Je JF ingeweka sheria hizi hapa ingekuaje?

Je JF ingeweka sheria hizi hapa ingekuaje?

1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako.

2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida.

3. Uweke malengo yako humu JF nini.

4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
Ingependeza sana.
 
1. Hujiungi bila kuweka namba ya simu yako.

2. Kuwa na picha yako halisi au kitambulisho cha nida.

3. Uweke malengo yako humu JF nini.

4. Uweke kazi yako halisi unayofanya naukidanganya huwezi kulog in au kucreate account tungekuwa tunasumbuana akili kweli kwa kejeli na matusi si watu wasingetongozana maana humu kuna sura ya wanyama wa aina mbali mbali 🤣🤣🤣🤣🤣 wamejificha kwenye ID FEKI MIE hata niweje hata ningeweka postas za picha yangu kukusema vibaya nakusema na vurugu naanzisha
We mchawi?
 
Back
Top Bottom