Mupo au hamsomi jamaniTaifa la watu wa Tanganyika. Taifa alilopewa baba wa Taifa hili hayati Mwl Julius Nyerere. Ilakutokana na vita baridi moja ya mashirika ya kijasusi yakaipa taarifa tanganyika kile siku za mbele kitatokea na kwa nn kile kisiwa lazima kiwe kama Taifa moja. Well nisiandike zaidi yahiki nimepata kukisikia.
Ila mission hii bado ni mbichi japo maana kuwepo kwa Znz nikufufuka kwa Tanganyika nakufa kwa znz nikuwepo kwa Taifa moja Tanzania.
End
Tunasoma. Hivi mbowe naye ni DS amefikisha ajenda mezani?Mupo au hamsomi jamani
The man who see tomorrow Tanganyika ileeeeeTaifa la watu wa Tanganyika. Taifa alilopewa baba wa Taifa hili hayati Mwl Julius Nyerere. Ilakutokana na vita baridi moja ya mashirika ya kijasusi yakaipa taarifa tanganyika kile siku za mbele kitatokea na kwa nn kile kisiwa lazima kiwe kama Taifa moja. Well nisiandike zaidi yahiki nimepata kukisikia.
Ila mission hii bado ni mbichi japo maana kuwepo kwa Znz nikufufuka kwa Tanganyika nakufa kwa znz nikuwepo kwa Taifa moja Tanzania.
End
Mwaka 1964 kabla ya huu muunganoZanzibar haina uwezo wa kuendesha wizara zilizoko kwenye muungano.
Mwaka 1978 Zanzibar ilinunua Mig 27 kiasi kwa Deutsche velle wakalalamka udogo wa kisiwa hicho kuweka ndege za aina hiyo, ikaambiwa izipleke JMT kwa kuwa Jeshi ni la muungano. Ilipata wapi uwezo huo?Zbar iwe na jeshi lake, itahitaji ndege angalau 5 za kivita. Hii ni zaidi ya bil 500. Itahitaji meli angalau mbili za kivita, hii ni zaidi ya bil 200.
Mawazo ya kikoloni. Mkoloni mweusi anahakikisha mkoloni mweupe hachukui, ila mkoloni ni mkoloni tu awe mweupe, mweusi au njano. Hongera kwa kutetea hadhi yako ya kikoloni.Hiyo ni hela ya mboga kwa Oman. Usichukulie Zanzibar poa namna hiyo, nyuma yake kuna mataifa makubwa tajiri ya kiarabu. Zanzibar ikiachiwa huru tuu, soon inakuwa extended arm ya Oman na kujenga jeshi imara ni sekunde tu.
Kwani si muungano ukifa vifaa vya kijeshi vinapigwa pasu pasuZanzibar haina uwezo wa kuendesha wizara zilizoko kwenye muungano.
Mf ili Zbar iwe na jeshi lake, itahitaji ndege angalau 5 za kivita. Hii ni zaidi ya bil 500. Itahitaji meli angalau mbili za kivita, hii ni zaidi ya bil 200.
Itahitaji rada za kijeshi, hii ni zaidi ya bil 50.
Hadi hapo tu, Zbar itahitaji zaidi ya trilioni 1, kujenga jeshi lake. Kwa uchumi wa Zbar, watahitaji miaka 100 kujenga jeshi lake lenye uwezo angalau wa kukabiliana na wanamgambo kama Alshababu.
Kimsingi, nje ya muungano Zbar is a failed state.
Hawa wazee wanaokaribia kurudi kwa Maulana wasithubutu kuharibu future ya watoto wao na wajukuu wao kwa kuvunja muungano!
Let's wait if will happenThe man who see tomorrow Tanganyika ileeeee
Tanganyika ilishaoza
Makubaliano gani?Zanzibar ikaleta uhuni ikafufuka tofauti na makubaliano.
πππTaifa la watu wa Tanganyika. Taifa alilopewa baba wa Taifa hili hayati Mwl Julius Nyerere. Ilakutokana na vita baridi moja ya mashirika ya kijasusi yakaipa taarifa tanganyika kile siku za mbele kitatokea na kwa nn kile kisiwa lazima kiwe kama Taifa moja. Well nisiandike zaidi yahiki nimepata kukisikia.
Ila mission hii bado ni mbichi japo maana kuwepo kwa Znz nikufufuka kwa Tanganyika nakufa kwa znz nikuwepo kwa Taifa moja Tanzania.
End
Makubaliano gani?
Mkuu hujui Tanganyika + Zanzibar = TANganyikaZANzIbAr.Makubaliano gani?
Zanzibar ipo siku zote haijawai kufaMkuu hujui Tanganyika + Zanzibar = TANganyikaZANzIbAr.