Rais naye kuna amri ngapi amezitoa zikaenda kuathiri raia wasiokuwa na hatia?Acha uongo, hakuna polisi wa hivyo tanzania, Gekul atachukuliwa hatua kwa sababu moja tu hili suala limefika kwa rais.
unampa pole mama chupa au mtu mwingine ?Kuna mtu aliniambia usilogwe kufanya maamuzi km unahasira tena kua makini sana unaweza ukafanya maamuzi yakaharibu maisha yako kwa dakika tu.Kweli huu ushauri nimeona faida zake sana.Sasa huyu dada km kweli alifanya hayo naona hakujipa mda hasira ikampeleka kufanya unyama ambao utamsumbua na hata heshima alio kua nao itashuka n a maisha yake hayatakaa sawa tena kwa tendo alilofanya kwa siku ama saa moja tu.Pia wapambe wanaokua na ww kwenye upuuzi wakiona kimewaka wanakukimbia pole yake sana dada hasira ni hasara.
Unaulizia kwa maana ya sheria kuwaruhusu ama mazoea na tabia za upimbi?Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .
Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au afukuzwe kazi
Hali ni tofauti na mazingira ya nchi nyingi zinazoendelea au zilizoendelea. Je, idhini ya kuchunguza wanasiasa wa chama tawala isipotolewa mwananchi anaweza kufungua kesi ya jinai mwenyewe mahakamani?
Labda kwa kuwa ameshatenguliwa !Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
Mama Chupa au mama Bottle 😅😅😱unampa pole mama chupa au mtu mwingine ?
Aloo mama mabottle sio wa kumpa ushauri hachelewi kukugeuka akakusimika chupaMama Chupa au mama Bottle 😅😅😱
Hatari sana ! Kipato huleta kiburi !Aloo mama mabottle sio wa kumpa ushauri hachelewi kukugeuka akakusimika chupa
Toa mfano wa polisi mwenye independent mind.Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
Wapo mkuu,ndomaana unaona wengine hadi wanafikia hatua ya kuacha kazi kwa kuandika barua ndani ya masaa 24,siyo polisi wote wanaendeshwa nje ya viapo vyao.Toa mfano wa polisi mwenye independent mind.
Mkuu swala la sumu kalitaja huyo kijana mwenyewe kwenye clip, usichanganye habari.Shida polisi wetu ni robot tu. Wanasetiwa Nini Cha kufanya. Katibu wa mbunge anadai yule kijana alienda kuchukua mchanga wa pale hotelini. RPC anadai yule kijana alitaka kumuwekea sumu Mbunge kwenye chakula. Nani anasema ukweli?. Utagundua RPC kanunuliwa na kuambiwa Cha kusema.
"Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo". Haya ni maelezo au ni swali? Andika kwa usahihi.Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .
Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au afukuzwe kazi
Hali ni tofauti na mazingira ya nchi nyingi zinazoendelea au zilizoendelea. Je, idhini ya kuchunguza wanasiasa wa chama tawala isipotolewa mwananchi anaweza kufungua kesi ya jinai mwenyewe mahakamani?
Inasikitisha sana.Mkuu Pole sana kama ulikuwa hujui Vyombo vyetu vya Usalama hasa Polisi hufanya kazi kwa Maagizo/Maelekezo.
Hujasikiliza hata hiyo Clip ya yule Mwandishi wa habari kuwa alizuiliwa kuondoka Nyumbani kwa Mhe. Naibu Waziri hadi aruhusiwe na Naibu mwenyewe.
Hao wanakazi ya kupokea maagizo tu
Sasa hao polisi ni sehemu ya watesaji, je wanaweza kujichunguza? Rejea kesi ya kina Zombe. Kweli hili la huyu Waziri na polisi pia wameshiriki kutesa na kunyanyasa.Kuna polisi ambao wana independent mind,hawaogopi kutenda haki,ilimradi hawavunji sheria,na wako tayari hata kufukuzwa kazi,Kama tu kutekeleza majukumu yao,waliyoapa kuyatekeleza kwa mujibu wa katiba,itaonekana ni jinai kwa mitizamo ya kisiasa.Aliyekua naibu waziri na wenzake,watahojiwa na ikibidi watafikishwa mahakamani.Subiri.
Katiba yetu ina mapungufu mengi mno hasa hii loopholes ya Viongozi wa kisiasa kuwa na amri kwa hao Mapolisi.Inasikitisha sana.
Wamepiga hela sana hawaNa ubunge huyu asirudi tena
Wamtoe nje ya mstari kabisa
Awe benchi
Ova
Ni utawala uliojaa sura ya kinafiki kuhusu haki. Double standards, chukua mfano Naibu waziri fulani aliyepata ajali na akatuhumiwa ushiriki wak kifo cha mwanafunzi UDOM alikingiwa kifua na kila mweny mamlaka ya kufanya hivyo.Mfumo wetu wa siasa unakataza indirectly Kiongoz wa kisiasa au chama tawala kuhojiwa anapotenda jinai . Vinginevyo lazima wapokee maelekezo kutoka kwa viongozi wa kisiasa wasipofanya hivyo .
Incase akajitokeza askari akataka kumhoji mwanasiasa basi mfumo unaweza kuelekeza ahojiwe yeye au afukuzwe kazi
Hali ni tofauti na mazingira ya nchi nyingi zinazoendelea au zilizoendelea. Je, idhini ya kuchunguza wanasiasa wa chama tawala isipotolewa mwananchi anaweza kufungua kesi ya jinai mwenyewe mahakamani?