Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Katika historia, kumekuwa na mijadala kuhusu kama maandiko ya zamani yalitabiri ujio wa nabii wa mwisho. Watu wengi wamechunguza vitabu vya kale wakitafuta dalili zinazoelezea mtu atakayekuja na mwongozo wa kiroho kwa mataifa yote. Katika makala hii, tutaangalia aya mbalimbali kutoka Injili zinazoonyesha utabiri wa ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake).

1.Kumbukumbu la  Torati 18:18 -  Nabii  kama Musa

"Nitawainulia nabii kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia yote nitakayomwamuru." (Kumbukumbu la Torati 18:18)

Katika aya hii, Mungu anamwambia Musa kwamba nabii mwingine kama yeye atainuliwa kwa watu. Wanazuoni wanaeleza kuwa nabii huyu:
Atakuwa kutoka kwa ndugu wa Waisraeli → Ikiwa Waisraeli wanahusiana na Isaka, basi ndugu zao wa karibu ni kizazi cha Ismaili, ambacho kilizaa Waarabu.

Atakuwa kama Musa → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na Musa wote walikuwa manabii waliopokea sheria mpya na waliongoza jamii zao kwa mwongozo wa Mungu.

Atakuwa na maneno ya Mungu kinywani mwake → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alipokea Qur’an kwa ufunuo wa Jibril, kama Musa alivyopewa Taurati.


2.Isaya 42:1-13 -  Nabii  kutoka Kedar

Katika sura hii ya Isaya, kuna maelezo kuhusu mtumishi wa Mungu ambaye atakuwa nuru kwa mataifa yote:

Isaya 42:1 – “Tazama, mtumishi wangu nimtegemezaye, mteule wangu ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake, naye atawatolea mataifa hukumu.”
Huyu ni mtu ambaye Mungu amemchagua kwa kazi maalum.

Ataleta hukumu kwa mataifa yote, akimaanisha atakuwa na ujumbe wa kimataifa.


Isaya 42:11 – “Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao, na vijiji anavyokaa Kedari; na wakaao katika miamba na waimbe, wapige kelele kutoka vilele vya milima.”

Kedar alikuwa mtoto wa Ismaili na kizazi chake waliishi Arabia, ambapo Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alitokea.


3.  Isaya 21:13-17 - Ujumbe wa Arabia na Parani

Katika sura hii ya Isaya, kuna utabiri wa matukio yatakayotokea katika Arabia:

Isaya 21:13 – "Ufunuo juu ya Arabia. Mtapiga kambi nyikani, enyi watu wa Dedani."

Hii inaonyesha kuwa Arabia ni eneo la tukio kubwa la kiroho.


Isaya 21:14 – “Mleteeni mwenye kiu maji, enyi wenyeji wa Tema, mleteeni mkimbizi chakula chake.”

Tema ni sehemu ya Hijaz, ambako mji wa Madina upo.

Hii inahusiana na jinsi wakazi wa Madina walivyompokea Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) na kumpa hifadhi.


4.  Yohana 14:16, 16:7-14 - Msaidizi (Parakletos)  na Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Yesu alisema:

Yohana 14:16 – “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi milele.” Yohana 16:7 – “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke, kwa maana nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda, nitamtuma kwenu.”

Msaidizi huyu atafundisha ukweli wote (Yohana 16:13) → Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake) alikuja na Qur’an kama mwongozo wa mwisho.

Neno Parakletos (Παράκλητος) linaweza kuwa Periklytos, ambalo linamaanisha "Aliyesifiwa"
(kwa Kiarabu, Ahmad – jina jingine la Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)).


Uthibitisho wa Ahmad Kwenye Qur’an

Katika Qur’an, Mtume Isa(amani iwe juu yake) alitabiri kuja kwa mtume baada yake aitwaye Ahmad:

Surah As-Saff 61:6 "Na (wakumbuke) Isa bin Maryamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, nikiwahakikishia yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na nikitoa habari njema ya (ujio wa) Mtume atakayekuja baada yangu, jina lake ni Ahmad."

Ahmad ni jina lingine la Muhammad.

Yesu anatabiri nabii anayekuja baada yake, ambaye atakuwa na ujumbe wa Mungu.


5.Ufunuo 12:5 & 19:15 - Fimbo ya Chuma

Ufunuo 19:15 – "Na upanga mkali hutoka kinywani mwake ili aweke mataifa chini, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma."

Hii inahusiana na Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake), ambaye atatawala kwa haki na nguvu za Mungu, na Qur’an inamtaja kama mtawala wa haki.

