Sasa utajulia wapi wakati ww ni mpumbavu na urokole umekujaa kichwani?Acheni unafiki nyie mazombi wa kidini Hamas wameweza lini kutengeneza RPG zile ni za kirusi mnawapaisha sana
Watu wanakosea sana kwenye geopolitical set up ya middle east. Wanaamini kila Muarabu ni Muislamu na kila Muislamu ni Muarabu.Kwa hiyo wakiwa sio waarabu ndio nini au wana nini?
According to his believe, I don't blame him/his ideas because he was also a human being....🤔🤔🤔
SASA UNALINGANISHAJE UKUBWA WA AIRCRAFT CARRIER NA DESTROYER?
Eti wamedeploy kimeli hicho hapo juu Mediterranean kukabiliana na dude hilo la USA
Waarabu mbona wana utani mwingi. Vitu vingine tusilete utani
View attachment 2861118View attachment 2861119