ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,247
- 6,578
Kama umeshindwa kuelewa kasome Tafsir ya Ibn kathir chief.Ndiyo katika hiyo hadith ni sehem gan wamesema hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umeshindwa kuelewa kasome Tafsir ya Ibn kathir chief.Ndiyo katika hiyo hadith ni sehem gan wamesema hivyo
Hamna hoja hapoKama umeshindwa kuelewa kasome Tafsir ya Ibn kathir chief.
Kuwa cha juzi siyo tatizo,tatizo ukweli, muhammad hakujua kusoma na kuandika lakini alijua ukiwa yanapanda angani kifua kitabana kwa kukosa pumziUsiiamini Quran ni kitabu cha juzi tu
Ndiyo kila mtu ana hadith zake,bukhari ni za sunni Wal jamaa,shia Wana zao,ahmadiya zao,sunni zao,lakini wote wanaunganishwa na Quran, hadithi ni uzushiKwahiyo Shia,Sunni ,alawite,n.k kila mmoja ana Hadith zao
Za Bukhar na Sahihi, hauziamini
Ukitaka tafsiri ya ya aya, Hadith na sura za Quran lazima ukasome Tafsir. Usiseme sina hoja,wewe kama wewe huwezi wala huna mamlaka ya kutafsiri. Ndiyo maana utasikia maulamaa wanasema hivi au vile,ukitaka kujua maana ya maandiko yenu tafuta vitabu vya tafsiri vya hawa watu mkuu .Hamna hoja hapo
Wewe ni mwanazuoni ,unaujua uislamuUkitaka tafsiri ya ya aya, Hadith na sura za Quran lazima ukasome Tafsir. Usiseme sina hoja,wewe kama wewe huwezi wala huna mamlaka ya kutafsiri. Ndiyo maana utasikia maulamaa wanasema hivi au vile,ukitaka kujua maana ya maandiko yenu tafuta vitabu vya tafsiri vya hawa watu mkuu .
1)Ibn- kathir
2)Al-Tabari
3)Al-Mizan.
Huku ndiyo utajua mpaka kwanini mnaruhusiwa kuoa watoto😏.
Hii ndio biblia iliyodumu miaka na miaka ,Hata biblia ni kitabu cha juzi tu
Naona Sasa umeamua kubishana na historical languageNILISHAKWAMBIA HUNA ELIMU ,NDIO MAANA MADA ZANGU HUWA UNAZIKIMBIA
Neno "YEHOVA" au "JEHOVAH" halitokani na Kigiriki, bali ni matokeo ya mabadiliko ya lugha kutoka Kiebrania hadi Kilatini na hatimaye Kingereza.
Asili ya jina hili ni kutoka kwenye Tetragrammaton (YHWH), ambalo ni jina takatifu la Mungu linalopatikana katika Biblia ya Kiebrania.
Katika Kiebrania cha zamani, herufi "YHWH" hazikuwa na vokali kwa sababu lugha hiyo awali iliandikwa bila vokali.
Baadaye, Wamasoreti (wasomi wa Kiyahudi wa karne ya 6-10 BK) waliongeza nukta za vokali kutoka kwa jina Adonai ili kusaidia kulitamka bila kulitaja kwa heshima.
Watafsiri wa Kilatini walichukua herufi hizo na kuzibadilisha kuwa "JHVH", kisha wakaongeza vokali kutoka "Adonai" na kupata "Jehovah" (Kiingereza) au "Yehova" (Kiswahili).
Mungu alijifunua kwa jina la YHWH (Yehova) kwa Waisraeli, kama inavyothibitishwa na Biblia yenyewe:
Kutoka 6:3 – "Nami nalijulikana kwa Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kwa jina la Mungu Mwenyezi; bali kwa jina langu Yehova sikujulikana kwao."
Zaburi 83:18 – "Ili watu wajue ya kuwa wewe, ambaye jina lako ni Yehova, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya dunia yote."
Kwa hiyo, JEHOVAH / YEHOVA si jina la Kigiriki, bali ni tafsiri ya YHWH kutoka Kiebrania kupitia Kilatini.
