Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Basi kama hayafahamu hayo basi yeye si MunguYeye Mwenyewe Alisema Haijui Siku ya Qiyama wala siku ya Kuja kwake
Au we unaonaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi kama hayafahamu hayo basi yeye si MunguYeye Mwenyewe Alisema Haijui Siku ya Qiyama wala siku ya Kuja kwake
Dogo acha ujinga ni project ipi wanayo wakina mazinge zaidi ya ile ya tunataka mashababi 50 watakaomtolea Allah 100000Dufu ni dhambi mbaya sana Na hata hao wanao piga dufu wanajua na hzo dufu zinapigwa huko vichochoroni sio msikitini..
Wanaproject zao hawasubiri sadaka.. sadaka za msikitini ukiona zinatolewa ujue kuna ujenzi wa mskiti au chakula kwaajili ya wahtaji either wafungwa au vituo vya wasio jiweza
Kwanza nakuonea huruma Kwa sababu Wazungu wamekupotezaUislam na waislam wanahangaika sana. Ni imani inayoshindwa kusimama yenyewe na kujitegemea. Inatafuta kujiegemeza kwenye ukristo, wakati ukristo na wakristo hawana habari nao kwa sababu wana uhakika na wanachokiamini.
Ukweli ni kwamba, katika biblia hakuna mahali popote unapotajwa uislam wala Muhammad.
Mtu amehangaika kuokoteza okoteza habari ili kumpamba Mohamad na uislam.
Yesu hajawahi kuwa nabii. Yesu ni masiha, ni Neno aliyekuwepo kabla hata Ulimwengu kuwapo.
Yesu siyo Isa wa Waislam. Isa wa Waislam ni nabii. Yesu ni Kristo Masiha, Mungu Pamoja Nasi. Aliyepewa mamlaka yote, Duniani na Mbinguni.
Mt 28:18
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Tumwombe Mungu wa huruma, kwa neema zake, awafunulie wamtambue na kumpokea Mungu wa kweli, wamtambue Kristo katika ukweli wake.
Yn 14:6
Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Yohana 14:8-9
Filipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, na yatutosha. Yesu akamwambia, Mimi nimekuwa pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? yeye aliyeniona mimi amemwona Baba; nawe wasemaje basi, Utuonyeshe Baba?
Wala msidanganyike kuwa Allah anayeabudiwa na waislam ndiye Mungu anayeabudiwa na Wakristo.
Quran inasema kuwa Allah ni bingwa wa uongo, wakati biblia inasema bingwa wa uongo ni shetani:
Yhn 8:
44 Ninyi ni watoto wa baba yenu shetani; kwa hiyo mnapenda kufanya maovu kama yeye. Tangu mwanzo yeye alikuwa muuaji na hana uhusiano wo wote na mambo ya kweli; kwa maana hana asili ya kusema lililo kweli. Shetani anapodanganya anadhihirisha asili yake kwa kuwa yeye ni mwongo na ni baba wa uongo.
Quran 1539.
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenipotosha na kunitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
Katika aya hapo juu, Shetani anasema kuwa, Allah ndiye aliye mpotosha na kumfanya awe mbaya. Kumbe Allah ndie mwanzislishi wa upotoshaji/uongo? Ushaidi zaidi utaupata katia Surah na aya zifuatazo 3:54, 3:54, 7:123, 13:42, 14:46, 16:26, 16:45, 27:50, 40:45, 71:22 impf. act. 6:123, 6:123, 6:124, 8:30, 8:30, 8:30, 10:21, 12:102, 16:127, 27:70, 35:10 n.vb. 7:99, 7:99, 7:123, 10:21, 10:21, 12:31, 13:33, 13:42, 14:46, 14:46, 14:46, 27:50, 27:50, 27:51, 34:33, 35:10, 35:43, 35:43, 71:22 pcple. act. 3:54, 8:30
HeheheYESU GALASA LILILOTENGENEZWA NA WAZUNGU WAKALETEWA WAKRISTO
KATAFITI MDUDU...Swali: wanatoa kiapo kwa nani?
Wanapo hitimu masomo ni wapi huko na mimi nikasome?
Masomo yanahusu nini?
Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).
1.Kumbukumbu la Torati 18:18 - Nabii kama Musa
"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)
Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.
Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.
Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.
2.Isaya 42:1-13 - Nabii kutoka Kedar
Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:
Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.
Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.
Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”
Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.
3. Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani
Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:
Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."
Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.
Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”
Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.
Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.
4. Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos) na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an
Yesu alisema:
Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”
Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.
Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).
Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an
Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:
Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."
Ahmad ni jina lingine la Muhammad.
Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.
5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma
Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."
Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.
Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Mbona we umeshindwa kutunga kama ni rahisi hivyoInjili ni hekaya za kutungwa na kusadikika tu.
Quran ni hekaya za kutungwa na kusadikika tu.
Mtume Muhammad hajawahi kuwepo na hayupo.
Hakuna Mungu.
Allah ndio aliyempa Musa TauratiTOFAUTI YA ALLAH SUBHANA NA JEHOVAH MUNGU WA ISRAEL
TUANGALIE KWENYE NDOA...
