Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Umilele upi aliokuwa nao wakati mnakiri alikufa msalabani.
Hapa ni aya inayosema Yesu ana uwezo wa kutoa uhai wake na kuutwaa tena:

Yohana 10:17-18
"Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu anayeniondolea, bali mimi mwenyewe nautoa. Ninao uwezo wa kuutoa, na ninao uwezo wa kuutwaa tena. Agizo hilo nimelipokea kutoka kwa Baba yangu."

Mudy hana huo uwezo ,yupo kaburini ameoza
 
Mungu hawezi kuwa binadamu na kupitia maisha ya kibinadamu
Yesu alikuwa binadamu wa kawaida kama ulivyosema.
Sema Allah mungu wa kikureshi ndio hawezi,

Mungu wetu Yehova anaweza

Yohana 1:14
"Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu (nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba), amejaa neema na kweli."

Hii inaonyesha kuwa Yesu, ambaye ni Neno (Mungu), alichukua mwili wa kibinadamu na kuishi miongoni mwa wanadamu.
 
. Ujuzi wa Yote (Omniscience) – Yesu anajua yote kama Mungu.
1. Marko 13:32
"Lakini kwa habari ya siku ile au saa ile hakuna ajuaye, wala malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake."
— Hapa Yesu anakiri kuwa hajui siku wala saa ya mwisho, bali Baba tu ndiye anayejua.
2. Mathayo 24:36 (Andiko sawa na Marko 13:32)
"Walakini kwa habari ya siku ile na saa ile hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake."

Wewe utasemaje anajua kila kitu wakati mwenyewe anakiri kuwa kuna vitu havijui?
 
1. Marko 13:32
"Lakini kwa habari ya siku ile au saa ile hakuna ajuaye, wala malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake."
— Hapa Yesu anakiri kuwa hajui siku wala saa ya mwisho, bali Baba tu ndiye anayejua.
2. Mathayo 24:36 (Andiko sawa na Marko 13:32)
"Walakini kwa habari ya siku ile na saa ile hakuna ajuaye, hata malaika wa mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake."

Wewe utasemaje anajua kila kitu wakati mwenyewe anakiri kuwa kuna vitu havijui?
BIBLIA HAISOMWI KIMSIKITIMSIKITI

Yesu aliposema kwamba hajui siku wala saa ya mwisho, alizungumza katika hali yake ya kibinadamu, ambapo alijinyenyekeza na kujifanya mdogo kwa hiari yake (Wafilipi 2:6-7). Alipokuwa duniani, alijifunga kwa mipaka ya ubinadamu, akichagua kutofunua kila kitu kwa wakati huo. Hata hivyo, baada ya kufufuka na kurudi katika utukufu wake kamili, Yesu anajua yote kama alivyoonyesha katika Ufunuo 1:8: "Mimi ni Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, asema Bwana Mungu, aliyeko na aliyekuwako na atakayekuja, Mwenyezi."

Wakolosai 2:3 inasema kuwa ndani ya Yesu "zimefichwa hazina zote za hekima na maarifa," ikionyesha kwamba ana ujuzi wote wa kimungu. Tangu mwanzo wake wa milele (Mika 5:2), Yesu alikuwa na uungu kamili, lakini alipokuwa duniani, alificha utukufu wake kwa muda. Hivyo, usemi wake katika Marko 13:32 haupingani na uungu wake, bali unaonyesha unyenyekevu wake wa kibinadamu kwa ajili ya wokovu wetu.
 
Uweza wa Yote (Omnipotence) – Yesu ana uweza wote kama Mungu.
Mathayo 20:23
"Akawaambia, Hakika mtakunywa kikombe changu; lakini kuketi mkono wangu wa kuume, na mkono wangu wa kushoto, si langu kuwapa; bali watapewa waliowekewa na Baba yangu."

Yohana 5:30
"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo, ndiyo nihukumu; na hukumu yangu ni ya haki; kwa sababu sitafuti mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka."

Mwenyewe hapo amekiri mambo asiyoyaweza
 
Uumbaji – Yesu aliumba vyote kama Mungu.
Isaya 44:24
"Bwana anakuambia, Mkombozi wako, ambaye anakufanya: Mimi ni Bwana, niliyeumba mbingu na peke yangu, niliyeweka dunia na mimi mwenyewe, niliziumba."

Hapo Mungu anakiri kuwa kaumba peke yake sasa wewe unasemaje yesu kaumba vyote kama Mungu?
 
Mathayo 20:23
"Akawaambia, Hakika mtakunywa kikombe changu; lakini kuketi mkono wangu wa kuume, na mkono wangu wa kushoto, si langu kuwapa; bali watapewa waliowekewa na Baba yangu."

Yohana 5:30
"Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo, ndiyo nihukumu; na hukumu yangu ni ya haki; kwa sababu sitafuti mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka."

