Je, jehanamu ziwa la moto na adhabu za huko ni za milele au sio za milele?

Je, jehanamu ziwa la moto na adhabu za huko ni za milele au sio za milele?

Huwa najiuliza nawezaje kuhisi maumivu huko motoni when never system yangu nimeiacha kabulini?
Itaeleweka tu siku hio ,show yake JEHANAM sio ya kitoto,

TUNACHO jaribu kukijadili ni

JE MILELE AU NI KWA MUDA TU ?
HIO NDIO MADA YANGU NILIPO IELEKEZA,
 
Hiyo peke yake inatosha kumchoma mtu milele na milele? Then wafaidike na nini?
Oli uache kutenda dhambi.

Hivi ushajiuliza kuwa matendo unayoyafanya katika mwili kwanini yanahifadhika milele kwenye nafsi yako?

Ukijua hili vizuri, utajua kwanini kuna Mungu, kuna Moto, na kwanini kuna dhambi na Mauti.

Unaweza kuzini leo lakini madhara yake yakadumu mpaka uzee..kwamba ulimkula miss tanzania, au mke wa mtu..na kadhalika.
 
Huwa najiuliza nawezaje kuhisi maumivu huko motoni when never system yangu nimeiacha kabulini?
Kinachounguzwa sio mwili, ni nafsi.

Mtu akikutukana tusi zito la udhaifu wako, unadhani maumivu unayapata kwenye mwili?

Ndio, moyo huenda utaenda mbio, na hata usingizi utakosa, lakini maumivu hayapo kwa mwili..yapo kwa nafsi yako, kwenye ule umilele, ambapo Mungu ndio kontawa.

Hii ndio sababu... Matatizo ya rohoni ni ya milele, haijalishi una mwili au laa..

Kuletewa Yesu Kisto duniani ni Mungu mwenyewe kaja duniani kwa njia ya mwili ili kukusamehe dhambi zako..ili kurekebisha na kukupa nafasi nyingine ya kukupenda..

Unapotenda dhambi Mungu hakusemeshi na anakata net na wewe.

Ila ukitubu kwa kumkiri kristo, unapata ku- flash udhaifu wako.

Hii sayansi ya kiroho hakuna anayeweza kumzidi kristo hapa duniani kwa sababu ni Mungu mwenyewe katika mwili.

Hapa kuna mengi ya kujifunza na unaweza usielewe yote kwa siku moja.

Ila ujue tuu kuwa hautoeza kwenda Mbinguni bila Kumkiri Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako (ya kiroho)


Kumbuka Mungu hahangaiki na vya mwilini, maana hivi vyote ni vya adui, yeye anaishi kwenye vya rohoni ambavyo ni vya milele
 
Sasa why mungu atese watoto wake wew unaweza tesa watot wako kisa wamenyoa kiduku au model
Mtoto unayemlipia ada ukisikia ameleta mwanamke na anamkula kitandani mwa mama yako utajisikiaje?

Pale kwenye kitanda ulichomtoa mwanao kiunoni, yeye ndio kaleta goma lake. Alafu anaishi nalo?

Kama utamsamehe, basi unapaswa ukapimwe akili yako..yamkini kuna sehemu haipo sawa.

Mshahara wa dhambi ni mauti, na Mungu ana hasira kuu isiyo na kipimo, ♾️

Sasa yanini kumkasirisha kisa una hamu ya kunjunja?

Kwanini usitulie na kumtii Baba yako aliye Mbinguni ambaye amekuumba kwa thamani kubwa na kukufanya kuwa hekalu?

Nawe unalichafua kwa dhambi, na kumshuhudia Roho Mtakatifu dhidi ya dhambi zako zote?
 
🙏
Kinachounguzwa sio mwili, ni nafsi.

Mtu akikutukana tusi zito la udhaifu wako, unadhani maumivu unayapata kwenye mwili?

Ndio, moyo huenda utaenda mbio, na hata usingizi utakosa, lakini maumivu hayapo kwa mwili..yapo kwa nafsi yako, kwenye ule umilele, ambapo Mungu ndio kontawa.

Hii ndio sababu... Matatizo ya rohoni ni ya milele, haijalishi una mwili au laa..

Kuletewa Yesu Kisto duniani ni Mungu mwenyewe kaja duniani kwa njia ya mwili ili kukusamehe dhambi zako..ili kurekebisha na kukupa nafasi nyingine ya kukupenda..

Unapotenda dhambi Mungu hakusemeshi na anakata net na wewe.

Ila ukitubu kwa kumkiri kristo, unapata ku- flash udhaifu wako.

Hii sayansi ya kiroho hakuna anayeweza kumzidi kristo hapa duniani kwa sababu ni Mungu mwenyewe katika mwili.

Hapa kuna mengi ya kujifunza na unaweza usielewe yote kwa siku moja.

