Digitaldreamer
Senior Member
- Jun 11, 2022
- 121
- 43
Nashukuru sanaJaribu kuyachunguza hayo aliyoyaleta mtoa mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru sanaJaribu kuyachunguza hayo aliyoyaleta mtoa mada
OkNashukuru sana
Kama wewe ulizoleta kwangu pia ni porojo na wewe endelea na muendelezo wa porojo zakoMuendelezo wa porojo, Leta uthibitisho ndugu.
Kwani kuna ulazima.....au mnataka kuanza kurusha mawe.....neno langu ndo sheria imeshapita hioThibitisha maneno yako kwa maandiko
Naona unajitafuta kasome , acha ujanja ujanjaKama wewe ulizoleta kwangu pia ni porojo na wewe endelea na muendelezo wa porojo zako
Kwahio ujanja ni kukaa na kukesha kutetea madini ya majahazi ya mababu za waarabu na wazungu.....endeleeni na ujanja wenu mie acha niongee na mababu zetu wa asiliNaona unajitafuta kasome , acha ujanja ujanja
Porojo🤣🤣🤣 Kwa kifupi Form 1-4 Nimesoma na mtihani mmojawapo nikiwa namaliza Form 4 ni Bible Knowledge.- BK Syllabus – bibleknowledgetz.com
So najua na nimesoma Bibilia na Quran yote na pia historia ya Uislam na kuangalia documentary nyingi tu kuhusu hizi Dini, na ata some historians books kuhusu uislam na ukristo.
Je Makkah ya Leo ndo Makha ambayo ipo kwenye Quran??
View: https://www.youtube.com/watch?v=uozietUble4
Tafuta hoja acha kujilinda.Kwahio ujanja ni kukaa na kukesha kutetea madini ya majahazi ya mababu za waarabu na wazungu.....endeleeni na ujanja wenu mie acha niongee na mababu zetu wa asili
Mwaafrika yeyote anayeamini ktk uislam na ukristo ni kichaa hayo ni mambo ya wazungu na waarabu na koo zao,stukeni!!Kituko Kingine Mtume alipewa Maagizo ya MUNGU na Malaika! Wakati Mitume wengine woote waliongea na Mungu Mwenyewe!ata wale Wanaosema kuwa ni Waislam mfano Adam (Adam aliongea na Mungu) Ibrahim -Aliongea na Mungu iweje Last born wa mitume woote Duniani apewe maagizo ya Mnyaazi mungu na Jibriri?? s Allah (الله)alikiwa wapi??
Pole sana- ujuaji mwingiii kichwani empty🤣🤣Sasa wewe maswali yote yamejibiwa huko juu, tumeona kisa cha Cha Luti alitembelewa na malaika.
Navyojua waislamu hawatumii
Documentary na hizi taarifa za kuokoteza , ukiwa na maswali ni quran na hadithi na miongozo mengine ina majibu tosha .
Nilichogundua utakuta mtu ana maswali , akishauliza na kupewa majibu anakataa , sasa swali linakuja kwa nini ukatae??
Ni kwa kuwa huamini , kuhusu miongozo yao.
Ukisoma historia utakutana na habari za uislamu ni wajuzi , lakini ukiingia quran asili ya uislamu na msingi wake ni tangu nabii wa kwanza.
Sasa wewe habari za form four na documentary hazina msaada kwako ni ujuaji , kigezo sio kuambia watu umesoma , sawa umesoma unajua nini? makkah ya sasa iwe sawa na ya zamani kwa kigezo kipi.
Hizi sio zama za kumdanganya mtu , hata asiye muislamu akiiamua kufuatilia jambo na ukweli ana pata. kwa maana kila dini ina msingi na miongozo yake , usipoamini basi huwezi kuamini kilichomo.
Hizi propaganda zako ni cheap sana ,rudi kasome.
Siyo kila imani ni sahihi bali zipo za kijinga kama imani yako,huwezi ukaacha kuabudu asili yako ukaenda kuabudu asili ya kizungu na kiarabu usiyofungamana nayo popote ukadai unaakili timamu ni ukichaa huo,jitafakari!!Kama sio imani yetu wewe mbona unateseka..ukitoa msaada wewe inatosha.
Acha tupeleke kanisani ili injili isonge mbele.
Mtu huamini miongozo na misingi ya dini fulani ambayo wao wanaitegemea katika maisha yao ya kiimani( ima ni ukristo , uislamu au uyahudi na wengine pia)Tafuta hoja acha kujilinda.
Kwanini luti ambaye ni mzungu ndiyo atembelewe na malaika asiwe mwafrika yeyote?kwanini hayo unayoaminishwa yasizunguke hewani yaandikwe tu kwenye kitabu ambacho kinashuhudia matendo yooote kuwa yamefanywa na wazungu tu??situka!!Pole sana- ujuaji mwingiii kichwani empty🤣🤣
Ndo ulichobakia nacho , tafuta hoja uache kukejeli na ukasome.Pole sana- ujuaji mwingiii kichwani empty🤣🤣
Nikasome nini?? Ufugaji majini?Ndo ulichobakia nacho , tafuta hoja uache kukejeli na ukasome.
Achana na vitabu ishi ktk uhalisia siyo kukalilishwa kwenda kanisani au msikitini siyo imani bali ni utamaduni wa wazungu na waarabu kama ilivyo kwa waafrika kuabudu chini ya miti au milima na wakafanikiwa,wewe uliye na imani ya kikristo au kiislamu unanini cha tofauti kuwashinda wasiyoamini ktk ukristo au uislam?Mtu huamini miongozo na misingi ya dini fulani ambayo wao wanaitegemea katika maisha yao ya kiimani( ima ni ukristo , uislamu au uyahudi na wengine pia)
Ukiwa na maswali , ukajibiwa kutokana na vitabu na miongozo yao huenda ikawa biblia, kilichobaki sasa ukasome na ujiridhishe na utafute hekima ya hilo jambo kuwepo. Kuliko kuanza kubishana na wakati uthibitisho umepewa.
Cha msingi ni kipi watu wote ni sawa , haijalishi ni kipi walichokibeba , ima imani zao na misingi mengine ya maisha yao.
Amini anachokiamini hakika , hakuna mtu atakaye kubagua.
Lakini pia kama unataka kujua jambo fulani , pia unaweza kusoma na kuuliza maswali na kujibiwa.
Elewa imani ni nini?
Hakuna jambo baya , kama kujiona wewe uko sahihi kwa kujifananisha na mwengine huo ni ujinga.
Duuh hatari sana , luti ni mzungu kumbe , watakujibu wakija .Kwanini luti ambaye ni mzungu ndiyo atembelewe na malaika asiwe mwafrika yeyote?kwanini hayo unayoaminishwa yasizunguke hewani yaandikwe tu kwenye kitabu ambacho kinashuhudia matendo yooote kuwa yamefanywa na wazungu tu??situka!!
Hoja ili kutetea mababu za watu? Hoja ndo hizo mlizoandikiwa huko mkitabu m1 alipewa mtu alibanwa na mapepo huko mapangoni halafu akaja kunakiri vitabu vya wenzie waliomtangulia hio ndo hoja....bila biblia ,bila torati hakuna uislam hakuna kuranTafuta hoja acha kujilinda.