Je Iran iko serious?

Je Iran iko serious?

Mmmm mambo ya shule na wewe utasimama ? Nyambafuu.....very low IQ in the row......mbali sanaaaa......kuleeeeee ....unabebwa tu...subiri nyota izime utaelewa hata huyo mlezi anasubiri akunyooshe......mtoto mama sele...muuza ubwabwa.....baganoyo....very low IQ.
Iran siyo waarabu bwana mwenye IQ na elimu kubwa
 
Iyo ni kweli,bila kusahau javelin zilivyovichakaza vifaru vya urusi!

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Si bora vya Urusi vilichakazwa na javelin ambayo ni moja wapo ya ant tank bora duniani na iliyo tegemezwa kwa teknolojia ya hali ya juu , kuliko vya Israel vinavyo chakazwa na vi ant tank vilivyo tengenezwa kienyeji na wahuni walio zungukwa kila sehemu.
Alafu hakuna sehemu ambayo Urusi alisha sema kuwa vifaru vya havipigiki.
 
Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?

Iran ni muarabka
Kama siyo waarabu kwanini wako kwenye arab legue? Persia ni jamii ya kiarabu, ni sawa na Libya, Algeria useme siyo warabu bali ni Berbers, au Moor
 
Nyie pro Iran huwa mnajitoa ufahamu kweli, Iran inaweza kupambana na USA kwa lipi? Kitu gani Iran anacho ambacho anaweza kumtishia USA? Kiburi cha Iran ni sawa na enzi za Sadam Husein , kila siku alikuwa anasema USA akiivamia Iraq askari wote wa USA watachinjwa na kurudisha majeneza, leo yak wapi? Iran anataka kuharibu uchumi wa nchi yake na kusambaratisha taifa lake
 
Wakumbushe Wairan mara ya mwisho walivyojitoa ufahamu kwa vimeli uchwara vyao Marekani iliwapiga onyo kwa Operation Playing Mantis. Matokeo ni kama ifuatavyo, Iran hawakuambulia kitu
1000188465.jpg
 
Kama siyo waarabu kwanini wako kwenye arab legue? Persia ni jamii ya kiarabu, ni sawa na Libya, Algeria useme siyo warabu bali ni Berbers, au Moor
Ukitaka kuongea jambo unatakiwa uhakikishe una ufahamu nalo tofauti na hapo utaonekana kichekesho, Waajemi na waarabu wapi na wapi?
 
Kisali kiarabu ndiyo kukoje?
Waislam dunia nzima wanasali kwa kufanana iwe China, Africa, Ulaya.

Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
ndio wanasali kiarabu lakini
 
Mmmm mambo ya shule na wewe utasimama ? Nyambafuu.....very low IQ in the row......mbali sanaaaa......kuleeeeee ....unabebwa tu...subiri nyota izime utaelewa hata huyo mlezi anasubiri akunyooshe......mtoto mama sele...muuza ubwabwa.....baganoyo....very low IQ.

ndio umejibu swali ?? Iran ni mwarabu ??
 

Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA

Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119
Mimi naona wewe ndiyo mjinga.

Hiyo meli ya Iran ina safari zake za kijeshi huko hata kabla ya mashambulizi ya Wapalestina ya 7 Oktoba, ambayo mazayuni hawatayasahau maisha.

Hivi kwa akili yako kuna anaepeleka meli ikapigane baharini siku hizi? watu wana "drone" mpaka za kwenye maji, muulize kwanini Mmarekani kaiondowa aircraft carrier yake huko.
 
Back
Top Bottom