Je, Jeshi la Polisi limeshindwa kushughulika na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' katika 'Fukwe' za Dar?

Je, Jeshi la Polisi limeshindwa kushughulika na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' katika 'Fukwe' za Dar?

Kumbe Bado kuna watu wanaogelea baharini..tafuta hela mkuu
 
"""Ile chumvi inayopatikana ndani ya maji+ule msuguano wakati wa mzagamuano ni dawa bora kabisa na nzuri mnoo dhidi ya fangasi wa sehemu za siri kwa pande zote mbili yaani Me na Ke,,utapigana sana ukitaka kuyafuatilia hayo mambo ya hawa wakina HAWA,,kyuma yake,,,maamuzi ya kuitoa ni juu yake,,namna na sehemu gani ataitoa yapo juu yake alafu ni mtu mzima tayari ana maamuzi yake binafsi,,,Wewe unataka kumfuatilia na kumpangia,,,utapoteza muda na nguvu zako bure kwa mambo ambayo,,,yalishashindikana tangu enzi na enzi na bado yanaendelea kushindikana kama ushuhudiavyo,,,na yataendelea kushindikana vivyo hivyo kizazi na kizazi,,,inakuwa updated tuu kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na maendeleo ya kipindi hicho cha kizazi husika!!!Na ndio maan wenzetu wazungu wameona bora kufuatilia maisha ya viumbe wengine na kutengeneza dokumentari za maisha ya hao viumbe wengine,,,wameachana na kiumbe binadamu kwa kuwa hakitabiriki kirahisi ni ngumu mnoo kumfuatilia,,,zaidi na zaidi utajikuta unapoteza mali,,, nguvu wakati mwingine akili pia unaivuruga,,,wengine hadi kifo!!!Achana na mambo ya kiumbe binadamu,,fanya yako zaidi,,fanya mazoezi!!!
Sawa Beach Boy Popoma wa Kawe.
 
Sawa Beach Boy Popoma wa Kawe.

Sawa Beach Boy Popoma wa Kawe.
Una kisirani sana kaka,,, Huu ulimwengu hautaji kushupaza shingo sana,,,ni mkubwa mnoo na kila mtu ana fikra,,maono,,ndoto,,na mawazo yake,,huwezi lazimisha na kamwe hatuwezi fanana katika hayo,,,Furahia uwepo wako,,,usichukie uwepo wa mwingine,,,tumia nafasi yako kufanya yako zaidi,,na si kukosoa au kufanya ya mwingine,,,unajitwisha zigo ambalo sasa ndio linalokuletea chuki za hovyo hadi kuwaza kupigana na watu na utu uzima huo na wakati una mambo mengi ya msingi ya kwako binafsi,,,yanayo kuhusu wewe zaidi na yenye faida kwako zaidi,,unafatilia upuuzi!!!Karibu Beach Kawe Pasaka Uje na Shangazi yetu tunywe,,tule,,,tuogelee tufurahia!!
 
Dah inauma sana, Kumbe ni ishu za kawaida? Mimi niliwahi kushudia siku moja demu wakipemba muarabu analiwa na hao majama tena walikuwa wa nne. Cha kuuma zaidi alikuja na familia yake kabisa. Mumewe na ndugu zake. Yani jamaa mkewe analiwa yeye yupo bzy na mazungumzo. Niliumia sana lile tukio.
 
