Kama kuna Hamas wanaowashikilia hao mateka, basi hao Hamas ni agents wa Shib bet, wamewatunza hao mateka mahala and sometimeswanaua baadhi ili kuendelea kuwalaza watu usingizi. Haiwezekana wauawe viongozi wote wa Hamas hadi familia zao halafu ishndikane kuwapata hao mateka.
Imefika mahala hamas wamepukutishwa kabisa. Hata wewe sasa hiv na kipilipili chako ukijichanganya kukatiza mitaa ya Gaza ukiwa umevaa Kanzu, barakashia, mkonon tasbihi halafu chini umevaa kobaz hala kisigino kiekomaa na kupasuka kwa magaga, wanakukamata ili wakupe uongozi wa Hamas kinguvu, kwa jinsi wamepukutishwa.
Halafu kuuawa kote huko ndiyo wafanikiwe kuficha mateka tu