Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Ni kweli Mtume Muhammad ﷺ amefariki na hajafufuka na hatofufuka mpaka siku ya kiama na atakayemfufua ni Allah na si yesu ambaye ni binadamu kama yeye.

Kuna mengi yanayosemwa kuhusu Quran ambayo ni ya uongo. Habari ya sijui quran kuwa iliteremshwa toka mbinguni, nayo ni uwongo. Kwa sababu Mohammad anasema aliambiwa achukue kalamu aandike, naye akasema kuwa ataandikaje kwa kuwa hajui kuandika (Mohammad hakujua kusoma wala kuandika). Katafute historia ya uandikaji wa Quran. Mohammad alienda kusimulia yale aliyodai kuwa aliambiwa, na mtu mwingine ndiye aliyeandika. Lakini mpaka leo waislam wengi wamedanganywa kuwa eti Qurani ilishushwa!!

Kwenye imani, huwa kunahitaji umakini sana, maana hata shetani hutumia yale unayoyaamini ili kukuangamiza. Kumbuka hata Yesu alipofunga siku 40 akiwa jangwani, shetani alienda kumjaribu ili amwangushe. Na katika kutaka kumwangusha alitumia maneno ya kwenye biblia, akamwambia, "jirushe mpaka chini, maana imeandikwa kuwa malaika wa mbinguni watakudaka". Yesu akamjibu kuwa imeandikwa, usimjaribu Bwana Mungu wako. Hivyo shetani hutumia maneno ya Mungu ili kumhadaa mwanadamu. Quran imecopy na kuyachukua machache kutoka kwenye biblia, kisha ikaongeza mengine yaliyo kinyume na maagizo ya Mungu.

Kuna aya katika Quran zinazoelezea sifa za Allah, ambazo kwa kaduri ya biblia ni sifa za shetani/ibilisi. Swali la kujiuliza, je Muhammad alikutana na malaika Jibril kama inavyosemwa, au alikutana na shetani aliyejiita kuwa ni malaika?

Yesu, hakusema kuwa eti kuna nabii mwingine atakayekuja, bali alisema kuwa Mungu aliwatuma manabii, wanadamu hawakuwasilikiliza, baadaye akamtuma mwana wake, wanadamu hawakumsikiliza, wakamwua, na kisha aliwauliza, mnadhani Mungu atawatenda nini watu hao? Yesu alipokuwa anapaa mbinguni aliwaambia mitume kuwa anawaletea mfariji atakayewakumbusha yote aliyowafundisha, kisha akawavuvia akawaambia, pokeeni Roho Mtakatifu. Kwa hiyo mfariji na mwenye kuwakumbusha mitume wake, yale aliyowafundisha alimtaja wazi kuwa ni Roho Mtakatifu, hakuna habari ya Ahmad.

Kosa la Lucifer ilikuwa ni kutaka kuwa kama Mungu, yaani aabudiwe, asifiwe na kuwa na wafuasi watakaomfanyia ibada, na kumjengea nyumba za kumwabudu, kama anavyofanyiwa Mungu. Mungu akamtupa Duniani, na Duniani ndiko aliko na ufalme wake. Biblia inasema mfalme wa Ulimwengu ni shetani. Quran inasema Allah ni mfalme wa Ulimwengu!!

Tuombe sana neema ya kumjua Mungu wa kweli. Tutambue kuwa shetani, ufalme wake na mawakala wake, wapo Duniani wakiimarisha ufalme wake kwa mafundisho ya uwongo, mafundisho yaliyo kinyume na mafundisho na amri kuu ya Mungu, ambayo ni UPENDO.
 
Qur'an ni maneno ya Mwenyezi Mungu (Kalamullah) yaliyoteremshwa kwa Mtume Muhammad ﷺ kupitia Malaika Jibril.

