Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Kama mji ulikuwa wa kipagani ni zamani
Ukatoliki wa Roma umekalia juu ya Upagani Mohhamed alitoka katika mji wa Makka ambao ni wa kipagani View attachment 3263984
| RCC hutumia ishara ya mwezi nusu katika majengo yao na machapisho yao; ishara ambayo ni ya kale ya kipagani na ya kibabeli iliyowakilisha ibada ya Baali, mungu jua | Islamu pia hutumia ishara ya mwezi nusu kwenye majengo na machapisho yao, kama walivyofanya wapagani wa kale wa kibabeli. |
Thibitisha kwa maandiko kuwa jina Allah ni jina la mungu wa kipagani ukishindwa wewe ni muongo wa wazi kabisa
RCC ina kila aina ya ishara za kipagani, na hata inakubali kuwa ni za kipagani Jina la mungu wa Islamu, allah, lilikuwa jina la mungu wa kipagani
Thibitisha kwa maandiko kuwa jina Allah ni jina la mungu wa kipagani ukishindwa wewe ni muongo wa wazi
RCC ina kila aina ya ishara za kipagani, na hata inakubali kuwa ni za kipagani Jina la mungu wa Islamu, allah, lilikuwa jina la mungu wa kipagani
Je kutumia ishara ya mwezi ni mafundisho ya uislam au ni mapendeleo ya watu binafsi
RCC hutumia ishara ya mwezi nusu katika majengo yao na machapisho yao; ishara ambayo ni ya kale ya kipagani na ya kibabeli iliyowakilisha ibada ya Baali, mungu jua Islamu pia hutumia ishara ya mwezi nusu kwenye majengo na machapisho yao, kama walivyofanya wapagani wa kale wa kibabeli.
View attachment 3263986
Unaandika maandiko mengi ambayo huna ushahidi wa kuthibitisha hoja zako
RCC hutumia ishara ya mwezi nusu katika majengo yao na machapisho yao; ishara ambayo ni ya kale ya kipagani na ya kibabeli iliyowakilisha ibada ya Baali, mungu jua Islamu pia hutumia ishara ya mwezi nusu kwenye majengo na machapisho yao, kama walivyofanya wapagani wa kale wa kibabeli.
View attachment 3263986
Weka ushahidi kuwa Waislamu huabudu mungu jua
RCC huabudu mungu baal au mungu jua wa kale wa kipagani ambaye ni mungu baal Islamu huabudu mungu jua wa kipagani, allah, yuleyule baal
View attachment 3263992
Kwa hiyo tukuamini tu kwa picha za kutengenezwa 😃Islam is paganism
View attachment 3263993
Sio Rehema, ni Rehma
Yote ni sawa tu, rehema ni kiswahili cha kawaida na rehma ni kiswahili kilichochanganyika na lahaja ya kiarabu.Nimemuuliza mleta mada maana yeye kaandika Rehema
Kwani we hujasoma?Lete ushahidi we jamaa mbishi
Basi kama huna hoja tuliaKwani we hujasoma?
Sasa mnarejea injili ipi wakati mnasema tunayotumia sio original.nyie haya mnayatoa wapi,hamjielewi nyieFundisho la kiislam katika Bibilia hili hapa
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma
Wewe siku utakapo liamini hili andiko na kuyakubali haya ambayo Yesu amekuambia uyamini kuwa Mungu ni mmoja na yeye Yesu ametumwa na huyo Mungu mmoja
Na wewe utakuwa Muislam kama Yesu
Sisi waislam kazi yetu ni kukufundisheni Kwa sababu nyinyi Wazungu wamekupotezeni
Kuamini au kutoamini hiyo ni juu yako
Si unaona Maneno ya Yesu hayo jinsi yanavyokata maini yako unajifanya kama hauyaoni vile nakuongea vitu vya sjabu
ila Yale Maneno ya Wazungu yanayosema Yesu ndio Mungu wako unayaona Kwa haraka na unayashangilia Kwa sababu wao ndio unao wafuata na Wala sio Yesu
Andiko alilolitoa mtoa mada hiyo Yohana 14 hakuna sehemu yoyote ilipotaja roho mtakatifu bali andiko linasema roho wa kweli
Kwahiyo nyinyi wagalatia hamjui
Roho wa kweli ni nani na roho mtakatifu ni nani ila mpo mpo tu
Hakuna mgalatia yoyote katika Dunia ansyeweza kudibeit na Muislam kuhusu Mungu wa kweli
Tokea lini Miungu akacheza kombolela na watoto wenzake na akatumwa dukani na mama yake akanunie chumvi na mafuta ya taa?