KUMBUKUMBU LA TORATI 24:1-4
""Mtu akiisha kutwaa mke Kwa kumwoa ,,asipopata kibali machoni mwake, Kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake,,na kumtoa Katika nyumba yake. 2 Naye akiisha kuondoka Katika nyumba yake, ana ruhusa kwenda akawa mke WA mtu mwingine.3 Na Huyo mumewe wa Sasa akimchukia,,na kumwandikia hati ya kumwacha,na kumpa mkononi mwake,,na kumtoa Katika nyumba yake; au akifa Yeye mumewe wa Sasa,,aliyemtwaa kuwa mkewe;4.YULE WA KWANZA ALIEMWACHA ASIMTWAE KUWA MKEWE TENA,,AKIISHA KUTIWA UNAJISI; KWA KUWA HAYA NI MACHUKIZO MBELE ZA BWANA; KWA HIO USIITIE DHAMBINI NCHI AKUPAYO BWANA,MUNGU WAKO IWE URITHI"""
MSISITIZO WAKE
YEREMIA 3:1
"""Watu husema, Mtu akimwacha mkewe,,nae akienda zake akawa mke WA mtu mwengine,,Je! Mtu Huyo atamrudia tena?? Je! Nchi hio haitatiwa unajisi?
Swali Kwa waislam mnaoshika biblia ZAIDI YA QURAN??
Ninyi mna talaka Aina tatu..
*TALAKA HASSANAT
**TALAKA REJEA
***TALAKA BAYYINUNA
Hii TALAKA ya tatu (BAYYINUNA) kulingana na QURAN 2:229-230 Kama Allah aliwaambia msome TORATI injili na zaburi alikuwa anajua anachokiandika kinakinzana na Sheria mama isioweza kubadilishwa???
Je!!! Yeye Mungu wenu Allah anajua hata kilichoandikwa kwenye TORATI???
Yeye subhana anaweza kuielewa injili?? Uwezo wake WA kufikiri anaweza kuielewa zaburi??? Alitoa wapi wazo la mwanamke aachwe kisha akaachwe na mwanamume mwengine ndipo huyu aliemwacha mwanzo akamuoe tena???Nyie waislam wapenda biblia Mungu wenu ana akili timamu??
Pindi MUNGU mpya Kama Allah anapohalalisha kitendo cha jinai chenye kuinajisi nchi nzima anayo legitimacy ya kuendelea kuaminiwa na Kuitwa Mungu..??
Hamuoni mnamkosea heshima MUNGU WA kweli Mungu WA Ibrahim,,isaka na Israel??
Kwa hiyo huyu ni mungu wa waisrael tuJEHOVAH MUNGU WA ISRAEL
Hakuna ulichokiandika zaidi ya pumbaTOFAUTI YA ALLAH SUBHANA NA JEHOVAH MUNGU WA ISRAEL
TUANGALIE KWENYE NDOA...
KUMBUKUMBU LA TORATI 24:1-4
""Mtu akiisha kutwaa mke Kwa kumwoa ,,asipopata kibali machoni mwake, Kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake,,na kumtoa Katika nyumba yake. 2 Naye akiisha kuondoka Katika nyumba yake, ana ruhusa kwenda akawa mke WA mtu mwingine.3 Na Huyo mumewe wa Sasa akimchukia,,na kumwandikia hati ya kumwacha,na kumpa mkononi mwake,,na kumtoa Katika nyumba yake; au akifa Yeye mumewe wa Sasa,,aliyemtwaa kuwa mkewe;4.YULE WA KWANZA ALIEMWACHA ASIMTWAE KUWA MKEWE TENA,,AKIISHA KUTIWA UNAJISI; KWA KUWA HAYA NI MACHUKIZO MBELE ZA BWANA; KWA HIO USIITIE DHAMBINI NCHI AKUPAYO BWANA,MUNGU WAKO IWE URITHI"""
MSISITIZO WAKE
YEREMIA 3:1
"""Watu husema, Mtu akimwacha mkewe,,nae akienda zake akawa mke WA mtu mwengine,,Je! Mtu Huyo atamrudia tena?? Je! Nchi hio haitatiwa unajisi?
Swali Kwa waislam mnaoshika biblia ZAIDI YA QURAN??
Ninyi mna talaka Aina tatu..
*TALAKA HASSANAT
**TALAKA REJEA
***TALAKA BAYYINUNA
Hii TALAKA ya tatu (BAYYINUNA) kulingana na QURAN 2:229-230 Kama Allah aliwaambia msome TORATI injili na zaburi alikuwa anajua anachokiandika kinakinzana na Sheria mama isioweza kubadilishwa???
Je!!! Yeye Mungu wenu Allah anajua hata kilichoandikwa kwenye TORATI???
Yeye subhana anaweza kuielewa injili?? Uwezo wake WA kufikiri anaweza kuielewa zaburi??? Alitoa wapi wazo la mwanamke aachwe kisha akaachwe na mwanamume mwengine ndipo huyu aliemwacha mwanzo akamuoe tena???Nyie waislam wapenda biblia Mungu wenu ana akili timamu??