Mwenyewe hapo amekiri mambo asiyoyaweza
Yesu alipokuwa duniani alionyesha utii kwa Baba na mara nyingine alionekana kujinyenyekeza kwa mamlaka ya Baba (kama katika Mathayo 20:23 na Yohana 5:30), bado Biblia inaonyesha kuwa alikuwa na ujuzi wa kila kitu. Aya kama Yohana 16:30 na Yohana 21:17 zinathibitisha kwamba Yesu anajua yote, akifunua asili yake ya kimungu.
 
Isaya 44:24
"Bwana anakuambia, Mkombozi wako, ambaye anakufanya: Mimi ni Bwana, niliyeumba mbingu na peke yangu, niliyeweka dunia na mimi mwenyewe, niliziumba."

Hapo Mungu anakiri kuwa kaumba peke yake sasa wewe unasemaje yesu kaumba vyote kama Mungu?
BIBLIA HAISOMWI KIMSIKITIMSIKITI

Aya zinazothibitisha kuwa Yesu ni Muumbaji:

Yohana 1:1-3
"Hapo mwanzo kulikuwa na Neno, na Neno alikuwa pamoja na Mungu, na Neno alikuwa Mungu. Yeye alikuwa katika mwanzo pamoja na Mungu. Vyote vilifanywa kwa yeye, na pasipo yeye hakufanywa chochote kilichofanywa."

Hapa, Yesu anaitwa Neno (Logos), na inasema kuwa "vyote vilifanywa kwa yeye." Hii inamaanisha kuwa Yesu alishiriki kikamilifu katika uumbaji wa dunia na vyote vilivyomo.

Kolossai 1:16-17
"Kwa maana kwa yeye vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo duniani, vyenye kuonekana na visivyoonekana, ikiwa ni viti vya enzi au mabawa ya utawala au wakuu au mamlaka; vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake. Naye yeye ni kabla ya vyote, na vyote hudumu kwanjia yake."
 
BIBLIA SIO HIYO QURAN YENU ,

YESU NI MUNGU NA ANA SIFA ZA KUWA MUNGU ,

USHAHIDI HUU HAPA👇👇👇

1. Umilele – Yesu ni wa milele kama Mungu.

Mungu: “Bwana, wewe mwenyewe umekuwa makao yetu kizazi baada ya kizazi. Kabla milima haijazaliwa, wala hujaiumba dunia na ulimwengu, Naam, tangu milele hata milele, wewe ndiwe Mungu.” (Zaburi 90:1-2)

Yesu: “Mimi ndimi Alfa na Omega, mwanzo na mwisho, wa kwanza na wa mwisho.” (Ufunuo 22:13)


2. Uwepo Kila Mahali (Omnipresence) – Yesu yupo kila mahali kama Mungu.

Mungu: “Je! Mtu ye yote aweza kujificha mahali pasipo mimi kumuona? Asema Bwana. Je! Mimi sijazijaza mbingu na dunia?” (Yeremia 23:24)

Yesu: “Kwa maana walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.” (Mathayo 18:20)


3. Ujuzi wa Yote (Omniscience) – Yesu anajua yote kama Mungu.

Mungu: “Hakuna kiumbe kilichofichika machoni pake; lakini vitu vyote viko uchi na wazi mbele zake yeye aliye na mambo yetu.” (Waebrania 4:13)

Yesu: “Sasa tunajua ya kuwa wewe unajua mambo yote, wala hunahitaji mtu akuulize; kwa sababu hiyo twasadiki ya kwamba umetoka kwa Mungu.” (Yohana 16:30)


4. Uweza wa Yote (Omnipotence) – Yesu ana uweza wote kama Mungu.

Mungu: “Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu liwezalo kunishinda?” (Yeremia 32:27)

Yesu: “Yesu akawaangalia, akawaambia, Kwa wanadamu haiwezekani, bali kwa Mungu; kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.” (Mathayo 19:26)


5. Uumbaji – Yesu aliumba vyote kama Mungu.

Mungu: “Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.” (Mwanzo 1:1)

Yesu: “Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.” (Yohana 1:3)


6. Kusamehe Dhambi – Yesu ana mamlaka ya kusamehe dhambi kama Mungu.

Mungu: “Mimi, naam, mimi, ndimi niyafutaye makosa yako kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitayakumbuka dhambi zako.” (Isaya 43:25)

Yesu: “Lakini mpate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (akamwambia yule mwenye kupooza), Nakuambia, Ondoka, ujitwalie godoro lako, uende zako nyumbani kwako.” (Marko 2:10-11)


7. Kutoa Uzima wa Milele – Yesu anatoa uzima wa milele kama Mungu.

Mungu: “Kwa maana kwa wewe chanzo cha uzima; Katika nuru yako tutaona nuru.” (Zaburi 36:9)

Yesu: “Mimi ndimi huo mkate wa uzima; yeye ajaye kwangu hataona njaa kamwe; naye aniaminiye hataona kiu kamwe.” (Yohana 6:35)


8. Kuhukumu Ulimwengu – Yesu ni hakimu kama Mungu.

Mungu: “Kwa maana Mungu ndiye atakayemleta kila kazi hukumuni, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.” (Mhubiri 12:14)

Yesu: “Baba hamhukumu mtu ye yote, bali amempa Mwana hukumu yote.” (Yohana 5:22)


