wewe ni muongo
Kwahiyo hizo alama za wapagani zimejiweka tu

Yaani hizo cults symbols unazikataa wakati zimejaa misikitini,

Nilitegemea useme hapa zipo misikitini kwasababu moja ,mbili tatu,

Kumbe hujui zipo sababu gani
 
Kwahiyo hizo alama za wapagani zimejiweka tu

Yaani hizo cults symbols unazikataa wakati zimejaa misikitini,

Nilitegemea useme hapa zipo misikitini kwasababu moja ,mbili tatu,

Kumbe hujui zipo sababu gani
Wewe umesema Uislamu ni upagani kwa kuwa kuna alama hizo msikitini sasa ndio nataka uonyeshe maelezo ya Qur’an au hadith za Mtume zinazoamrisha kuweka hizo alama kama hamna basi watu watakuwa wameamua kuweka tu na haziusiani na Uislamu
 
Yohana 14 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹³ Nanyi mkiomba lo lote kwa jina langu, hilo nitalifanya, ili Baba atukuzwe ndani ya Mwana.
¹⁴ Mkiniomba neno lo lote kwa jina langu, nitalifanya.
¹⁵ Mkinipenda, mtazishika amri zangu.
¹⁶ Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele;
¹⁷ ndiye Roho wa kweli; ambaye ulimwengu hauwezi kumpokea, kwa kuwa haumwoni wala haumtambui; bali ninyi mnamtambua, maana anakaa kwenu, naye atakuwa ndani yenu.

H
aya mwanazuoni tuambie, Yesu Kristo anasema atamuomba Baba yake naye atatupatia msaidizi, je mnasadiki kwamba Yesu ni mwana wa Mungu? Pia anasema tukiomba lolote kwa jina lake atafanya, je mnaomba kwa jina la Yesu? Mbaya zaidi anasema huyo msaidizi ulimwengu haumwoni wala kumtambua, kwa sababu anakaa ndani yetu, je huyo Muhamad anakaa ndani yenu? Tena Yesu Kristo anasema huyo msaidizi atakaa nasi milele, je Muhamad anaishi milele mpaka sasa?

Kifupi Quran ni uongo wa shetani kabisa.
 
Waislam wanaopaza kalele za kijinga walishajibiwa haya maswali miaka na miaka wakaelewa ila wakilala na kuamka wanaanza tena kuuliza same question waliyojibiwa and cha kushangaza wanahama kuuliza wengine ili kujaribu kawaharibu imani Christians.. so wapuuzwe tu stupid cult yao ya iblis Allah. Quran imejaa ujinga ujinga tu..ukiiamini unakuwa mjinga pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…