Pindi MUNGU mpya Kama Allah anapohalalisha kitendo cha jinai chenye kuinajisi nchi nzima anayo legitimacy ya kuendelea kuaminiwa na Kuitwa Mungu..??
Hamuoni mnamkosea heshima MUNGU WA kweli Mungu WA Ibrahim,,isaka na Israel??
Kama huwezi kutoa hoja zako bila kutukana na kukashifu basi inaonyesha una hoja dhaifu sana bwege nazi wewe!!!TOFAUTI YA ALLAH SUBHANA NA JEHOVAH MUNGU WA ISRAEL
TUANGALIE KWENYE NDOA...
KUMBUKUMBU LA TORATI 24:1-4
""Mtu akiisha kutwaa mke Kwa kumwoa ,,asipopata kibali machoni mwake, Kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake,,na kumtoa Katika nyumba yake. 2 Naye akiisha kuondoka Katika nyumba yake, ana ruhusa kwenda akawa mke WA mtu mwingine.3 Na Huyo mumewe wa Sasa akimchukia,,na kumwandikia hati ya kumwacha,na kumpa mkononi mwake,,na kumtoa Katika nyumba yake; au akifa Yeye mumewe wa Sasa,,aliyemtwaa kuwa mkewe;4.YULE WA KWANZA ALIEMWACHA ASIMTWAE KUWA MKEWE TENA,,AKIISHA KUTIWA UNAJISI; KWA KUWA HAYA NI MACHUKIZO MBELE ZA BWANA; KWA HIO USIITIE DHAMBINI NCHI AKUPAYO BWANA,MUNGU WAKO IWE URITHI"""
MSISITIZO WAKE
YEREMIA 3:1
"""Watu husema, Mtu akimwacha mkewe,,nae akienda zake akawa mke WA mtu mwengine,,Je! Mtu Huyo atamrudia tena?? Je! Nchi hio haitatiwa unajisi?
Swali Kwa waislam mnaoshika biblia ZAIDI YA QURAN??
Ninyi mna talaka Aina tatu..
*TALAKA HASSANAT
**TALAKA REJEA
***TALAKA BAYYINUNA
Hii TALAKA ya tatu (BAYYINUNA) kulingana na QURAN 2:229-230 Kama Allah aliwaambia msome TORATI injili na zaburi alikuwa anajua anachokiandika kinakinzana na Sheria mama isioweza kubadilishwa???
Je!!! Yeye Mungu wenu Allah anajua hata kilichoandikwa kwenye TORATI???
Yeye subhana anaweza kuielewa injili?? Uwezo wake WA kufikiri anaweza kuielewa zaburi??? Alitoa wapi wazo la mwanamke aachwe kisha akaachwe na mwanamume mwengine ndipo huyu aliemwacha mwanzo akamuoe tena???Nyie waislam wapenda biblia Mungu wenu ana akili timamu??
Pindi MUNGU mpya Kama Allah anapohalalisha kitendo cha jinai chenye kuinajisi nchi nzima anayo legitimacy ya kuendelea kuaminiwa na Kuitwa Mungu..??
Hamuoni mnamkosea heshima MUNGU WA kweli Mungu WA Ibrahim,,isaka na Israel??
Mungu alikuja duniani kupitia nyeti ya kiumbe aliomuumba ( kwa mwenye akili huu ni uchafu sio dini)Yanaweza onekana maswali magumu ila ni mepesi sana kama ukikaa na kuuelewa ukristo na kusudio la Kuja kwa Kristo duniani.
Soma yohana 1 utaelewa zaidi
Mariam ndio alie ambiwa ata mwita (Yesu) yaani mungu pamoja nasi ni tafsiri ya jina la yesu ila sio munguYesu alizaliwa na bikra maria,ajabu namba 1,Yesu alitabiliwa ajabu namba 2,Yesu alitenda miujiza mikuu kuliko wanadamu wote ajabu ya 3,Yesu alikufa na kufufuka na kupaa mbinguni.
Nionyeshe nabii gani aliyewahi fanya hayo.
Kesho naenda kusilimu.
Hivyo Yesu ni Mungu pamoja nasi Emanuel.
Hii ni tafsiri ya jina yesu na sio mungu katikati yenu mmechanganya madawandiyo maana tunamwita Emmanuel, yaani Mungu katikati yetu.
Nini maana ya kushushwa "wahisi ilitupwa chini kama mzigo"Qurani ilishushwa!!
Heka hapa hizo sifa za biblia tuzioneKuna aya katika Quran zinazoelezea sifa za Allah, ambazo kwa kaduri ya biblia ni sifa za shetani/ibilisi. Swali la kujiuliza, je Muhammad alikutana na malaika Jibril kama inavyosemwa, au alikutana na shetani aliyejiita kuwa ni malaika?
Nimeyaona
Bro amini Hakuna kiongoz wa dini atakaa bila kaziDogo acha ujinga ni project ipi wanayo wakina mazinge zaidi ya ile ya tunataka mashababi 50 watakaomtolea Allah 100000