Ila ujue tuu kuwa hautoeza kwenda Mbinguni bila Kumkiri Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa Maisha yako (ya kiroho)


Kumbuka Mungu hahangaiki na vya mwilini, maana hivi vyote ni vya adui, yeye anaishi kwenye vya rohoni ambavyo ni vya milele
🙏🙏
 
Oli uache kutenda dhambi.

Hivi ushajiuliza kuwa matendo unayoyafanya katika mwili kwanini yanahifadhika milele kwenye nafsi yako?

Ukijua hili vizuri, utajua kwanini kuna Mungu, kuna Moto, na kwanini kuna dhambi na Mauti.

Unaweza kuzini leo lakini madhara yake yakadumu mpaka uzee..kwamba ulimkula miss tanzania, au mke wa mtu..na kadhalika.
Kwanini matendo yanaifadhika kwenye nafsi Milele ?
 
Man Jau
NAOMBA ufafanuzi wa

Warumin8:22-23

22.Ni nini basi, ikiwa Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake, na kuudhihirisha uweza wake, kwa uvumilivu mwingi, alichukuliana na vile vyombo vya ghadhabu vilivyofanywa tayari kwa uharibifu;

23.tena, ili audhihirishe wingi wa utukufu wake katika vile vyombo vya rehema, alivyovitengeneza tangu zamani vipate utukufu;

Kuna uonevu ama vipi ?


Na je unazungumziaje kuhusu hatma ya mtu,
Je,mtu alicho kuwa wa JEHANAM hata kabla ya kuzaliwa,

Vipi ushahidi wa ki DNA ,kuhusu mpaka miili yetu ime kuwa coded ,je sembuse Roho zetu,

Kila Roho Ina taarifa inazo MUHUSU kama ,ilivyo miili yetu imevishwa taarifa zinazo ihusu miili yetu
,
Yaani,Kuna Roho zilizo upwa zinasifa furaho ,TUKIITAZAMA malaika ni Roho zitumikazo na Kila Roho imepewa jina kulingana na sifa Roho hio ilioumbiwa,na hio sifa nyio nguvu ya hio Roho na hio nguvu ndio matendo ya hio Roho na hayo matendo ndio maisha ya hio Roho na hayo maisha ndio Ulimwengu wa hio Roho ilivyoletwa Ili ije kuwa kama ilivyo,
Hii Ina maana Kila Roho Ina taarifa inazo ihusu na sifa hizo zipo ndani ya jina la kiroho asili jua mtu ,sio majina haya ya kimwili ,ni majina ya kiroho,
Maana Katika Roho Kila Roho Ina jina lake ,yaani I.d yake,hio Id name imebeba aarifa zote kulihusu hio Roho.Nguvu zake rohoni n.k


Vipi tukisema life is coded , tumeekwa mtu kati ,akuna atae chomoka kwa ujanja wake,


Rabbison
Waterbender
Man Jau
Bujibuji Simba Nyamaume
lifecoded 1
Mshana Jr
Karibuni pia,naitaji maoni YENU.
 
Man Jau

Mkristo Alie mpokea yesu na kuzaliwa mara ya pili na kupatizwa maji mengi Kwa jina Moja tu la Yesu kristo , Na kuipokea Damu ya yesu na ikafuta dhambi zake,


Je, mtu Huyo akikose Katika matendo yake Kwa tamaa za Mwili wake ,gafla akafa je utahesabiwa amesamehewa au Ile dhambi alio itenda inafutabile Damu ya yesu ya msamaa ??

Na vipi maana msaamaa ni Milele,je mtu akitenda dhambi Bado damu itasimama Milele kama ilivyo asili yake au itabadilika na kufutika???
 
Mtoto unayemlipia ada ukisikia ameleta mwanamke na anamkula kitandani mwa mama yako utajisikiaje?

Pale kwenye kitanda ulichomtoa mwanao kiunoni, yeye ndio kaleta goma lake. Alafu anaishi nalo?

Kama utamsamehe, basi unapaswa ukapimwe akili yako..yamkini kuna sehemu haipo sawa.

Mshahara wa dhambi ni mauti, na Mungu ana hasira kuu isiyo na kipimo, ♾️

Sasa yanini kumkasirisha kisa una hamu ya kunjunja?

Kwanini usitulie na kumtii Baba yako aliye Mbinguni ambaye amekuumba kwa thamani kubwa na kukufanya kuwa hekalu?