"""Ile chumvi inayopatikana ndani ya maji+ule msuguano wakati wa mzagamuano ni dawa bora kabisa na nzuri mnoo dhidi ya fangasi wa sehemu za siri kwa pande zote mbili yaani Me na Ke,,utapigana sana ukitaka kuyafuatilia hayo mambo ya hawa wakina HAWA,,kyuma yake,,,maamuzi ya kuitoa ni juu yake,,namna na sehemu gani ataitoa yapo juu yake alafu ni mtu mzima tayari ana maamuzi yake binafsi,,,Wewe unataka kumfuatilia na kumpangia,,,utapoteza muda na nguvu zako bure kwa mambo ambayo,,,yalishashindikana tangu enzi na enzi na bado yanaendelea kushindikana kama ushuhudiavyo,,,na yataendelea kushindikana vivyo hivyo kizazi na kizazi,,,inakuwa updated tuu kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia na maendeleo ya kipindi hicho cha kizazi husika!!!Na ndio maan wenzetu wazungu wameona bora kufuatilia maisha ya viumbe wengine na kutengeneza dokumentari za maisha ya hao viumbe wengine,,,wameachana na kiumbe binadamu kwa kuwa hakitabiriki kirahisi ni ngumu mnoo kumfuatilia,,,zaidi na zaidi utajikuta unapoteza mali,,, nguvu wakati mwingine akili pia unaivuruga,,,wengine hadi kifo!!!Achana na mambo ya kiumbe binadamu,,fanya yako zaidi,,fanya mazoezi!!!
Umemaliza kila kitu 🙏🙏🔥🔥
 
Watu Kama nyie ndo wake wenu wanaliwa hahahahahahah

Mwanamke akuheshimu vingine muachie Mungu. Ila nilikua namwambia mwanamke anayejielewa classic hawez kuogelea kwenye beach chafu kama hizo sijui ununio, kawe nk labda awe hana hela.
 
Dah inauma sana, Kumbe ni ishu za kawaida? Mimi niliwahi kushudia siku moja demu wakipemba muarabu analiwa na hao majama tena walikuwa wa nne. Cha kuuma zaidi alikuja na familia yake kabisa. Mumewe na ndugu zake. Yani jamaa mkewe analiwa yeye yupo bzy na mazungumzo. Niliumia sana lile tukio.
Vp alitoa ushirikiano au alikua akitafuta msaada
 
Nimetoka Tizi na Kuogelea Beach Moja maarufu na wakati niko ndani ya Maji nikiogelea nikaona Beach Boy anambandua Mke wa Mtu huku Bwege lenye Mke likiwa nchi Kavu linachati kuhusu Yanga SC kuongoza Kundi CAFCC.

Hili Jambo limeshaongelewa mno hapa JamiiForums na Kwingineko ila Mamlaka husika imenyamaza tu.

Sasa kwakuwa GENTAMYCINE ndiyo nimetoka Kuhitimu Mafunzo yangu Mchanganyiko ya Karate, Judo na Kung Fu na Kutunukiwa Black Belts Siku ya Pasaka kwa Makusudi naenda na Demu wangu Beach za Uswahilini na Demu wangu akiingia ndani ya Maji Kuogelea ole wake nione Beach Boy anamfuata na Pira ili akaogelee nae kwani nitakachokifanya kwa huyo Beach Boy kitakuwa ni Breaking News Radio One na ITV na Ndugu zake itawalazimu wakamtafute ama ICU Muhimbili au Wodi ya Mwaisela au Wodi Namba 26 ( Mortuary ) Muhimbili National Hospital.

Yaani kabisa GENTAMYCINE nikuone Unanibandulia Demu wangu ndani ya Maji tukuka ya Bahari ya Hindi halafu nikuache? Labda niwe sitokei Mkoa wa Wanamume na Mashujaa wa Mara ( Musoma )

Upuuzi huo ( huu ) wafanyieni labda Wanaume wa Makabila ya Wahaya, Wanyiramba, Waha, Warangi, Wanyaturu, Wakerewe na Wanyamwezi ila siyo Mzanaki Mimi.
Huyo anayechati ulimwonaje kuwa ni mwana Yanga!?

Pompoma at his level best
 
Dah inauma sana, Kumbe ni ishu za kawaida? Mimi niliwahi kushudia siku moja demu wakipemba muarabu analiwa na hao majama tena walikuwa wa nne. Cha kuuma zaidi alikuja na familia yake kabisa. Mumewe na ndugu zake. Yani jamaa mkewe analiwa yeye yupo bzy na mazungumzo. Niliumia sana lile tukio.
Beach gani hiyo hujafanikiwa hata kavideo wazee wa Kono aka chabo
 
Back
Top Bottom