Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Je, jina la Yesu ni kweli lina nguvu na uwezo mkubwa katika kutenda miujiza hadi leo? Wewe limekutendea makubwa gani? Karibu ushuhudie

Hio biblia original ipo wapi Ili tuilinganishe na hizi.
Ukitaka kujua biblia jielimishe nini maana ya neno Biblia,waandishi wa injili ni nani.
Unapaswa usome historian ya biblia imetoka wapi.Hii ni shule.
Yesu si mwandishi, mitume wake ndio walioandika Yale aliyosema na kufanya Yesu pili sio KILA kitu kuhusu Yesu kimeandikwa. Kumeandikwa kuzaliwa kwake na alipoanza injili yaani akiwa na miaka 30 hadi 33.
Maisha yake ya ujana, maisha ya mitume kabla awajawa Wakristo hayajaandikwa, sababu si muhimu.

Biblia original hakuna Na ndio maana tukaletewa biblia tofauti nyingi Tu,

Na wale wanafunzi wa Yesu Hakuna uthibitisho wowote kuwa waliandika injili.
Pia katika hao wanaoambiwa waliandika biblia Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu Na alichoandika ni barua aliyo.pelekea rafiki yake Theophilus.
Kwa hivyo vitu Kama hivi vinakuwa taabu kuthibitika mbele ya wanasheria wa dini yeyote Na mahakama yoyote yenye kufuata haki Na ukweli
 
Biblia original hakuna Na ndio maana tukaletewa biblia tofauti nyingi Tu,

Na wale wanafunzi wa Yesu Hakuna uthibitisho wowote kuwa waliandika injili.
Pia katika hao wanaoambiwa waliandika biblia Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu Na alichoandika ni barua aliyo.pelekea rafiki yake Theophilus.
Kwa hivyo vitu Kama hivi vinakuwa taabu kuthibitika mbele ya wanasheria wa dini yeyote Na mahakama yoyote yenye kufuata haki Na ukweli
Hakuna biblia tofauti sema kuna matoleo tofauti lakini maudhui ni Yale Yale.Hizo biblia tofauti tofauti ni zipi.
Kama hakuandika so injili ya Luka iliandikwa na nani?
 
Hili ni swali tu katika kujua uweza na uwezo wa nguvu za Jina la Yesu katika kutenda miujiza.

Yesu alipata kuishi yapata miaka 2019 iliyopita. Je inakuwaje jina lake leo lisemwe kwamba lina nguvu sana katika kutenda miujiza?

Kuna manabii wengi sana na mitume wengi wamepita, kina Krishna, Elisha , Elizabeth Mtishbi nk mbona hatusikii visa vya majina yao katika kutenda miujiza? Sanasana Wlisha ametajwa mara moja kwamba jamaaa walibeba maiti wakienda kuzika, walipofika katika kaburi la Elisha ikatokea vita, katika kujinusuru wakaibwaga maiti chini, maiti ikaangukia kaburi la Elisha, maiti ikafufuka, ikatoka nduki kichizi.

Ndugu mnaoelezea uweza wa jina la Yesu njooni hapa mshuhudie
Mwenyezi Mungu alimkirimia mwanae wa pekee jina lipitalo kila jina.

Kupitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo yeyote anayeamini na kuliishi neno lake LAZIMA LAZIMA LAZIMA ataokolewa kutoka kwenye tanuru la moto.
 
Hakuna biblia tofauti sema kuna matoleo tofauti lakini maudhui ni Yale Yale.Hizo biblia tofauti tofauti ni zipi.
Kama hakuandika so injili ya Luka iliandikwa na nani?

Kwanini injili huanza Na according to mark, Luke , John nk Na isiwe injili ya John au Lika au nk. ?
 
Mwenyezi Mungu alimkirimia mwanae wa pekee jina lipitalo kila jina.

Kupitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo yeyote anayeamini na kuliishi neno lake LAZIMA LAZIMA LAZIMA ataokolewa kutoka kwenye tanuru la moto.
Mungu yupi aliyemkirimia Na tunaambiwa Yesu ndiye mungu? Au kajizaa mwenyewe?
 
Hakuna biblia tofauti sema kuna matoleo tofauti lakini maudhui ni Yale Yale.Hizo biblia tofauti tofauti ni zipi.
Kama hakuandika so injili ya Luka iliandikwa na nani?

 
Mungu yupi aliyemkirimia Na tunaambiwa Yesu ndiye mungu? Au kajizaa mwenyewe?
Unaambiwa na nani ?

Usipende sana kuambiwa ambiwa.

BIBLIA ZIPO, SOMA UPATE KUIJUA KWELI KUTOKA CHANZO HALISI.

Achana na masimulizi ya vijiwe vya kahawa.
 
Biblia original hakuna Na ndio maana tukaletewa biblia tofauti nyingi Tu,

Na wale wanafunzi wa Yesu Hakuna uthibitisho wowote kuwa waliandika injili.
Pia katika hao wanaoambiwa waliandika biblia Luka hakuwa mwanafunzi wa Yesu Na alichoandika ni barua aliyo.pelekea rafiki yake Theophilus.
Kwa hivyo vitu Kama hivi vinakuwa taabu kuthibitika mbele ya wanasheria wa dini yeyote Na mahakama yoyote yenye kufuata haki Na ukweli
Aliyekwambia Biblia Original hakuna ni nani?

Au kwa kuwa na versions mbalimbali basi unahisi hakuna genuine version.

FYI hizo versions pamoja na tofauti zilizopo ndani yake bado meseji yake inabaki vilevile.
 
Unaambiwa na nani ?

Usipende sana kuambiwa ambiwa.

BIBLIA ZIPO, SOMA UPATE KUIJUA KWELI KUTOKA CHANZO HALISI.

Achana na masimulizi ya vijiwe vya kahawa.

Hakuna biblia yoyote iliyosema Yesu kazaliwa Na Mungu wala Hakuna Mahali Yesu alisema Mimi ni Mungu au alisema Mimi ni mwana wa mungu
 
Aliyekwambia Biblia Original hakuna ni nani?

Au kwa kuwa na versions mbalimbali basi unahisi hakuna genuine version.

FYI hizo versions pamoja na tofauti zilizopo ndani yake bado meseji yake inabaki vilevile.

Haya tuambie biblia ipi ni original NIV, KJV, Q J V , Douay au yoyote katika mamia ya biblia tofauti
 
Kama Biblia yako haina hayo maelezo, sina la kukusaidia.

We live at the age information so when you choose ignorance , it becomes none of my business

Wewe yako ni ipi Tuisome
Lete reference kama unayo
 
Back
Top Bottom