Acha uongo wewe hiyo sindano ni ya Gono kaswende crystapen au malariakila neno la beti moja ya wimbo wa kidunia adhabu yake ni kuchomwa sindano ndugu adhabu ya kiamaa si utani, toba ndio dawa pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo wewe hiyo sindano ni ya Gono kaswende crystapen au malariakila neno la beti moja ya wimbo wa kidunia adhabu yake ni kuchomwa sindano ndugu adhabu ya kiamaa si utani, toba ndio dawa pekee
Jiko lao ni la kuni mkaa gas umeme au solaNasikia ni za milele, yan umezini kwa miaka 10 unaenda kuchomwa milele..
Hakuna moto wa milele Wala jehanamu ya milele.Ni ya milele na milele. Mtu akishindwa kumwamini na kumkiri Yesu Kristo akiwa hai, maana yake hajaamini kuwa Yesu alishuka kumwokoa kwa kufa na kufufuka. Hajaamini wala kuthamini jambo hili muhimu kwa hiyo hawezi kwenda mbinguni. Kinyume ni jehanam ya milele na milele
Ukitaka kujua Jahannam inafananaje mbona rahisi tuAchana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.
Jehanamu haipo wala mbingu (pepo) haipo.
Uwepo wa jehanamu ni hadithi za kutungwa, kusadikika na kufikirika tu, Sawa na uwepo wa Dragons🐉 watemao moto midomoni mwao.
Jehanamu haijawahi kuwepo, haipo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Kati ya kuni au gesi, heb ngoja nichek hapa kwenye kitabu cha hukumu section ya fireJiko lao ni la kuni mkaa gas umeme au sola
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.Mkuu huko jehanamu zitachomwa nini? Kama ni roho zitasikiaje maumivu? Kama hayo maumivu ni ya milele si yatazoeleka
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.Mkuu huko jehanamu zitachomwa nini? Kama ni roho zitasikiaje maumivu? Kama hayo maumivu ni ya milele si yatazoeleka
Mkuu kama roho yangu itachomwa milele sasa kulikuwa kuna haja gani ya mungu kuiumba roho ambayo ataichoma milele?Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.
Mtu akitoka kwenye vazi linaloitwa mwili, mwili haiwezi kusikia tena maumivu.
HISIA Iko kwenye NAFSI Si katika mwili.
Roho Ina maumivu ndio. Hujawahi kupata
Mtu ni ROHO, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.
Maumivu unayopitia katika mwili Yako katika NAFSI.
Miili ya kiroho Ina maumbo na inateswa na kusikia maumivu,
Mapepo ni viumbe waliolaaniwa na Wana maumbo na hupigwa na kutumia kupitia maombi.
Neno la Mungu ni Nyundo, ukiomba na kunukuu neno la Mungu, kule katika Ulimwengu wa Roho, Pepo anapigwa nyundo kabisa. Neno pia ni upanga ukatao kuwili, ukinukuu maandiko, mapepo hukatwa na panga halisi za kiroho.
NB: Mwili ni vazi tu la Roho, Roho ndio mtu mwenyewe.
Jitambue kuwa wewe ni IMMORTAL!! Ubarikiwe!!
Ni uamuzi wako uchomwe milele,Mkuu kama roho yangu itachomwa milele sasa kulikuwa kuna haja gani ya mungu kuiumba roho ambayo ataichoma milele?
Ok, so una maanisha yeye Mungu wakati ananiumba alikuwa hajui mimi ntachagua nini?Ni uamuzi wako uchomwe milele,
Au uishi milele ukifurahia Mbinguni.
Wewe ndiye mwamuzi wa hatma Yako, Umepewa akili uchague Uzima au MAUTI.
Ubarikiwe 🙏
Ulitaka uumbwe kama robot?Ok, so una maanisha yeye Mungu wakati ananiumba alikuwa hajui mimi ntachagua nini?