Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Injili ya asili iliyoteremshwa kwa Nabii Isa (عَلَیهِ‌السَّلام) haipo tena katika umbo lake la awali.Maandiko yaliyopo sasa yamepotoshwa na kubadilishwa na wanadamu kwa nyakati tofauti.
Aidha Qur’an ni kitabu kingine cha Allah kama ilivyokuwa Injil asilia.
Una injili original tufananishe na hii unayosema imeharibiwa?
 
Allah ndio aliyempa Musa Taurati

Quran 7:144
(Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Musa! Mimi nimekuteuwa wende kwa watu na Ujumbe wangu na maneno yangu. Basi chukua niliyo kupa na uwe katika wanao shukuru.
Quran 7:145
Na tukamuandikia katika mbao kila kitu, mawaidha na maelezo ya mambo yote. (Tukamwambia): Basi yashike kwa nguvu na uwaamrishe watu wako wayashike kwa ubora wake. Nami nitakuonyesheni makaazi ya wapotofu.


Ila kitu ambacho nyinyi wagalatia hamkijui ni kuwa Taurati ilikuwa Sheria Kwa Wana wa Israel tu

Na Quran ni Sheria Kwa ajili ya watu wote Dunia mzima labda ukatae wewe mwenyewe kuifuata

kama unao ushahidi wa kimaandiko kuwa Mungu aliyempa Taurati nabii Musa sio Mungu aliyempa Quran nabii Muhammad weka hapa tuone
ACHA UPOTOSHAJI

1. Taurati ilipewa Israeli, lakini mpango wa Mungu ulikuwa wa mataifa yote kupitia Yesu.
2. Quran si mwongozo wa mwisho kwa wanadamu wote; wokovu uko kwa Yesu Kristo pekee.
3. Mungu wa Biblia na Mungu wa Quran ni tofauti, kwani mafundisho yao juu ya Yesu na wokovu yanapi
ngana.
 
Ni kweli Mtume Muhammad ﷺ amefariki na hajafufuka na hatofufuka mpaka siku ya kiama na atakayemfufua ni Allah na si yesu ambaye ni binadamu kama yeye.
kwa mujibu wa Biblia, Yesu atamfufua Muhammad na watu wote siku ya mwisho. Hili linaungwa mkono pia na Quran, ambayo inakiri kwamba Yesu alikuwa na uwezo wa kufufua wafu kwa idhini ya Mungu. Katika Ukristo, Yesu si binadamu wa kawaida tu, bali ni Mwana wa Mungu mwenye mamlaka ya uzima na mauti (Ufunuo 1:18).
 
Hakuna bible original ila vitabu ila kuna vitabu vitabu vya Allah ambavyo ni original kabla ya Qur'an navyo ni Zabur,Taurat na Injil
Hata hivyo, kutokana na uingiliaji wa wanadamu, vitabu hivi vilipoteza usahihi wa asili yake. Kwa sasa, nakala zinazopatikana za Taurat na Injili ni zile zilizorekebishwa na kuhaririwa na wanadamu, na hivyo haviwezi kuaminika kama vitabu vya asili vilivyoteremshwa na Allah. Kwa upande mwingine, Zabur, ambayo ni kitabu alichoteremshiwa Nabii Daudi عَلَیهِ‌السَّلام, haipo tena katika umbo lake la asili, na hivyo hatuwezi kuipata katika hali yake ya awali.
Kwahiyo Zaburi aliteremshiwa nabii Daudi? Daa jamani mie niishie hapa.

Daudi alikuwa nabii? Mbona nyie waongo mpaka shetani anakuna kichwa nakujiuliza mmeyapata wapi haya!😭😭😭😭, Nàkuombea Mungu akuguse ili utoke kwenye hilo giza Totoro.
 
Hiyo Biblia imetengenezwa kutoka kwenye scriptures za Zabur,Taurat na Injil.Ikaongezewa maandiko mengine mapya na pia kuondoa baadhi ya maandiko ili kukidhi maslahi ya hao watungaji wa hiyo biblia.
Sasa kwa kuwa biblia imetokana na vitabu vya kweli,kuna baadhi ya maandishi hayajapotoshwa na baadhi yake ni hayo.
Una Zaburi ,Torati na injili original tufananishe na hizi unazosema zimechakachuliwa?au umekaririshwa na MASHEIKH ubwabwa kina Mazinge wauza maji na mafuta
 
Kwahiyo Zaburi aliteremshiwa nabii Daudi? Daa jamani mie niishie hapa.

Daudi alikuwa nabii? Mbona nyie waongo mpaka shetani anakuja kichwa nakujiuliza mmeyapata wapi haya!😭😭😭😭, Nàkuombea Mungu akuguse ili utoke kwenye hilo giza Totoro.
Mudy kila aliyesimuliwa kuhusu wayahudi anamuita nabii
 
ACHA UPOTOSHAJI

1. Taurati ilipewa Israeli, lakini mpango wa Mungu ulikuwa wa mataifa yote kupitia Yesu.
2. Quran si mwongozo wa mwisho kwa wanadamu wote; wokovu uko kwa Yesu Kristo pekee.
3. Mungu wa Biblia na Mungu wa Quran ni tofauti, kwani mafundisho yao juu ya Yesu na wokovu yanapi
ngana.
Tena Mungu tunaye msoma katika biblia na huyo Allah ni vitu viwili tofauti, hata huyo Allah atakuwa anawashangaa😅😅😅😅
 
Tena Mungu tunaye msoma katika biblia na huyo Allah ni vitu viwili tofauti, hata huyo Allah atakuwa anawashangaa😅😅😅😅
Jamaa wanapenda kujibebisha na kujinasibisha na Uyahudi na ukristo
 
Onyesha Ushahidi Kwa kupinga Hoja Sio Kuitoa Hoja Mashiko.iliyoletwa
Waislamu kazi Yao ni kupigania dini tu😂 hapo anatetewa mtume,unatetewa uislam, wakati mtume aliwaandikia waislam kwamba Yesu ni roho wa MUNGU.

Hadithi ya mtume BUKHARI 3435 Kuna verse huwa hawaisomi. Hawa wafia dini wa kiislamu ni vichaa sana.
 
Yaani wanachekeshaga hawa jamaa maana hata ukichukia utaumia moyo na roho, ngoja tuwaombee tu siku moja watatembelewa na nguvu ya YESU.
Yah Yesu atafanya kitu, Mimi nilikuwa huko, na nawafahamu wengi tu Yesu amewatoa huko
 
kwa mujibu wa Biblia, Yesu atamfufua Muhammad na watu wote siku ya mwisho. Hili linaungwa mkono pia na Quran, ambayo inakiri kwamba Yesu alikuwa na uwezo wa kufufua wafu kwa idhini ya Mungu.
Wapi katika Qur’an imesemwa kuwa Yesu atafufua watu.
Umesema yesu alipewa uwezo wa kufufua watu kwa idhini ya Mungu kwa hiyo unakiri yesu sio mungu?
 
Back
Top Bottom