Qur'an ilishuka kutoka Lauhul Mahfudh (Ubao uliohifadhiwa) na iliteremshwa hadi Baytul 'Izzah (Nyumba ya Heshima) katika mbingu ya kwanza. Hii ilikuwa hatua ya kwanza ya kuteremka kwa Qur'an. Baada ya hapo, Qur'an ilianza kushuka kwa hatua kwa hatua kwa kipindi cha miaka 23 kwa Mtume Muhammad ﷺ, ikitekeleza matukio na mahitaji ya jamii. Sehemu kubwa ya Qur'an ilishushwa Makkah (aya za Makkiyya), ambazo zilijikita katika imani, uongofu, na kumtukuza Mwenyezi Mungu. Baada ya hijra, aya nyingi za Madina (aya za Madaniyya) zilitokea, zikihusiana na sheria, haki, na utawala wa kijamii. Hivyo, Qur'an ilishuka kwa hatua kutoka Baytul 'Izzah na kumfikia Mtume ﷺ, ikifundisha maadili na sheria za Kiislamu.

Habari ya kusema eti kuna ubao ulioteremshwa, ni uwongo.

Muslims believe that the Quran was verbally revealed by Allah to Muhammad through the angel Gabriel (Jibril), gradually over a period of approximately 23 years, beginning on 22 December 609 CE, when Muhammad was 40, and concluding in 632, the year of his death.

Quran ni maneno ambayo Mohammad alikuwa akiwaambia waandikaji kuwa ameambiwa na malaika. Nyingine zote ni stories.
 
Naam. Ukimpokea Kristo utaokolewa. Haijalishi umefanya dhambi gani na kwa muda gani, ni anytime t, wala haihitaji process, ni instantly, palepale ushakuwa forgiveness, ni usitende dhambi tena, na Roho Mtakatifu atakuongoza from there uipate hiyo neema ya kuepuka kurudi nyuma. Wote tuseme Amina 🙏.
Lakini yesu si amesha jua kabisa fulani ataingia motoni au bado hajajua? Maana ulisema hata kabla yuda hajamsaliti alikuwa amesha jua
 
Lakini yesu si amesha jua kabisa fulani ataingia motoni au bado hajajua? Maana ulisema hata kabla yuda hajamsaliti alikuwa amesha jua
Yeye Mwenyewe Alisema Haijui Siku ya Qiyama wala siku ya Kuja kwake
 
Kuna tofauti ipi kati ya dufu na kwaya?mbona kishki, mazinge na Sulle wana magari ya bei mbaya?
Dufu ni dhambi mbaya sana Na hata hao wanao piga dufu wanajua na hzo dufu zinapigwa huko vichochoroni sio msikitini..

Wanaproject zao hawasubiri sadaka.. sadaka za msikitini ukiona zinatolewa ujue kuna ujenzi wa mskiti au chakula kwaajili ya wahtaji either wafungwa au vituo vya wasio jiweza
 
KUhusu kusali Yesu alitoa muongozo.

Akawaambia, Msalipo, semeni, Baba [yetu uliye mbinguni], Jina lako litakaswe, Ufalme wako uje, [Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama huko mbinguni.] Utupe siku kwa siku riziki yetu. Utusamehe dhambi zetu, kwa kuwa sisi nasi tunamsamehe kila tumwiaye. Na usitutie majaribuni [lakini tuokoe na yule mwovu]. Luka 11:2-4
Kwenye miziki yenu ya Mwaipaja, gozbert hayo maneno yapo? Sana sana hazina tofauti na miziki ya shetani kuiongelea dunia na ufahari wake mfano Ipo siku ya good luck gozbert, oludumare inapigwa mpka night club, nyingine inaitwa Upo single 😁
 
Yesu Kuwa Mungu haiwezekani..
Labda kama Watakubaliana Na Mimi Yesu Awe DEMIGOD
Kinacho wachanganya ni ile miujiza Kutoka kwa Mungu huenda Hata Mussa wangemuita Ni Mungu..