Hitimisho
Biblia ina maandiko ambayo, kwa muktadha wa tafsiri, yanaonyesha wazi dalili kuhusu ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake). Aya kutoka Kumbukumbu la Torati, Isaya, Yohana, na Ufunuo zinaweza kueleweka kama utabiri wa ujio wa Muhammad, hasa kwa vile anapatikana katika maeneo ya Arabia, anahusiana na Kedar, na anaitwa Ahmad, jina lingine la Muhammad.
Hakuna andiko lolote ktk Biblia linamzungumzia mtume Mohamed.
 
Hiyo Biblia imetengenezwa kutoka kwenye scriptures za Zabur,Taurat na Injil.Ikaongezewa maandiko mengine mapya na pia kuondoa baadhi ya maandiko ili kukidhi maslahi ya hao watungaji wa hiyo biblia.
Sasa kwa kuwa biblia imetokana na vitabu vya kweli,kuna baadhi ya maandishi hayajapotoshwa na baadhi yake ni hayo.
Na kuran ikapita na hivyo vitabu vyote waka edit kwa maslahi yao waarabu
 
Kama na wewe uliwahi kuaminishwa kuwa quran ya makaratasi ilishushwa na mola wa waislam, basi jua huo ni uongo ulio dhahiri. Na sisi kazi zetu hapa duniani baada ya kuokoka ni kuharibu kazi za shetani ikiwemo uongo.

Basi hawa ndio waandishi wa kitabu kinachoitwa quran:

1. Ubay bin Khatib Ka'ab
2. Waraq
3. Ibn Qumta
4. Khadija
5. Mohamad
6. Jabir
7. Bahira
8. Salman
9. Hasan bin Thabit
10.Labid
11.Zayd bin Amr
12.Imru Qays
13.Sayyidna Ali
14.Sayyidna Uthman
15.Sayyidna Umar
16.Sayyidna Abubakar.

Vitabu vya kiislamu vinasema kuwa waandishi hawa walikuwa na shetani japo havikuandika wote moja kwa moja.
Mfano, ukisoma kitabu cha Maisha ya Mohammad UK 8 utamkuta mwandishi Abubakar akisema hivi, nanukuu:
"Abubakar anasema, Hakika mimi ninaye shetani Shetani, shetani hunifikia mara kwa mara..."
Lakini pia vitabu hivyo vinakiri kuwa hata Mohammad ni mbegu ya shetani kama Fat'hul Daary Juzuu ya 6 Uk389 kinavyosema:
"Abuu Huraira(ra) amesimlia kuwa,
Mtume Mohammad (saw) alikuwa na shetani tangu alipozaliwa"

Na hii ndiyo sababu Mohammad aliwakataza waislamu wasimtukane shetani katika kitabu cha Mkweli Mwaminifu Juzuu ya 3-4 Uk 95 Hadith No1000.
Turudi kwenye uandishi wa quran
Wapagani wa kale wao wanajua kabisa kuwa quran ni hadithi za kale, ama visa vya watu was kale (Qur'an 7:31, 23:83, 25:5, 27:60, 46:17, 68:15).
So quran siyo maneno ya Mungu, bali ni hadithi za visa vya watu wa kale, labda hizi ayat waislam wazifute kama walivyozoea kufutwa.
Ndugu msomaji, bila shaka utakuwa umegundua kitu hapo.
Hila za shetani kwa wanadamu ni nyingi na hapendi tumwabudu Mungu katika roho na kweli, na ndiyo maana anatumia uongo kuwapoteza watu kwa uongo huo wa kuaminishwa mafundisho potofu. Ili uzijue siri za Mungu, na njia yake sahihi, mwamini Yesu pekee!!
Hakuna sehemu(andiko) wanayoaminishwa kuwa quran, ilishushwa ikiwa kwenye makaratasi.

Kama una uthibitisho wa hili leta , zaidi ya hapo ni muendelezo wa porojo zako.

Kasome ndugu acha kunakili , usivyo na ufahamu navyo , Jackwillpower kwa mfano ukishasema mimi ni mwizi , leta uthibitisho wa kuaminisha madai yako.
 
Katafute na usome historia ya quran, kama una uthibitisho wa madai yako leta , zaidi ya hapo ni porojo tupu
Ililetwa na mapepo huko kwenye mapango........na yakakopi vitabu vya wakristo na wayahudi....ndo maana imekuja mwishoni kabisa
 
Bado naendelea kuchunguza Quran

SURAT AL QAARIAH.

