Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huwezi amini kuna Mmoja wala 'hakunificha' aliniambia kuwa 'Kukojolewa' ndani ya Maji kuna 'Utamu' mkubwa sana kuliko ule wa Kitandani.
Kwa Kuzibua 'Mtaro' ndani ya Maji ni ngumu kulingana na 'Mazingira' husika na aina ya 'Mikao' ila kwa 'Mbunyeni' huwa ni rahisi mno na ya haraka.Nilishuhudia hii kuna Dada mmoja yupo kwenye boya alikuwa anafuraha wakafika maji mengi waliporudi Dada kanuna sikuona kufurahi nikasikia wajuba wanaongea tayari jamaa kashakula mzigo tena wengine uwaga wanazibuaga mtaro
Kwani Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inakataza Mtanzania yoyote kwenda katika Fukwe ( Beaches ) Mkuu hadi unishangae hivi pia?mbona unaenda sana beach mkui
Una uhakika kuwa huwa silitaji / nimeacha Kulitumia?Naona genta siku hizi neno " kutukuka" umeacha kulitaja
Wwe nawe ni wakulaumiwa pia Baba mzima unamruhusu vp binti yako na mkewo wakafundishwe kuogelea na Ma beach boy!? Hata ningekua Mimi ningewagonga tu,si wako kwenye himaya yangu! Mimi ndiyo ninahatima ya Maisha yao kwa wakati huo!! Wajibika acha kila kitu kuwalaumu Police wetu,Wana Mambo mengi sana ya msingi na siyo ya kusindikiza watu wanaoenda Baharini kufundishana kuogelea, ndiyo maana mnapuuzwa!!Hivi IGP Sirro na Watendaji wako umeshindwa kweli 'Kukabiliana' na hawa 'Wahuni' waitwao 'Beach Boys' huku katika 'Fukwe' za Bahari ya Hindi ambao tabia yao ya Kujifanya Wanawafundisha Mabinti / Wanawake 'Kuogelea' kisha wanawapeleka Maji Marefu na Kuwatishia 'Kuwazamisha' kufanya nao Ngono 'Majini' na kuwapa Mimba na Kuwaambukiza VVU / UKIMWI?
Nilianza Kulishuhudia Kawe Beach kisha baadae nikaliona tena Coco Beach nikadhani labda ni Wao tu lakini hivi karibuni nimelishuhudia tena Kunduchi Beach na hivi ninavyoandika nimetoka Kulishuhudia Ununio Beach. Kama Kazi ya Kukabiliana nao hawa 'Wahuni' imewashinda hebu turuhusuni basi Sisi Raia akina GENTAMYCINE tumalizane nao 'Kimafia' zaidi na mtawakuta 'Mochwari' huko.
Inakera, inaudhi na haivumiliki tena. Wana JamiiForums wengi tu hapa wameshaliibua hili na nilidhani ilikuwa ni wakati 'muafaka' kabisa Kwenu kulitatua ila naona 'mnalikodolea' tu. Labda Siku Wake zenu na Watoto wenu (hasa Mabinti) wakienda 'Kukojolewa' ndani ya Maji huku Samaki wakiwa wanashuhudia na kuchekelea ndani ya Maji na mkiumia 'Mioyo' yenu ndipo mtatuelewa Wadau.
Stupid.Wwe nawe ni wakulaumiwa pia Baba mzima unamruhusu vp binti yako na mkewo wakafundishwe kuogelea na Ma beach boy!? Hata ningekua Mimi ningewagonga tu,si wako kwenye himaya yangu! Mimi ndiyo ninahatima ya Maisha yao kwa wakati huo!! Wajibika acha kila kitu kuwalaumu Police wetu,Wana Mambo mengi sana ya msingi na siyo ya kusindikiza watu wanaoenda Baharini kufundishana kuogelea, ndiyo maana mnapuuzwa!!
But Beach boys are clever nee!?Stupid.
Kwa Kuzibua 'Mtaro' ndani ya Maji ni ngumu kulingana na 'Mazingira' husika na aina ya 'Mikao' ila kwa 'Mbunyeni' huwa ni rahisi mno na ya haraka.
Kwani ukisema au kukiri kuwa Wewe ndiyo Mfukua 'Mitaro' Mwandamizi utapungukiwa nini au nani labda atakukamata hapa Jamvini JamiiForums?Nimeshudia mwenyewe
Next thread tulioneUna uhakika kuwa huwa silitaji / nimeacha Kulitumia?
Kweli kabisa. Ni uhuni wa mabinti wenyeweWaambie mabinti wasiende huko.
Katikati ya bahari hawana ujanja
Na hata Mawimbi na Chumvi husaidia Kuipanua 'Mbunye' kiurahisi sana ili Kupisha 'Mkuyenge' kutiririka na kuserereka vizuri na Wao Kusuuzika pia.Katikati ya bahari hawana ujanja