Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣Nyie mmejaa Majin kuliko dini yeyote maana mwenye mapepomnayapooza na kusema kitu kasema hvi na Hiv kama lin shetani akabembelezwa badala stole, pia Kwa mwamposa waliojaa huko ni waislam na wanaanguka mapepo vibaya mnoo
Alishindwa kujiokoa wapi?Ikiwa alishindwa kujiokowa mwenyee atakuokowa wewe?
Tujifikirie kidogo.
ISOMEKE Eliya mtishbi Siyo Elizabeth Kama ulivyoandikaHili ni swali tu katika kujua uweza na uwezo wa nguvu za Jina la Yesu katika kutenda miujiza.
Yesu alipata kuishi yapata miaka 2019 iliyopita. Je inakuwaje jina lake leo lisemwe kwamba lina nguvu sana katika kutenda miujiza?
Kuna manabii wengi sana na mitume wengi wamepita, kina Krishna, Elisha , Elizabeth Mtishbi nk mbona hatusikii visa vya majina yao katika kutenda miujiza? Sanasana Wlisha ametajwa mara moja kwamba jamaaa walibeba maiti wakienda kuzika, walipofika katika kaburi la Elisha ikatokea vita, katika kujinusuru wakaibwaga maiti chini, maiti ikaangukia kaburi la Elisha, maiti ikafufuka, ikatoka nduki kichizi.
Ndugu mnaoelezea uweza wa jina la Yesu njooni hapa mshuhudie
Yesu hakuwahi kuua adui zake, ulipaswa kumuhubiri huyo mganga fundisho kuu la YesuKatika hali ya kustaajabisha mwanzoni mwa mwaka 2012, nyumbani kwetu tuliingia vita ya kiroho kati yetu sisi na jirani aliye kua mganga wa kienyeji (R.I.P)
Yule mganga ilifika kipindi akamtupia pepo la uchizi dada angu awali katika kustaajabu hali kama ile tulianza kwenda hospital kujua hali yake ki afya kama amepatwa na maralia kali au kuna kingine, tulimkuta ana maralia ringi 15 akatumia sindano ya dozi lakini hakutengemaa.
Tuliona ile vita si ugonjwa wa maralia ikabidi tumfanyie maombi maarumu kanisani alikaa siku tatu pale kanisani yale mapepo machafu yalimtoka na kawa safi mpaka leo.
Baada ya mwaka mmoja vita ikarud kwa mama hii haikudumu sana. Naye pia alirushiwa pepo la uchizi akawa anacheka cheka tu kwakua tayari iliwahi kutokea kwa sister tuliingia moja kwa moja kwenye maombi tukitumia mamlaka tuliyo pewa na Mungu kupitia jina la Yesu kristo tukafurumisha mapepo wachafu wakatajana mpka walio watuma wakaondoka.
Miezi michache mbele yule mganga alianza kuugua ugonjwa ambao ulisababisha kifo chake.
Hakika Yesu ni Mkuu alitutendea Makuu bila gharama yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu alihubiri upendo, ndiyo tofauti yake na Eliya, Eliya aliua manabii wa Baali lakini Yesu akiwa msalabani alisema "Baba uwasamehe kwa maana hawajui wanalolitenda... "Mathayo 13:41
Mwana wa Adamu atawatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake machukizo yote, na hao watendao maasi.
Andiko hili vichwa ngumu kama
FaizaFoxy, kamwe hawawezi kulielewa.
Mwana wa Adamu na Malaika wapi na wapi?
Mathayo 13:10
Wakaja wanafunzi, wakamwambia, Kwa nini wasema nao kwa mifano?
11 Akajibu, akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuzijua siri za ufalme wa mbinguni, bali wao hawakujaliwa.
Hapa yeyote mwenye ushirika na Majini anatoka Kapa.