NILISHAKWAMBIA WEWE ELIMU HUNA ,NA NI WAISLAMU NDIO MLIVYO, MAANA HISTORIA HUWA INAWAUMBUANaona Sasa umeamua kubishana na historical language
Wayahudi hawakuwa na sababu ya kubadilisha jina la Mungu Kwa sababu hayo majina Mungu aliyataja Kwa lugha Yao in written and spoken
Waliobadilisha hayo majina ni wagiriki Ili wakupotezeni vizuri
The word "JEHOVAH" was formed by merging the three vowels (e, o, and a) of the word ELOAH, into the Romanized (Latinized) four letter version JHVH (i.e. JeHoVaH).This was an early concoction.
The word "YAHWEH" was formed by merging the vowels (a, and e) of the word HASHEM into the four letter version YHWH (i.e. YaHWeH). This was a more recent invention.
Nimeona hapo umesema YEHOVA inatokana na neno YAHWH ebu nenda ukasome vizuri
ELOAH ndio ilichakachuliwa na wagiriki wakapata JHVH alafu ndio YEHOVA
HASHEM nalo wakalichakachua wakapata YAHWH alafu ndio YAHWEH
Mungu hajawahi kujiita YEHOVA Wala YAHWEH hizo zote ni fix za Wazungu Ili muabudu Miungu Yao
Kilichofanyika hapo ni sawa na kilichofanyika katika jina la Yesu maana Yesu siku akishuka Duniani ukimwita Yesu atakushangaa na ukimuita Jesus pia atakushangaa maana hayo majina hayajui
Jina lake ni YEHOSHUA
Kuna herufi hapo wagiriki hawana ndio wakachakachua wakapata Jesus
YEHOSHUA
YE........S...U..
Kilichofanyika hapo hakina tofauti na walichofanya katika
ELOAH wakapata JEHOVAH
HASHEM wakapata YAHWEH
Hayo majina ya mwisho yote Mungu hayajui hayo ni majina ya Miungu ya kigiriki
Sina mda wa kubishana na wewe Mimi nakuelimisha tu
Nitabishana vipi na mtu ambaye hata jina la Mungu wake aliyemuumba hajui anaitwa nani
Sisi waislam tunajua kuwa nyinyi jina la Mungu hamlijui na ndio maana mkichinja mnyama au Ndege sisi hatuli
NILISHAKWAMBIA WEWE ELIMU HUNA ,NA NI WAISLAMU NDIO MLIVYO, MAANA HISTORIA HUWA INAWAUMBUANaona Sasa umeamua kubishana na historical language
Wayahudi hawakuwa na sababu ya kubadilisha jina la Mungu Kwa sababu hayo majina Mungu aliyataja Kwa lugha Yao in written and spoken
Waliobadilisha hayo majina ni wagiriki Ili wakupotezeni vizuri
The word "JEHOVAH" was formed by merging the three vowels (e, o, and a) of the word ELOAH, into the Romanized (Latinized) four letter version JHVH (i.e. JeHoVaH).This was an early concoction.
The word "YAHWEH" was formed by merging the vowels (a, and e) of the word HASHEM into the four letter version YHWH (i.e. YaHWeH). This was a more recent invention.
Nimeona hapo umesema YEHOVA inatokana na neno YAHWH ebu nenda ukasome vizuri
ELOAH ndio ilichakachuliwa na wagiriki wakapata JHVH alafu ndio YEHOVA
HASHEM nalo wakalichakachua wakapata YAHWH alafu ndio YAHWEH
Mungu hajawahi kujiita YEHOVA Wala YAHWEH hizo zote ni fix za Wazungu Ili muabudu Miungu Yao
Kilichofanyika hapo ni sawa na kilichofanyika katika jina la Yesu maana Yesu siku akishuka Duniani ukimwita Yesu atakushangaa na ukimuita Jesus pia atakushangaa maana hayo majina hayajui
Jina lake ni YEHOSHUA
Kuna herufi hapo wagiriki hawana ndio wakachakachua wakapata Jesus
YEHOSHUA
YE........S...U..