zamani watu walikuwa wanatamani sana kumuona Mungu Ndo maana kila Chenye miujiza waliita ni Mungu
 
Kinacho wachanganya ni ile miujiza Kutoka kwa Mungu huenda Hata Mussa wangemuita Ni Mungu..

zamani watu walikuwa wanatamani sana kumuona Mungu Ndo maana kila Chenye miujiza waliita ni Mungu
Na Kwa bahati Mbaya Hakuna Ushahidi wa Kihistoria Kuhusu Miujiza hiyo
 
Unauhakika wakristo hawapeleki misaada kwa wahitaji,na kuhakikishia hakuna waumini wanaotoa msaada kwa wahitaji kama wakristo,tafuta charity katika eneo ulipo utakuta karibia zote zina wakristo.


Pia tambua ukristo unafundiaha kusaidi wahitaji na wenyw njaa.

Uzuri wa kristo ni watoaji sana wanatoa hadi kuzidi,sio waislamu ibada hata 10k kuifiksha kazi msikiti wanachangisha hela ya luku au bili ya maji hadi kwa wapita njia.

M naona kinachokutesa wewe ni wivu tu..sadaka huwezi mpangia mtu apeleke wapi..tambua wakristo wanafundishwa sadaka ipelekwe katika madhabahu wanayoabudia sio kosa lao ni maagizo yao.
Na wewe fata yako kasaidie masikini hakuna alokukataza.

Mziki utaimbwa duniani mana pepo ya wakristo ni kuimba na kusifu neema za Mungu sio kulombana kama dangulo la ala.
Umeona umejibu vzuri sana so tuseme tu mnahangamia kwa kuyakosa maarifa..
ukristo unafundiaha kusaidi wahitaji na wenyw njaa.
hzo pesa mnazo wapa wale matajiri mle kanisani wale Ndio wenye njaaa?
sadaka huwezi mpangia mtu apeleke wapi..tambua wakristo wanafundishwa sadaka ipelekwe katika madhabahu wanayoabudia sio kosa lao ni maagizo yao.
Biblia ndo inasema usaidie wenye uhitaji wewe unasema usimpangie mtu pa kupeleka hamuoni kama mnapishana na biblia yenu au hamuiamini?
Uzuri wa kristo ni watoaji sana wanatoa hadi kuzidi,sio waislamu ibada hata 10k kuifiksha kazi msikiti wanachangisha hela ya luku au bili ya maji hadi kwa wapita njia
Hauwezi kukuta kanisa fulani limepeleka msaada kwa wahtaji zaidi utakuta ni taasisi flani imefanya charity yani ni project na ni kwa lengo la kupata Grants au kujitangaza sio kwa imani yenu
 
Kwa sababu Mohammad anasema aliambiwa achukue kalamu aandike, naye akasema kuwa ataandikaje kwa kuwa hajui kuandika (Mohammad hakujua kusoma wala kuandika)
Wapi aliambiwa aandike
 
4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.
Swali langu ni:- huyo Muhammad amekaa milele.
 
Kama unamzungumzia yesu ambaye alifia msalabani na ambaye yeye mwenyewe ni mungu basi ni kweli ulichokisema.
Lakini tukimzungumzia Yesu ambaye hakufa msalabani na wala yeye si mungu basi uliyosema si sahihi
YESU wa Quran sio YESU wa wakristo....Mnangangania Vitu visivyo vyenu kila siku.MUhamad ameua watu zaidi ya 800 kwa mikono yake mwenyewe, ajafanya muujiza wowote na ameleta mambo tofauti na yale ya YESU.kuna mpaka haya za Quran zina mpa upendeleo yeye kama yeye.MUngu gani huyo ???
 
Mada za watu wa vingunguti, mbagala, kigogo n.k
Acha ccm iendelee kuangamiza taifa
 
Back
Top Bottom