Umeniita? Tatizo nini?Yesu alihubiri upendo, ndiyo tofauti yake na Eliya, Eliya aliua manabii wa Baali lakini Yesu akiwa msalabani alisema "Baba uwasamehe kwa maana hawajui wanalolitenda... "
Usimdhihaki FaizaFoxy mfundishe kwa upendo. Hata Paulo kaandika muwaonye wazee kwa heshima
Ndugu yangu, duniani hapa kuna kundi fulani hata uwapigie ngoma hawawezi kuelewa.Yesu alihubiri upendo, ndiyo tofauti yake na Eliya, Eliya aliua manabii wa Baali lakini Yesu akiwa msalabani alisema "Baba uwasamehe kwa maana hawajui wanalolitenda... "
Usimdhihaki FaizaFoxy mfundishe kwa upendo. Hata Paulo kaandika muwaonye wazee kwa heshima
Sawa, unaamini kwamba jina la YESU lina nguvu? limekutendea makubwa gani? wasilisha ushuhuda wako ...Utofauti uliopo wa kiimani uliweka gap kubwa kati ya Muumba na uumbaji wake japo Muumba wa wote ni mmoja.
Ndo maana sauti (nuru) ikawa inatokea gizani wengi hawakujua ilo giza limetoka wapi kutoka 20:21 na 2korintho 4:6 wasijue ni gap lililokuwapo.
Wengi hawajui kwanini Muumba alisema katika 1korintho 13:1-13 kwamba hata uwe na imani ya kuhamisha milima kama huna upendo hakuna kitu hapo ndo maana akasema yeye ni upendo katika mstari wa 13 ya upendo ndo unaondoa izi tofauti za kiimani.
Muumba wetu sio mwislam wala mkristo wala mbudha na mhindu au rastafarian izo zote zimeletwa na wanadam.
Sawa, unaamini kwamba jina la YESU lina nguvu? limekutendea makubwa gani? wasilisha ushuhuda wako ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe bado hujamjua Yesu Kristo.Yesu alisema mwenywe katika Yohana 17:3 uzima wa milele ni kumjua Mungu wa kweli yaani Muumba.
Na katika yohana 4:23 Lakini saa inakuja, nayo sasa ipo, ambayo waabuduo halisi watamwabudu Baba katika roho na kweli. Kwa maana Baba awatafuta watu kama hao wamwabudu.
Na katika 1korintho 15:28 Basi, vitu vyote vikiisha kutiishwa chini yake, ndipo Mwana mwenyewe (Yesu) naye atatiishwa chini yake yeye aliyemtiishia vitu vyote, ili kwamba Mungu awe yote katika wote.
Sasa tumefika kwa Muumba ambaye ni mmoja na wakuabudiwa ni mmoja yaani Muumba.
Waefeso 4:6 Mungu mmoja, naye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote na katika yote na ndani ya yote.
Majira ya Yesu imeshapita.
Uwe unajitahidi kusoma na kuelewa kilichoandikwa. Usiendeshwe na mihemko. Rudia tena kusoma kisha futa komenti yako.
Labda huelewi kuwa hakuna anayemuamini Yesu zaidi ya Muislam.
Waislam tunamuamini Yesu kwa ukweli na siyo kwa kudanganywa na kanisa.
Kuambiwa mambo ya yesu ambayo si yake.
Labda huuelewi Uislam. Unajuwa kuwa Yesu katajwa mara nyingi kwenye Qur'an?
Unajuwa kuwa mama'ke Yesu kaenziwa kwenye Qur'an kuliko kwenye Biblia? Kapewa sura (kama biblia mngesema kitabu) nzima kwa jina lake?
Wapi Yesu alisema "Mimi Mungu"?
Mnatapeliwa na Wachungaji eti jina la Yesu , yaani hilo sio changa la uso ni mawe ya uso , Yesu mwenyewe kakataza jina lake lisitumiwe nyinyi mnampinga Yesu, ni haki yenu kutapeliwa, Wajinga ndiwo waliwao
Wajinga ndiyo waliwao. Wacheni kudanganyana.
Mnapingana na biblia?
Mathayo 24:
24 Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule.
25 Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.
26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki.
Uislam ni mwema sana, hauna longolongo.
Sio kwamba tayari amemuuliza shetani kupitia mawakala wake?Ukitaka kujua uKuu wa jina hili muulize shetani akupe jibu