Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

waislamu pia humwabudu Maria na hata kwenye Korani yao wamemtaja mara 34
Wapi Qur’an imesema mwabuduni Maria
Kuhusu kutajwa mara nyingi Nabii Musa ndiye katajwa mara nyingi zaidi je na yeye pia anaabudiwa kama ni hivyo lete uthibitisho
 
RCC hawamwiti Yesu kama aidha Mwana wa Adamu au Mwana wa Daudi, lakini humwita mwana wa MariumuWaislamu hamwiti Yesu Mwana wa Adamu au Mwana wa Daudi, lakini humwita mwana wa Mariyamu
 
Wapi Qur’an imesema mwabuduni Maria
Kuhusu kutajwa mara nyingi Nabii Musa ndiye katajwa mara nyingi zaidi je na yeye pia anaabudiwa kama ni hivyo lete uthibitisho
Mimi Sina msaada na wewe ,KATAFUTE ,nishakufundisha sana ,ni muda sasa ukachunguze mwenyewe
 
Romani Katoliki hufundisha kuwa Maria ni mkuu kuliko wanawake woteUislamu hufundisha Maria ni mkuu kuliko wanawake wote (angalia Koran sura 3:37–38,42)
Je Qur’an imesema kuwa Maria ni wa kuabudiwa
 
Ukatoliki wa Kirumi unaamuru waumini wake kufunga kwa lazima wakati wa KwaresmaUislamu unahitaji waumini wake kufunga kwa lazima wakati wa Ramadani
 
Mimi Sina msaada na wewe ,KATAFUTE ,nishakufundisha sana ,ni muda sasa ukachunguze mwenyewe
Huna hoja yoyote zaidi ya porojo na propaganda tu
Ukiwa ni mkweli lete ushahidi wa maandiko tuamini
 
RCC hubatiza watoto wachanga na kuwatangaza kwamba ni “wakatoliki” wakiwa watotoUislamu hufundisha kama wewe umezaliwa na wazazi ambao ni Waislamu, basi wewe ni Mwiislamu
 
Ukatoliki wa Kirumi unaamuru waumini wake kufunga kwa lazima wakati wa KwaresmaUislamu unahitaji waumini wake kufunga kwa lazima wakati wa Ramadani
Mbona unarudia ulichoandika badala ya kuthibitisha ulichokiandika
 
Huna hoja yoyote zaidi ya porojo na propaganda tu
Ukiwa ni mkweli lete ushahidi wa maandiko tuamini
Nishakufundisha sana ,ni muda sasa ukatafuti UTOKE kwa dini ya uongo

Mimi Sina msaada na wewe tena
 
RCC hubatiza watoto wachanga na kuwatangaza kwamba ni “wakatoliki” wakiwa watotoUislamu hufundisha kama wewe umezaliwa na wazazi ambao ni Waislamu, basi wewe ni Mwiislamu
Sasa hapo kuna uhusiano gani
Kwa nini Waislamu wasiseme watoto hao ni wakatoliki na badala yake wanasema ni waislam
 
Nishakufundisha sana ,ni muda sasa ukatafuti UTOKE kwa dini ya uongo

Mimi Sina msaada na wewe tena
Bila hoja thabiti ni porojo tu unazotuletea kwa lengo la kupotosha lakini hautompotosha mtu yeyote katika sisi!!!
 
RCC iliuwa kwa wastani wa Wakristo 400,000 kwa mwaka wakati wa Mahakama ya Kisheria kipindi cha zama za giza Islamu kwa sasa inaua wastani wa Wakristo 200,000 kila mwaka. Tarifa moja ililipoti kwamba: “kila dakika tatu Mkristo anateswa katika ulimwengu wa kiislam, na kwamba mwaka huu Wakristo zaidi ya 165,000 watauwawa kwa ajili ya imani yao, na wengi wao katika nchi za kiislamu”
 
RCC iliuwa kwa wastani wa Wakristo 400,000 kwa mwaka wakati wa Mahakama ya Kisheria kipindi cha zama za gizaIslamu kwa sasa inaua wastani wa Wakristo 200,000 kila mwaka. Tarifa moja ililipoti kwamba: “kila dakika tatu Mkristo anateswa katika ulimwengu wa kiislam, na kwamba mwaka huu Wakristo zaidi ya 165,000 watauwawa kwa ajili ya imani yao, na wengi wao katika nchi za kiislamu”
Sasa hapo kuna mfanano gani zaidi ya porojo tu na propaganda zako zisizofanikiwa 😃
 
RCC ilitumia kanisa lao wenyewe kama vyumba vya mateso ya kutesa na kuua mamia ya mamilioni ya Wakristo wakati wa Mahakama ya Kisheria katika zama za giza Islamu sio tu kwamba inawatesa Wakristo, sasa hivi hata wanayafanya makanisa ya Kikristo kama vyumba vya mateso. Taarifa kutoka Fox News, December 23, 2014 inasema: “Nchi za kiislamu zinageuza makanisa ya kikristo huko Iraq na Syria kuwa makaburi ya ndani na vyumba vya mateso. .
 
RCC ilitumia kanisa lao wenyewe kama vyumba vya mateso ya kutesa na kuua mamia ya mamilioni ya Wakristo wakati wa Mahakama ya Kisheria katika zama za gizaIslamu sio tu kwamba inawatesa Wakristo, sasa hivi hata wanayafanya makanisa ya Kikristo kama vyumba vya mateso. Taarifa kutoka Fox News, December 23, 2014 inasema: “Nchi za kiislamu zinageuza makanisa ya kikristo huko Iraq na Syria kuwa makaburi ya ndani na vyumba vya mateso. .
Propaganda zisizofanikiwa!!!
 
Makuhani wa Katoliki ni mapedofilia, yaan, watu wanaopenda kufanya mapenzi na watoto wadogo Mohammed alikuwa pedofilia, pia Waislamu wote wanaoamini imani za Koran za aya za kipedofilia, ni mapedofilia wanaofanya mapenzi na watoto wadogo
 
Ukatoliki wa Roma umekalia juu ya Upagani Mohhamed alitoka katika mji wa Makka ambao ni wa kipagani
FB_IMG_1741324635766.jpg
 
Makuhani wa Katoliki ni mapedofilia, yaan, watu wanaopenda kufanya mapenzi na watoto wadogoMohammed alikuwa pedofilia, pia Waislamu wote wanaoamini imani za Koran za aya za kipedofilia, ni mapedofilia wanaofanya mapenzi na watoto wadogo
Nani anafanya mapenzi na mtoto mdogo
Najua utasema Mtume,lakini tambua Mtume hakufanya mapenzi na mtoto mdogo bali alimuoa akiwa tayari ameshavunja ungo
 
RCC ina kila aina ya ishara za kipagani, na hata inakubali kuwa ni za kipagani Jina la mungu wa Islamu, allah, lilikuwa jina la mungu wa kipagani
 
Back
Top Bottom