Je Iran iko serious?

Je Iran iko serious?

Acheni unafiki nyie mazombi wa kidini Hamas wameweza lini kutengeneza RPG zile ni za kirusi mnawapaisha sana
Sasa utajulia wapi wakati ww ni mpumbavu na urokole umekujaa kichwani?

Hizo RPG za kirusi tutajie jina lake.

Urusi atengeneze RPG dhaifu kiasi hicho? Hamas wangekuwa na Ant tank za kirusi si gaza yote ingekuwa imejaa mavyuma chakavu na hakuna kifaru hata kimoja ambacho kingerudi Israel.
 
Kwa hiyo wakiwa sio waarabu ndio nini au wana nini?
Watu wanakosea sana kwenye geopolitical set up ya middle east. Wanaamini kila Muarabu ni Muislamu na kila Muislamu ni Muarabu.

Nimepita Israel, Turkey na Iran na nimeshuhudia Waarabu ambao ni Wakristu. Uarabu ni "race" na Uislamu ni "dini". Ila 95+% ya middle east dini yao ni Uislamu.

Kwa hiyo nilikuwa namsahihisha aliyesema Iran ni Waarabu. WaIran ni Waajemi na dini yao ni Uislamu wa madhehebu ya Shia. Na lengo langu ni kumuondolea preconceived perception juu ya Waislamu.

Kidini mimi ni Mkristu wa madgehebu ya Roman Catholic, na nimehiji Israel na kuhudhuria misa ya Jumapili kwenye kanisa la Nazareth ambayo iliendeshwa kwa lugha ya Kiarabu.
 

Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA

Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119
SASA UNALINGANISHAJE UKUBWA WA AIRCRAFT CARRIER NA DESTROYER?

Unayajua majukumu yao?

UPO SERIOUS KWELI?

Pichani: China, Russia And Iran destroyers kwenye mazoezi.
images (5).jpeg
 
Back
Top Bottom