Nawe unalichafua kwa dhambi, na kumshuhudia Roho Mtakatifu dhidi ya dhambi zako zote?
Kwa Nini matendo yana hifadhika kwenye nafsi na sio kwenye Roho ,

Maana Roho ndio msababishi wa nafsi kutenda ,bila Roho nafsi haiwezi tenda neno lolote ,

Kama ilivyo Katika mwili ,mwili unautegemea nafsi Ili upate kutenda na Nafsi hutegemea roho Ili ipate kutenda na Roho nayo hutegemea nguvu yaani aina ya nguvu ilio ndani yake Ili ipate kutenda ,

Kama ni Nguvu ya Giza imetawala Roho basi kitacho ZALIWA ni matendo ya Giza Katika mwili kupitia nafsi na Kama ni Nguvu ya Nuru gasi tutalajie Roho ikiachilia nguvu hiyo ya Nuru kuwa matendo huku mwilini kupitia nafsi mtu Huyo Atatenda yote sawasawa na nguvu iliyotawala Roho yake,

Utumwa wa mtu unaanzia rohoni na Matendo ya mtu yanaanzia rohoni ,huku mwilini ni kama ushahidi Yu ,ni kama hitimisho ya mtu Huyo alicho kutenda rohoni ,Sasa kinaletwa mwilini Ili tujue kule rohoni mtu Huyo ni asili ya upande wa wapi.

Sasa, ikiwa Binadam kaumbiwa kutoweza kutenda jambo lolote ,Kwa Roho yake mwenyewe, ataitaji nguvu Ili hio Roho ipate kutenda matendo ya Rohoni
Ikiwa nguvu ni ya ubaya inatawala ndani ya Roho yake,basi Atatenda ubaya na ikiwa nguvu ni ya wema Atatenda wema ,


Sasa,
Vipi kuhusu hukumu anahusishwa mwanadam kama ana hatia ,wakati si yeye atendae Ila ni zile nguvu mbili nyumba ya Roho yake ndio zilizokuwa zikitenda either wema au ubaya inategemea na Nguvu Gani wakati huo imeatamia Roho ya mtu Huyo,
Sasa naitaji kujua ,iweje ahukumiwe mwanadam na si hizo chanzo ya hizo nguvu zinako tokea ??????


Waterbender
Karibu pia
 
Oli uache kutenda dhambi.

Hivi ushajiuliza kuwa matendo unayoyafanya katika mwili kwanini yanahifadhika milele kwenye nafsi yako?

Ukijua hili vizuri, utajua kwanini kuna Mungu, kuna Moto, na kwanini kuna dhambi na Mauti.

Unaweza kuzini leo lakini madhara yake yakadumu mpaka uzee..kwamba ulimkula miss tanzania, au mke wa mtu..na kadhalika.
Man Jau

Umemwambia Aache kutenda Dhambi,

Nikukumbushe kitu,

Ni hivi
Iwe kutenda Dhambi au utakatifu ,haitokani na mtu yoyote Ila nguvu iliotawala mtu Huyo,

Ni sawa na kusema nguvu Fulani imeatamia mtu Huyo ,Sasa utamwambiaje Aache kutenda Dhambi , hivi unajua hata uwo utakatifu unao mshauri aufuate sio yeye Ila tu ni Kwa njia ya Ile nguvu ikiingia ndani ya mtu na kusambaratisha Utawala wa nguvu ulioikuta ndani ya mtu Sasa ule Utawala wa nguvu ovu ukisambalatisha na Utawala wa Nuru ,
Ndipo hapo mtu Huwa huru Katika Roho yake ,Katika kutenda utakatifu wote maana utumwa au shinikizo la Giza lililo myweka Katika utumwa wa dhambi ,ambao Leo hii huku mwilini unamuuona kama jamaa ni mpenda dhambi Sana ,Kila likipita Tako kalionla kike analitamani ,
Bila kujua teari Kuna boliti LIKO macho I pake linabmpa kukosea,

Sasa unaona kuwa hili swala sio mbio za mtu mkuu,

Siku nyingine ,usimwambie mtu ,Aache dhambi maana sio yeye,ni kitu kingine Kiko ndani yake,

Zungumza naye mtu kiroho,na sio kimwili kama hivyo ,mtu Huyo hato acha dhambi maana nguvu ya kimwili ndio iliotawala Roho yake mtu Huyo hato kuelewa ukiendelea na wewe kumpa lugha za kimwili

Zungumza kiroho Ili nguvu ya Roho ije kukamata mwili wake na huo ndio ushindi,na hapo Sasa man Jau mtu wa aina hio nae,HATOKUJA KUELEWA LUGHA YA MAMBO YA KIMWILI ATAELEWA LUGHA ZA KIROHO NA MTU HUYO UKIZUNGUMZA AU KUPANDA NENO LA KIROHO NDIPO HAPO MBEGU ITAOTA NA KUMEA,
 
Man Jau

Umemwambia Aache kutenda Dhambi,

Nikukumbushe kitu,

Ni hivi
Iwe kutenda Dhambi au utakatifu ,haitokani na mtu yoyote Ila nguvu iliotawala mtu Huyo,

