Je, Japan ndiyo nchi inayoongoza kwa kuthamini Utu na Ubinadamu?

Kivyovyote vile lakini wana Utu na Utulivu
 
Hawa jamaa wamebarkiwa Sana , hata hivyo wamefika hapo Kwa Gharama kubwa , waafrica viongozi wetu ni mamluki wa nchi za Magharibi, tunaogopa Gharama ya kujinasua , Africa isahau kufikia level za Asia ambayo pia nchi nyingi zilipitia adha ya kutawaliwa Ila wakajinasua , mara moja moja nchi za Africa hubahatisha kupata viongozi mashuhuri na wenye maono Ila huishia kusalitiwa na kuuliwa ..kila mmoja apambane na Hali yake tuu
 
Zile movie nyingi ni za wachina..Ni kama zile za North na South Korea...Ila kuwa jirani na Mchina lazima mchapane tu siku moja..
Huyo Japan aliua wachina kikatili sana na kubaka wanawake wengi wa kichina hivyo kuna chuki baina yao
 
DPW
 
Fuatilia historia ya Japan... fuatilia vita ya pili ya dunia. Afu ujue wajapan halisi. Hawa wa Japan wa siku hizi wapole baada ya kupigwa bomu. Wajapan Wana historia ya ukatili hujawahi ona
 
Niliwahi kuambiwa huko kuwa suoermarkets zinapata hasara sana kutokana na items nyingi kuonekana kama reject ilhali kwingine duniani zingeweza kuuzwa kama kawaida.
Mfano plastic bottle ya maji ikibonyea kutokana na adha ya usafirishaji Japan huwezi ukaipanga kwenye shelf . ni ya kutupa kwenye dustbin
 
Duuh hii balaa sasa
 
Japan mtu watu wakigundulika wamekula rushwa wanajinyonga Kwa aibu...

Huku MLA rushwa ndo tunampa na ubunge....🤣
Yule waziri anaendesha gari la serikali na hawara kumkimbia mke wake anapata ajali na kumuua hawara ndio kwanza second in command anaenda kumtembelea hospital kumfariji na kumpa pole.
 
Fatilia documentaries za kuhusu jela zao ndo utajua kama wana utu na ubinadamu au la!
 
Japani ndio taifa lenye Kujali na Kuthami utu na viumbe wengine.
Japan hakuna kabisa watoto waishio mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…