Je, Jeshi la Polisi limeshindwa kushughulika na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' katika 'Fukwe' za Dar?

Je, Jeshi la Polisi limeshindwa kushughulika na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' katika 'Fukwe' za Dar?

Dah inauma sana, Kumbe ni ishu za kawaida? Mimi niliwahi kushudia siku moja demu wakipemba muarabu analiwa na hao majama tena walikuwa wa nne. Cha kuuma zaidi alikuja na familia yake kabisa. Mumewe na ndugu zake. Yani jamaa mkewe analiwa yeye yupo bzy na mazungumzo. Niliumia sana lile tukio.
Vipi alivyotoka katika Maji hakupepesuka na kuchechemea kwani Mbolo Nne ( za Wajuba tofauti tofauti ) kwa mpigo siyo masihara.
 
Mke wangu anakwenda swimming hawezi kwenda beach chafu hizo.
Beach chafu Wewe msafi? Hela ya Kula tu inakushinda na Unalishwa na Shemeji hiyo Hela ya kwenda huko Swimming Pool unakojitapa nako hapa uitoe wapi Mpuuzi Wewe?

Hovyoooooooo.....!!!!!!
 
Mwanamke akuheshimu vingine muachie Mungu. Ila nilikua namwambia mwanamke anayejielewa classic hawez kuogelea kwenye beach chafu kama hizo sijui ununio, kawe nk labda awe hana hela.
Mwenye Hela huwa anajitapa? Hovyoooooooo....!!!!!!
 
Hii ni sad situation kuna mmoja amefungwa hivi karibuni alikuwa akipeleka wasichana kuwafundisha kuogelea akifika kina kirefu anakulazimisha mapenzi ukikataa anakutishia atakuacha uzame so wengine ni victims inasikitisha
 
Alitoa mkuu, Nashindwa kufahamu jamaa wana mbinu gani, Mana sio ishu nyepesi kumvaa mwanamke from no where mkamla na akatoa ushirikiano.
Duuh! namaana wanamfanyia collabo... au wanamuachia mmoja,anamla?
 
Duuh! namaana wanamfanyia collabo... au wanamuachia mmoja,anamla?
ilikua ni collabo, wawili wakiwa kazini na mmoja hujifanya kuzunguka zunguka kupiga makachu alafu nayeye anapewa sub anaingia uwanjani. walikua watatu wanapishana kwa style hiyo kabla kuja na wa 4 kujiunga nao mwishoni.
 
ilikua ni collabo, wawili wakiwa kazini na mmoja hujifanya kuzunguka zunguka kupiga makachu alafu nayeye anapewa sub anaingia uwanjani. walikua watatu wanapishana kwa style hiyo kabla kuja na wa 4 kujiunga nao mwishoni.
Duuuh! hatari sana.
 
Maelezo yoootr bila ushahidi wa picha bi ukakasi katika ulimwrngu huu wa akili bandia!!
 
Nimetoka Tizi na Kuogelea Beach Moja maarufu na wakati niko ndani ya Maji nikiogelea nikaona Beach Boy anambandua Mke wa Mtu huku Bwege lenye Mke likiwa nchi Kavu linachati kuhusu Yanga SC kuongoza Kundi CAFCC.

Hili Jambo limeshaongelewa mno hapa JamiiForums na Kwingineko ila Mamlaka husika imenyamaza tu.

Sasa kwakuwa GENTAMYCINE ndiyo nimetoka Kuhitimu Mafunzo yangu Mchanganyiko ya Karate, Judo na Kung Fu na Kutunukiwa Black Belts Siku ya Pasaka kwa Makusudi naenda na Demu wangu Beach za Uswahilini na Demu wangu akiingia ndani ya Maji Kuogelea ole wake nione Beach Boy anamfuata na Pira ili akaogelee nae kwani nitakachokifanya kwa huyo Beach Boy kitakuwa ni Breaking News Radio One na ITV na Ndugu zake itawalazimu wakamtafute ama ICU Muhimbili au Wodi ya Mwaisela au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili National Hospital.

Yaani kabisa GENTAMYCINE nikuone Unanibandulia Demu wangu ndani ya Maji tukuka ya Bahari ya Hindi halafu nikuache? Labda niwe sitokei Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma )

Upuuzi huo ( huu ) wafanyieni labda Wanaume wa Makabila ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Warangi, Wanyaturu, Wakerewe na Wanyamwezi ila siyo Mzanaki Mimi.
Waiza naki? samahani mkuu, nje ya mada. Hivi ni kweli nyie mlitokea kule kwa Mr slim?
 
Back
Top Bottom