Je Israel imeshindwa kuwaokoa mateka?

Je Israel imeshindwa kuwaokoa mateka?

Kama kuna Hamas wanaowashikilia hao mateka, basi hao Hamas ni agents wa Shib bet, wamewatunza hao mateka mahala and sometimeswanaua baadhi ili kuendelea kuwalaza watu usingizi. Haiwezekana wauawe viongozi wote wa Hamas hadi familia zao halafu ishndikane kuwapata hao mateka.
Imefika mahala hamas wamepukutishwa kabisa. Hata wewe sasa hiv na kipilipili chako ukijichanganya kukatiza mitaa ya Gaza ukiwa umevaa Kanzu, barakashia, mkonon tasbihi halafu chini umevaa kobaz hala kisigino kiekomaa na kupasuka kwa magaga, wanakukamata ili wakupe uongozi wa Hamas kinguvu, kwa jinsi wamepukutishwa.

Halafu kuuawa kote huko ndiyo wafanikiwe kuficha mateka tu
🙌🙌🙌 Dah watuu m namanenoo kisigno mimekoamaa fasta unapachikwa uongzi
 
Dah kaka unazijua mita 2 yaan kila mita mbili kuwe na shimo saaa hiyo ardhi si itakuwa kama ule mchezo wa bao wa vishimo au itakuwa kama chombo cha kupikia vitumbua
Nimetolea kama mfano tu don't over imagine things but tunnels ziko nyingi kiasi kila line of defense inatoleo lake ndio maana wanaweza kufanya oparation ya stabbing kwa kutumia visu tu na kuchukua silaha
 
Naona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka kama dunia ilivyoelezwa mwanzoni?
ni wazi wameshindwa,nchi inayoitwa yenye nguvu pamoja na misaada ya kijeshinkutoka marekani na baadhi ya nchi za ulaya inapigana na ngo
 
Back
Top Bottom