Kilichofanyika hapo hakina tofauti na walichofanya katika
ELOAH wakapata JEHOVAH
HASHEM wakapata YAHWEH
Hayo majina ya mwisho yote Mungu hayajui hayo ni majina ya Miungu ya kigiriki
Sina mda wa kubishana na wewe Mimi nakuelimisha tu
Nitabishana vipi na mtu ambaye hata jina la Mungu wake aliyemuumba hajui anaitwa nani
Sisi waislam tunajua kuwa nyinyi jina la Mungu hamlijui na ndio maana mkichinja mnyama au Ndege sisi hatuli
Kwani wayahudi siyo waarabu?.Ikiwa Ibrahim ndiye kiini cha watu hao na yeye alitokea Uarabuni huko unawezaje kuwaondoa kina Yakobo katika uarabu?.Hapo onda muddy,ndio muarabu hao wote walio baki ni mitume walioletwa kwaajili ya wayahudi na ni wayahudi uzap wa ibrahimu,isaka na yakobo.
Hamna kituUkitaka tafsiri ya ya aya, Hadith na sura za Quran lazima ukasome Tafsir. Usiseme sina hoja,wewe kama wewe huwezi wala huna mamlaka ya kutafsiri. Ndiyo maana utasikia maulamaa wanasema hivi au vile,ukitaka kujua maana ya maandiko yenu tafuta vitabu vya tafsiri vya hawa watu mkuu .
1)Ibn- kathir
2)Al-Tabari
3)Al-Mizan.
Huku ndiyo utajua mpaka kwanini mnaruhusiwa kuoa watoto😏.
Hiyo ni ya juzi tu nayo maana haikuwepo wakati wa Nuhu wala IbrahimHii ndio biblia iliyodumu miaka na miaka ,
Kwanza, mfumo wa maandishi ya alfabeti ulikuwepo tangu mwaka 1800 KK, ukijulikana kama Proto-Sinaitic. Mfumo huu wa maandishi uligunduliwa na Flinders Petrie mwanzoni mwa miaka ya 1900 na baadaye na watafiti kutoka Yale katika miaka ya 1990. Pia, k comb ya kale kutoka Lachish, Israeli, ilipatikana ikiwa na maandishi ya alfabeti, ikithibitisha kuwa maandishi yalikuwa yakitumika katika Kanaan tangu 1700 KK. Hii inaonyesha kuwa Musa alikuwa na uwezo wa kuandika sehemu za kihistoria na kisheria za Torati tayari ifikapo 1700–1800 KK.
Pili, Nakala za Bahari ya Chumvi (Dead Sea Scrolls), ambazo ni zaidi ya miaka elfu mbili, zinathibitisha kuwa Biblia ya Kiebrania imehifadhiwa kwa usahihi mkubwa. Karibu vitabu vyote vya Biblia vinapatikana katika maandiko haya ya kale. Kitabu cha Isaya, kilichopatikana kikiwa kamili, kinafanana kwa zaidi ya 95% na maandiko tunayotumia leo.
Mwanakiolojia mashuhuri wa Israeli, Yigael Yadin, aliandika katika kitabu chake The Message of the Scrolls uk. 83:
"Kinachoshangaza ni kwamba licha ya umri wao na ukweli kwamba hati hizi ziliandikwa kabla ya kusawazishwa kwa maandiko, kwa ujumla zinafanana sana na maandiko ya Kimasora tunayoyajua leo."
Pia, msomi wa Biblia Gleason Archer aliandika kuhusu Kitabu cha Isaya:
"Hata ingawa nakala mbili za Isaya zilizogunduliwa Qumran zilikuwa na tofauti ya zaidi ya miaka 1000 na maandiko yaliyokuwepo kabla, zilionekana kuwa na ulinganifu wa neno kwa neno kwa zaidi ya asilimia 95. Tofauti zilizopo ni za tahajia na makosa madogo ya kuandika."
Hii inaonyesha kuwa waandishi wa Biblia ya Kiebrania waliiga maandiko kwa uangalifu mkubwa kwa maelfu ya miaka. Kwa hivyo, Biblia haikupotoshwa kama mnavyodanganyana misikitini bali iliandikwa mapema na kuhifadhiwa kwa usahihi mkubwa.View attachment 3255952
Ebu wasomeni waarabu hapa:Kwani wayahudi siyo waarabu?.Ikiwa Ibrahim ndiye kiini cha watu hao na yeye alitokea Uarabuni huko unawezaje kuwaondoa kina Yakobo katika uarabu?.
