Wana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
Naombeni mnisaidie hili swali,
Ni kama jepesi,Ila ni gumu,ni kutokana na mvutano uliopo,
Kuna wanaosema JEHANAM ya muda sio ya milele na wengine husema ya Milele,
Lipi jibu sahihi,
Je,jehanam ZIWA LA MOTO NA ADHABU ZAKE ni za Milele au za Muda tu sio za Milele,
Naomba Uzi huu ,utumike kumaliza utata huo,
Kwa Kila mtu humu kuchangia na haswa wanatheolojia ,
Naomba muwa-tag watu wote ambao unaona michango yao itakuwa inamanufaa humu,
Nawasilisha,
Karibuni,
Update
ENYI WATU NAOMBENI MCHANGO WA MAWAZO YENU ,
TAZAMA HII,
Mwilini = Start-End format
Rohoni=n.start-n.End format
Mwilini= Time
Rohoni= No Time
Mwilini= Kuna mwanzo na mwisho
Rohoni= Hakuna mwanzo Wala mwisho.
Mwilini = Kuna Muda
Rohoni= hakuna Muda
Hivyo ,jehanamu Haina muda, Haina mwisho ?
Na
Vipi kuhusu mateso ,tunaweza sema hayana muda, no end,
VIPI KUHUSU UZIMA WA MILELE,
HAPO NDIO KIINI CHA MADA ILIPO,
UZIMA WA MILELE JUU
UZIMA WA MILELE CHINI
UZIMA WA MILELE WA NURUNI
UZIMA WA MILELE WA GIZANI
UZIMA WA MILELE WA UHAI
UZIMA WA MILELE WA MAUTI,
UZIMA WA MILELE NA MUNGU
UZIMA WA MILELE NA SHETANI
UZIMA WA MILELE WA UTUKUFU
UZIMA WA MILELE WA DHAMBI
LABDA TUSEME, TUJIKITE KUCHAMBUA HUO UZIMA WA MILELE WA KIROHO ,NA WATU WA CHINI JEHANAM WATAKUWA NA UZIMA USIO NA MWISHO WA MILELE AU WATA KUFA MARA YA PILI KWA KUKOSA UZIMA WA MILELE,
TAGETI NI HUU UZIMA WA MILELE ,
JE, KUTOKUWA NAO HUO UZIMA NI KAMA HUKU DUNIANI MTU ANAKUFA MARA YA KWANZA ,
KULE JE MTU ATAKUFA MARA YA PILI AU KUWA KWENYE LILE ZIWA LA MOTO MILELE NDIO INAYOHESABIWA KUWA MULE ZIWANI NDIO KIFO CHENYEWE LAKINI ROHO YA MTU HAIFI ,
JE ZIWA NDIO MAUTI YA PILI , AU MAUTI HIO YA PILI NI WATU KUFA KABISA ZIWANI PA MOTO ,
KIMWILI MTU ALIEKOSA UZIMA TUNASEMA
ROHO IMETENGANA NA MWILI HIO KATIKA MWILI
NA
VIPI ROHONI TUTASEMA NAFSI IMETENGANA NA ROHO WA UZIMA (MUNGU) HIO NDIO KATIKA ROHO,NA HIO NDIO AWAMU YA PILI,
LAKINI KITU KINGINE TUNAONA KABLA HAWAJATUPWA JEHANAM WALE WATU WALIOPEWA MIILI YA DHAMBI ISIO NA UTUKUFU ILE MIILI YA KIFINYO CHA JEHANAM
NAOMBA Tuhujadili ,huu UZIMA wa Milele ,
UZIMA wa Milele wa Watakatifu juu
UZIMA wa Milele wa wenye Dhambi chini
UZIMA wa Milele ,ndio kiini Cha utata,
Watu Wana uhesabia ule UZIMA wa Milele na Mungu kama ndio UZIMA wa Milele unao kuja kichwani mwao,
Gumzo lipo Kwa wale funza,
Funza Wa JEHANAM wasio kufa Katika Lile Ziwa la moto Wana UZIMA wa Milele na kama Wana UZIMA wa Milele chakula Chao ni kifinyo Kwa watu ,je kama watu watapotea , Hao funza Huo UZIMA wa Milele wamepewa wa Nini Ndio gumzo lilipo,
Wale Funza ni kama wanatupa Siri ya upande wa pili ,kuwa hata chini Ziwa la moto JEHANAM Kuna UZIMA wa Milele sema huo ndio wa wenye Dhambi Ila ule wa juu mbinguni ni UZIMA wa watu wasio na Dhambi,
Funza hafi + moto hauzimiki = vipi wenye Dhambi nao ???
Karibuni ,Tujadili