Hi ni Surat iliyoshuka Makkah yenye Aya 11 za ukumbusho wa wanaotenda mabaya kuhusu Moto unao wasubiri. Na walioamini kupata malipo yao mema.

Kama kawaida ya makosa ya waandishi wa Qur'an, sura hii halieleweki Aya zake. Aya ya kwanza mwandishi anasema..

الْقَارِعَةُ

(AL - QAARIA'H - 1)
Inayo gonga! 😂..

Ona ya pili mwandishi anajiuliza swali kwenye vitu anavyosema yeye mwenyewe..

مَا الْقَارِعَةُ

(AL - QAARIA'H - 2)
Nini Inayo gonga? 😂😂

Huko mbele anauliza Tena, nini kitakujulisha hio ndude inayogonga!?

Sasa ukisoma zaidi, ukarudia Tena na Tena. Hupati majibu ya malengo ya muandishi, na bado mtu akudanganye aseme Qur'an Ni kitabu kilichonyooka, 😳. Aiseeeee! Yani huko ndio kunyooka?

Ninaposema Qur'an inahitaji marekebisho huwa namaanisha kuondoa makosa Kama haya.

Sasa waislamu naombe Kama kweli nyie Ni wasema kweli nipeni majibu,.

HIO INAYOGONGA NI NINI?

Ukikosa majibu we Ni kafiri tu.

Mtafuteni Bwana Yesu maadamu anapatikana.
Huu ni muendelezo wa porojo zako , kasome ndugu , unanukuu aya chache alafu unajiuliza maswali.
Ndugu hapa chini katoa majibu mazuri kabisa.
Neno Qariah Linatokana na mzizi wa Kiarabu ق ر ع (Q-R-‘A), linalomaanisha kupiga, kugonga kama Ulivyosema, au kutoa sauti ya kishindo kikali kikali yaani Kimbunga au Kama Kitu Kimeanguka Kikatoa Mtetemo au Sauti yaani Kama Unavyosikia Radi yaani Mlio kama Mtetemo kwamba Kitu Kimegongwa Yaani Kimepigwa

kifupi ni kwamba "Qaari’ah" inamaanisha jambo linalopiga kwa nguvu sana, likileta taharuki na mshtuko mkubwa...

Hiyo Aya Inaweza Kutafisiriawa kama Ifuatavyo..

ٱلْقَارِعَةُ ١ مَا ٱلْقَارِعَةُ ٢ وَمَآ أَدْرَىٰكَ مَا ٱلْقَارِعَةُ ٣

"Mtetemeko mkubwa! Ni nini huo mtetemeko mkubwa? Na ni nini kitakachokufanya ujue ni nini huo mtetemeko mkubwa?"
Umemjibu vizuri sana, baada ya kuwa amesoma aya chache ameanza kujiuliza maswali .

Mwisho wa siku hajaelewa kabsa, je kama angemalizia sura yote , asingepata kuelewa chochote??

Kwa kuwa lengo ni kukejeli , badala ya kujibu hoja kwa hoja , na imani amepata majibu mazuri kabisa Jackwillpower
 
Adonai (Bwana). Baadaye, neno hilo liliandikwa kwa matamshi yaliyokaribiana na Yahweh na kisha likachanganywa na vokali za Adonai, likazalisha jina Jehovah, ambalo ni tafsiri katika baadhi ya lugha za Magharibi.
Hayo ni maekezo yako unasema Adonai na Yahweh yakachanganywa ndio likazalisha jina JEHOVAH

Huyo aliyoifanya hiyo kazi ya kukutengenezeeni jina JEHOVAH alafu ndio akakuambieni ni jina Mungu ni nani?

Mtu kama wewe mbumbu ndio unakubali jina la Mungu lilitengenezwa na binadamu mwenzako

Ila wenzanko wagalatia wenye akili kidogo walijua kuwa hapo warumi wamewapiga wakalikataa jina JEHOVAH

Most countries that use the Bible in their native language do not use the word "Jehovah" because it is considered a mistranslation of the Hebrew name for God, "Yahweh," and is often replaced with "Lord" or the equivalent in their language; this is especially true in scholarly translations and many traditional Christian denominations.

Yani wewe ni mgalatia mbumbu wa mambumbu ndio maana mishipa ya shingo inakutoka kusema eti Jehovah ni jina la Mungu

Hivi unajua kwanini warumi wakakuletea jina la JEHOVAH badala ya Elohim au Adonai?