Ni sawa na kusema nguvu Fulani imeatamia mtu Huyo ,Sasa utamwambiaje Aache kutenda Dhambi , hivi unajua hata uwo utakatifu unao mshauri aufuate sio yeye Ila tu ni Kwa njia ya Ile nguvu ikiingia ndani ya mtu na kusambaratisha Utawala wa nguvu ulioikuta ndani ya mtu Sasa ule Utawala wa nguvu ovu ukisambalatisha na Utawala wa Nuru ,
Ndipo hapo mtu Huwa huru Katika Roho yake ,Katika kutenda utakatifu wote maana utumwa au shinikizo la Giza lililo myweka Katika utumwa wa dhambi ,ambao Leo hii huku mwilini unamuuona kama jamaa ni mpenda dhambi Sana ,Kila likipita Tako kalionla kike analitamani ,
Bila kujua teari Kuna boliti LIKO macho I pake linabmpa kukosea,

Sasa unaona kuwa hili swala sio mbio za mtu mkuu,

Siku nyingine ,usimwambie mtu ,Aache dhambi maana sio yeye,ni kitu kingine Kiko ndani yake,

Zungumza naye mtu kiroho,na sio kimwili kama hivyo ,mtu Huyo hato acha dhambi maana nguvu ya kimwili ndio iliotawala Roho yake mtu Huyo hato kuelewa ukiendelea na wewe kumpa lugha za kimwili

Zungumza kiroho Ili nguvu ya Roho ije kukamata mwili wake na huo ndio ushindi,na hapo Sasa man Jau mtu wa aina hio nae,HATOKUJA KUELEWA LUGHA YA MAMBO YA KIMWILI ATAELEWA LUGHA ZA KIROHO NA MTU HUYO UKIZUNGUMZA AU KUPANDA NENO LA KIROHO NDIPO HAPO MBEGU ITAOTA NA KUMEA,
It’s 2024 and we're still having to argue about ancient fairytale
 
Ni ya milele na milele. Mtu akishindwa kumwamini na kumkiri Yesu Kristo akiwa hai, maana yake hajaamini kuwa Yesu alishuka kumwokoa kwa kufa na kufufuka. Hajaamini wala kuthamini jambo hili muhimu kwa hiyo hawezi kwenda mbinguni. Kinyume ni jehanam ya milele na milele
Sasa huko watachoma kitu gani maana siyo miili hii ya nyama. Na kingine kama ni suala la kuchomwa milele si watu watazoea
 
MAUTI YA KWANZA.
Ni mtu anapokufa, mwili hubaki kaburini, Yeye hupelekwa kutunza Mahali temporary ( KUZIMU) ni Kwa wale watenda dhambi, wasiookoka, ambao Majina Yao hayapo kitabu Cha Uzima, ni wale wasio na ALAMA ya Mungu katika paji za nyuso zao.

MAUTI YA PILI.

Hii ni pale Yesu ataporudi mara ya pili na kuuhukumu Ulimwengu.

(Ufunuo 20:14-15)

MAUTI na kuzimu vitatupwa katika ziwa la Moto( JEHANUM). Hiyo ndiyo MAUTI ya pili, yaani MAUTI na kuzimu kutupwa katika ziwa la Moto Kwa watenda dhambi, wasioandikwa Majina Yao katika kitabu Cha Uzima.

Hadi tunavyoongea nw, Ziwa la Moto halijaumbwa Bado, Hadi muda ufike.

CONCLUSION.

Kuzimu ni temporary, gereza la muda.

JEHANUM ni gereza la milele.

Ubarikiwe.

Pia soma thread: Live Kutoka kuzimu - Rabbon, Kwa uelewa zaidi.
Mkuu huko jehanamu zitachomwa nini? Kama ni roho zitasikiaje maumivu? Kama hayo maumivu ni ya milele si yatazoeleka
 
Show ya Kule Hamas Wana nafuu,

Dubwana Huyo anaeitwa JEHANAM,Anakalisha show zote za duniani ,za mateso zionekana ni show mbovu,

Dhiki,njaa mateso na ugaidi unaoendelea Sasa duniani hizo zote ni show mbovu,


JEHANAM Amewekwa kwaajili ya zile show za funga kazi,

Show zote mbovu za mateso ya Dunia ,ukizijumlisha inaipata show Moja nayo ni JEHANAM
We jamaa hebu acha kutuuzia uoga bana😂
 
Wana theolojia, na wengine wote, karibuni kwenye MADA,
Huko ni bikra za kutosha unapiga inarudi, misosi mitungi na pamba kama zote Alafu nimeambiwa iPhone 98 imetoka ukifika unapewa na hakuna VPN wala nape nauye kufunga uhuru wa internet
 
Nasikia ni za milele, yan umezini kwa miaka 10 unaenda kuchomwa milele..
 
Back
Top Bottom