Sio mwanazuoni ila nina interest ya kutaka kujua kwa sababu uislamu umekuwa ukipotosha misingi ya ukristo kwenye mafundisho yake .Wewe ni mwanazuoni ,unaujua uislamu
Safi.Naona Sasa umeamua kubishana na historical language
Wayahudi hawakuwa na sababu ya kubadilisha jina la Mungu Kwa sababu hayo majina Mungu aliyataja Kwa lugha Yao in written and spoken
Waliobadilisha hayo majina ni wagiriki Ili wakupotezeni vizuri
The word "JEHOVAH" was formed by merging the three vowels (e, o, and a) of the word ELOAH, into the Romanized (Latinized) four letter version JHVH (i.e. JeHoVaH).This was an early concoction.
The word "YAHWEH" was formed by merging the vowels (a, and e) of the word HASHEM into the four letter version YHWH (i.e. YaHWeH). This was a more recent invention.
Nimeona hapo umesema YEHOVA inatokana na neno YAHWH ebu nenda ukasome vizuri
ELOAH ndio ilichakachuliwa na wagiriki wakapata JHVH alafu ndio YEHOVA
HASHEM nalo wakalichakachua wakapata YAHWH alafu ndio YAHWEH
Mungu hajawahi kujiita YEHOVA Wala YAHWEH hizo zote ni fix za Wazungu Ili muabudu Miungu Yao
Kilichofanyika hapo ni sawa na kilichofanyika katika jina la Yesu maana Yesu siku akishuka Duniani ukimwita Yesu atakushangaa na ukimuita Jesus pia atakushangaa maana hayo majina hayajui
Jina lake ni YEHOSHUA
Kuna herufi hapo wagiriki hawana ndio wakachakachua wakapata Jesus
YEHOSHUA
YE........S...U..
Kilichofanyika hapo hakina tofauti na walichofanya katika
ELOAH wakapata JEHOVAH
HASHEM wakapata YAHWEH
Hayo majina ya mwisho yote Mungu hayajui hayo ni majina ya Miungu ya kigiriki
Sina mda wa kubishana na wewe Mimi nakuelimisha tu
Nitabishana vipi na mtu ambaye hata jina la Mungu wake aliyemuumba hajui anaitwa nani
Sisi waislam tunajua kuwa nyinyi jina la Mungu hamlijui na ndio maana mkichinja mnyama au Ndege sisi hatuli
Mimi nilikuwa huko nikatoka ,sasa ni mkristoSio mwanazuoni ila nina interest ya kutaka kujua kwa sababu uislamu umekuwa ukipotosha misingi ya ukristo kwenye mafundisho yake .
Pia nimegundua waislamu wengi hamna knowledge zaidi ya ile ya madrasa. Sio hivyo tu walimu wenu hawafundishi kweli kuhusu Mohamed, wengi hata hamjui alikufaje.
Katafute ukweli nao utakuweka huru,jifunze kuhusu dini yako japo msingi wake ni kupinga ukristo. Bahati mbaya ni kwamba msingi wa imani yenu ni dhaifu,tukianza kuuchambua na kuushambulia kama mnavyofanya dhidi yetu mtaishia kuvurugwa tu.
Ibrahimu sio Muarabu ,, umedanganywaEbu wasomeni waarabu hapa:
Ishmael alizaa Maseyidi (watoto) 12 ambao ndio Waarabu wa leo. Eneo lao la umiliki ni kuanzia Saudi Arabia kuelekea Ashuru na mashariki ya Misri
Ukisikia religious dogma basi ndio hiyo na wewe imekuingia vilivyo na ili uingiwe na kuikubali imani ya dini basi sharti kuu lazima ukubali kuwa mjinga na hiyo ndio labda waarabu wanasema ujisalimishe. 😄 Wajinga ni wale walio muamini mtu hana nyumba kaishia kulala chini ya mti, afu kaja na...www.jamiiforums.com
Ni nani kama siyo mwarabu? Ebu weka na uthibitisho.Ibrahimu sio Muarabu ,, umedanganywa