ELOHIM ni Mungu muumba wa Kila kitu ambaye ni mmoja tu

Adonai maana yake ni Bwana mmoja tu

Elohim ni Mungu mmoja muumba wa Kila kitu na Adonai ni bwana mmoja anayeishimiwa na viumbe vyote

Kwahiyo kama warumi wangekuambia Mungu wako ni Elohim au Adonai automatically ukristo ungekuwa ni dini ya Mungu mmoja wakati misingi ya ukristo ni Miungu mitatu

Ndio mkaletewa hilo jina JEHOVAH
Ili wakuchanganyeni kirahisi
Hapo Sasa mkiambiwa Kuna Mungu baba , mwana na Mungu roho mtakatifu ambaye ndio JEHOVAH ni sawa maana JEHOVAH ni jina la kuchongwa
 
Unahoja ndugu

Hizi ni kejeli , ndo maana bora uamini , unachokiamini.
Usilazimishe watu kile ambacho hukiamini, bila ya kuwa na udhibisho .
Nani kalazimishwa?

Wanaolazimisha dini ni uislamu ,ukiritadi wanataka kukuua

Hata Mimi niriporitad waliniletea vitisho

Hakuna anayelazimiahwa dini kwenye ukristo

FB_IMG_1741288663600.jpg
 
Rudi ukasome sura uliyonukuu, imeelezea visa vya manabii tofautitofauti ,aya ya 31 imeelezea kuhusu nabii Ibrahimu na sura inayofuata ikaendeleza kisa cha luti.

Kwa hiyo hamna sehemu inayosema , nabii Ibrahim walikuwa mji mmoja na nabii Luti

Na kisa chenyewe kimeelezewa vizuri kuwa alitembelewa na malaika , na ndio waliompa habari zile.

Hili linatekezeka kwa nchi zinaongozwa kwa misingi ya kiislamu na sio nchi zote.

Na hii ni sheria na uthibitisho upo.
Kwamba Sheria za Allah zinachagua location 🤣🤣

Uislamu ni dini ya ujanjaujanja hili nitalisema sana

Namshukuru Yesu kunitoa kwenye dini ya kipagani uislamu
 
Kwamba Sheria za Allah zinachagua location 🤣🤣

Uislamu ni dini ya ujanjaujanja hili nitalisema sana

Namshukuru Yesu kunitoa kwenye dini ya kipagani uislamu
Sasa wewe kwa akili yako , unahisi katiba ya Tanzania inaweza ikaendana na sheria za kiislam ??
Mtu auwawe kisa dini, wakati kila nchi ina sheria yake , huu ni muendelezo wa porojo zako , shutka kijana.

Sawa anaweza akauawa , lakini muuaji mwisho wa siku atahukumiwa na sheria za kiraia , tofauti nchi chache za kiislamu zinaongozwa na sheria ya kiislamu .

Hata hizi sheria za kiraia , kutegemeana na makosa kuna kuhumu ya kifo.

Wayahudi nao walikuwa na sheria zao kifo kwenye msalaba kutegemeana na makosa.

Kiufupi hukumu ya kifo haina maajabu.
 
Sasa wewe kwa akili yako , unahisi katiba ya Tanzania inaweza ikaendana na sheria za kiislam ??
Mtu auwawe kisa dini, wakati kila nchi ina sheria yake , huu ni muendelezo wa porojo zako , shutka kijana.
Basi hiyo dini Ina matobo haijiwezi

Kwahiyo mpo tayari mbatilishe Sheria za Allah kisa katiba ya CCM🤣🤣

Hii dini hapana kwakweli 🙌 🙌
 
N
Sasa wewe kwa akili yako , unahisi katiba ya Tanzania inaweza ikaendana na sheria za kiislam ??
Mtu auwawe kisa dini, wakati kila nchi ina sheria yake , huu ni muendelezo wa porojo zako , shutka kijana.
Na maelezo uliyotuma kwenye hiyo picha yanajielaeza , vizuri acha ujuaji
 
Basi hiyo dini Ina matobo haijiwezi

InKwahiyo mpo tayari mbatilishe Sheria za Allah kisa katiba ya CCM🤣🤣

a Hii dini hapana kwakweli 🙌 🙌
Sheria zinajieleza , na katika kila nchi kuna sheria yake.
Kuna nchi zinatumia sheria za kiislamu na zingine zinatumia sheria za kiraia.

Sasa wewe kwa ujuaji wako, hii Tanzania ina sheria za kiislam??
Nina atakayewajibika na mambo ya dini ?

Hakuna mtu anayebalisha sheria za dini , ila kuna mtu anayefuata sheria za hivyo , atakuja kuhukumiwa kwa sheria za kiraia , je nina anayewajibika kwa hili.

Watakuja wakujibu.
 
Back
Top Bottom