inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Iran siyo waarabu bwana mwenye IQ na elimu kubwaMmmm mambo ya shule na wewe utasimama ? Nyambafuu.....very low IQ in the row......mbali sanaaaa......kuleeeeee ....unabebwa tu...subiri nyota izime utaelewa hata huyo mlezi anasubiri akunyooshe......mtoto mama sele...muuza ubwabwa.....baganoyo....very low IQ.
Si bora vya Urusi vilichakazwa na javelin ambayo ni moja wapo ya ant tank bora duniani na iliyo tegemezwa kwa teknolojia ya hali ya juu , kuliko vya Israel vinavyo chakazwa na vi ant tank vilivyo tengenezwa kienyeji na wahuni walio zungukwa kila sehemu.Iyo ni kweli,bila kusahau javelin zilivyovichakaza vifaru vya urusi!
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Huyu kakariri kuwa kila king'aacho ni dhahabu ๐นHivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Iran ni muarabu?
Bora hao walijificha , wale Hamas walikuwa wanakula mpaka chakula kwenye nyumba za israel walipoua watu 1000Ndani ya Iran magaidi wamelipua mabomu. Watu 100 wapoteza maisha
Kama siyo waarabu kwanini wako kwenye arab legue? Persia ni jamii ya kiarabu, ni sawa na Libya, Algeria useme siyo warabu bali ni Berbers, au MoorHivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Iran ni muarabka
mbona wanasali kiarabu?Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Iran ni muarabu?
Ukitaka kuongea jambo unatakiwa uhakikishe una ufahamu nalo tofauti na hapo utaonekana kichekesho, Waajemi na waarabu wapi na wapi?Kama siyo waarabu kwanini wako kwenye arab legue? Persia ni jamii ya kiarabu, ni sawa na Libya, Algeria useme siyo warabu bali ni Berbers, au Moor
Iran inaenda kuanguka.Ndani ya Iran magaidi wamelipua mabomu. Watu 100 wapoteza maisha
Kusali kiarabu ndiyo kukoje?mbona wanasali kiarabu?
Hizo fikra zako na chuki zako๐Iran inaenda kuanguka.
ndio wanasali kiarabu lakiniKisali kiarabu ndiyo kukoje?
Waislam dunia nzima wanasali kwa kufanana iwe China, Africa, Ulaya.
Hivi huko shule mlikuwa mnaenda kusoma ujinga?
Unaweza kuambiwa hiyo meli walinunua USAWaarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
Mmmm mambo ya shule na wewe utasimama ? Nyambafuu.....very low IQ in the row......mbali sanaaaa......kuleeeeee ....unabebwa tu...subiri nyota izime utaelewa hata huyo mlezi anasubiri akunyooshe......mtoto mama sele...muuza ubwabwa.....baganoyo....very low IQ.
Aliyewaroga aliisha kufa na akawaachia ahadi kwamba wasiwe na hofu maana mabikra 72 wanawasubilia huko akhera hivyo wasiogope kufa...๐๐๐...Hawana la kupoteza....View attachment 2861164
Mimi naona wewe ndiyo mjinga.๏ฟผ๏ฟผ
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119