Malaika jibril inamaana alishindwa kujua kwamba mwamedi hajui kusoma mpk amminye mara zote hizo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Amesimulia ‘Aaishah (Mama wa Waumini): (رضي الله عنها):
Wahyi kwa Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) ulianza kwa ndoto njema usingizini na alikuwa haoni ndoto isipokuwa ni kweli kama ulivyo mwanga wa mchana, na alipendezeshwa kujitenga. Alikuwa akijitenga ndani ya pango la Hiraa akimwabudu (Allaah Pekee) mfululizo kwa siku nyingi kabla ya kwenda kwa familia yake. Na anachukua chakula cha safari cha kutosha, na kisha alirejea kwa (mkewe) Khadiyjah (رضي الله عنها) kuchukua chakula tena mpaka ukweli ulishukia alipokuwa ndani ya pango la Hiraa. Malaika alimjia na alimtaka asome. Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akajibu, “Mimi sio msomaji.” Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akaendelea kusema: “Malaika akanishika kwa nguvu na akaniminya kwa nguvu mpaka nikapata tabu. Kisha aliniachia, na tena akanitaka nisome na nikamjibu, ‘Mimi si msomaji’. Baada ya hapo akanishika tena akaniminya kwa mara ya pili mpaka nikapata taabu. Kisha akaniachia akasema:
اقْرَأْ بِاسْمِ رَبِّكَ الَّذِي خَلَقَ ﴿١﴾
Soma kwa Jina la Rabb wako Aliyeumba.
خَلَقَ الْإِنسَانَ مِنْ عَلَقٍ ﴿٢﴾
Amemuumba mwana Aadam kutokana na pande la damu linaloning’inia.
اقْرَأْ وَرَبُّكَ الْأَكْرَمُ ﴿٣﴾
Soma na Rabb wako ni Mkarimu kushinda wote. [Al-‘Alaq: 1-3]
Kisha Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) alirejea na Wahyi, na huku moyo ukidunda kwa nguvu. Kisha alikwenda kwa Khadiyjah bint Khuwaylid (رضي الله عنها) akasema, “Nifunikeni! Nifunikeni” Wakamfunika mpaka hofu ikatoweka, kisha akamueleza kila kitu kilichojiri akasema, “Naogopa nafsi yangu, kuna kitu (kibaya) kinaweza kunitokea.” “Khadiyjah (رضي الله عنها) akajibu, “Hapana kamwe! Wa-Allaahi, Allaah Hatokudhalilisha. Wewe una mahusiano mazuri na ndugu na marafiki, na unawasaidia masikini na mafukara, unawakirimu wageni wako na unawasaidia waliofikwa na majanga.” Kisha Khadiyjah (رضي الله عنها) alifuatana naye kwa binami yake, Waraqah bin Nawfal bin Asad bin Abdil-‘Uzzah, ambaye wakati wa Jahiliyya (kabla ya Uislam) alikuwa Mkristo na alikuwa akiandika kwa hati za Hebrew. Aliandika kutoka Injiyl kwa Hebrew kiasi alichowezeshwa na Allaah. Alikuwa mzee na alipoteza uoni (kipofu). Khadiyjah (رضي الله عنها) alimwambia Waraqah: “Sikiliza Hadithi (kisa) ya mpwa wako. Ee binami yangu!” “Waraqah akauliza, “Ee mpwa wangu! Umeona nini?” Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) alielezea yote aliyoyaona. Waraqah akasema, “Huyu ni yule yule anayehifadhi siri (Malaika Jibriyl) ambaye Allaah alimpeleka kwa Muwsaa. Natamani ningekuwa kijana, na niishi mpaka pale watu wako watakapokufukuza.” Rasuli wa Allaah (صلى الله عليه وآله وسلم) akamuuliza, “Je, Watanifukuza?” Waraqah akasema, “Mtu yeyote aliyeleta kitu kama ulicholeta alikabiliwa na misukosuko; na kama nitaikuta siku utakayofanyiwa uadui nitakuhami kwa nguvu zote.” Lakini baada ya siku chache Waraqah alifariki dunia na Wahyi ulisita kwa muda.
Wapi wamesema akitaka kujinyonga?
Kwani yesu alikuwa hafahamu kuwa yuda atamsaliti?Malaika jibril inamaana alishindwa kujua kwamba mwamedi hajui kusoma mpk amminye mara zote hizo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
We jamaa bna waraqa hakuwa Padre wala khadija hakuwa sista[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Uislamu ni dini ILIYOKUWA MANUFACTURED na UROMA ,
Padre Waraq na Sista Khadija mkatoliki ndio waliotumwa kuhakikisha mission inafanikiwa ,
Roma waliuunda uislamu kwa malengo ya kuiteka Yerusalemu,ila hawakujua uislamu utakuwa mkubwa hivi
Nakujuza uislamu ni dini ya Wakatoliki