9. Kupokea Ibada – Yesu anastahili kuabudiwa kama Mungu.

Mungu: “Bwana, Mungu wako, utamwabudu, umtumikie yeye peke yake.” (Mathayo 4:10)

Yesu: “Nao wakamsujudia, wakamwambia, Hakika wewe u Mwana wa Mungu.” (Mathayo 14:33)


Sifa hizi zinathibitisha
kuwa Yesu ni Mungu, mwenye mamlaka, uweza, na ukuu sawa na Baba.
One nilivyoonyesha udhaifu wa sifa zako hizi kwa yesu
 
Yesu ni Mrithi wa Vyote , usimfananishe na Marehemu Muhammad kijana

Waebrania 1:2
“Mwisho wa siku hizi amesema nasi katika Mwana, aliyemweka kuwa MRITHI wa vyote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.”

Waebrania 1:8-9
“Lakini kwa habari ya Mwana asema, Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele; Na fimbo ya adili ni fimbo ya ufalme wako. Umependa haki, umechukia maasi; Kwa hiyo, Mungu, Mungu wako amekutia mafuta Kwa mafuta ya furaha kupita wenzi wako.”


Aya hizi zinathibitisha ukuu wa Yesu kama Mungu, Mrithi wa vyote, na aliyepewa heshima ya kipekee na Baba
Swali langu nikuwa wewe unaamini kuna miungu mingapi?
 
Yesu ana Sifa 100% za ubinadamu, na 100% Uungu

Hapa kuna aya zinazothibitisha kuwa Yesu alikuwa binadamu kama sisi:

Waebrania 2:14
"Basi, kwa kuwa watoto wameushiriki mwili na damu, yeye naye vivyo hivyo alishiriki katika hayo, ili kwa njia ya mauti amharibu yeye aliyekuwa na nguvu za mauti, yaani, Ibilisi."

Waebrania 4:15
"Kwa maana hana mkuu wa makuhani asiyeweza kuchukuana nasi katika mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika mambo yote, bila kufanya dhambi."

Aya hizi zinaonyesha kuwa Yesu alishiriki ubinadamu wetu kikamilifu, akapitia majaribu kama sisi, lakini hakutenda dhambi.
Sasa mbona sifa ulizosema zinamfanya yesu kuwa mungu mbona zimeonekana kuwa si sahihi
 
Sasa mbona sifa ulizosema zinamfanya yesu kuwa mungu mbona zimeonekana kuwa si sahihi
Kwa mujibu upi ? BIBLIA sio Quran

  1. Mungu wa kweli – Yesu ni Mungu wa kweli, sehemu ya Utatu Mtakatifu.
    Aya: Yohana 10:30 - "Mimi na Baba yangu tuko moja."
  2. Muumba wa vitu vyote – Yesu aliumba vitu vyote vilivyoko mbinguni na duniani.
    Aya: Yohana 1:3 - "Vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, wala pasipo yeye, hakika hakuna kilichoumbwa kilichokuwepo."
  3. Mwenye uwezo wa kuponya magonjwa – Yesu alifanya miujiza ya kuponya na kuponya magonjwa.
    Aya: Mathayo 4:24 - "Habari zake zilienea pote, watu walileta kwake wote waliokuwa na magonjwa mbalimbali na walioonewa na mapepo."
  4. Mungu na mwanadamu kwa wakati mmoja – Yesu alikuwapo kama Mungu na mwanadamu, akiwa na asili mbili.
    Aya: Yohana 1:14 - "Neno alifanyika mwili, akakaa kati yetu."
  5. Mfalme wa Amani – Yesu alileta amani duniani, kama Mfalme wa kweli wa Amani.
    Aya: Isaiah 9:6 - "Kwa maana mtoto amezaliwa kwetu, mwana ametupewa; na utawala utakuwa bega lake. Naye ataitwa jina lake, mshauri ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa Amani."
  6. Mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi – Yesu anayo mamlaka ya kusamehe dhambi za watu.
    Aya: Marko 2:10 - "Lakini ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu ana mamlaka ya kusamehe dhambi duniani..."
  7. Mchungaji mzuri – Yesu ni mchungaji ambaye hutunza kondoo wake kwa upendo.
    Aya: Yohana 10:11 - "Mimi ni mchungaji mzuri. Mchungaji mzuri huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo."
  8. Mufufuo na Uzima – Yesu anatoa uzima wa milele kwa wale wanaomwamini.
    Aya: Yohana 11:25 - "Mimi ni ufufuo na uzima; ye yote aaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa hai."
  9. Mwenye haki na kweli – Yesu alileta ukweli na haki duniani.
    Aya: Yohana 14:6 - "Mimi ni njia, kweli, na uzima; hakuna ajaye kwa Baba ila kwa njia ya mimi."
  10. Alitoka kwa Baba – Yesu aliletwa duniani na Baba yake kwa kusudi maalum.
    Aya: Yohana 8:42 - "Yesu akawaambia, Kama Mungu alikuwa Baba yenu, mngenipenda, kwa sababu mimi nilitoka kwa Mungu."
 
Back
Top Bottom