Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Ni kweli[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wangejiunga wachache
Hata mimi nisingekuwepo humu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]wangejiunga wachache
Ingekuwa hivo mbona wengi wangekimbia utakuwa huna uhuru wakujichia kama hivi unakuwa huru unazungumza unachotaka hata kama mshua yuko huku unamkandia😀alafu ukifika home kama vile hamjuani1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako
2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida .
3. Uweke malengo yako humu jf nini.
4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
RubbishRubbish.
Huu utakuwa ni MTANDAO ama BANK?1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako
2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida .
3. Uweke malengo yako humu jf nini.
4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
Kwanini??Wakenya, waganda n.k walioko nchi zingine utawapata vipi kwa vigezo ulivyoweka! Wakifanya hivyo nasema hivii bye bye jamiiforum
Duh hayo masharti ya washirikina.1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako.
2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida.
3. Uweke malengo yako humu JF nini.
4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
Kwanini??
😀😀jobless wangeona mkoto
Watu wangejiunga tu...