Je, Jeshi la Polisi limeshindwa kushughulika na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' katika 'Fukwe' za Dar?

Wamekugo#a mke wKo nini mkuu? [emoji23]
 
Hilo tatizo mostly lipo Kawe Beach.

Wale vijana Ni wa hovyo sana. Mara kadhaa nimewahi kushuhudia kitu Kama hiko kwenye ile beach,wale masela wa beach za ununio kidogo wanajielewa.

Huku panyaroad wanatikisa, kule beach boys wanatamba!

Hivi huko Daslamu hakunaga Serikali?

-Kaveli-
 
Bado wapo busy na maandamano ya Mwabukusi na Mdude CHADEMA, labda watarudi kwa beach boy huko mbelenoi.
 
Khahahahahahahahaha!.
Nimejikuta nacheka kwa nguvu mpaka majiran wakaniuliza kurikoni?.
Eti umeshatunikiwa mkanda🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Hilo swala msiwabebeshe lawama Jeshi letu la Polisi jamani.
Kwa nn manzi asiridhike na kuogelea pale karibu tu.
Kwani mpaka aende maili za mbali huku amevaa bikini na miili ya mademu wa kiafrika ilivyo mizuri jamani.
Mtu ukiona juu ya goti la demu lazima 5G ipande,sembuse Bitch boy taili Moja watu be.khahahaha🤔🤔🤔🤔.
Hayo Mambo niyawazungu ambao miili yao haitamanishi.

Mtawaua bule wale mabitch boy jamani.
Hakuna Cha Serikali Wala Nini.
Wanawake wawe makini tu basi.

Khahahaha Genta bhana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…