Je Israel imeshindwa kuwaokoa mateka?

πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ Dah watuu m namanenoo kisigno mimekoamaa fasta unapachikwa uongzi
 
Dah kaka unazijua mita 2 yaan kila mita mbili kuwe na shimo saaa hiyo ardhi si itakuwa kama ule mchezo wa bao wa vishimo au itakuwa kama chombo cha kupikia vitumbua
Nimetolea kama mfano tu don't over imagine things but tunnels ziko nyingi kiasi kila line of defense inatoleo lake ndio maana wanaweza kufanya oparation ya stabbing kwa kutumia visu tu na kuchukua silaha
 
Naona nguvu kubwa inaendelea kutumika kuua raia na kubomoa majengo huko Gaza lkn hakuna taarifa za kupatikana kwa mateka. Je Mossad na IDF wameshindwa kuwaokoa ndugu zao? Au hakukuwa na mateka kama dunia ilivyoelezwa mwanzoni?
ni wazi wameshindwa,nchi inayoitwa yenye nguvu pamoja na misaada ya kijeshinkutoka marekani na baadhi ya nchi za ulaya inapigana na ngo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…